Wimbo huu wa Wakoma 10 ni wimbo Maalumu wa Shukurani ulioimbwa na Eden choir kutoka katika kanisa la Moravian Jimbo la Mashariki Ushirika wa Tabata
Пікірлер: 351
@mosesduguda59173 жыл бұрын
Huu wimbo kwangu sio wa kawaida.natamani nikutane na mtunzi ili nijue ilikuwaje kupata haya mafunuo
@bezalelmwandete36773 жыл бұрын
Kabisa aisee
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, karibu sana
@vailetheanyambilile97493 жыл бұрын
Hawa watu wame badilisha maisha yangu kupitia wimbo wao moja mzuri balaa
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
@@vailetheanyambilile9749 oooh hallelujah, karibu sana sana
@StellahMartine2 ай бұрын
9
@fundihurumwakanani7123 жыл бұрын
Wimbo huu nauelewa Sana voco za kutisha, masolorist wakali producer mkali .......Mungu awabariki
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, tunashukuru
@mosesduguda59173 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza niliusikia kawe mkiuimba kwenye mkutano nilibubujika sana.hakika kuna nguvu ya mungu katika wimbo huu.
@bezalelmwandete36773 жыл бұрын
Same here ndugu
@lilianmwangosi54793 жыл бұрын
Ameeen Mungu akubariki
@mosesduguda59173 жыл бұрын
@@lilianmwangosi5479 aminaa.
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni ni mkuu sana, tunashukuru sana
@stellahmsafiri41422 жыл бұрын
Hii nyimbo naipenda sana mwanzo mwisho ni nzuri
@rafaelerick8962 жыл бұрын
Huu wimbo ni ushuhuda kwangu niliuona upendo tv tangu siku ya kwanza mpaka leo unanitia nguvu barikiwa sana hakika kazi hii ni muujiza kwa wengi Ameen.
@levinaliving40583 жыл бұрын
Wakoma kumi ni nyimbo yangu bora sanaaaa hawa watu wanajua sana. Kwaya yakwanza kufanya live record
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen amen, tunashukuru
@BGHaule2 жыл бұрын
Mmefanya kwa viwango vingine vya mbali sana
@BGHaule2 жыл бұрын
Many congratulations
@mathewmwasangwale4205 Жыл бұрын
Amen amen I'm blessed
@gwantwaseke84063 жыл бұрын
Tupo unaimba vzr sana jmn nabarikiwa sana MUNGU azidi kuiinua huduma yako kipenz
@nicgooholasmwandambo60673 жыл бұрын
Wote
@jefredyfrednandy58803 жыл бұрын
Jaman jaman jaman kiwango masolooooo mko pouwaaa sanaaaaaa
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, utukufu kwa Mungu
@nsajigwarichard19513 жыл бұрын
Utukufu kwa Bwana....mzidi kuinuliwa zaidi huku mkinyenyekea kwa Yesu
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, tunanyenyekea
@deborabrownsentimea39012 жыл бұрын
Unaniliza sana huu wimbo hasa kile kipande Cha nayaelewa Bwanaaaaaaa maisha ya dunianiiiiiiii pasipo mkono wako mwokoziiiiiii kamwe nisingeweza,😭😭😭😭😭
@wiza2309 Жыл бұрын
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri wa shukurani kwa Mungu kwa matendo yake makuu kwetu.
@user-ng8os1wr5w10 ай бұрын
Binafsi nawapongeza kwa wimbo mzuri ambao ukiusikiliza unakusoeza uweponi pa mungu.mimi siku zote ni shabiki wa kwaya yangu ya Eden japo ni muda tumepotezana na kwaya yangu ya The sound of heaven choir Wana Zilitiririka.nawatakia huduma njema ya kumtangaza Yesu kristo.Itika Nkoba Mwakatwila wa in katumba Tukuyu Mbeya
@jounekapepe15033 жыл бұрын
Kamwe song haichoshi kuisikiliza.
