No video

EXCLUSIVE INTERVIEW NA KIBU DENIS AKIZUNGUMZIA SAFARI YAKE YA MAISHA YA SOKA

  Рет қаралды 296,127

Simba SC Tanzania

Simba SC Tanzania

Күн бұрын

Пікірлер: 471
@chrissg4026
@chrissg4026 Жыл бұрын
Mashabiki tuchunge sana midomo yetu! Inawaharibu wachezaji wetu! Bora tujitahidi kufunga midomo yetu na kuwaachia benchi la ufundi na viongozi kuamua! Mashabiki tunapowakandia wachezaji wanaposhuka kiwango kidogo inawakatisha sana tamaa wachezaji wetu! Ona sasa Kibu tuliyekuwa tunamkandia amesharudi kwenye kiwango chake na juzi anatutoa kimasomaso! Lile shuti lilikuwa ni kombora la nyuklia💪
@joachimgolola62
@joachimgolola62 3 ай бұрын
Hakika midomo nitatizo.
@muttae2
@muttae2 Жыл бұрын
Ila Ahmed anajua kuhoji vizuri sana. Full utulivu na kumsikiliza mtu amalize then swali. Big up sana man.
@brianitunda6051
@brianitunda6051 Жыл бұрын
Interview nzuri sana, Mungu akutunze na kuzidi kukuza kiwango chako Kibu D.
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 Жыл бұрын
Mm nishabiki wa yanga lkn nimevutiwa kufuatilia interview ya kibu kutokana na changa moto alizokua akipitia,tuckate tamaa kwenye maisha,Kibu amenifunza kitu💪
@alfredirankunda3698
@alfredirankunda3698 Жыл бұрын
Mwenzenu niko hapa mwana yamga ila hii interview nimeipenda
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Jamaa anafaa kuwa wakara. Alitambua magarasa kule Ngara akamuelekeza walipo Wachezaji. Big up Kib Dider Drogba.
@joscoboy0
@joscoboy0 Жыл бұрын
Nimemkumbuka Kibu Denis Pale Kwenye timu Ya Young Boys Pale Kigoma Daah Bro Ulikuwa Level Nyingine Brother Niliona Mzuka Wako - Watu Walikuita Msuva..!
@dannydannizo8099
@dannydannizo8099 Жыл бұрын
nikiitazama na kuisikiliza hii interview namkumbuka Baraka Mpenja pale lunyasi baada ya Kibu kufunga goli la pili Baraka alisema "usimkatie mtu tamaa" Kibu ana kitu naomba mashabiki wenzangu wa simba tusimkatie tamaa"SIMBA NGUVU MOJA💪"
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Жыл бұрын
Sahihi
@frasiscobasigie-xo2qs
@frasiscobasigie-xo2qs Жыл бұрын
Sanatu wahasituna pambana
@danielndilili7525
@danielndilili7525 Жыл бұрын
Jamaa anakitu huyu nisehem tu ya mpra wat mwingine huwa unagoma ila ipo siku jamaa atazibitishat
@mrikongosi3151
@mrikongosi3151 Жыл бұрын
Sijawahi mkatia tamaa kibu
@vailethkihiyo56
@vailethkihiyo56 Жыл бұрын
Sijawah mkataa kibu maan mpira unamkataa kila mmoja
@pacificalembegaspard7624
@pacificalembegaspard7624 Жыл бұрын
From black American I’m always proud of kibu d❤❤
@victoraugustino4832
@victoraugustino4832 Жыл бұрын
😂Where is black america?
@josiahmeivukie3246
@josiahmeivukie3246 Жыл бұрын
@@victoraugustino4832 😂😂😂
@josiahmeivukie3246
@josiahmeivukie3246 Жыл бұрын
Black yaa nyokwe! kwendraa
@alfredirankunda3698
@alfredirankunda3698 Жыл бұрын
From kwa Putin urusi magomeni nalipenda hili riha lenzetu la Kigoma 😂😂😂
@zundahbartazal4861
@zundahbartazal4861 Жыл бұрын
Keep It Up RastaMan..Umeitafuta fursa kwa juhudi zako..
