No video

EXCLUSIVE: ABDU KIBA Afunguka kwa UCHUNGU MBOSSO kuzaa na MKE wake

  Рет қаралды 108,994

Rick Media

Rick Media

Күн бұрын

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Abdukiba #Mbosso

Пікірлер: 83
@kaizakuyava9672
@kaizakuyava9672 2 жыл бұрын
Abdukiba umeonyesha u gentleman wa top Level. Big up sana bro
@nancymalemba8139
@nancymalemba8139 Жыл бұрын
Nimependa majibu yako bro you are a man and a half 💪
@wiseman6276
@wiseman6276 2 жыл бұрын
Anamajibu yakiuwana ume sana uyu mwamba like nyingi sana kwako bro
@yusramadhani149
@yusramadhani149 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah hongera nime mpenda sana 🥰🥰🥰 Allah amu ongoze majibu mazuri sana
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Nimekupenda bure Abdukiba, umetumia busara sana kujibu maswali🥰
@cholocaptain1623
@cholocaptain1623 2 жыл бұрын
Inaumiza sana imenikuta najua maumivu yake najua unakuaje kwanza unakosa aman unaic unachekwa na kila MTU kumbe so kwer unakuwa na maswali meng ya kujiuliza mungu tutie wepes tusahaulishe
@motasimali9053
@motasimali9053 2 жыл бұрын
Pole kaka ndio mitihan ya kimaisha
@OmanCom-ky8tn
@OmanCom-ky8tn 2 жыл бұрын
Abdukiba unabusara ssana jamani ila nakuelewa sana kwenye nyimbo zenu
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 2 жыл бұрын
Very calm and wise responses
@paulrichard4696
@paulrichard4696 2 жыл бұрын
daah jamaa ana busara saaana kajibu kiume kabisa✊🏽
@hakizimanaaishwarya20
@hakizimanaaishwarya20 2 жыл бұрын
Shukran kwa jibu sahihi
@ruthiecharlz898
@ruthiecharlz898 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu jamaa interview zake anajua kujibu na kujielezea anapihojiwa
@shiru_choppa7654
@shiru_choppa7654 2 жыл бұрын
Alaah!kumbe huyu ana akili nyingi vile Abdu kama Abdu majibu zimeenda shule"tamthing"🤣🤣💕💕
@saidchombo5952
@saidchombo5952 2 жыл бұрын
Wewe ni mwanaume big up sana
@razackamimu4645
@razackamimu4645 2 жыл бұрын
Cool
@hellenpaul2149
@hellenpaul2149 2 жыл бұрын
Abdu your right na nyie ni wanaume pia nawapenda Sana you & mbosso some times girls tunakosea pia upendo wenu udumu wewe na mbosso
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Umejibu vizur bro😍
@glorybrayankessi7002
@glorybrayankessi7002 2 жыл бұрын
Anaonekana kbx anaumia ila mwanamke akiamua kukushika pabaya anakushika kisawasawa
@arleneilunga9202
@arleneilunga9202 2 жыл бұрын
Katumiya busara ya kingdom 🥰
@zakianzai6854
@zakianzai6854 2 жыл бұрын
Abdukiba asante yaani wewe mtumzima kabisaa
@travellingandadventures2549
@travellingandadventures2549 2 жыл бұрын
Jibu la kiume sana iloo.
@yusufm1
@yusufm1 2 жыл бұрын
Mdogo wangu umejibu kiutu uzima sana
@mwakashee3689
@mwakashee3689 2 жыл бұрын
Nakupongeza sana Abdulkiba kwa ujasiri wako..
@suleimanrodriguez9484
@suleimanrodriguez9484 2 жыл бұрын
Pole saana bro
@christinaonditi9341
@christinaonditi9341 2 жыл бұрын
Yani Abdul Kiba wewe ni mwanaume,nimependa ulivojibu kiume na kiroho safi,umeamini mnoso alichokisema.lkn ingekua sisi wanawake hapo,kisingeelewa kabisa
@yusrasalum
@yusrasalum 2 жыл бұрын
