Mchekeshaji ambae unachekesha kila lika ya watu kwasababu uchekeshaji wako siyo wa kutukana appreciate bro
@dorahmushi-we6tsАй бұрын
Kweli kabisa kuna yule mrefu mwembamba, jamani mh!! Cjui kalelewa wapi!!!
@agogomgagagigigogoАй бұрын
😂😂😂yaan kiukweli Eliud ndo comedian bora nchini japo watu wana mahaba na Leonardo hatukatai ni mambo ya nyota kuzidiana but huyu jamaa ni zaidi ,yaan kipindi kimeisha kwa yeye na mama tu bila kuja na alichokitunga huko na watu wamecheka kuanzia mwanzo mpaka mwisho😂😂😂
@neemamasimba298114 күн бұрын
Hakika , Eliud anatisha sana
@godfrey40255Ай бұрын
bro unajua commedy hakika tena ya kistaalab salute kubwa
@elbaricktv163220 күн бұрын
Eliudi anapenda sana manguo ya rangi ya kiini cha yai la kuku wa kienyeji😂😂
@vitalesjoelkabonda1393Ай бұрын
A very talented stand up comedian, hata hatumiii nguvu lakini watu wanavunja mbavu
@partypatriez4871Ай бұрын
Eliudi best comedy 😂😂
@dorahmushi-we6tsАй бұрын
Wenye mama zao jamaniiii, Mungu azidi kuwatunzia, cku izi nimeona sana vijana wakijivunia mama zao.❤
@BabrayKharfaniАй бұрын
Umetisha sana kwanza kuikataa.nyimbo.ya.babalao yani nobody is perfect saruti sana bro hii.from.cap town Ina.mawakubalisana
@AshaMwambaАй бұрын
Mungu Akita kukupa akuandiiki baruwaaaa
@semanajmvАй бұрын
Nani kama Mama. Umenikumbusha mama yangu, I owe her something
Uyu eliud Mungu anamuana mpumbavu kweli yani 😂😂😂😂😂
@DoraZachariaАй бұрын
Daah mpaka nmelia sana kaka uko vzr jmn
@omarymnuru8746Ай бұрын
Sauti iko chini sana
@erickdeogratias7718Ай бұрын
Nani kama mama jamani l ❤ Mama anguu❤❤❤❤❤
@dorahmushi-we6tsАй бұрын
😂Anajiheshimu, anawaheshimu wasikilizaji wake wakubwa kwa wadogo, hatumii maneno machafu..kama yule, Mungu azidi kumuinua.
@Iampanther_Ай бұрын
Kuangalia show za eliud😂🎉it’s worth it
@bukurufreddy28Ай бұрын
Mze wa story za mama hahahahaa yani wwe tutakusikiya sanaaaa Kama kilasa angaliki hayi Mungu ampe Maisha marefu Mama yako ni big Bland Anajuwa linda Bland @Yere mmi nishabiki yenu wwe na mama😂😂😂😂😂
@getrudezawadi184Ай бұрын
mnafanana sana
@GevasiZabroni8 күн бұрын
Bro me mchekeshaji ningeomba company yako
@nicodemshello163Ай бұрын
Umeonyesha Upendo mkubwa Kwa mama HONGERA KIJANA
@ElshadaiconsolateurАй бұрын
Bwana mkubwa Eliud tuko pamoja huku DrCongo
@janethmarealle359428 күн бұрын
Hadi raha
@QUEENBEEOGАй бұрын
Mnacheka mama wawenzenu😂😂
@israeluronu9958Ай бұрын
Mnafanana hadi kucheka jmn😂😂😂 raha sana
@fatmamrihani6828Ай бұрын
Mimi ilo busuu lakoo tuuuu😂😂
@NuruNgolleАй бұрын
Mungu usimusche kakaangu ndio nguzo yako.kumbuka nilikuandikia toka mko kugombaniana no
@minaelnathanael1846Ай бұрын
Watanzani ka! Yaani hii ya kijanja hovi comments ni chache hivi haaa. GONGA LIKE NA GOTI LA MAMA hapa
@more_hundreds_TVАй бұрын
Nipateee likeee namm
@elikindomondo3569Ай бұрын
kaka eliudi una tuuwa mwaka huu dah
@theogeorge3773Ай бұрын
K.K.K -Kyimo Kijiji Kitulivu
@jacqlinemaganiko5108Ай бұрын
wow!🥰
@craty_01Ай бұрын
Daaah Rest In Peace mama
@user-pf3zc6kv5qАй бұрын
eliuid mbavu zangu😂😂😂
@JacksonRungweАй бұрын
Like zangu jamani leo nimekuwa wa kwanza
@RooneyYohanaАй бұрын
Yaan eliud hahahhaha tunakupenda
@festusbokoro1615Ай бұрын
Kama hutaki kutoa Hela Siri ni Moja tu uchukue video ama ucheke Sana
@JasinthaAlexАй бұрын
🔥🔥🔥
@richardsesa7494Ай бұрын
Eliud kilasiku tunamwona mama je baba yukowap
@franccoz94Ай бұрын
Eliud😂
@EdwinMedsonАй бұрын
If you have mother do samething for her
@UwimanaRabia-q3vАй бұрын
😂😂😂
@jaxjaxon8838Ай бұрын
Eti analia😢
@TetekoOgАй бұрын
Eliudi we bro unajua natak ck Moja niwe kama ww
@justinmganiwa2790Ай бұрын
Naona kaona dawa ya mkopo
@gideongerald2846Ай бұрын
👍👍👍
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
mi sijasikia nisiwe mnafiki
@EllybenyАй бұрын
😅😅😅😅 ❤❤❤❤
@edsonisrael8996Ай бұрын
Nunueni camera yenye HD mnaboaa
@benshark3212Ай бұрын
Hata wakodishe tu
@QUEENBEEOGАй бұрын
Nunua simu nzuri bby😂😂
@irenekarume1470Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@masangalitzАй бұрын
WEWE MUUNI HAPO NDIO UNACHEKESHA HIVYOOO 😁😁😁😁😁😁
@user-iz9ci4rs3dАй бұрын
😅😅😅😅
@adamsanga-g8xАй бұрын
Aa,
@noahmadali7150Ай бұрын
Sauti mbovu video quality mbovu shida nn cjui
@Qnn_iyАй бұрын
Kwani nyie mnatumia simu gani?
@Qnn_iyАй бұрын
Labda simu zenu
@noahmadali7150Ай бұрын
Kher uko ulimwengu gan ndg
@QUEENBEEOGАй бұрын
Simu Yako bby😂😂😂
@kahenatz3594Ай бұрын
Sadaka buku unatunza comedian 100,000
@geofreyexaut5862Ай бұрын
Uwezi kutuchagulia moyo wa mtu
@geofreyexaut5862Ай бұрын
Wako wanaopeleka 100000 kanisani home watoto awana chakula
@JohnMadusaАй бұрын
Hahahhahahahah ukwel mtupu
@more_hundreds_TVАй бұрын
Ww unatoa tsh ngap
@anuaryyusuph9705Ай бұрын
hiyo sadaka haina kikomo hata mia inafaa pia komed chochote ulicho nacho sasa hivi manbii mmekua fek we mpaka airin woya ety ni pasta hizo sadaka atatoa nani na watu wanajua ni mpigaji au anaigiza ili apate pesa