EXCLUSIVE: JAKAYA KIKWETE / MAISHA Baada ya URAIS / BIASHARA BINAFSI / AFUNGUKA MENGI | GOOD MORNING

  Рет қаралды 14,736

Wasafi Media

20 күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 34
@nivesmapunda694
@nivesmapunda694 19 күн бұрын
Mmmmm mh.Rais mstaafu tunakukumbuka sana hasa sisi watumishi wa umma. Mungu akujalie maisha marefu!
@gaudencekalyalya8721
@gaudencekalyalya8721 2 күн бұрын
My greatest , tough President , Mungu aendelee kukupa afya njema , nakukubali sana!
@ramadhanijuma4130
@ramadhanijuma4130 20 күн бұрын
Safi sana interview inamafunzo mazuri
@yohanamaiga3031
@yohanamaiga3031 20 күн бұрын
Asante sana Rais Mstaafu Kikwete.
@ShadowScreamStudio
@ShadowScreamStudio 18 күн бұрын
Jakaya ..always happier May Lord bless you mzee
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 4 күн бұрын
❤❤❤❤❤jakayaaa
@jumambaga7825
@jumambaga7825 16 күн бұрын
Yani pale kazungumza kwa hekma sana mzee anajua hapa kuna wahuni washagawana kiwanja lakn sasa najua ninamamlaka ya kuwajibisha ila ngoja nitumie busara niende kwangu kujenga dahh lini huyu mzee tutaonana kuvuna busara zake😂🔥👍🏾
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 20 күн бұрын
Hongera sana wa SA Fi Kwa interview yenye akili,💪💪💪
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 18 күн бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 18 күн бұрын
@@user-fr7jj1bo7y Sasa wewe ulikuwa wapi nawe si ungeba😲
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 16 күн бұрын
mnatakiwa muje na interview kuhusu afya kwa ujumla..huyu nasikia kuna vyakula hali na vingine anakula. alafu mazoezi anafanya sana..itasaidia hata watu wazima na vijana kuskia hekma yake. alafu watu wanajumlisha zaidi na kuishi maisha ya utauwa kumuita Mungu sana kila siku
@ndonjelaurent3182
@ndonjelaurent3182 20 күн бұрын
Mh Jakaya Mrisho Kikwete una akili kubwa sana
@jumambaga7825
@jumambaga7825 16 күн бұрын
Big brain kikwete huyu mzee anamafira mapana sana busara na hekma mungu ampe maisha marefu🤝🔥👍🏾
@phaustinemmao424
@phaustinemmao424 20 күн бұрын
Msoga
@RogersMasamalo
@RogersMasamalo 13 күн бұрын
Watanzania hata ufanye mazuri vipi,wanaangalia mabaya tu Mungu anawaona jamani.
@RogersMasamalo
@RogersMasamalo 13 күн бұрын
Watanzania hata ufanye kazi vp mazuri hawayaoni..mimi ni Kati ya watu ambao nilipenda kazi na uongozi na mabadiliko sekta ya biashara ya mitandao.
@jofreykivambe6520
@jofreykivambe6520 18 күн бұрын
JK mara ya mwisho tumeonana wakati wa maziko ya aliekuwa Waziri wa Fedha Mgimwa.....
@More_Tv111
@More_Tv111 16 күн бұрын
Rais wetu mpendwa
@jee9473
@jee9473 2 күн бұрын
Kufanya mahojiano na mtu kwenye televisheni ukiwa umevaa miwani ya jua kunaweza kuonekana kama ni kutokuwa na weledi ama kuwa kinyume cha maadili katika uandishi wa habari.
@bonintajiri3958
@bonintajiri3958 18 күн бұрын
Mungu akubariki kiozi wetu
@jofreykivambe6520
@jofreykivambe6520 18 күн бұрын
Anazeeka JK... usiseme hazeeki, anaazeeka mtu wetu
@huldamichael4445
@huldamichael4445 14 күн бұрын
Shati zuri nyie,dah
@shadrackmijjinga9793
@shadrackmijjinga9793 17 күн бұрын
Mh.Rais ukimwangalia nikama hazeeki ila umri inaongezeka ..soon atakuwa na 74yrs kweli kala chumvi nyingi last time nilibahatika kukaa meza kuu Moja pamoja nae pale Mlimani during Udsm marathon 2023 ..hakika Bado Mzee JK ana nguvu zakutosha.🙏
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 18 күн бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@saidkajagale3716
@saidkajagale3716 16 күн бұрын
Tutunze afya ni mtaji
@matipukaAthumani
@matipukaAthumani 3 күн бұрын
Rais bora kuwahi kutoa Tz
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 19 күн бұрын
Rais akasema hawa watu siwawez kwl uongoz kaz wale wenye D mbili tumemuelew mzee wa Msoga inabid tujiffunze namna ya kupata viongozi wazalendo kwl kwl hasa wale wapenda maendeleo ya watu wa chini lkn sio viongoz kama hawa ambao nachukulia raisi raisi tu vitu vya muhim kwenye jamii nzima sio kwa maslahi ya wachache
@EliaoleshengEa-pv8fu
@EliaoleshengEa-pv8fu 16 күн бұрын
Mimi sijui maana ya d mbili sjasoma nisaidie kk
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 113 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 23 МЛН
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 6 МЛН
Простой дворник с большим сердцем 🫶
0:25
Sigma Girl Past #sigma #funny #comedy
0:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 24 МЛН
Кошкокрад и котики #юмор #рекомендации #прикол
0:31
BABY Comedy : Birthday Baby and Kind Man ❤️
0:36
BABY Comedy
Рет қаралды 11 МЛН
Выглядит на 15, хотя ему 35. В чем СЕКРЕТ?
0:16
Собиратель новостей
Рет қаралды 4,6 МЛН