Abdu kaumia sana na mboso yani hata jibu yake mpaka akune kichwa uyo ex wife abdu kafanya kusudi! Pole sana
@salehmwarabu6017
@salehmwarabu6017 2 жыл бұрын
Walikuwa washaachana is not big issue
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 2 жыл бұрын
Tatizo wanaume wakumuacha mwanamke wanapenda asipdwe namwingine
@salehmwarabu6017
@salehmwarabu6017 2 жыл бұрын
@@yousramutwale2463 hahahahahaaa
@faridajohn5589
@faridajohn5589 2 жыл бұрын
Shoo. Niliielewasana jeneza nkt chakawaida sana niliinjoi iludiwe. Jamani
@walterchilumba8302
@walterchilumba8302 2 жыл бұрын
Umeongea kiutu uzima 🤜🤛
@husseinmaula5914
@husseinmaula5914 2 жыл бұрын
Dawa ya mwanamke anaefanya hivyo ni kumfungashia virago vyake aiwezekani upambane Kwa jasho alafu thamani Yako isiwepo.
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 2 жыл бұрын
Abdu Kiba anaonekana bado anampenda mke wake kutokana na alivyojibu hapo mwisho 😄
@elishaelisha6755
@elishaelisha6755 2 жыл бұрын
Good
@sophiarajabu8500
@sophiarajabu8500 2 жыл бұрын
Dahh huyu mwanaume wa shoka
@parfaitkale2503
@parfaitkale2503 2 жыл бұрын
Nimekujibu fresh
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 жыл бұрын
Àliye kuw Sio mkee mu ulizaji una uchochezi ndani yko
@Djroja_mo
@Djroja_mo 2 жыл бұрын
Mbona bongo Move wana fanya wangeanza kukataza kitambo
@phinaswai4718
@phinaswai4718 2 жыл бұрын
Bongo muvie huwa inakua ni story na inamafundisho pia. Na huwa wanavibal kabisa,
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Vizuri
@salhayahya4521
@salhayahya4521 2 жыл бұрын
Nioe mm too jmn maan nakupendaga
@jackyluns8224
@jackyluns8224 2 жыл бұрын
Kwani huyo Dada aliachana na abdukiba
@user-rd7jt1vi5x
@user-rd7jt1vi5x 2 жыл бұрын
Kitambo sana
@fatemazanzibar877
@fatemazanzibar877 2 жыл бұрын
Umeongea vizr sna
@lailaoman3856
@lailaoman3856 2 жыл бұрын
Minaona kaongeya bumba sasa mkewe au alikuwa mkewe,maana nipo njia panda
@hadijaabdallah8614
@hadijaabdallah8614 2 жыл бұрын
Useme aliyekua mke wako kwani si mlishaachana. Weka hicho kitu clear Kwamba mlishaachana. Kila mtu afanye kinachompa furaha
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Mboso kaongo asijue km alikuwa mke wa Abdu wakat ndoa yao ilikuwa publick kbsaaaa
@salmahabdallah7203
@salmahabdallah7203 2 жыл бұрын
Na ni marafiki wakubwa hawa
@user-rd7jt1vi5x
@user-rd7jt1vi5x 2 жыл бұрын
Walisha achana hao
@mrs2918
@mrs2918 2 жыл бұрын
wanawake wanahitaji maombi mengi sana yaani ukimbie ndoa yako ukazae na wanaume tofauti mpaka uishie kuwa 11th baby mama
@khadijamohamedy4492
@khadijamohamedy4492 2 жыл бұрын
Mtihan mkubwa japo sio wote
@dianarobert3989
@dianarobert3989 2 жыл бұрын
Alizaa akiwa nje ya ndoa siyo kwamba alikimbia ndoa
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 жыл бұрын
Sasa huyu mbona huyo mke hakuishi naye hata miezi sita wakaachana mnapenda kuchonganisha watu mtalaaniwa
@user-eo7ug2tg9r
@user-eo7ug2tg9r 2 жыл бұрын
Mmekosa adabu..bendera waifanya tishu
@aminasalim8708
@aminasalim8708 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣shwaiin
@vennyrichard2139
@vennyrichard2139 2 жыл бұрын
Hahaaaa nimechek km mazur daaa
@dianarobert3989
@dianarobert3989 2 жыл бұрын
😂😂😂Umeona ipo juu ya mlingoti hapo akili huna walah
@shaneshane4175
@shaneshane4175 2 жыл бұрын
Sio mkewe bwana mbona hivyo ukishindwa kuzalisha bas acha watu wazalishe naulikua ushamwacha sasa nini
@idayamataifakey7813
@idayamataifakey7813 2 жыл бұрын
Usijali
@user-eo7ug2tg9r
@user-eo7ug2tg9r 2 жыл бұрын
Mnaliana sikuhizi😂😂😂
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 2 жыл бұрын
Lakin Mimi sioni chaajabu mboso kuzaa nae sanab nyie wanaume nimalaya wakwanza duniani nawasaliti kwenye ndoa zenu
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 2 жыл бұрын
Kwa mimi mfumo wa simba day nimependa kwa sababu mbona majeneza ya wasanii yalifanjwa mengi so
@dadamuebrania1539
@dadamuebrania1539 2 жыл бұрын
Nasema hivi ,wanaomjaji mtu kutumia jeneza na msalaba vilivyotengenezwa kwa miti na mikono ya wanadamu hao si Wakristo, wanaitwa waandishi wa mafarisayo ambao Yesu Kristo aliwaita WANAFIKI
@badmanno.1650
@badmanno.1650 2 жыл бұрын
Thamthing ndio nn ss 😭😁
@nashuu3299
@nashuu3299 2 жыл бұрын
Something
@christercheru8328
@christercheru8328 2 жыл бұрын
Kamuulize mkeo...kachepuka .mdangaji
@user-rd7jt1vi5x
@user-rd7jt1vi5x 2 жыл бұрын
Kachepuka vipi wakati walisha achana kitambo sana
@tusekilemwakoba1348
@tusekilemwakoba1348 2 жыл бұрын
Duu!!
@jamiljamal5067
@jamiljamal5067 2 жыл бұрын
kumbuka ulipotoka
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 2 жыл бұрын
Ww nawe ongea kwani unamuogopa huyo mbosso?🙄
@user-rd7jt1vi5x
@user-rd7jt1vi5x 2 жыл бұрын
Walishana achana hao hata wakati huyo mke wake anazaa na mbosso yeye tayari walishana achana
@iddykayembe727
@iddykayembe727 2 жыл бұрын
Busara ipo
@ruthkasumba7739
@ruthkasumba7739 2 жыл бұрын
Wabahil hawa ndio maan wanawake zao hawatulii naoo lol😂😂😂😂😂
@opensessionwithjulie273
@opensessionwithjulie273 2 жыл бұрын
Thamthing 🤣🤣🤣
@blackhandsome_
@blackhandsome_ 2 жыл бұрын
Ukubwa ndio huoo
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 2 жыл бұрын
Nani kaona mwanamke kavaa gauni jeupe..
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 2 жыл бұрын
Mimi
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 2 жыл бұрын
Yani we ni chizi nimecheka
@MikiGermany210
@MikiGermany210 2 жыл бұрын
Umejibu vizuri ila bado kuongea haupo vizuri kitete kidogo
@aishaboko5146
@aishaboko5146 2 жыл бұрын
Sio mke ni mtalaka wake point of correction
@abdallahmwinyi2106
@abdallahmwinyi2106 2 жыл бұрын
watanzania tushiriki sensa kwa maendeleo yetu. sensa ya watu na makazi kuanzia 23 August 2022
@fredyleonardy6987
@fredyleonardy6987 2 жыл бұрын
Shiliki wewe mm kama wanakuja Bila hela hawanikuti
@noorynmohammedy6063
@noorynmohammedy6063 2 жыл бұрын
​@@fredyleonardy6987 🤣🤣🤣
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 10 МЛН
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 26 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 47 МЛН
Mbosso Shida
3:01
Parody Tv
Рет қаралды 23 М.
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 10 МЛН