@amosafrica2350
@amosafrica2350 Жыл бұрын
Hiyo game ya finali Kumuyamge na Eleven Stars naikumbuka nilikuwa Bukoba. Ilikuwaga gumzo mkoa mziama hiyo Eleven Stars ya Mutukula walikuwa ni Waganda watupu. Hongera Kibu
@omarswaleh6082
@omarswaleh6082 Жыл бұрын
Amebadilika sana yaonesha huyu kocha mbrazil ni mzuri sana wana simba tuweni na subra ikiwa kambadilisha kibo na kumfanya tegemeo la simba sio mchezo na mkubali
@stevejeremiah4497
@stevejeremiah4497 Жыл бұрын
Kuna ile unakuwa star wa kufunga magoli, lakini kuna ule ustar unakuwa the big star ukidondosha utopolo, One love Mha mwezangu
@Baba_p7295
@Baba_p7295 Жыл бұрын
Nakumbuka kipindi hicho upo team ya mtahani ukitwa jina la msuva daah umetoka mbali pambana bro 🔥🔥🔥
@costaaramu78
@costaaramu78 Жыл бұрын
ilikua wap!?
@victorwilliam8428
@victorwilliam8428 Жыл бұрын
Red Star ya Kasulu Mjini🎉🎉
@ericksumari6892
@ericksumari6892 Жыл бұрын
This one is ICONIC interview what a story
@muganyizifilbert2609
@muganyizifilbert2609 Жыл бұрын
Dah!; Mwambaa Kweli Huyuu Kibu Denis Prosper 💪💪💪💪.
@vumiliachacha1730
@vumiliachacha1730 Жыл бұрын
Kiukweli mdogo wangu kibu nakupenda sana nilikuwa najisikia vibaya sana kwa kweliuliyokuwa unapitia,mimi binafsi nakuombeaga sana
@emanuelmbise2348
@emanuelmbise2348 Жыл бұрын
Every successful man has a painful story to tell and each painfull story has a successful ending,,,, hongera kibu umetokea mbali....
@chacha-255
@chacha-255 Жыл бұрын
watoto wa kishua waliovikuta wapo kwenye hilo kundi ?
@yassinmsabila6850
@yassinmsabila6850 Жыл бұрын
Very humble aise Huwa tunawakosea sana wachezaj kwasababu wenyew ndio wanajiandaa kuliko mfumo kuwaandaa .
@wilsongeorge1353
@wilsongeorge1353 Жыл бұрын
Huyo jamaa muongo sio mtu wa kigoma ni mkimbizi huyo amepata tu ulaia wa tanzania .leo kuwafunga yanga ndio amekua mungu wenu duuuu wewe fara kweli
@wilsongeorge1353
@wilsongeorge1353 Жыл бұрын
Mimi ni simba acheni kumpa sifa huyo jamaa hana chochte kile
@chengeson
@chengeson Жыл бұрын
@@wilsongeorge1353 pole sana african akuna mkimbizi hapa sote niwapitaji na machafuko yanapo tokea kwa ndugu zetu tusi wabague kwani kesho yako uijui
@africanentertainment2124
@africanentertainment2124 Жыл бұрын
@@wilsongeorge1353acha wivu wewe mbembe
@byaombeomary7996
@byaombeomary7996 Жыл бұрын
@@wilsongeorge1353 Roho mbaya ya nini kaka ? Hacha majungu kwenye mafanikio ya mwezako hayakusaidii kitu. Pambania ya kwako.
