EXCLUSIVE: "NIMEFATWA NA MAPANGA, WAKATAKA KUNIMWAGIA TINDIKALI, NILIJIKUTA NJE, NIKAZIIBA"

  Рет қаралды 103,647

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Wengi tunamfahamu Flora Lauwo kupitia kazi zake kwenye jamii pengine kuna upande wake mwingine wa maisha hatukuwahi kuusikia mahali popote, Flora amekubali ku -share na sisi sehemu ya maisha yake, mikasa na mengine kwenye EXCLUSIVE na AYO TV.

Пікірлер: 298
@halimalawa3901
@halimalawa3901 3 жыл бұрын
Nakupenda frola hujivung 🤔hata skujui lkn nilikutafta prvate ulinisaidia na tatizo lng limeisha mpka leo 🤞aiseee Mungu akuzidishie sana furo wetuu🥰😍baraka ya kukupenda tyuu mimi😍
@ashurashuraym3497
@ashurashuraym3497 3 жыл бұрын
Nampenda sana Frola,umepitia mengi mno mpaka kufika hapa leo, Mungu aendelee kukulinda siku zote my dear Frola 🙏
@aishajuma260
@aishajuma260 3 жыл бұрын
😍😍😍😍😍😍😍🌷🌷🌷🌷🌷💗💗💗💟💟💟💟💟💟💟😍😍😍💌💌💌💌💌💌
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 3 жыл бұрын
Hongera Sana Flora Mungu Akulinde,Binadamu Hawana Wema Wala Shukran.
@judithsalufu5688
@judithsalufu5688 3 жыл бұрын
Wewe ni zawadi kutoka kwa mungu da frola mungu awe pamoja nawewe😘😘😘😘😘😘
@hedayaabeid3196
@hedayaabeid3196 3 жыл бұрын
Penda saaana my Dada, mungu akuepushe na matatizo
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Mashallah flora nakupenda sana
@sempaprudence9052
@sempaprudence9052 3 жыл бұрын
Hongera sn kwa kazi ya jamii. Biblia inasema hatutotulia hadi tutakapolala katika Bwana.
@neemasalema1546
@neemasalema1546 3 жыл бұрын
Hongera sana kazi nzuri napenda unachokifanya Flora ata ufanyeje binadamu huwezi kumridhisha Yesu mwenyewe alinyoosha mikono sembuse wewe wala wasikutishe usikate tamaa
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 жыл бұрын
Kwanini watu wanamfanyia vitu kama hivyo na hali yeye maskini ana wasaidia walio kuwa wana hitajia misaada mbona wao hawawezi kufanya kama yeye na wengi wana mapesa, yote ni roho mbaya tu, endelea na Mwenye Enzi Mungu ata kulinda na watu wabaya. Asante dada Flora
@mariamramadhani8012
@mariamramadhani8012 3 жыл бұрын
Da flora Mungu akubariki mi pia ulinisaidia sana dear wasiokufaham ndio wataongea huo ujinga
@hamidajuma3909
@hamidajuma3909 3 жыл бұрын
Frola chondechonde. Usije ukakubari kukatishwa tama. Pambana. Mungu wa mbinguni yupo pamoja na wewe. Tunakuombea Sana Frola Wangu
@kulwacharles2314
@kulwacharles2314 3 жыл бұрын
Dada Frola unafanya kazi nzuri, maneno ya watu wabaya yasikunyime usingizi fanya kazi pambana, hyo ndyo karama Mungu aliyokuandikia. Salute kwa kazi nzuri...
@alajmialajm8794
@alajmialajm8794 3 жыл бұрын
Majina ya kina flora wana utu sana..mungu akujalie maisha marefu ili uzidi kuhudumie wanyonge
@salimmohamedsalim4448
@salimmohamedsalim4448 3 жыл бұрын
Pole dada hawo ndo binaadam bwana Mungu atakulipa kwahilo na jingine lililo zuri
@diah3434
@diah3434 3 жыл бұрын
Nakupenda Sana Da Frola Mungu aendelee kukulinda Sana katika kaz yako nataman na mm kuifanya hii kazi
@janembawala6009
@janembawala6009 3 жыл бұрын
Frolah anajitoa sana kwa watu nampenda sana frola😍😍
@carolinemariki4029
@carolinemariki4029 3 жыл бұрын
Pole sana Flora. Hao wanaosema wewe ni mwizi ni wale ambao hata hawachangiagi kitu kwa mgonjwa yeyote. Mungu aendelee kukutetea kama unavyotetea wenye shida. Kumbuka "mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe". Endelea kusonga mbele achana na waliolala.