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@praynath3 жыл бұрын
Mungu awabariki watumishi hakika anointing inayotoka nimebarikiwa na uimbaji wenu
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, tunamshukuru Mungu
@ahadimbindi41353 жыл бұрын
Hakika Mungu aliachilia Mafuta mabichi juu yenu ni chaguo langu la kwanza Mungu aendelee kuwapa kibali zaidi Mnajuwa kutufurahisha 100%
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen amen, ubarikiwe sana
@dicksonandrew69473 жыл бұрын
Mungu ibariki Moravian Tanzania na Duniani kote
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen
@christopherkimati53722 жыл бұрын
MUNGU wa mbinguni awabariki sana kwa wimbo mzuri ambao hauchoshi kusikiliza mbarikiwe nyote kwa umoja wenu
@edenchoirtabatamoravian6905 Жыл бұрын
Amen
@user-zs4po5pr8h7 ай бұрын
Huu wimbo unanifanya naongezeka Imani yangu kwa Mungu ni kweli pasipo mkono wa YESU mm nisnge weza❤❤❤❤❤❤❤🙏
@jeandidodhedonga66913 жыл бұрын
Eee mungu wetu unastahili sifa pasipo wewe atungeweza
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen amen amen
@tutindagamtalege1295 Жыл бұрын
Mbarikiwe Edeni kwaya,naomba mrushe na wimbo mlioimba siku ya kumsimika Askofu wetu
@edenchoirtabatamoravian6905 Жыл бұрын
Unaweza kuupata kupitia Channel ya MORAVIAN CHURCH TABATA (Song - Ameletwa na Mungu by Eden Choir)
@georgekapongo9623 жыл бұрын
Barikiweni sana watumishi, nilihudhuria sherehe ya kusimika wachungaji Moraviani Kimanga mliimba huu wimbo nilijisikia kuinuliwa sana.
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, Mungu ni mwema asante sana
@jacklineswai9868 Жыл бұрын
........nimeongezeka imaniii ya kukutegemeaa...... kwa shidaaa zileee ......tabuuu zilee😔😪 ameen mbarikiwe na sadaka yenu ya uimbajii ..tujifunze kushukukuru.
@HawaAdam-il2mk10 ай бұрын
Mbarikiwe Sana kwa wimbo wenye Baraka,na ujumbe,hu mwimbo naupenda Sana..
@tegemlowe11443 жыл бұрын
Mungu akutane na haja za mioyo yenu nawapenda Sana Eden
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, amen asante sana
@ayubumwashilindi93943 жыл бұрын
Mbalikiwe sana
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen
@sethlawranceanthony38933 жыл бұрын
Wakwanza mimi 🖖😍😍😍 hakika MUNGU ametutendea
@mirrylugendo31863 жыл бұрын
Nice song
@lilianmwangosi54793 жыл бұрын
Hakika🙏
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, hongera sana
@tegemeaemilly22523 жыл бұрын
Kuna raha ndani ya YESU Jaman MUNGU Aibarik Eden kwaya
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen amen
@lukandaireen5833 жыл бұрын
Amen. Big up masololist mpo vizuri Mungu awabariki wadada! Hakika sifa kwa Bwana.
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen amen, Tunamshukuru Mungu
@bahatimwakapusya25273 жыл бұрын
Mzidi kubarikiwa nawapenda
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen asante sana
@graciousgod4865Ай бұрын
Nimekuja tena huku ili niconfirm kama aliyefariki ni huyo dada mzuri anayesmile muda wote!! Jamani poleni sana Eden nawapenda sana na Yesu aendelee kuwatetea!!
@siyenukabujile28023 жыл бұрын
Natafuta sanaa album yenu ile ina wimbo nimekutegemeaaa .....nyimbo zenu n baraka ....wap nitaipataa hyo album @eden choir
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Wasiliana nasi kwa namba 0713264580
@jeremiahbutungo12573 жыл бұрын
Hakika wimbo huu untafakarisha ukuu wa matendo ya Mungu! Mbarikiwe sana Eden choir
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, asante
@julietmateru57892 жыл бұрын
Huu wimbo c wa kawaida naamini ni Mungu aliwapa.muinuliwe zaidi
@joyceeliezer4816 Жыл бұрын
Wimbo wangu bora sichoki kuusikiliza three times a day.Mungu awabariki
@jackyluns82243 жыл бұрын
Nimesikiliza huu wimbo umenigusaa kabisaa
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amina, Mungu akubariki
@nsajigwamwasalemba18232 жыл бұрын
Hii nyimbo Bora Kwa muda wote,Barikiwa Kwa huduma njema
@milkasangati5306 Жыл бұрын
Glory ,glory...🙌🙌..nimerudi Mwokozi 🙌
@graceedasalemba8962 Жыл бұрын
Huu wimbo kwangu kila siku hauzoeleki.Mungu awakumbuke Eden choir ...