@mwajumaabdallah3254
@mwajumaabdallah3254 Жыл бұрын
Tuwavumilie wachezaji wetu,sometimes wanapitia kipindi kigumu cha uchezaji wao,hata maisha ya kawaida kwenye nyumba zetu baadhi ya wakati yanatetereka,tuwavumilie,i love u Simba❤❤
@teddymhagama611
@teddymhagama611 Жыл бұрын
umetuheshimisha kibu😍
@chrissg4026
@chrissg4026 Жыл бұрын
Kweli kabisa! Midomo yetu ndo inayowaharibu wachezaji wetu! Bora tujitahidi kufunga midomo yetu na kuwaachia benchi la ufundi na viongozi kuamua! Mashabiki wanapowakandia wachezaji wanaposhuka kiwango inawakatisha sana tamaa wachezaji wetu!
@justiniankamuli5259
@justiniankamuli5259 Жыл бұрын
Kweli kuanzia leo Kibu nmemsamehe na Mungu anisamehe nilikuwa namsema vibaya
@mmassadieudonnengomoya8607
@mmassadieudonnengomoya8607 Жыл бұрын
Kigoma akutokagi fara we are the best for everything 🙏🏾 keep going bra 👊🏾
@donaldmartin-ps2ig
@donaldmartin-ps2ig Жыл бұрын
Sawa kigoma hatoki fara lakin huyu kigoma ni mpitaj tu kibu a boy from Congo
@JaribiwaRungwe-nl6gf
@JaribiwaRungwe-nl6gf Жыл бұрын
licha ya kujituma kibu unanidhamu sana uwanjan sijawahi kukuona unamfokea mtu au mpinzani ukifanyiwa rafu
@lightnessgoodluck8123
@lightnessgoodluck8123 Жыл бұрын
Mpole sanaa
@simonmadiba2053
@simonmadiba2053 Жыл бұрын
No one can stop reggae
@aureusngonyani4299
@aureusngonyani4299 Жыл бұрын
Pongezi sana kibu, izo rasta juz umewachezesha rege pale kwa mkapa noumaa
@chrissg4026
@chrissg4026 Жыл бұрын
Duh! Bonge la Interview! Tamu sana! Yani hadidhi flani hivi amazing! Jamaa anajua sana kusimulia! Safi sana!
@samsonilengteng-oc4hp
@samsonilengteng-oc4hp Жыл бұрын
Kibu D Mungu akubariki sana na akupe afya njema 🙏🙏🙏
@judicateshuma3688
@judicateshuma3688 Жыл бұрын
Kibu kijana mstarabu sana Mungu akutunze
@mariatinda3264
@mariatinda3264 Жыл бұрын
Kibu dii hongera sanaa tunakup endaa Simba nguvu moja ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@conradmwingira684
@conradmwingira684 Жыл бұрын
Work hard Kibu Mungu ndiye mpaji
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Жыл бұрын
Ninachokipenda kwako dogo,ni nidhamu YAKO,utafika mbali Sana 🔥🔥🔥
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Жыл бұрын
Dah mshkaji yuko very hubble sura siyoroho mshkaji pisi shida hana kabisa mungu akubarik KIBU D interview iko moto sana
@josephkibasa6926
@josephkibasa6926 Жыл бұрын
Hongera sana Kibu Dennis Rasta man umetuheshimisha, Mungu aendelee kukupigania Uzidi kupiga hatua
@medardnhungwa685
@medardnhungwa685 Жыл бұрын