@praxedadominic5193
@praxedadominic5193 3 жыл бұрын
Nakupenda mno Flora mwenyez mungu akupe maisha marefu uendelee kusaidia wenye uhitaji ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@ibrahimrukundo3064
@ibrahimrukundo3064 3 жыл бұрын
madam flora nimwenye kutenda kazi za kheiry.
@ramadhanishabani1622
@ramadhanishabani1622 3 жыл бұрын
Mnaom beza huyu dada naona ni kulakulala, hamjui ugumu wa maisha, ndio maana mnashangaashangaa.
@husnamkwata7431
@husnamkwata7431 3 жыл бұрын
Kabla sjasoma hizo comment nikupongeze kwa ulichokiandika mtu kma huyu anasaidia jamii unaanzaje kumbeza hata kama ana mapungufu tukumbuke hakuna mkamilifu
@ukhtyrayyan7884
@ukhtyrayyan7884 3 жыл бұрын
Nani kambexa mbona coment zote zakumsifu tu
@hadijaalpha7547
@hadijaalpha7547 3 жыл бұрын
Mlipaji mzuri ni mungu ☝️ achana na sisi!pambana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@hjhj6230
@hjhj6230 3 жыл бұрын
Hakika Jaza yake ataikuta kwa Allah
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mungu amelinde Akupe maisha malefu na baraka tele mtetez wa wanyonge uchagui ubagui una moyo wa pekee
@lucyshilla3155
@lucyshilla3155 3 жыл бұрын
Mungu amekuchagua. Kila siku ishi ukimtegemea Mungu wewe una kitu ndani yako flora
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Keep it up flora
@mariamali1887
@mariamali1887 3 жыл бұрын
MashaAllah flora mungu yuko pamoja nawe. Hatawakusanyike hawawezi kukuzuru
@jackjudy9182
@jackjudy9182 3 жыл бұрын
my sister -Inspiration for life
@remmymayombo3059
@remmymayombo3059 3 жыл бұрын
Amen my sister my God protect u Jesus name
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 жыл бұрын
Masha Allah kumbe umetoka mbali sana dada ndio maana ume kuwa mtetezi wa wanyonge Mwenye Enzi Mungu akuzidishie na akuhifadhi na akulinde na mabalaa
@pillioman2008
@pillioman2008 3 жыл бұрын
Pole sana aunt mungu yu pamoja nawe katika kazi yako ya utume ndio maana wanashindwa kutimiza makusudio yao mabaya kazana tu kujikabidhi mbele za mwenyezi mungu
@marycelinapaschal9619
@marycelinapaschal9619 3 жыл бұрын
Yuhu Dada nampenda mungu anajua ,,,,anajitoa Sana
@vincentvin211
@vincentvin211 3 жыл бұрын
Hivi wanaouliza umri wake, utawasaidia nini? Dada ni mpambanaji sana
@memoryngambi3758
@memoryngambi3758 3 жыл бұрын
Dada frola nimtoaji sana kuanzia ndani ya moyo wake,lazima mungu ambariki,nakushauri usiache,mti mwenye tunda hupigwa mawe,na mungu azidi kukulinda na akupe siku nyingi zakuishi ili watu wazidi kuziona baraka ambazo mungu amekuandalia,watu hawajui Siri ya mafanikio,kutoa ni shida watu hawajui,mungu yupo nawe katika kila pito haji kukuacha kamwe.
