Da nmecheka saaana, Eliudy anajua sana na nnachompenda yaan story zina mwanzo kati na mwisho......... mpangilio wa matukio kwa mtiririko unaofaaaaa
@siloomar76992 жыл бұрын
Lakn eliud alikuwa ndo mwanzoo..hawajui 2
@anitharenard96762 жыл бұрын
Kwenye hii show huyu jamaa ndio aliua kuliko wote
@vicentmlumba5912 жыл бұрын
Big up sanaaa broo
@user-wr6lc3jz6g2 жыл бұрын
Mashalillah leo mko vzr camera hadi sauti ❤👏
@eliabeliud4902 жыл бұрын
Miaka Mia was jina wa Mbeya mwenzangu miaka Mia Kaka Nakukubali 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mussaathuman87642 жыл бұрын
Kuna mtu nilimskia akisema kua eti eliud ndo aliatakiwa kua mshindi wa kwanza..et ni kweli!!?
@anjelamassawe89972 жыл бұрын
Ndio
@rahemaheri16152 жыл бұрын
Ndio
@stevemwandambo587 Жыл бұрын
kwani we unaoje
@faridadumasalhathoseni Жыл бұрын
Nikweli ila tu yule kijana anaongea English cyaani walitaka wamuweke msomi
@SophyDeamo10 ай бұрын
Ndio
@NuruyaYesuDuniani11 ай бұрын
Eliud siku iliyo zaliwa nilikuona sema ulishindwa kufungua macho ukaanzaa kuliaaaaaaa nakupendaa sana Yesu ndiye mchungaji mwema
@lulumussa64582 жыл бұрын
Huyu ndo comedy wang
@peterjr80732 жыл бұрын
nonga like kama na wewe ulisubili kwa hamu sanaa hii show ya eliud bro kaua sanaaa
@jonesraphael59842 жыл бұрын
Nonga ndonn
@nkundamilinga89022 жыл бұрын
Jamaa mungu kamjalia sana anaweza kuchekesha
@bulugubujashi63782 жыл бұрын
Huyu ndio comedian mkubwa Tz kwasasa ambaye ninamuelewa sana
@seserasamson748 Жыл бұрын
Sahihi kabisa kaka
@luganomwakyusa76972 жыл бұрын
Coy nakukubali kwa kuibua vipaji
@queenandchill912 жыл бұрын
ELIUD ulitakiwa uwe Mshindi Number 1💗💗.....MBEYA 🙌🏽
@issa_yusontv99532 жыл бұрын
Uyu mwamba alitakiwa kua mshindi wa kwanza
@jayn74902 жыл бұрын
Aki for sure that day I was disappointe
@issa_yusontv99532 жыл бұрын
For sure ....ataukiangalia kazi zao utagundua kua eliud nimkali sana
@panchovalentino59222 жыл бұрын
Kabisaaa
@shukultumain85482 жыл бұрын
Jamaa warimfanyia. Hujuma2 aritakiwa achukuwe tuzo namba 1 xema bx2
@issa_yusontv99532 жыл бұрын
@@nationalbeautiful sio kweli wapi ama nawewe ndo wale wale tu
@mashacharles18762 жыл бұрын
Eliud kazi nzuri sana
@erickmbilinyi20562 жыл бұрын
All in All jamaa wa Alex kado anajua
@abelharry_tz2 жыл бұрын
Huyu mtu Ni mwishoo 🔥🔥🔥 big up MC ELIUD
@nyamwinukankwera37492 жыл бұрын
Kabisaa
@panchovalentino59222 жыл бұрын
Eliud bhana fundiii saaana 😁😁🤣🤣😆😆👏👏🔥🔥💪💪💪🙌😂😂💥💥🔥🔥
@kpetres28722 жыл бұрын
Eliud hawezekaniki, ni balaa huyu mtu
@davidngowi15342 жыл бұрын
Fantastic bro
@jozmikeofficial53472 жыл бұрын
Mbeya boy mwaisa alikiwasha
@lareineminah13532 жыл бұрын
Huuu anajuwa sana bwana weeee😍😍😍😍
@azaboicomedy2 жыл бұрын
Tuliisubiri kwa HAMU
@mr.nonino36292 жыл бұрын
this guy is genius Story teller in Tanzania, what a great comedian🙌🙌🙌.
@princebarakhagoba55362 жыл бұрын
We jamaa nakubr sana
@asaphnehemiah53082 жыл бұрын
Tuwakilisheee vyemaa from southern highland!!! 💪💪💪💪💪
@maulidsadick83282 жыл бұрын
Hahahahahha eliud unajua sana bro! Keep it up!
@essahsaimonmwalwega6097 Жыл бұрын
Najisikia vizuri kuona unatuwakilisha vema....hongera sana kakaangu
@counselor_kibonde2 жыл бұрын
Noma sana
@phabianjohn29632 жыл бұрын
Hongera Sana Eliud mc kweli una kipaji hongera Sana umenitoa stress za maisha!
@gradnessshitindishitindi48812 жыл бұрын
Eliud nakupenda sana kakaangu! Home sweet home!
@aidandanda16042 жыл бұрын
maqn kaka
@shabanially46012 жыл бұрын
Huyu ndo best comedian kwa Sasa hv tanzania haijawhi kutokea a very good story teller
@seserasamson748 Жыл бұрын
Sahihi sana,amewapita wote hadi sasa
@khadijanjama87212 жыл бұрын
Unajua mwanangu hadi unakera 😃😃😃😃😃😃😃
@eliuselias38972 жыл бұрын
Huyu jamaa alistahili namba moja walimchakachua
@gradnessshitindishitindi48812 жыл бұрын
Kakaangu ukifika mbeya ntaomba nkuone jaman me npo kyela
@queengervas11382 жыл бұрын
Unajua sana hongera
@amosandrea2 жыл бұрын
Uchekeshaji ni kazi kubwa sana tofauti na watu wanavyofikiria. Unatakiwa kuwa msomaji wa mazingira na mfuatiliaji mzuri wa mambo au mada unazotaka kutembea nazo. Ila jamaa ni mzuri.
@nasrynassb20082 жыл бұрын
Tunaomb na ya haleluya
@husnamfuko61362 жыл бұрын
Nilikuwa naitafuta hii ya Eliud, 🤔🤔👏👏
@kabongahamisi5002 жыл бұрын
Ata mm
@johnenos2332 жыл бұрын
Huyu jamaa ndo alikuwa mshindi wa kwanza tukizingatia kanuni za uchekeshaji... anaelezea story zenye puch lines na sio kutamka sentensi tu
@daudlangson56392 жыл бұрын
Ni kwel kabisa Ogapa sana mtu anabadilisha stori ya kawaida tu na kuwa kichekesho yaan namna anavyoiwasilisha na kama c mchekeshaj unaweza kuongea stor hiyo hiyo na watu wasicheke
@simonmzazi80462 жыл бұрын
Tuache ûtani; Eliudi atakuwa msupa balaa... Iyo sauti yake, story telling na contents za maisha ya kawaida ya kila siku.... Zitamfanya afike mbali sana. He's more than just a standup comedian! 😂
@HappyMwaigwisya-ey3ws6 ай бұрын
Yes
@shabikiwamarioomhokole29242 жыл бұрын
Hi ndy niliyo kua naisubil kwa hamu kubwa
@nolbethkipaule7278 Жыл бұрын
Umetisha bro
@williammasawe15502 жыл бұрын
Katisha sana ila mnazingua tumen show zote basi
@greenkaroli20852 жыл бұрын
nenda ukumbini ulipie uchek show nzima
@azaboicomedy2 жыл бұрын
Tuliosubiri amtaje ALEX CARDO tujuane
@innocentmathias86682 жыл бұрын
😀😀hv ALEX CARDO yupo kwel au anazngua tu 😂
@audiphastangale18932 жыл бұрын
Innocent Mathias Alex Cardo ni jina la muigizaji (Character) film za mapigano nchini marekani kama vile Bolo young au Tom poh alikuwa ni sterling kwenye movie ya Blood sport 3
@azaboicomedy2 жыл бұрын
ALEX CARDO amesoma na ELIUD huko MBEYA
@ESTgroup4742 жыл бұрын
Tulikua tuna hisubiri kwa hamu 👌✌️
@denicnyalusi29862 жыл бұрын
Unyakyusa mwingi mwaisaaa nakubali
@ibrahimsadick61372 жыл бұрын
Eliudi yupo vizuri sana
@selemanichristopher71882 жыл бұрын
Uyu jamaa ananikumbushaga life la mbeya
@erickmbilinyi20562 жыл бұрын
mbona eliud mmechelewa kumueka mtandaoni
@reginakishenyi95332 жыл бұрын
Hahahahahha fundii Sana weusi wako saizi unang'aa😃😃😃😃😃🤣
@hamisahillary86152 жыл бұрын
Mule mule hhaaaa mbeya city stand up!! I love you home
@mkadinali_ent.2 жыл бұрын
Coy mzungu i like you broo, you never dissapoint
@eneaurio38352 жыл бұрын
Kumbe tupo weng ambao tulikua tunamngoja eliud
@mpendwalove43902 жыл бұрын
Huyu jamaa ni comedian kbs 😅😅😅
@cbegram61612 жыл бұрын
Nani anasubiria battle la mc madevu na eliudi
@victorpastory482010 ай бұрын
Dogo uku sawa mie nakukubali sana komaa
@mranybody38512 жыл бұрын
Eliud Ni balaaa
@azaboicomedy2 жыл бұрын
Ambao bando tunaitazama hii VIDEO MPAKA 2021 TUJUANE
@daudmaikomwakapoma2132 жыл бұрын
All the way from mbeya city big up naipenda mbeya
@joemosemediaproductions96672 жыл бұрын
I love your storyline your the best on stage you kill the show ninifan wako pia
@rosemarypoly96612 жыл бұрын
Tisha sana
@siloomar76992 жыл бұрын
Ila mnazngua mnatuma kdg kdogo sannna
@eliudablaham91762 жыл бұрын
Uliudi ninakutabiria makubwa
@lilymatoli71172 жыл бұрын
Hhhhha,eliud bna
@juliusmwiburi8117 Жыл бұрын
Nakkbal San broo eliud ww na ndalo nawafuatilia sanaa wanang
@HappyMwaigwisya-ey3ws6 ай бұрын
Kweliiii dharau pia zipo kwetu mbeya lakin mpaka upewe dharau ujue umeitafuta mwenyewe. Wanyenyekevu kwa mtu sahihi