mzee wetu magori alitabiri utakuwa tishio afrika. naona maneno yake yanaenda kutimia. kibu upo vizuri sana pamoja na baadhi ya mashabiki wa simba kutaka kukutoa kwenye reli lakini umekuwa mtulivu. kibu utafika mbali sana
@modestebirindwa8693
@modestebirindwa8693 Жыл бұрын
Nyinyi wa Tanzania mna zarau sana kibu mkali tokea kigoma kwenye team Ya Young Boys Hata huyo Ezekiel rafiki yake wa team ya Aliance sio poa ni moto kuliko hata kibu mwenyewe….bahati nzuri yeye tupo nae hapa USA sasaivi
@thehunter5920
@thehunter5920 Жыл бұрын
Labda USA ya buza
@officialnadoboytz1005
@officialnadoboytz1005 Жыл бұрын
@@modestebirindwa8693 Eze hakuwa Tishio kama KIbu mzee tulio
@modestebirindwa8693
@modestebirindwa8693 Жыл бұрын
@@thehunter5920 we matako kweli kibu mwenyewe hana jua Eze sio level zake
@justiniankamuli5259
@justiniankamuli5259 Жыл бұрын
@@thehunter5920 atakua Usaliva Arusha
@gabrielmathias6445
@gabrielmathias6445 Жыл бұрын
kasulu moja nakukubali kaka kama nakuona ukiwa na RED STAR KASULU
@willembwilo8833
@willembwilo8833 Жыл бұрын
Kibu d mimi nimmoja yawatu ninae simama KILa Mahala kukutetea kuwa wewe nibonge lamchezaji sema vipindi vya mpito vipo kwa kila binadam. Mungu azidi kukublles kibu uwe na afya njema Ili uwashangaze wale watesi wako wote. Good luck kibu denis.🦁💪
@AmosSniper
@AmosSniper Жыл бұрын
Utakua umecheza fotbool,ndiyo bana unamtetea! Washangiliji hawawezi jua uwezo wa kibuD, mie Hadi Leo ninamkubali sana Sawa dogo,sema mikelele mingi ndiyo inamtoa kwny reli yule nae bonge la mchezaji
@nuhhumwakanyamale4771
@nuhhumwakanyamale4771 Жыл бұрын
Sure, I salute you
@GuerschomOmollo-wz9ly
@GuerschomOmollo-wz9ly Жыл бұрын
Mtoto wa nyumbani Kibu D💪✌️
@geraldmkusa7958
@geraldmkusa7958 Жыл бұрын
Safi sana mchezaji wetu
@EmmaPallanjo
@EmmaPallanjo Жыл бұрын
Kweli maisha ni safari ndefu nemeenjoy sana na kujifunza mengi kutoka kwenye live story ya Mwamba Kibu D ni bonge la stori
@user-dv4xw4mb4l
@user-dv4xw4mb4l Жыл бұрын
Kibu Denis from lubengera kigoma . Kigoma all the best on foot ball
@Makavelithedon2086
@Makavelithedon2086 Жыл бұрын
*Watu wa nyumbani tunamjua Kibu Denis tangu Young Boys EF3 enzi hizo anaupiga mwingi kinoma noma,Mungu hamtupi mja wake cha msingi tuendelee kupambana*
@PascalSongo-qo4xp
@PascalSongo-qo4xp Жыл бұрын
Vema
@donaldmartin-ps2ig
@donaldmartin-ps2ig Жыл бұрын
Naaam interview kubwa Sana hii interview ya mtoto wa maskini mpambanaji mwenye njaa kali mkubwa MUNGU tu maisha hayana mwenyewe bwanaa all the best kibu D mkandaji interview haichoshi kusikiliza
@karimhemed9261
@karimhemed9261 Жыл бұрын
Very Humble Man… 👏🏽 KIBU D
@MONEY_CHANNEL.
@MONEY_CHANNEL. Жыл бұрын
True.