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Kazi unayo ifanya ni kubwa sana unatakikana uokoke umpee Yesu maisha yako uenze kuingia paradiso
@havolindionasty2967
@havolindionasty2967 3 жыл бұрын
Be blessed Mungu akuinue zaidi
@saidtembele3070
@saidtembele3070 3 жыл бұрын
Duh kumbe huyu dada mtu mzima 🙌🙌🙌🙌 Yaani 1994 alikua 24 yrs old na mpk leo ni 26 yrs means ana miaka 50 🙌🙌🤣🤣🤣🤝🤝 shikamoo dada florah👣🚶🏃
@shanishosho911
@shanishosho911 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema anamwili mzuri sana
@shanishosho911
@shanishosho911 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema anamwili mzuri sana
@saidtembele3070
@saidtembele3070 3 жыл бұрын
@@shanishosho911 dah amini kwamba
@neemamayco3238
@neemamayco3238 3 жыл бұрын
Ana mwili wenye shukran
@happinessmartini8567
@happinessmartini8567 3 жыл бұрын
Uko vizuri
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 3 жыл бұрын
Hongeara na pole me nakupenda sana yani Allah akulinde na kila shari malipo utayakuta akhera usichoke usikate tamaa keep it up
@gpp9667
@gpp9667 3 жыл бұрын
God protect you Flora front your enemies
@paskomangee8409
@paskomangee8409 3 жыл бұрын
Nakukubali Sana mtu wangu wanguvu we ndo malikia wangu siku zote naomba mungu nipate maisha mazuri nikusapoti siku moja by simirii cimotrich
@mwajumasima5671
@mwajumasima5671 2 жыл бұрын
Hongera sana kwa kazi yako
@dianalyanga1486
@dianalyanga1486 3 жыл бұрын
Nakukubali sana dada Flora.. Nakupendaga mnoo yaan mungu akulinde akuepushe na watu wa baya na wenye vijiroho kuntu.. Adui akufatapo anaswe apigwe na shoti ya umeme.... Mwaa mtetezi
@aoman5214
@aoman5214 3 жыл бұрын
Nakupenda Sana dada Mungu azidi kukulinda siku zote kazi unayoifanya ni ngumu Sana
@dorislema1814
@dorislema1814 3 жыл бұрын
kabsa ni kaz nzur sana ndomaana watu wengi wanamponda maana anamoyo mwema
@aoman5214
@aoman5214 3 жыл бұрын
@@dorislema1814 kweli kabisaaa wanaitaman Ila wanashindwa
@tigerchristmas5491
@tigerchristmas5491 3 жыл бұрын
Hadi kusudi la Mungu aliloweka ndani yake litimie vngnvenvyo watapgana nae lkn wataishia kushindwa tu na kumzushia uongo, Mungu amtangulie hyu dada
@estamichoromichoro5634
@estamichoromichoro5634 2 жыл бұрын
Pole Sana Dada Frola mwenyezi Mungu akufunike kwa damu ya Yesu
@mariamobedy9898
@mariamobedy9898 3 жыл бұрын
Daaah pole dd
@sirielsamweli5688
@sirielsamweli5688 3 жыл бұрын
Pole sanaa dada flora'''''' Mungu akutie nguvu ktk kaxi nxuriiiiii ya kuhudumia jamaniiii.
@zuhurambonde7599
@zuhurambonde7599 2 жыл бұрын
Flora uko vizuri kweli inshallah.
