No video

ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA

  Рет қаралды 68,280

Eliud Samwel

Eliud Samwel

Күн бұрын

Пікірлер: 89
@Novath_dugange.LivingGod
@Novath_dugange.LivingGod Ай бұрын
Mchekeshaji ambae unachekesha kila lika ya watu kwasababu uchekeshaji wako siyo wa kutukana appreciate bro
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
Kweli kabisa kuna yule mrefu mwembamba, jamani mh!! Cjui kalelewa wapi!!!
@agogomgagagigigogo
@agogomgagagigigogo Ай бұрын
😂😂😂yaan kiukweli Eliud ndo comedian bora nchini japo watu wana mahaba na Leonardo hatukatai ni mambo ya nyota kuzidiana but huyu jamaa ni zaidi ,yaan kipindi kimeisha kwa yeye na mama tu bila kuja na alichokitunga huko na watu wamecheka kuanzia mwanzo mpaka mwisho😂😂😂
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 14 күн бұрын
Hakika , Eliud anatisha sana
@godfrey40255
@godfrey40255 Ай бұрын
bro unajua commedy hakika tena ya kistaalab salute kubwa
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 20 күн бұрын
Eliudi anapenda sana manguo ya rangi ya kiini cha yai la kuku wa kienyeji😂😂
@vitalesjoelkabonda1393
@vitalesjoelkabonda1393 Ай бұрын
A very talented stand up comedian, hata hatumiii nguvu lakini watu wanavunja mbavu
@partypatriez4871
@partypatriez4871 Ай бұрын
Eliudi best comedy 😂😂
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
Wenye mama zao jamaniiii, Mungu azidi kuwatunzia, cku izi nimeona sana vijana wakijivunia mama zao.❤
@BabrayKharfani
@BabrayKharfani Ай бұрын
Umetisha sana kwanza kuikataa.nyimbo.ya.babalao yani nobody is perfect saruti sana bro hii.from.cap town Ina.mawakubalisana
@AshaMwamba
@AshaMwamba Ай бұрын
Mungu Akita kukupa akuandiiki baruwaaaa
@semanajmv
@semanajmv Ай бұрын
Nani kama Mama. Umenikumbusha mama yangu, I owe her something
@user-fm9gc5wt2c
@user-fm9gc5wt2c Ай бұрын
Mungu akubarik sana kaka kwa Kaz nzur jaman❤❤❤❤
@GevasiZabroni
@GevasiZabroni 8 күн бұрын
Bro mungu akulinde na akuongezee kibal kwa watu
@MteuleMabuku
@MteuleMabuku Ай бұрын
Kiongozi SAM ELIUDI, Nakutafuta
@user-iq7xj3gz5j
@user-iq7xj3gz5j Ай бұрын
Like huwa mnafanyiaga nn haya nipeni na mimi
@user-wi2td1lv6e
@user-wi2td1lv6e Ай бұрын
Uroho tu kuoga aaaaah 😁😁
@bongosimulizi
@bongosimulizi 26 күн бұрын
kzfaq.info/get/bejne/l9Rop7CI18DOppc.htmlsi=DsiBMortoyex1fi_
@medeljoram5325
@medeljoram5325 Ай бұрын
😂😂😂 💥💥💥💥 Unajua Saanaaaaaa! A blessed child 🎉
@RynoFiree
@RynoFiree Ай бұрын
Sauti inakua chini haisikiki vizur Kaka Eliud
@MoreenMichaelmichael
@MoreenMichaelmichael Ай бұрын
😂😂😂😂et mnacheka mama wa mwenzenu
@NdekejaKamuli-sh5pe
@NdekejaKamuli-sh5pe Ай бұрын
Amen. Eliud wew the best and humble
@Shadia544
@Shadia544 Ай бұрын
😂😂😂😂😂Eliud jamaniii 😂😂😂walifu wakubwa 😂😂😂😂
@martinemayunga2357
@martinemayunga2357 16 күн бұрын
Unajua sana mwamba
@Onesmoboyz
@Onesmoboyz Ай бұрын
🎉🎉hii nzur sana 🎉❤
@nathanmmasi3890
@nathanmmasi3890 Ай бұрын
Uyu eliud Mungu anamuana mpumbavu kweli yani 😂😂😂😂😂
@DoraZacharia
@DoraZacharia Ай бұрын
Daah mpaka nmelia sana kaka uko vzr jmn
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 Ай бұрын
Sauti iko chini sana
@erickdeogratias7718
@erickdeogratias7718 Ай бұрын
Nani kama mama jamani l ❤ Mama anguu❤❤❤❤❤
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
😂Anajiheshimu, anawaheshimu wasikilizaji wake wakubwa kwa wadogo, hatumii maneno machafu..kama yule, Mungu azidi kumuinua.
@Iampanther_
@Iampanther_ Ай бұрын
Kuangalia show za eliud😂🎉it’s worth it
@bukurufreddy28
@bukurufreddy28 Ай бұрын
Mze wa story za mama hahahahaa yani wwe tutakusikiya sanaaaa Kama kilasa angaliki hayi Mungu ampe Maisha marefu Mama yako ni big Bland Anajuwa linda Bland @Yere mmi nishabiki yenu wwe na mama😂😂😂😂😂
@getrudezawadi184
@getrudezawadi184 Ай бұрын
mnafanana sana
@GevasiZabroni
@GevasiZabroni 8 күн бұрын
Bro me mchekeshaji ningeomba company yako
@nicodemshello163
@nicodemshello163 Ай бұрын
Umeonyesha Upendo mkubwa Kwa mama HONGERA KIJANA
@Elshadaiconsolateur
@Elshadaiconsolateur Ай бұрын
Bwana mkubwa Eliud tuko pamoja huku DrCongo
@janethmarealle3594
@janethmarealle3594 28 күн бұрын
Hadi raha
@QUEENBEEOG
@QUEENBEEOG Ай бұрын
Mnacheka mama wawenzenu😂😂
@israeluronu9958
@israeluronu9958 Ай бұрын
Mnafanana hadi kucheka jmn😂😂😂 raha sana
@fatmamrihani6828
@fatmamrihani6828 Ай бұрын
Mimi ilo busuu lakoo tuuuu😂😂
@NuruNgolle
@NuruNgolle Ай бұрын
Mungu usimusche kakaangu ndio nguzo yako.kumbuka nilikuandikia toka mko kugombaniana no
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Ай бұрын
Watanzani ka! Yaani hii ya kijanja hovi comments ni chache hivi haaa. GONGA LIKE NA GOTI LA MAMA hapa
@more_hundreds_TV
@more_hundreds_TV Ай бұрын
Nipateee likeee namm
@elikindomondo3569
@elikindomondo3569 Ай бұрын
kaka eliudi una tuuwa mwaka huu dah
@theogeorge3773
@theogeorge3773 Ай бұрын
K.K.K -Kyimo Kijiji Kitulivu
@jacqlinemaganiko5108
@jacqlinemaganiko5108 Ай бұрын
wow!🥰
@craty_01
@craty_01 Ай бұрын
Daaah Rest In Peace mama
@user-pf3zc6kv5q
@user-pf3zc6kv5q Ай бұрын
eliuid mbavu zangu😂😂😂
@JacksonRungwe
@JacksonRungwe Ай бұрын
Like zangu jamani leo nimekuwa wa kwanza
@RooneyYohana
@RooneyYohana Ай бұрын
Yaan eliud hahahhaha tunakupenda
@festusbokoro1615
@festusbokoro1615 Ай бұрын
Kama hutaki kutoa Hela Siri ni Moja tu uchukue video ama ucheke Sana
@JasinthaAlex
@JasinthaAlex Ай бұрын
🔥🔥🔥
@richardsesa7494
@richardsesa7494 Ай бұрын
Eliud kilasiku tunamwona mama je baba yukowap
@franccoz94
@franccoz94 Ай бұрын
Eliud😂
@EdwinMedson
@EdwinMedson Ай бұрын
If you have mother do samething for her
@UwimanaRabia-q3v
@UwimanaRabia-q3v Ай бұрын
😂😂😂
@jaxjaxon8838
@jaxjaxon8838 Ай бұрын
Eti analia😢
@TetekoOg
@TetekoOg Ай бұрын
Eliudi we bro unajua natak ck Moja niwe kama ww
@justinmganiwa2790
@justinmganiwa2790 Ай бұрын
Naona kaona dawa ya mkopo
@gideongerald2846
@gideongerald2846 Ай бұрын
👍👍👍
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
mi sijasikia nisiwe mnafiki
@Ellybeny
@Ellybeny Ай бұрын
😅😅😅😅 ❤❤❤❤
@edsonisrael8996
@edsonisrael8996 Ай бұрын
Nunueni camera yenye HD mnaboaa
@benshark3212
@benshark3212 Ай бұрын
Hata wakodishe tu
@QUEENBEEOG
@QUEENBEEOG Ай бұрын
Nunua simu nzuri bby😂😂
@irenekarume1470
@irenekarume1470 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@masangalitz
@masangalitz Ай бұрын
WEWE MUUNI HAPO NDIO UNACHEKESHA HIVYOOO 😁😁😁😁😁😁
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d Ай бұрын
😅😅😅😅
@adamsanga-g8x
@adamsanga-g8x Ай бұрын
Aa,
@noahmadali7150
@noahmadali7150 Ай бұрын
Sauti mbovu video quality mbovu shida nn cjui
@Qnn_iy
@Qnn_iy Ай бұрын
Kwani nyie mnatumia simu gani?
@Qnn_iy
@Qnn_iy Ай бұрын
Labda simu zenu
@noahmadali7150
@noahmadali7150 Ай бұрын
Kher uko ulimwengu gan ndg
@QUEENBEEOG
@QUEENBEEOG Ай бұрын
Simu Yako bby😂😂😂
@kahenatz3594
@kahenatz3594 Ай бұрын
Sadaka buku unatunza comedian 100,000
@geofreyexaut5862
@geofreyexaut5862 Ай бұрын
Uwezi kutuchagulia moyo wa mtu
@geofreyexaut5862
@geofreyexaut5862 Ай бұрын
Wako wanaopeleka 100000 kanisani home watoto awana chakula
@JohnMadusa
@JohnMadusa Ай бұрын
Hahahhahahahah ukwel mtupu
@more_hundreds_TV
@more_hundreds_TV Ай бұрын
Ww unatoa tsh ngap
@anuaryyusuph9705
@anuaryyusuph9705 Ай бұрын
hiyo sadaka haina kikomo hata mia inafaa pia komed chochote ulicho nacho sasa hivi manbii mmekua fek we mpaka airin woya ety ni pasta hizo sadaka atatoa nani na watu wanajua ni mpigaji au anaigiza ili apate pesa
@FazohMedia
@FazohMedia Ай бұрын
Sauti ipo chini sana
@kesphaanyitike7751
@kesphaanyitike7751 Ай бұрын
😂😂😂
@luluray2115
@luluray2115 Ай бұрын
😂😂😂
TAZAMA SHOW YA ELIUD MBEYA, (PART 2)
13:55
Eliud Samwel
Рет қаралды 117 М.
MAISHA BAADA YA KUFELI SHULE - mc Eliud
17:18
Eliud Samwel
Рет қаралды 551 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 49 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,9 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
LUKUVI NGORONGORO  AUSEMA UJUMBE ALIOAGIZWA NA RAIS SAMIA
5:54
Mwananchi Digital
Рет қаралды 6 М.
ROHO INAUMA SANA DADA YANGU ANATONGOZWA KIRAHISI - MC ELIUD
10:51
Wasafi Media
Рет қаралды 337 М.
KIPOTOSHI: MASKINI JEURI / AKIACHWA / AKIPANDA DALADALA.
13:13
MC Eliud Samwel akiwavunja watu mbavu kwenye mkesha wa THE ICON 2023 | CCC UPANGA
21:43
ALICHOKIFANYA MC ELIUD MBEYA
29:55
Eliud Samwel
Рет қаралды 180 М.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 293 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 49 МЛН