@eliabumakunzo8856
@eliabumakunzo8856 Жыл бұрын
Kabisa yani
@modestebirindwa8693
@modestebirindwa8693 Жыл бұрын
Wa Tanzania mna zarau sana kibu mkali tokea kigoma kwenye team Ya Young Boys Hata huyo Ezekiel rafiki yake wa team ya Aliance sio poa ni moto kuliko hata kibu mwenyewe….bahati nzuri yeye tupo nae hapa USA sasaivi
@lumo9999
@lumo9999 Жыл бұрын
Hongera sana bro, mengi umeyapitia lakini mwishoni umewine. Kaka hongera sana
@MariaWaziri-ox7bn
@MariaWaziri-ox7bn 3 ай бұрын
Mungu akubarik k
@bonanzagaston6975
@bonanzagaston6975 Жыл бұрын
Kila mtu kwenye maisha ana historia yake.keep walking brother ulumugabho🥴
@ministeramanirobin2454
@ministeramanirobin2454 Жыл бұрын
Very humble
@agustinoshukran8558
@agustinoshukran8558 Жыл бұрын
I'm always proud of KIBU. ❤ I'm happy when he misses scoring a goal because we all learn from our mistakes ❤
@mwajumaabdallah3254
@mwajumaabdallah3254 Жыл бұрын
Sure
@salehehassan3665
@salehehassan3665 Жыл бұрын
Kibu d kibu denga ana kitu, namuona akifika mbali.
@gapablessgadison6863
@gapablessgadison6863 Жыл бұрын
MUNGU hatuachi watu wake, KIGOMA kisiwa Cha vipaji🔥🙏💪🇹🇿, biggup KIB D, karibu KASULU MJINI uwekeze pia
@eliazalgwambie6316
@eliazalgwambie6316 Жыл бұрын
Warozi huku
@gapablessgadison6863
@gapablessgadison6863 Жыл бұрын
@@eliazalgwambie6316 warozi pia NI neema ya MUNGU,kuwapa kipawa hicho ili kubalance Dunia
@user-yh7fr7vp9s
@user-yh7fr7vp9s 10 ай бұрын
Kibu wewe ❤ nauongeze mazoezi ya binafsi hasa mashuti ya mbali hongera sana tunakutegeme taifa hili wewe moto
@sikitu8957
@sikitu8957 Жыл бұрын
Kila nikiona huyu bwana kawa super star najikuta na cheka tu dah kumbe katika maisha kila kitu kinawezekana bwana Kipindi cha 2010-2014 Tulicheza wote Na tulikuwa vijana ambao tulikuwa tunachipukia na vipaji vikubwa saana Kulikuwa kaskile kwasasa anacheza vitolo Burundi Kibu simba Tanzania Chef anacheza Royal Beauport Canada Na mimi 😭😭😭
@andrewpaulo541
@andrewpaulo541 Жыл бұрын
Hongera sana fowadi ngara nimekuona sana benaco nilijua utafika mbali sana
@matthewbwanga395
@matthewbwanga395 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kijana Kibu Denis, umefanya vizuri na Mungu akuwezeshe uendelee mbele ⚽⚽⚽🦁🦁🦁👍👍
@GraceMhoja-zc7yg
@GraceMhoja-zc7yg 9 ай бұрын
Ndio maana unapambana kumbe unapenda Simba love much KIBU d
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Жыл бұрын
Mungu akujalie kibu d kwenyemihangaiko watu wanatokea mbali sana asee mungu akujalie ufike mbali sana
@mjagambahamza579
@mjagambahamza579 Жыл бұрын
KIGOMA FINEST 🙌💥
@laureanponcian9347
@laureanponcian9347 Жыл бұрын
One love
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 Жыл бұрын
mimi siujui sana mpira, ila baada ya kukufwatilia mechi zile za kwanza kwanza tangu umesajiliwa simba nilikukubali mpaka leo kibu nakukubali, nakuombea kwa mungu ufike mbali zaidi ya hapo ulipo,
@piuslaurian5777
@piuslaurian5777 Жыл бұрын
Kumbe kibu wa nyumbani mpk nyakanaz umefika bro
@drfrancismsawila1014
@drfrancismsawila1014 Жыл бұрын
Great Interview Ever 💪
@promax699
@promax699 Жыл бұрын
No one can stop Regee
@daudiwilliam1971
@daudiwilliam1971 Жыл бұрын
Duuh!! Maisha ni safari kweli nimeamini. Kumbe #KIBU_DENIS Nyumbani ni #Lubengera?!!! Mwambao wa Ziwa #Tanganyika Barabara ya kuelekea #Hifadhi_ya_Taifa ya #Milima_ya_Mahale. Ndio nyumbani huko. Aiseeh!! #Mungu Mkubwa sana. Akubariki uzidi kuzifikia ndoto zako. #Nguvu_Moja💪
@3malis
@3malis Жыл бұрын
@daudiwilliam1971
@daudiwilliam1971 Жыл бұрын
Daah!! Kumbe jamaa wa nyumbani huyo
@3malis
@3malis Жыл бұрын
@@daudiwilliam1971 kijiji kikubwa sana mpaka usimjue??
