HAFLA MAALUM YA SHUKRANI, UPENDO MEDIA DAR ES SALAAM
Пікірлер: 157
@jacklinemwita41733 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi ni kweli. Hata mimi nilishawahi kumtolea Mungu siku moja nilikuwa naenda kanisani nikajisikia nitoe hela zote nilizo kuwanazo. Sikubaki hata na nauli ila Muda wa kuombea sadaka niliona. Mkonge uliokauka unatoka unatembea harafu kikaona mtende umesitawi na pembeni yake vipo vidogo viwili na chini yake yale majani alikuwa yamesitawi sana. Yaani tangia siku hiyo sijawahi kukoswa hela na maisha yangu yalipanda
@suzanamunghamba79613 жыл бұрын
MUNGU mambo yake ya ajabu, anafanya tusio yawaza kabisa
@bonifacebeatrice80773 жыл бұрын
Amina
@catherinekashenge37043 жыл бұрын
Mungu tuone na sisi.
@hoglamumbee3446 ай бұрын
Amen amen
@patrickedson503 жыл бұрын
Faida ya 6. Mungu nakuomba umbariki zaidi Mtumishi wako Mwl. C Mwakasege. Amen
@elizabethjuma28373 жыл бұрын
Kupitia kwa mafundisho yako. Niliomba mniombee mamangu alikua akisumbuliwa n magoti. Alikua hawezi ata kutembea. Akaenda hospital akaambiwa ana shida ya moyo n Figo. Mwalimu Mwakasege alisema tuweke mikono kichwan kumuombea yule mgonjwa uko nae. Nikafanya ivo. Kwa sasa mama anatembea vizur sana. Japo bado hajapona kabisa, lakini nina iman atapona kabisa maana Mungu wetu n mkuu🙏🙏
@malilaizer1232 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@liliemonroe140611 ай бұрын
Mama Anaendeleaje ?
@cantcan16443 жыл бұрын
Nawapenda sana nyie watumishi wa mungu wa Izrael,,,,,Napenda sana maubiri yenu Namwomba mungu asinipite Asipite watoto wangu ,,eeeh mungu Nazidi kukuomba unipe mwalim wa neno lako kwenye uzao wa tumbo langu,,,Amen
@janiffermueni32133 жыл бұрын
Woow mungu atakupa
@livetlivet3913 жыл бұрын
Eeeh Mungu nataka nikujue zaidi,nikupendeze,nikuguse,niguse Moyo wa Mungu,nipe kutoa kunakokupendeza🙏🙏🙏
@peaceisrael81583 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana, nimekosa usingizi ikiwa bado ni usiku wa manane hspa Ujerumani so nikajikuta niko nawatch hapa na baraka hizi za kujua haya
@upendoeliudi51963 жыл бұрын
Aminaa Mungu wa mbinguni akubariki sana mwalim Christopher Mwakasege pamoja na family yako 🙏🙏🙏🙏🙏
@nabiiesterdonald42053 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu ww na family yako na huduma ya ufalne wa Mungu aliye hai iwe na ulinzi siku zite za maisha ya huduma yako
@gabriellyadam94152 жыл бұрын
mimi ushuhuda wangu Namshukuru Mungu amenipa kukuombea mwalim.nisipoomba kwa ajili yako na huduma ya mana kuna kitu namis ndani yangu na ninajua kabisa.so furaha yangu kukuombea mtumishi wa Mungu.Na ninabarikiwa na mengi mno kupitia huduma hii hapatoshi kuyataja hapa.Mungu awabariki sana mno.
@happinesstemu54143 жыл бұрын
Asante Yesu Kulisikia neno hili. Nisaidie Yesu kulitendea kazi. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
@tulymlomo87063 жыл бұрын
Haya mafundisho mwalim yanarushwa sangapi naomba kujua
@maikomahanji94112 жыл бұрын
Wapendwa katika bwana mimi naomb mniombee nimekuwa mkame sana sana sisikii kuomba kabisa haya kusoma neno la mungu sielewi kitu naomba maombi mungu anisaidie nitoka huko kwenye ukame huu sipendi mimi jamani natamani sana kuomba Kwa kumanisha sitaki kuigiza. Na linguine naomba maombi ninauvimbi kwenye kizaza Dr amesema eti ni mkubwa sm 8 naomba maombi mungu anisaidie nipone mimi
@vanessazbliss3 жыл бұрын
Hahaha I love the love between mama na baba mchungaji and I'm blessed by the word today.