@juliennempawenimana2049
@juliennempawenimana2049 3 жыл бұрын
Asante frola
@salhaissa2619
@salhaissa2619 3 жыл бұрын
Dah pole sn da frola mungu yupo ataendlea kuklinda inshaallha binafc nakupnd sn
@Maryam-yt8lw
@Maryam-yt8lw 2 жыл бұрын
Hongera flora kwa mapito upitia mengi yana lingana na yangu
@liyanakarzan182
@liyanakarzan182 3 жыл бұрын
Daaa maisha banh
@biberpriyer330
@biberpriyer330 3 жыл бұрын
Mungu akulinde uishi miaka mingi binadam tunaroho tofauti jaman MTU from no where hapend maendeleo yako ni laaan zinamsumbua mungu awalaan wanaotaka kukukatisha na kazi zako za kusaidia jamii
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 3 жыл бұрын
Yaani nakupendaga sana filo wa watoto,unajitoa sanaaaa
@georgiaruhinda1704
@georgiaruhinda1704 2 жыл бұрын
Dada Frola nakuombea kwa mungu usijali usilalamike bwana Yesu yuko upande wako ,kwasababu unafanya kazi ya mungu kusaidia yatima wenye mazingira magumu wanaokatariwa km yule bibi wa mtoto shemsa so wanadamu hatuna jema mungu ni mwaminifu sana atateta na wanaoteta nawe
@rosejoseph9378
@rosejoseph9378 3 жыл бұрын
Flora Mungu akubariki kwa kazi unayoifanya
@newengwashi2662
@newengwashi2662 3 жыл бұрын
Piga kazi mie mwenyewe nakukubali sana👍🏾🥰
@starcostantine6250
@starcostantine6250 3 жыл бұрын
Usiogope vitisho ,Fanya KAZI uliyoitiwa na mungu yakusaidia,mungu ataendelea kukulinda
@TeamKRX
@TeamKRX 2 жыл бұрын
Aaaa uyu dada nampenda kichizi eee mungu akuweke unavyopapambana na umaskini wa watu kuwataftia riziki daa heko ya heko dada floka mungu akuweekee mkono
@azashaban5846
@azashaban5846 3 жыл бұрын
Da frola we nimzulii sanaa hongera da wa taifaa
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
Big up Flora. I love you sweet love. Mungu aturehemu kwa kukuwazia mabaya
@dorahpatrick6698
@dorahpatrick6698 2 жыл бұрын
Nakupenda 💞
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 жыл бұрын
Dada flora wewe ni jasiri na nnashukuru serikari kwa kukutambua Mungu akubariki na akulinde
@jojomolla7607
@jojomolla7607 3 жыл бұрын
Pole mamy mungu akulinde
@kingsonmurekezi83
@kingsonmurekezi83 3 жыл бұрын
Kumbe mh Lema anatoka kwenye family tajiri!
@honorathakiluku7722
@honorathakiluku7722 2 жыл бұрын
Dah umenipa ujasir wa kuendelea kupambana Dada,MUNGu akulnde na akubarik pia
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, Allah akubariki inshallah 🙏
@queenmollel9593
@queenmollel9593 3 жыл бұрын
Dada Flora hakuna aliyefanikiwa kwa kulala au njia moja, waliofanikiwa wamepitia mambo mengi lazima ujiamini wewe mwenyewe mwisho wa siku maisha ni ya kwako mwenyewe, songa mbele , Asante kwa kujiamini .
@ednacelemon5950
@ednacelemon5950 3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu kwa kazi yako ya kutetea wanyonge ipo sababu ya Mungu kutenda haya.
@florakaganda3032
@florakaganda3032 3 жыл бұрын
Aisee Flora nakupenda sana Mungu akulinde sana jmn
@sheilalolila2233
@sheilalolila2233 Жыл бұрын
Mungu akujalie umri mrefu uzidi kuwalea wenye huhitaji amin
@zuwaynamussa5629
@zuwaynamussa5629 3 жыл бұрын
Ni mzuri mashallah roh sura mpole wallah nampenda sana huyu dada❤️😘
@neemamturi3273
@neemamturi3273 3 жыл бұрын
Pole Sana Dada Frola nakupenda sana kiukweli hata Mimi napenda sana kusaidia lakini umenikatisha tamaa kutokana na changamoto uliyopitia ila ninaamini hakuna kazi isiyokuwa na changamoto.
@heroes1932
@heroes1932 3 жыл бұрын
Dada Frola wewe ni zaidi ya malikia wanguvu, siku zote mti wenye matunda hupigwa mawe usikate tamaa hatima yako ni kubwa sana umebeba jambo kubwa sana ndani yako, wanadamu siku zote huwaza mabaya ktk mioyo yao, usiwajali wewe kaza mwendo kwa imani my champion Lady
@patiencengara5745
@patiencengara5745 2 жыл бұрын
Pole dada flora mungu atakupigania kila siku
@Globalpeace123
@Globalpeace123 Жыл бұрын
Flora Mungu yuko pamoja nawe Na hao wanaopiga kelele tunaomba Mungu ashughulike nao Bwana ameahidi atapigana na wateja wetu na sisi tunaomba na iwe hivyo apigane nao hao wanaokufanyia fitina na uzushi
@esterpaulo6080
@esterpaulo6080 3 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupigania
@reginaedward4883
@reginaedward4883 3 жыл бұрын
Luv u FLORA.