@daudiwilliam1971
@daudiwilliam1971 Жыл бұрын
@@3malis kaka yaani hicho kijiji cha #Lubengera anacho tokea Bwana #Kibu kipo njiani nakipita nikiwa naelekea nyumbani kwetu. Ila hapo alipotokea napafahamu japo Sijawahi ishi.
@3malis
@3malis Жыл бұрын
@@daudiwilliam1971 ahaaa apo nmekupata
@matendostephano2274
@matendostephano2274 Жыл бұрын
Kibu Kama kibu💪
@shiruclever7453
@shiruclever7453 Жыл бұрын
Kigoma wote naomba tukutane kwa likes
@jaycodestz1304
@jaycodestz1304 Жыл бұрын
👊👊
@SalumBakar-ob7in
@SalumBakar-ob7in Жыл бұрын
Kigoma mnavipaji
@makonyalyanga36
@makonyalyanga36 Жыл бұрын
Sawa
@nicolausahharmii
@nicolausahharmii Жыл бұрын
Kibu nipe no zako
@EmmanuelNgholongo
@EmmanuelNgholongo 5 ай бұрын
sawa nimekuelew❤❤❤❤😢😅😅
@mirladymirla6180
@mirladymirla6180 Жыл бұрын
Mungu akujalie kibu d
@davidbahati3748
@davidbahati3748 Жыл бұрын
Kibu Tunaomba utusamehe sisi utusamehe sana, 😢😢
@osbonmusa2619
@osbonmusa2619 Жыл бұрын
Ukimsikiliza kibu history yake Kuna kitu unajifunza usikate tamaa na jambo lolote ukiamua na kumtanguliza Mungu inawezekana
@browndebora2195
@browndebora2195 Жыл бұрын
Mungu akulinde kibu D sio kwa goli lile
@Mwene_Jery
@Mwene_Jery Жыл бұрын
Kibu Denis msuva young boys tumekumisi wewe na crisia bro😢 ila Mungu abariki kipaji chako bro 💯💯🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿
@costaaramu78
@costaaramu78 Жыл бұрын
ilikua wap.iyo.young boys
@seifsaiyd3798
@seifsaiyd3798 Жыл бұрын
Nadhani hii interview na nyingine zingewekwa kwa episode........... ni nzuri sana na zingekatwa ingekuwa poa zaidi
@jeffferdinand788
@jeffferdinand788 Жыл бұрын
Tulimchukia Sana jamaa Ila akubali maisha bila lawama uwezi kufika nchi ya ahadi Ila tunaomba mashabiki wengi utusamehe
@aaronswai6935
@aaronswai6935 Жыл бұрын
Bidii hajawahi kumtupa mtu. Huyu Kijana alidharauliwa sana. Sasa Mungu anawathibitishia waliomdharau kuwa walikosea. Kama ataendelea na unyenyekevu huu na asinyanyue mabega na kulewa sifa basi Mungu atamuinua sana. Sitoshangaa siku moja nikimkuta nje ya nchi, haswa klabu kubwa za Afrika hata Ulaya. Kila la kheri Kibu Denis
@khatibumpare6865
@khatibumpare6865 Жыл бұрын
Kweli mwamba umetisha pambana ufike mbali
@sirkingsky108
@sirkingsky108 Жыл бұрын
Kaka kibu unisamehe sana kama niliwah kkukosea, sasa naenda kkufollow na ntakuwa shabiki yako namba moja kudadeki hata ukilud kamuyange yaani nakushabikia hukohuko
@ngarasaajunior5323
@ngarasaajunior5323 Жыл бұрын
Kibu is talented star big up Rasta man🤷
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Nice interview 👏👏👏👏mungu azidi kukubariki kibu
@mohamedayoub8576
@mohamedayoub8576 Жыл бұрын
Nyota wa Zamani wa Stand United Nyakanazi Chini ya Emma .finali ilipigwa na Nyakanazi Asili kombe la Ng'ombe chini Ya Sadick Mkaa