@jamesmawenya4803 жыл бұрын
Mungu azidi kukufunika na kukulinda mwalimu Christopher mwakasege
@livetlivet3913 жыл бұрын
Oooooooh thanks God Kuna nyumba nimepanda mbegu Mana niliiombea haina mtoto🙌🙌🙌
@ikupamwaisoba41183 жыл бұрын
Amina baba na mama Mungu azidi kuwainua viwango vingine visivyosemeka.
@DeborahJustine-cq8hdАй бұрын
Ameni , Mtumishi wa Yesu akubariki.
@olenjolai80953 жыл бұрын
Ahsante Bwana Yesu kwa Kuipenda Upendo Media
@norahndesanjomwanga86623 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
@upendokiwanga95383 жыл бұрын
4.Mungu atakubariki zaidi 2Kor ......
@waelmsangi55033 жыл бұрын
Mungu aendelee kukuinua Mtumishi wa Mungu. Tunapona kupitia mafundisho yako
@janemalongo54173 жыл бұрын
Imani na Upendo vinaenda sambamba, utahubirije pasipo pelekwa? Maneno haya yamenibariki kwa jina la Yesu.Amina
@neysmgeda4113 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi hill LA Dstv tunaomba kwakweli tunaomba saaana nasi pia
@furbenj7405 Жыл бұрын
Haleluya nawapa Hongera sana Wazazi wangu Watumishi Wa Mungu hadi sasa watuwengi tumefunguliwa sana nakubarikiwa Mungu azidi kuwapaka mafuta nakuwainua viwango vya juu pamoja na baraka tele za Mungu ziwafuate msipungukiwe kabisa
@Nicaonlinetv73243 жыл бұрын
Baba Mwakasege tutakuchangia wala usikate tamaa tuombee moyo wa utoaji na huruma. Mimi sijawahi kutoa fungu la kumi lakini nimeahidi kwa Mungu nitakuwa natoa kwako ila cjui lini nitaanza. Mafundisho yako ni mazuri sana.Tuliokuwa wavivu kwenda kanisani na wale tuliokatishwa tamaa na wachungaji feki wafanyabiashara na wachumia tumbo ambao wanakatisha tamaa kondoo, sasa tunapata neno la Mungu lenye kiwango kupitia vyombo vya habari na sadaka tunatuma kwa hiyo tunashkuru Mungu ametugusa kwa namna nyingine.Sasa tunapata neno tukiwa kitandani kwa muda wowote You tube,Facebook, tv na redio.
@joycenganyule32313 жыл бұрын
Umenifarahisha haaa haaa eti hujui utaanza lini kutoa fungu la kumi
@davidbahati37482 жыл бұрын
Usiseme utamchangia Mwakasege sema utamtolea Mungu sadaka, na ukiona unasema hujui utaanza Lin kutoa ujue bado neno halijakugusa vzur
@MrSeniorprince353 жыл бұрын
Ahsamte sana Mtumishi. Am Your Number One fun watching from kenya.
@EnestFSoka2 жыл бұрын
Ninaponywa kila iitwapo leo kwa huduma yao mwalinu. Ubarikiwe ktka jina la Kristo Yesu. Ingependeza wachungaji kusimama kwa heshima ya Krisko aliye ndani yako wakati wote umwombapo Mungu.. Amen
@user-vv2xw6zu6k4 ай бұрын
Amina mtumishi naomba mungu na mm anime Imani kubwa ya kumjua zadi ye ye🙏🙏🙏
@blessedtumaini5162 жыл бұрын
Asante Mungu Baba kunifundisha naomba Roho Mtakatifu anisaidie kutiii. Mbarikiwe watu wa Mungu kwa huduma hii njema. 1WAKORINTHO 15:57-58.
@peterjohn20993 жыл бұрын
Amen mtumishi wa bwana ubarikiwe sana
@sireddy20123 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@benjaminpatrick63643 жыл бұрын
Amen baba mtumishiii Mungu akubarikii mnoooo
@lukembilinyi30392 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa MUNGU maana maneno yako yanaonyesha jinsi gani ulivyo muweka MUNGU moyoni mwako. Ubarikiwe
@naserianmichael24113 жыл бұрын
I love you guys Mungu azidi kuwatunza.
@issayalewapi18343 жыл бұрын
Amina sn watumishi wa Mungu. Tunafaidi sana kupitia mafundisho yenu
@furbenj7405 Жыл бұрын
Haleluya nawapa Hongera sana Wazazi wangu Kwajalein mnatusaidia sana
@tullyibrahim80983 жыл бұрын
Mungu nizidishie moyo wa kupenda
@hellendeus78093 жыл бұрын
Barikiwa sana mwalimu
@user-my6rm4gr5i8 ай бұрын
Mungu kwa kupitia mtumishi wako nipe na Mimi nikutumikie kwa nguvu zako
@QUEENJoseph-kh6cb2 ай бұрын
Amin na iwe hivyo pokeya kwa jina la Yesu
@vascosanga76153 жыл бұрын
Ameni.... From Mafinga
@neymermponde78103 жыл бұрын
Amen barikiwa baba
@albinamarcel31173 жыл бұрын
Amen Mwl Mwakasege, nashkuru sana na Mungu akubariki pamoja na familia yako
@catherineminja54813 жыл бұрын
Jaman mm mwakasege ananibariki saana nataman nwe muhubiri kama yeye Mungu nisaidie
@lucasmsigala31793 жыл бұрын
Mungu akutendee sawasawa na haja ya moyo wako
@catherineminja54813 жыл бұрын
Ameeen
@kijiwenikijiweni9118 Жыл бұрын
Asanteee mutimishi.wa Mungu hakika umenena Ameeeen Ameeeni
@johnmasanjakengele15883 жыл бұрын
Asante Mungu kwa ujumbe hi
@rizikipyuzza34113 жыл бұрын
Barikiwa Mwalimu
@angelakalambo21883 жыл бұрын
Ameen baba Mungu awabariki mnoo .ss wa dstv watukumbuke na Mungu awatie nguvu
@dinakyoma59773 жыл бұрын
Asante kwa ombi la DSTV kweli tunakosa hii Neema . Naamini mtatukumbuka. Ubarikiwe Elisha wa kizazi hiki
@nururaphael99133 жыл бұрын
Amen najuingamanisha na neno hili
@floranyefwe34643 жыл бұрын
Mama sauti ako huwa unanipa nguvu ya kusonga mbele nakupenda Sanaa na ninakuombea piaaa
@neemamcharo37973 жыл бұрын
God bless Upendo media
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
🙏 salama rohoni ni salama rohoni mwangu IT IS INDEED . WELL IN MY SOUL. ASANTE YESU. 🙏
@doreenmasumai96613 жыл бұрын
Nimefunguka sana na nitatii zaidi kwa upande wa utoaji hasa kusindikiza neno la Mungu.niliahidi mtumishi ulivyokuja mbeya mwezi uliopita kuchagia seminar mwakani mbeya.nitatimiza
@emanuelmaleshi68496 ай бұрын
Amina mtumish wa munguu
@paulotanaki9583 жыл бұрын
Barikiwa sanaa Mwl
@bilugwemwanzije Жыл бұрын
Amen !! ....amen !!?....Kenya....watamu.
@mchungajijesse45933 жыл бұрын
Amen mama na baba Mwakasege
@ndeshukurwakaaya4385 Жыл бұрын
Nafarijika kwa kuwezeshwa kuishi ndani ya " UWEPO WA MUNGU " kila wakati nasikia hali ya kutokutoka nje ya nguvu ambayo imejidhihirisha kila wakati. Nikitoka nje tu, napata taarifa ndani yangu , na jinsi ya kutawa hali kwa wepesi mkubwa sana Jinsi ya kufanya kwa hali iliyo njema , na kupata furaha , nimevuka. Papo hapo napata hali ya kumweleza mtu mwingine katika hali yenye nguvu ya aina isiyoelezeka. HAKIKA YESU AMETUSHINDIA. HUCHOKI KWA YOTE UFANYAYO. ( EKA NNU DENNY NDUMM8 Y3SU. ) 🙏
@deborahdelly45323 жыл бұрын
Mungu azidi kuwapa mafunuo zaidi nabarikiwa sana nanyi mbarikiwe mno
@lynelee58463 жыл бұрын
Jamani mnai deslike haya masomo MPONE KWA JINA LA YESU;
@joneyhenryk30033 жыл бұрын
Hawajui maana ya like na dislike wasamehee
@lynelee58463 жыл бұрын
@@joneyhenryk3003 haapo umemaliza dadangu
@justicemollel49288 ай бұрын
Ahimidiwe Mungu na kutukuzwa sana milele yote kwa ajili ya upendo media
@dainakinyamagoha48152 жыл бұрын
Mungu awabarik
@epifaniamilinga28482 жыл бұрын
Amina.Mungu anisaidie,peke yangu siwezi.
