Mmmmm mh.Rais mstaafu tunakukumbuka sana hasa sisi watumishi wa umma. Mungu akujalie maisha marefu!
@gaudencekalyalya87212 күн бұрын
My greatest , tough President , Mungu aendelee kukupa afya njema , nakukubali sana!
@ramadhanijuma413020 күн бұрын
Safi sana interview inamafunzo mazuri
@yohanamaiga303120 күн бұрын
Asante sana Rais Mstaafu Kikwete.
@ShadowScreamStudio18 күн бұрын
Jakaya ..always happier May Lord bless you mzee
@user-pu6pr5jt4n4 күн бұрын
❤❤❤❤❤jakayaaa
@jumambaga782516 күн бұрын
Yani pale kazungumza kwa hekma sana mzee anajua hapa kuna wahuni washagawana kiwanja lakn sasa najua ninamamlaka ya kuwajibisha ila ngoja nitumie busara niende kwangu kujenga dahh lini huyu mzee tutaonana kuvuna busara zake😂🔥👍🏾
@aediayumgo854620 күн бұрын
Hongera sana wa SA Fi Kwa interview yenye akili,💪💪💪
@user-fr7jj1bo7y18 күн бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@aediayumgo854618 күн бұрын
@@user-fr7jj1bo7y Sasa wewe ulikuwa wapi nawe si ungeba😲
@jedidahbintidaudi824116 күн бұрын
mnatakiwa muje na interview kuhusu afya kwa ujumla..huyu nasikia kuna vyakula hali na vingine anakula. alafu mazoezi anafanya sana..itasaidia hata watu wazima na vijana kuskia hekma yake. alafu watu wanajumlisha zaidi na kuishi maisha ya utauwa kumuita Mungu sana kila siku
@ndonjelaurent318220 күн бұрын
Mh Jakaya Mrisho Kikwete una akili kubwa sana
@jumambaga782516 күн бұрын
Big brain kikwete huyu mzee anamafira mapana sana busara na hekma mungu ampe maisha marefu🤝🔥👍🏾
@phaustinemmao42420 күн бұрын
Msoga
@RogersMasamalo13 күн бұрын
Watanzania hata ufanye mazuri vipi,wanaangalia mabaya tu Mungu anawaona jamani.
@RogersMasamalo13 күн бұрын
Watanzania hata ufanye kazi vp mazuri hawayaoni..mimi ni Kati ya watu ambao nilipenda kazi na uongozi na mabadiliko sekta ya biashara ya mitandao.
@jofreykivambe652018 күн бұрын
JK mara ya mwisho tumeonana wakati wa maziko ya aliekuwa Waziri wa Fedha Mgimwa.....
@More_Tv11116 күн бұрын
Rais wetu mpendwa
@jee94732 күн бұрын
Kufanya mahojiano na mtu kwenye televisheni ukiwa umevaa miwani ya jua kunaweza kuonekana kama ni kutokuwa na weledi ama kuwa kinyume cha maadili katika uandishi wa habari.
@bonintajiri395818 күн бұрын
Mungu akubariki kiozi wetu
@jofreykivambe652018 күн бұрын
Anazeeka JK... usiseme hazeeki, anaazeeka mtu wetu
@huldamichael444514 күн бұрын
Shati zuri nyie,dah
@shadrackmijjinga979317 күн бұрын
Mh.Rais ukimwangalia nikama hazeeki ila umri inaongezeka ..soon atakuwa na 74yrs kweli kala chumvi nyingi last time nilibahatika kukaa meza kuu Moja pamoja nae pale Mlimani during Udsm marathon 2023 ..hakika Bado Mzee JK ana nguvu zakutosha.🙏
@user-fr7jj1bo7y18 күн бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@saidkajagale371616 күн бұрын
Tutunze afya ni mtaji
@matipukaAthumani3 күн бұрын
Rais bora kuwahi kutoa Tz
@michaelmaziku99119 күн бұрын
Rais akasema hawa watu siwawez kwl uongoz kaz wale wenye D mbili tumemuelew mzee wa Msoga inabid tujiffunze namna ya kupata viongozi wazalendo kwl kwl hasa wale wapenda maendeleo ya watu wa chini lkn sio viongoz kama hawa ambao nachukulia raisi raisi tu vitu vya muhim kwenye jamii nzima sio kwa maslahi ya wachache