@samsonilengteng-oc4hp
@samsonilengteng-oc4hp Жыл бұрын
Kibu D 🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏
@suwediselemani8884
@suwediselemani8884 Жыл бұрын
Nmegundua kumbe hii interview ni ya zaman sanaaa yan mwanzo wa msimu lakn wamekuja kupost baada ya mech ya dabi na baada ya kumkanda mtan na Kibu akiwa miongon mwa waongozaji wa ukandaji wa mtani lengo kuendelea kuwakumbusha mkandaj wao
@omariwilondja4613
@omariwilondja4613 Жыл бұрын
Kibu Denis mwana mboka tjrs
@farukimustafa8437
@farukimustafa8437 Жыл бұрын
Keep up kibu Denis
@cosimasedward
@cosimasedward Жыл бұрын
Sisi aooo💪💪💪
@hosanarecords9192
@hosanarecords9192 Жыл бұрын
Mungu akutunze sana Kb
@anoldmbarama985
@anoldmbarama985 Жыл бұрын
Unajuhud sana kibu ongeza kujiamini ongeza utulivu pia ongeza usahihi wa matendo ndan ya uwanja
@festorama4580
@festorama4580 Жыл бұрын
Hersi alitaka akufanye Kama Feisal Una bahati
@emanuelsamanii6318
@emanuelsamanii6318 Жыл бұрын
Very humble 💪
@sarahtz4936
@sarahtz4936 Жыл бұрын
Kumbe una sauti nzuri hivyo 🥰🥰🥰🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@raheemvianey7343
@raheemvianey7343 Жыл бұрын
Mtu poa, hambo, mkweli sn na muungwana. Ahsante Kibu kwa intavyuu nzuri sana.
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Жыл бұрын
Now ur improved a lot
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Ila ahamed upo full package bro unajua kuhoji kumsikiliza unaemuhoji maswali yako powa SN aiseee bro hongera SN halafu dogo kibu yupo humble sn
@mcbartonkesh3664
@mcbartonkesh3664 Жыл бұрын
Red star ndo team pedwa mkoani Kigoma
@nasibyahya9778
@nasibyahya9778 Жыл бұрын
God bless you bro...#kibu
@aminakeya9951
@aminakeya9951 Жыл бұрын
Kibu D mkandaji ❤❤😊
@athumanmgissasimbadamu3316
@athumanmgissasimbadamu3316 Жыл бұрын
Starehe Ya Kibu Ni Ngumuuuuu Sanaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀
@sethkivuyo3342
@sethkivuyo3342 Жыл бұрын
❤❤nice
@DoctorEvarist
@DoctorEvarist Жыл бұрын
Kibu Drogba 🔥👏👏
@abatinkalango4571
@abatinkalango4571 Жыл бұрын
Interesting interview 🙏
@abdullahjuma3926
@abdullahjuma3926 Жыл бұрын
Kiukweli mpira ni kucheza na kusikiliza maelekezo ya mwalimu. Hongera sana kijana ila nakupa ushauri wa bure kwamba mpira ni mashirikiano ya wachezaji wenzako hivo kiukweli Mungu alijaalia lile goli la mbali ulishinda lkn kama unakosa ungepata lawama kubwa sana sababu ulirisk wakati ulipaswa kutoa pasi kwa wenzio wawili ambao walikua na uhakika wa kufunga sababu walikua peke yao katika eneo la usawa wa goli. Hivo kwa upande wangu nakupongeza ila sikupenda kwa kunyima kupiga pasi kati ya wale wenzio. All and all is wonderful.