@jimmymberesero73503 жыл бұрын
AMEEN from Mtwara
@happymatola9802 жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba yetu,mwalimu wetu.
@jovitusregnald13263 жыл бұрын
Amen. From Dodoma Tanzania
@LusekeloSamwely-xl6nm11 ай бұрын
Amenị barikiwa
@upendokiwanga95383 жыл бұрын
3.Imani unayoitumia Ktk kutoa sadaka inakupa sauti
@merymrema4203 жыл бұрын
Nakushukru MUNGU Kwa upendo wako kutupa mwalimu naomba uzidi kumpa afya njema yeye na family yake
@michaelmalisa4943 жыл бұрын
Barikiwa mtumish
@godfreymsembe1692 жыл бұрын
Nashukuru sana Mwalimu umenisaidia
@albertsalota59513 жыл бұрын
Barikiwe baba mtumishi wa mungu
@marymrema60673 жыл бұрын
Mungu alietufilia pale msalaban azid kukulinda mwalimu...
@DeborahJustine-cq8hdАй бұрын
Utukufu kwa Yesu.
@catherinekashenge37043 жыл бұрын
Asante Muumba kwa ajili ya mtumishi wako
@bagumaeliaamoti69433 жыл бұрын
Aksante Mwalimu Wa habari ya Bwana Mungu akubariki
@joycebuberwa7982 Жыл бұрын
Amina
@godlistengipson72682 жыл бұрын
Aminaaa
@edinahmaganga27223 жыл бұрын
Baba na Mama ninawapenda sana Mungu azidi kuwatunza milele
@mrslucasndoka29203 жыл бұрын
Asante Yesu kwa mafundisho haya, Mungu azidi kukulinda na kukubarki Mtumishi🙏🙏🙏
@TrynesDastanNyamaNyama9 ай бұрын
Amen Amen
@heavenlight50843 жыл бұрын
Love you dady n mom very much.
@luganomwaigomole88493 жыл бұрын
Amen baba
@beatricemayengo8631 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki hakika mafundisho yako ni mazuri.
@merymrema4203 жыл бұрын
Ameni
@erickchuma8213 жыл бұрын
Napokea kwa jina la YESU
@deborambogoso1953 жыл бұрын
Amen mtumishi .Barikiwa
@obadiafredy44993 жыл бұрын
Glory to God 🙌
@bishoptvalbert41123 жыл бұрын
Salama moyoni mwangu
@mariapaul17033 жыл бұрын
Amén Amen 🙏🏾
@judygathoni58613 жыл бұрын
From Qatar tuko
@jamesmawenya4803 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana Mtumishi mwalimu wake Christopher mwakasege . Azidi kukutunza na kukulinda.. Mungu azidi kukutumia kulijenga kanisa zaidi na zaidi
@barakamapasa29472 жыл бұрын
Hakika Neema ya Mungu isikupungukie Mwal. C Mwakasege.
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Good respect
@anjelasaid60983 жыл бұрын
Always blessed dady
@francismfinanga25883 жыл бұрын
Thank you Jesus Amen
@happydorcasmollelmollel6114 Жыл бұрын
Amen
@dasoemillian16803 жыл бұрын
Salama rohoni mwangu
@catrachannel79353 жыл бұрын
Glory to God.
@upendokiwanga95383 жыл бұрын
2.upako ulio juu yao utakuja na juu yako pia Neh 2:8