@rev.emanuelmahembo99913 жыл бұрын
Mbarikiwe Sana wana Eden,Yesu awape kibali ktk kumtumikia yeye...Amina.
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, tunashukuru sana baba yetu
@saumulyimo98563 жыл бұрын
Mungu aliye hai ailinde huduma yenu hata siku ya Kristo YESU nawapenda sana ndugu zangu huduma ni njema
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen amen amen, tunashukuru sana
@nereaigogo4442 Жыл бұрын
Wimbo huu ulipikwa madhabahu Lazima kuna mtu au watu walilipa gharama ya maombi Ukiona unasikiliza wimbo na unakupeka kufanya lililo kusudi la Mungu, jua huo wimbo upo anointed na ni mtumishi wa Mungu Kila nikisikiliza huu wimbo najiona simshukuru Mungu, nagundua vitu vingi ambavyo Mungu amenifanyia Mungu awabariki kwa kulipa gharama
@tonymwanjala34493 жыл бұрын
KIUKWELI MNAJUA😘😘😘😘
@lilianmwangosi54793 жыл бұрын
Ameeen sifa na utukufu kwa Mungu wetu🙏🙏
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Sifa na utukufu kwa Mungu wetu wa mbinguni
@numpefikimwaipopo3 жыл бұрын
Baraka zipo ndani ya BWANA mfurahishe MUNGU kwa kumshukuru
@vailetheanyambilile97493 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah Eden Mungu awabariki munooooo ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️😭😭😭😭😭😭❣️♥️♥️♥️🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@godasmwakasege72123 жыл бұрын
Uimbaji mzuri Mungu awabariki na kazi yenu ipate kibali.
@lilianmwangosi54793 жыл бұрын
Ameeeen🙏
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, amen, amen
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
@@godasmwakasege7212 amen baba
@florahkimbage95713 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri tena live
@lilianmwangosi54793 жыл бұрын
Ameeeeeen
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, tunashukuru
@oliverngaila67083 жыл бұрын
Kwani hii live au
@florahkimbage95713 жыл бұрын
@@oliverngaila6708 naona kama wamerekodi huku wako live
@denismwalukunga86863 жыл бұрын
Hakika Mungu ni wa huruma mno barikiwa Edeni kwaya 🙏🏻🙏🏻
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen
@marthankola3316 Жыл бұрын
AMEN 🙏. Wimbo unabariki. Mungu azidi kukupa mafunuo zaidi mtunzi.
@hellenmgoba81152 жыл бұрын
Ametenda kwa wakati BWANA!!!!EDENI BARAKA za MUNGU ziwe juu yenu hakika mnanibariki sana!!!natamani siku Moja niwaone LIVE!!!
@numpefikimwaipopo3 жыл бұрын
Mwe MUNGU usiwaache Eden choir. Nawapendaga sana
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen
@upendokiwanga95383 жыл бұрын
Mungu awape mnachohitaji nawapenda saana kwaya hii
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen asante sana
@luganombila9393 жыл бұрын
Mungu aikumbuke huduma yenu
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, tunanyenyekea
@TabithaMhina-kg9bs8 ай бұрын
Nabarikiwa sana Eden choir mungu awabariki Kwa huduma yenu nzuri
@josephsamuel70882 жыл бұрын
Mbarikiwe ssna watumishi wa Bwana.
@florenceakyomo43193 жыл бұрын
Mungu awatunze Eden,, Nawapenda sn sn
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen tunashukuru kwa upendo mama
@geofreychelelo27333 жыл бұрын
Mbalikiwe sana wana Eden mnahuduma kubwa sana mmeibeba hakika,wimbo huu ni dawa ya kiroho ambayo itaishi vizazi na vizazi 🙏🙏🙏
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen
@paulovicent37973 жыл бұрын
Drummerrrrrrrr🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hivi Ni Nani huyu jamaaaa
@festoamosi62153 жыл бұрын
Balikiwa sana watu wa mungu kwa wimbo mzuri mungu azidi kuwatia nguvu zaidi.
@yohanamayenga3 жыл бұрын
Anaitwa Abraham
@brightmwakalindile37933 жыл бұрын
Mr.Ibra ahsante mdogo wangu Ibu Mungu aendelee kukuinua katika huduma yake endelea kushuka lakini endelea kumuomba zaidi atunze uwezo wako.
@namsifumaduhumwita24953 жыл бұрын
Ameeen.... napenda nimjue mtunzi jaman..... May the way be wide for more blessings 🙏
@bwiganemwakalinga18173 жыл бұрын
Hongreni sana, Mungu awatunze na kuitunza huduma hii.
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen tunashukuru sana baba
@eddahbalole16163 жыл бұрын
Woooo w... Hakika MUNGU JEHOVAH pekee kwa jinsi ya utukufu wake azidi kuwainua na kuwang'arisha katika mibaraka telee iletayo utukufu kwake
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen amen
@jounekapepe15033 жыл бұрын
Pasipo mkono wako BWANA MUNGU tusingeweza
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, ni Mungu tu
@sarahkomba19383 жыл бұрын
Mbarikiwe sana mungu awakumbuke katika huduma take Eden choir God bless you uuuuuuuu!
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen
@philipojumbe33 жыл бұрын
Barikiwa Sana ujumbe mzuli mno
@sarahfavoured70973 жыл бұрын
Pasipo mkono wako Mungu nisingeweza. Wimbo unaongea na Mimi kabisa. Mbarikiwe watumishi
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen amen
@georgekyonjola3 жыл бұрын
Wow always you are the best
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, family
@dorcasmakoba89993 жыл бұрын
Mbarikiwee nawapenda
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, asante sana
@florencemwakikao57143 жыл бұрын
Mungu awabariki sana watumishi kwa kazi nzuri sana
@lilianmwangosi54793 жыл бұрын
Ameeen
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen
@pendaeltukei69392 жыл бұрын
Nawapenda Sana mungu awafungulie milango hongereni Sana kwakujitoa kikamilifu kufanya kazi ya mungu. Hatawaacha
@mamapraise93823 жыл бұрын
Hongereni kwa wimbo mzuri. Mbarikiwe sana Eden Choir.
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, asante sana
@tamikamwakyembe25492 жыл бұрын
Wimbo wangu wa kila siku maana kuamka na kuiona siku mpya inatubidi tushukuru.Barikiweni sana maana mmeganga mioyo ya watu wengi!
@georgempella61163 жыл бұрын
Vocal Video Music bora sana.
@lilianmwangosi54793 жыл бұрын
Ameen mtumishi 🙏
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen asante sana
@christopherjaha6457 Жыл бұрын
Nc huu wimbo mkubwa sana ukiwa unausikiliza kwa umakini sana hata hao masolo wameuvaa sana huu wimbo nampongeza sana mtunzi wa huu wimbo amepata mafunuo makubwa sana MUNGU awabariki sana
@user-hu2dw1us2m11 ай бұрын
Mungu awabariki wajoli wake Kwa kuimba ktk Roho na kweli!
@salually71253 жыл бұрын
As usually Nyie watu Mimi nawakubali sanaaa . Mungu akawatie nguvu katika kaz yake AMEN
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, asante sana
@erickmwankenja29983 жыл бұрын
Mungu awazidishie
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen
@georgempella61163 жыл бұрын
Waoo nilitarajia ukubwa huu.
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@joycelinemmari84392 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana,Mbarikiwe Wana wa Mungu mzidi Kumtumikia Mungu,Kabla ya kulala lazima niutazame!!