@user-os9ul5iu5y
@user-os9ul5iu5y 3 жыл бұрын
Dada hongeya sana kweri
@judithsalufu5688
@judithsalufu5688 3 жыл бұрын
mungu akusimamie dada😘😘😘
@dianajoseph6673
@dianajoseph6673 3 жыл бұрын
Mungu atakungarisha kila itwapo leo dada mshukuru Mungu kwa yote hio kz yeye ndo amekupa usisahau na atakulinda siku zote za maisha yako Amen
@hedayaabeid3196
@hedayaabeid3196 3 жыл бұрын
Malkia wa nguvu Mpambanaji big up
@asmahanyally3225
@asmahanyally3225 3 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi uzidi kuwasaidia wenye uhitaji
@neemamayco3238
@neemamayco3238 3 жыл бұрын
Pole sana flora me nakupenda mno
@aishamaulid1896
@aishamaulid1896 3 жыл бұрын
Wallah dada frola nakupenda sana Allah akupe maisha marefu
@ednajeremiah8671
@ednajeremiah8671 2 жыл бұрын
Dada flora hongera sana
@pendomariki6562
@pendomariki6562 3 жыл бұрын
Hongera dada flora Mungu akuteteee
@blasidajulius2240
@blasidajulius2240 3 жыл бұрын
Mungu akubarik sana Frola usikate tamaa maneno yapo tuu songa mbele
@roseraphael8959
@roseraphael8959 3 жыл бұрын
Cjampenda mtangazaj hajauliza all we want da flora keep t up
@niwemugenimediatrice5640
@niwemugenimediatrice5640 3 жыл бұрын
Kwani yy ni Mungu mwenye uwezo wa kusoma ulichonacho moyoni
@vailethalabama8255
@vailethalabama8255 3 жыл бұрын
Yo my favourite dada frola mungu akutunzeee
@abdul-rahmanfakijuma1879
@abdul-rahmanfakijuma1879 3 жыл бұрын
Pole Allwah akutie nguvu na moyo
@sophiamacdonald2711
@sophiamacdonald2711 3 жыл бұрын
Mungu akupiganie flora na akupe maisha marefu uzid kusaidia weng
@lifejeremiah6957
@lifejeremiah6957 3 жыл бұрын
Nakupenda Sana dada florah
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 2 жыл бұрын
Mungu akutetee
@azizamwamvita1666
@azizamwamvita1666 2 жыл бұрын
Nakupenda cn dada yngu
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 3 жыл бұрын
Fanya tu dada mungu ndie atakaekulipa binaadam sisi hata ufanye jema lipi huwa kwetu baya
@zwainazwaina9808
@zwainazwaina9808 3 жыл бұрын
Dah
@farajalucas2742
@farajalucas2742 3 жыл бұрын
Usiseme hivyo dada Flor mungu mkubwa atakulinda utaishi hutakufa tunakuombeya dada yetu
@muaminhakizimana1671
@muaminhakizimana1671 3 жыл бұрын
Frora wapitena dada kaziyako yakuteteya wanyonge umewaciya nani?
@greenermichael2057
@greenermichael2057 2 жыл бұрын
Mungu anaendelea kuwaaibisha maadui zako baki na yeye tu sisi wanadamu tuna unafiki Mungu Hana unafiki
@auntdorah9141
@auntdorah9141 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda Florah...
@rajeep-ni7lh
@rajeep-ni7lh 2 жыл бұрын
We love you bless ❤❤❤❤❤
@ashiraally527
@ashiraally527 3 жыл бұрын
Dada Frola uko vizur mm nakupendaga sana
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 29 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 33 МЛН
Flora Mbasha kaolewa tena... Tazama ndoa ilivyofungwa
25:17
Millard Ayo
Рет қаралды 814 М.
VANESSA MDEE AJIZAWADIA G WAGON MERCEDES BENZ MPYA SHOWROOM
2:22
Millard Ayo
Рет қаралды 3,4 М.
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН