S2KIZZY AFICHUA NYIMBO 20 ALIZOFANYA NA RIHANNA, TYLA WA SOUTH AFRICA / NAMTUMIA DM MPAKA JAY Z

  Рет қаралды 14,533

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

3 ай бұрын

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 34
@user-jq9rj4dm5u
@user-jq9rj4dm5u 2 ай бұрын
S2kizzy ndio producer Bora east Africa ila wabongo wanajizima data🤣🤣
@ydbranch542
@ydbranch542 2 ай бұрын
Umeongea vizuri san kuwamusha maproducer wengi namna ya kutengenez hit song kwa ushauri wako wengi watafanikiwa big up san
@Summerbtz
@Summerbtz 2 ай бұрын
Oya we Zombie nakukubari sana mwamba one day wanna do something with you
@bakaromar8135
@bakaromar8135 2 ай бұрын
Mchizi anaongea fact japo inaumiza
@Official-bataboy
@Official-bataboy 2 ай бұрын
Sema huyu rich maswali yke mda mwingine ajitazame anapenda kuwafanya watu waongee vitu nje ya uwezo wao sema anastukiwaga hivi
@issaomary7718
@issaomary7718 2 ай бұрын
Dizain Kama dogo anavimba ivi ....sharaut Kwa niga louis NORTHBLOCK RECORD #ATOWN...
@KigoBilionea
@KigoBilionea 2 ай бұрын
Me nakubali zake uyo mtu mbadi
@RamadhanAdam-cq7dl
@RamadhanAdam-cq7dl 2 ай бұрын
Zomb siyo muongeaji sana ni producer ambayo anajitambua sana in short ni number one east Africa
@Soundprobeats
@Soundprobeats 2 ай бұрын
Sio muongeji ??,akati ndo mtu wakujisifia kuliko ata wasanii ,watu wenye uwezo hawanaga mda wakujisifia Huwa wanasifia huyu anapiga makelele tuu hukumtandaoni
@floodboytz7038
@floodboytz7038 2 ай бұрын
Nataka kufanya Kaz na S2KIZY sikiliza nyimbo zangu nipe ushaur 🙏
@user-nx2sd8lk9q
@user-nx2sd8lk9q 2 ай бұрын
s2kizzy namkubali kinoma niproduce mkali kwahapa Tanzania yaani hata somuongeaji anafanya kwavitendo tunaona
@star_onmusic
@star_onmusic 2 ай бұрын
Oya huo mtangazaji wenu mwenye aliyepo KWENYE mitambo Hana Quality inayo takiwa by the way Ana jua kuonewa Ila siyo kwenye ule mpangilio unao takiwa pia ra fuzi Ina kuwaza shida kwake kumfanya awe na ule weledi wa kufanya kipindi kibambee so ifike time huyo jamaa aliye pembeni akae kwenye kiti aweke mawe Siyo kwambia simpendi Ila huo Ni ukweli unao endana na UENDESHAJI wa Media huwa inatakiwa WATU makini Kama vile ukimcheki Tgway lile Ni jembe na siyo kitoto ama Yule jamaa wa vipindi vya shule alianza Kama haeleweki lakini sasa ana eleweka so mwambieni aache kujiskiliza Sana yeye askilize na watu mabadiliko ni watu ili we yeye pale anapo tarajia
@user-nx2sd8lk9q
@user-nx2sd8lk9q 2 ай бұрын
S2kizzy musimuonee girl maana niproduce mkali kwatanzania sokwamba anavimba niukweli sema watanzania wanawivu namaendeleo yamut😅
@reubenwild4215
@reubenwild4215 2 ай бұрын
Anajua jamaa
@AminaOmary-br8us
@AminaOmary-br8us 2 ай бұрын
Bongo kila kitu feki ndo utatoboa na ma sample ya kununua
@Siddhart7-772
@Siddhart7-772 2 ай бұрын
Dah!! Saiv atakuwa ameishiwa na ubunifu kaanza kiki zakijinga mbna geniusx66 anahiti kibao kampigia jaymelody na hajisifii na ukiangalia kuna abbah lkn hna misifa…akae kwa kutulia mziki uongee yy anamiziki yahitis za siku mbili hazidumu😅😅aache umama wewe kazi yako trap miziki mingine unakopy sana na nyie hizi interview mtakuwa mnatuungia bando interview zakimama hizi🤔🤔😂😂😂
@QGmterano
@QGmterano 2 ай бұрын
Ujue sijawai kuona kitu kwa huyu mtu,,hivi mnamjua duppy
@izaboymtykwl
@izaboymtykwl Ай бұрын
😂😂😂😂
@user-pf9rk6jp4f
@user-pf9rk6jp4f 2 ай бұрын
Aaaa 😂😂uyu jamaa muongo mpaka j z rihhana
@devisfrank6637
@devisfrank6637 2 ай бұрын
🫡🫡🫡
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 2 ай бұрын
JAY Z UNA MD??? MTANDAO UPI😊
@shanatatrigger6537
@shanatatrigger6537 2 ай бұрын
Instagram si hana eeh 😅 na Twitter vip
@Dickson93
@Dickson93 2 ай бұрын
Yaani nikiona coment huko nashangaa sana mnataka aongee nini ndio mda wake huu mnasema wakina master na p walikua hawaongei kipindi hicho kulikua hamna social media ili kujua kinachoendelea lazima utumie bbm na bbm kuipata lazima uwe na brackberry sasa jaman acheni aongee na uzuri kazi zinaongea ndio mda wake huu jamani msitake aongee mnachotaka nyie
@tuntufyehenry1331
@tuntufyehenry1331 2 ай бұрын
Huyu jamaa shida Muongo Muongo sana hiyo ndio shida yake 😂😂😂
@aliabdallahali6995
@aliabdallahali6995 2 ай бұрын
Ili awe mkweli awe vipi?
@tuntufyehenry1331
@tuntufyehenry1331 2 ай бұрын
@@aliabdallahali6995 kizur siku zote hakikitangazi ila kazi ndio zinaongea. Hakuna hata siku moja Majani au master jay alisema yeye ni mkali kuliko wengine ila mbona mpaka leo wanaheshimika..!.!.😒
@Soundprobeats
@Soundprobeats 2 ай бұрын
​@@aliabdallahali6995awe kama wewe kichaa mwenzake
@Soundprobeats
@Soundprobeats 2 ай бұрын
​@@aliabdallahali6995awe kama wewe kichaa mwenzake
@Official-bataboy
@Official-bataboy 2 ай бұрын
Wewe shida yako sio muelewa sababu huamini vya kwako we amini katika uongo
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 20 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 63 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН
Kumekucha WAKILI MWABUKUSI AFICHUA MAZITO MAKONDA KUTOWEKA
10:03
BONGO 24 NEWS
Рет қаралды 4,7 М.
K CEE AFUNGUKA KUHUSU KUJA BONGO KUFANYA VIDEO NA DIAMOND PLATNUMZ
8:53
EastAfricaRadio
Рет қаралды 1,9 М.
Мировой Рекорд по Засыпанию (@DazByron )
0:30
Голову Сломал
Рет қаралды 10 МЛН
Matt Kills Dexter's Deer | Dexter: New Blood S1E1 | #Shorts
0:51
Clashed PR
Рет қаралды 26 МЛН
MAGIC DRINK TRICK TUTORIAL 😱😳
0:20
Milaad K
Рет қаралды 66 МЛН
Они так быстро убрались!
1:00
Аришнев
Рет қаралды 2 МЛН