@paulobendera938
@paulobendera938 Жыл бұрын
Baleke kapewa pasi 2 kakosa ukiwa m hezaji lazina uwe na msimamo kama una weza kupiga piga kama una weza toa pasi
@albertmichael4014
@albertmichael4014 Жыл бұрын
Hata angewapa wale kma sio riziki ya mtu angekosa tu ,na saiv magori ya mbali ndio mazuri na huwachanganya magori kipa
@AmosSniper
@AmosSniper Жыл бұрын
Kama ulicheza mpira ama huwa unacheza utamwelewa Kibu Kwa alichokifanya nisahihi, ila kama nimshangiliaji utaendeleza na hayo hayo mawazo! Fotbool ni hisia mwili na akili hukusukuma Kwa mda huo kufanya jambo Kwa haraka nandiyo huwa na matokeo sahihi! Kama ulionao tibazokiza alikuwa natamaa naule mpira nakama sio ujasili wa kibu yaezekana wangechanganyana na Ntibazokiza.
@cantonaiddy6042
@cantonaiddy6042 Жыл бұрын
Ukupenda nn mbn ueleweki mara umcfie mara ukupenda
@MrLionVictor
@MrLionVictor Жыл бұрын
we cjui hta unaongea nn?
@Johnnestory-lk7wz
@Johnnestory-lk7wz Жыл бұрын
Good blessing for you my friend 🙏❤ kibu
@lekianzuruni8400
@lekianzuruni8400 Жыл бұрын
KIBU D Mungu Akutangulie Katika Safari yako ya Mpira,, nategemea Miaka ijayo Tutakuona CHELSEA Pale UK.
@salumjumah5648
@salumjumah5648 Жыл бұрын
KIGOMA FINEST KIBU DENGA
@albertmullah2377
@albertmullah2377 Жыл бұрын
KIBU amecheza kila timu msimu m1 na kuuzwa, KIBU amecheza ligi kuu msimu m1 tu na kuitwa timu ya taifa, KIBU ana kitu kikubwa sana ambacho ipo siku kila mtu atakiona,
@ruthawakola8869
@ruthawakola8869 Жыл бұрын
Mungu akutangulie
@nilmadaudi9358
@nilmadaudi9358 Жыл бұрын
Interview ipo 🔥🔥🔥🔥🔥
@babusbabu3699
@babusbabu3699 Жыл бұрын
wachezaji wakitanzania wenye juhudi kwasasa ni wachache sana akiwepo na jibu mungu atamfikisha mbali no master what
@athumanmgissasimbadamu3316
@athumanmgissasimbadamu3316 Жыл бұрын
Nguvu Moja Kijana 🙌🙌🙌🙌
@westfreight6797
@westfreight6797 Жыл бұрын
YOUR GOOD PLAYER
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 10 МЛН
나랑 아빠가 아이스크림 먹을 때
00:15
진영민yeongmin
Рет қаралды 4 МЛН
what will you choose? #tiktok
00:14
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 6 МЛН
Bishop Jacob Wamwea guborwo mbeca ciake ciothe ni mikora
1:08:46
Ngugi wa karanja Mcee TV
Рет қаралды 17 М.
HAJUI KUPIKA
10:21
Joti TV
Рет қаралды 695 М.
MOHAMED HUSSEIN AKIZUNGUMZIA MAISHA YAKE YA SOKA
38:38
Simba SC Tanzania
Рет қаралды 68 М.
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН