Kp wa Aquino naombeni Kazi ya utangazaji, au uandishi katika acount hii nipo vizuri najiamini na kipaji changu..
@user-ie8om7kh5wАй бұрын
Mzee likoma pokea salamu zangu kutoka kenya pongezi sana kwa kazi zako unazozifanya❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@PriscadzidzamashaАй бұрын
Oooh hongera sana likoma kwa kipaji nawapenda sana team kp na zebuu ❤️ 🇸🇦
@nzegeatv6355Ай бұрын
Daa yupo tofaut kabisa
@Innocentfilm22 күн бұрын
Jambo dungu aomba subscribed Yako
@stellatwaah3242Ай бұрын
Likoma pongezi kwakoo Mungu akuongoze kila latua uendayo🙏🏻🙏🏻
@user-ms7ls8ud5pАй бұрын
Mm nakumpenda sana nahitaji uwe mume wangu ❤❤❤❤❤❤
@abdulhamidyhamady762Ай бұрын
mamb0
@MayengDuluАй бұрын
Likoma ni kambila gani❤❤❤🎉🎉🎉
@idiidi-rq5gkАй бұрын
Msukuma
@user-ip6xg6jx3g18 күн бұрын
Mtangazaji unaonekana kama umempenda mzee likoma. Usione aibu. Muambie tu unampenda.
@pesaspy_tv13 күн бұрын
Afosi mazingira tu 😂😂😂
@JohnOsoro-yp9eyАй бұрын
Ooh nakukubali Sana likoma kwa KAZI zako nawafuatilia kutoka nchini Kenya
@user-vy8es6gi4fАй бұрын
Wow uko vizuri sana Mzee likoma❤❤❤
@BalikiLukali-w6c19 күн бұрын
Daa nakukubali man
@DM.2200Ай бұрын
Wa kwanza leo et na kukimbilia kote kusoma coment nimeumbuka mimi 😅😅 ila likoma huyu na na likoma mzee mbona kama vitu viwili tofauti 😂😂
@aishaomar2287Ай бұрын
Siamini pia😊
@munamamaj962222 күн бұрын
Mwanzoni nilkua nikidhani kua ni mzee kweli hadi pale nilipokuja kuona movie ya wamangush 😂😂😂😂
@Bintnailah2 күн бұрын
Mzee likoma hata kwanza sijaamini kama ni wewe wooow🎉🎉naja niwe mkeo sasa😂😂unichekeshe chumbani❤❤❤
@MailachebetАй бұрын
Waaaah mzee likoma mm nko apa nko Kenya nakupenda jamani
@shabaniathumani2284Ай бұрын
likoma hongera saana kumbe likoma ni wa kukaya tuliko simiyu nyanda
@RaphaelMutua-iv4qyАй бұрын
Big up likoma from Kenya mchekeshaji kweli
@ELIZABETHAPELESАй бұрын
Likoma mm nakupenda sana
@user-zo8lz3wm7nАй бұрын
Mmmmmmm machalee kumndesaa😂❤❤❤❤❤❤
@NyotajadaАй бұрын
Maaajaabuuu 😳😳
@user-qo8eu1br6f25 күн бұрын
😂😂😂
@MARIEKINSEMBEOFFICIELАй бұрын
Mimi nawafatilia vizuri Saana kuanzia bindi nyoka Adi Léo PLAN B nafataka épisode yote Niko Congo GOMA ila shauri tu kp usi achane tena Ama kufukuza wa wenzako kama vile suraj awe wa mwisho tuna furai kuwaona wote pamoja kuachana sio vizuri
@user-yj7wr4ob4i3 күн бұрын
😂😂😂😂😂🎉😂🎉jamani unaokopa maji sana wewe
@lornahmulitani2798Ай бұрын
❤❤❤❤looking gud mzee likoma
@emanuelwilliam-r5c20 күн бұрын
Big up likoma
@LUCYKHALAIАй бұрын
Muzee likoma hongera nakupenda sana kakangu wewe hunichekesha sana❤❤❤❤❤❤❤
@LizyRiichardАй бұрын
Mzee likoma mbn hujataja lyulu lugela moja hongela Sana ali
@user-dv2wl3gh4n26 күн бұрын
When he play like old man😂😂😂he look thin but here he look fat ..I love you guys keep it up
@B.M-ix4rzАй бұрын
Mashaallah likoma umependeza
@chunaabdullah1333Ай бұрын
Sauti ya mzee likoma ela mwili tofauti
@PrincessHellen-pg1oyАй бұрын
😂😂😂 ni yeye mwaya 😂
@AbbasiNandondeАй бұрын
Atoe kionjo kama kweli mzee likoma
@FlavianSteven-e9i21 күн бұрын
Kaka likoma na kaka pk naomben na Mimi mniuge kuigiza kak ninakipaj
@SamuelAloo-qv3kgАй бұрын
Much love from Kenya 🇰🇪 mzee likoma
@pelusiemanueli6926Ай бұрын
Nakukubal San likomaa😂😂
@alka-bKsgАй бұрын
Nisapotini n'a mimi bro
@azizaumutoni7773Ай бұрын
Anapenda na kamuzo 😂😂😂
@SaadaNdekeja20 күн бұрын
Kumbe mzee likoma ni handsome hv mashaallah
@ElizabethMwikali-xb9zlАй бұрын
Likoma pokea salamu zangu kutoka kenya
@evalyinesalama2535Ай бұрын
Hongera sana broo Mungu akutangulie kwa kazi nzuri ❤❤❤
@user-ps5rr4ij8t16 күн бұрын
Mbona huyu mtangazaji hatumuelewi mara acheke mara kitu gani unapenda kwenye mwili wako sa ndo nin maswali gan hayo😅😅😅 mwambie tu amekuvutia😅
@isackmachiyanshoka675421 күн бұрын
Jamaa yupo vzr❤, huyo ni WA kwetu shy.
@ZawadiKatana-yh6epАй бұрын
Sheila mwanangu 😂😂😂😂
@user-rg8fq8fc3k26 күн бұрын
Mwambie likoma nampenda sana
@odetteniyoyunguruza649421 күн бұрын
Kumbe nikijana!!!!!
@Johar903Ай бұрын
❤❤❤❤ umenenepa sana imependekeza sana
@PrincessHellen-pg1oyАй бұрын
Nilijaribu mahusiano nikaachwa kisa pesa 😂😂😂 ila likoma hahahha
@BahatiHumwa-iy4in15 күн бұрын
Kumbe ni mwenetu wa ushetu
@elishathecomedy122116 күн бұрын
Naomba nani inta nyuyuuh
@Edith-rq3mm20 күн бұрын
Hiyo cm unayoweka mdomon ni maiki ama
@wemasangasanga757Ай бұрын
Yaan mimi nilijuaga kweli likoma ni mzee
@nurusaid4698Ай бұрын
Na Yuapendeza Kuliko Ata Kijana 😂😂😂😂😂
@felisterbudodi5367Ай бұрын
Kumbe mkaka mzuri hiv
@azizaumutoni777320 күн бұрын
Mimi apa tuzae nae ❤😂😂
@user-fs8ho9ks4xАй бұрын
Eeeeh mze likoma kijana munzuri sana
@FlavianSteven-e9i21 күн бұрын
Kaka niambie na Mimi mniuge kuigiza kak ninakipaj 😂😂😂😂
@user-lx3zg4db1yАй бұрын
Nakupa mauwa mengi 🎉🎉🎉sana
@user-op7tg4wq2gАй бұрын
Mzee likoma bado kijanakumbe🎉🎉
@ATHOKIMUSIC27 күн бұрын
Hongera sana kaka ang
@ZubaibaАй бұрын
Mzee likoma kumbe ni kijana jamani😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@user-qo8eu1br6f25 күн бұрын
Tena mdogo 😂
@lucyrif-np8ikАй бұрын
likoma tunakupenda sana kutoka kenya
@izakiel72Ай бұрын
Pia mimi siamini😂
@EmmanuelNdahya-ud5nj21 күн бұрын
Ally matondo yuko wapi mkuuu
@user-fd5pb1dt4jАй бұрын
Mzee likoma Wewe ukifa uwozi movie ya KP na zebuu inapoza
@NeemaKigu21 күн бұрын
Mwambie likoma naomba kazi yag ndani nitashukusana ombi langu ukilikubali
@stellatwaah3242Ай бұрын
Likoma me mchagaa nakusali sana❤
@user-jn1cg5is2pАй бұрын
i thank en support the team fully...the lady is really looks alike with Kp
@michaelspencer-uw6wuАй бұрын
True that bro😅
@edwinjhilbajojo242921 күн бұрын
Mtangazaji mwulize jina Likoma Limetokana na nini.
@rashidsaidsleiman2312 күн бұрын
Hata ww mtangazaji mbona hapo mnaendana sana na likoma
@christianapyuza257022 күн бұрын
Kamnyweso 🤣🤣🤣🤣🤣
@bboytv58617 күн бұрын
Oya kula huyooo mbona anakuulizia sana
@faizamohamed6993Ай бұрын
Kumbe huyu ni kijana tu ...anajuwa kuigiza na anajua tena ❤❤❤
@Innocentfilm22 күн бұрын
😂 kweli
@IsmailMadrelya18 күн бұрын
Mtangazaji jifunze kuhoji vitu vya maana
@FajmaHilaliАй бұрын
LIKOMA KAMA UNATAKA MKESEMA KUNAMTOTO MZURI WAHESHIMA😂😂😂😂😂
@user-cf4pc5dz8t21 күн бұрын
Namba likoma
@RauAyub29 күн бұрын
Kumbe mzee kijana😂😂😂😂😂
@SuhaylaAazeemАй бұрын
Mzee likoma nakupenda pokea salamu zangu kutoka Kenya
@user-dn3sn2fk9v21 күн бұрын
Guys me sitaki kuamini Mzee likoma ni kijana 😁😁😁😁😁 aaaah aise unajua kuigiza na unajua Tena
@DannyKnorrАй бұрын
Kikweli ongera sana likoma kumbe wewe nikijana😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@yudamasuke4084 күн бұрын
Oyaaaaaa 😢
@edwinjhilbajojo242921 күн бұрын
Asante san kw kutuletea interview ya mzee lipoma,,,tuletee na ya dibozi manicure.
@christianapyuza257022 күн бұрын
Roll model wa likoma org. Hi kwake apewe maua yake🌹🌹
@EvodiaDominicАй бұрын
mimi hapa nakupenda bwana Ally
@KipalaChampwinto23 сағат бұрын
jaman mm napenda anavyoigiza kama mzee likoma unanifanya nifurahi tu unavyoongea
@evalyinesalama2535Ай бұрын
Naomba kazi ya kuigiza
@Jeyb07.24 күн бұрын
Mbona mtangazaji anauliza maswali yasiyokuwa na msingi yaani vitu vya maana hamuulizi,, mimi nilitegemea atamuuliza - Jina la likoma limetokana na nini lakini hajamuuliza -Ulijuana vipi na queen mpaka mkaanza kufanya nae kazi -Maswali kama hayo mtangazaji sijui ni mgeni na h Nimefurahi sana kuona mtu wa home kabisa ni maarufu mara zote nilijua mastaa wanatokea mjini na sehemu zilizoendelea lakini nimefurahi kuona likoma anatoka wilaya ambayo mimi pia natokea tofauti ni kata tu dah hongera sana wakwetu
@NuraAbrahmanАй бұрын
Dah kumbe lipoma bado mbichi kabisq
@DeboraJames-pd8neАй бұрын
Huy dada hajui kuhoji
@frankyunia1809Ай бұрын
Wewe Dada nakupenda sanaa namba tuwasiliane ❤
@christianapyuza257022 күн бұрын
Kipochi Nene 😂😂😂
@DennisKorir-kl3upАй бұрын
Maajabu 😅😅😅
@FlavianSteven-e9i21 күн бұрын
Flavian
@sniperboy131Ай бұрын
Rikoma mbona mwembamba na kuna muda mnakuwa wote nayy😅
@priscahchege211429 күн бұрын
In love with him 😅
@chandeyusufu957020 күн бұрын
Pesa ndio uchawi wa kizungu.mtu haruki
@user-wi1fk5wx8fАй бұрын
Likoma mama Muuza anasemaje
@user-lv4mb4yx5b22 күн бұрын
Mimi ni Tomaso jaman siamin mbn kule ni mwembamba
@marleymukangwa8955Ай бұрын
Maaaajabu!!! 😅😅😅😅
@munamamaj962222 күн бұрын
Ila uzee ndio unamfaa sana huyu
@JafariNyabenda-g2o25 күн бұрын
Mzee likoma kumbe si Mzee. Halafu na sauti yake alibadili na kujifanya kuwa Mzee.ila nampenda Mzee likoma. "Jafari master Chengheng Bujumbura"
@munamamaj962222 күн бұрын
Mwanzoni nilikishani ni mzee kweli hadi pale nilipokuja kuona wamangush
@HassanBambazaАй бұрын
Sasa mbona ukiwa unaigiza mzee likoma huo mwili hauonekani sema nakukubali sana maaaaajabu