@gideonkapange39053 жыл бұрын
Nimekuwa nikiipenda Huduma yenu Siku zote. Mungu azidi kuwamiminia Mafuta ya Baraka za Mwilini na Rohoni. Kazi nzuri sana Hii
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen asante ssna
@elizasichone61042 жыл бұрын
Huu wimbo umekuwa faraja kubwa kwangu kila nikikutana uzio ktk jambo lolote najikuta nauimba...mbariwe sana
@neemaandrew65933 жыл бұрын
Aiseee,,,Mungu awatunze Eden Choir,,,wimbo huu unagusa sana,,nawapendaaaaa
Ikiwapendeza mngesogeza nyimbo zenu kwenye platform mbali mbali za music ili kuwafikia wasililizaji wengi… natamani kuwaona mkifika AudioMack na Boomplay kwanza. wimbo wenu ni mzuri sana🙏
@edenchoirtabatamoravian6905 Жыл бұрын
Amen tunashukuru sana, ndani ya kipindi kifupi tutawajulisha uwepo wetu katika platforms zote. Tumezingatia
@monicazacharia39073 жыл бұрын
Tunashukuru kwa wimbo mzuri na wenye ujumbe 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾 unanipa faraja sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen
@ruthkyando98783 жыл бұрын
Waooo hongereni sana Edeni kwanya wimbo mnzuri unanibariki sana
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, zidi kubarikiwa mama
@ruthkyando98783 жыл бұрын
@@edenchoirtabatamoravian6905 Amina👏
@kotridemwakyoma45662 жыл бұрын
Nakuona KK angu Isa nagitaa
@kmone73063 жыл бұрын
hakika Mungu mnaemtumikia msimwache,imepew kipaji kikubwa sana katika utumishi wa mungu, kazi nzuri sana, tunabarikiwa sana, ujumbe mzuri sanaaaaaaa
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, amen tunamshukuru Mungu
@franswamwandenuka68532 жыл бұрын
Nilikuwa wap kuujua huu wimbo, Kwasiku nausikiliza zaidi ya mara 10, ujumbe mzito Mungu awabariki saana ❤🙏🙏🙏👏
@elizabethmnzava6162 жыл бұрын
LUKE 17:17.... KATIKA MASTERS ULIZOBARIKI WATOTO WAKO MWAKA 2021, NIMERUDI KUKUSHUKURU MUNGU! HAKIKA NI NEEMA YAKO NA UPENDO WAKO. AHSANTE YESU.
@alexlitama48733 жыл бұрын
Hongereni sanaa,watumishi Mungu awabarikini sana mzidi kumtumia Mungu kwa namna hiyo
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, asante sana
@irenemwakajinga94923 жыл бұрын
Mungu awabariki mno
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, tunashukuru
@paschalnjige54779 ай бұрын
Nabarikiwa sana na huu Wimbo
@danierisuprahmwelemo32603 жыл бұрын
Mngu awabalik sana🙏🙏🙏
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amina
@imanimwakijolo49513 жыл бұрын
Hongereni sana watumishi,. Kazi nzuri sana
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu sana
@happyswai20092 жыл бұрын
Wimbo mzuri unanipa nguvu ya kumshukuru Mungu hata kwenye magumu,mbarikiwe sana
@wemaeliaugustino-fk2jb Жыл бұрын
Wimbo naupenda sana huu❤
@kmlproduction26943 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@lilianmwangosi54793 жыл бұрын
Ameeeen
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Asante sana
@meshamshangu38852 жыл бұрын
Ameni
@namsifumaduhumwita24952 жыл бұрын
Leo tena oooh pasipo mkono wako Mwokozi kamwe nisingeweza
@lilianmwambatula32813 жыл бұрын
Powerful message ....Mungu nipe kushukuru na Mimi...😭😭
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Amen, amen, amen
@anoldissangya1458 Жыл бұрын
The song. I remember mliuimba kanisani that day I felt crying.
@marthasokolo49033 жыл бұрын
Kazi nzuri wapendwa
@edenchoirtabatamoravian69053 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu sana, Asante dada
@adamjapharymwakyusa63613 жыл бұрын
Nawapenda sana had nashindwa niseme nn mungi awlinde awpe amani ya kudumu mzidi kumtumikia yeye