FAIDA ZA IMANI UNAYOITUMIA KATIKA KUTOA SADAKA

  Рет қаралды 146,805

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL

3 жыл бұрын

HAFLA MAALUM YA SHUKRANI, UPENDO MEDIA DAR ES SALAAM

Пікірлер: 157
@jacklinemwita4173
@jacklinemwita4173 3 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi ni kweli. Hata mimi nilishawahi kumtolea Mungu siku moja nilikuwa naenda kanisani nikajisikia nitoe hela zote nilizo kuwanazo. Sikubaki hata na nauli ila Muda wa kuombea sadaka niliona. Mkonge uliokauka unatoka unatembea harafu kikaona mtende umesitawi na pembeni yake vipo vidogo viwili na chini yake yale majani alikuwa yamesitawi sana. Yaani tangia siku hiyo sijawahi kukoswa hela na maisha yangu yalipanda
@suzanamunghamba7961
@suzanamunghamba7961 3 жыл бұрын
MUNGU mambo yake ya ajabu, anafanya tusio yawaza kabisa
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 жыл бұрын
Amina
@catherinekashenge3704
@catherinekashenge3704 3 жыл бұрын
Mungu tuone na sisi.
@hoglamumbee344
@hoglamumbee344 6 ай бұрын
Amen amen
@patrickedson50
@patrickedson50 3 жыл бұрын
Faida ya 6. Mungu nakuomba umbariki zaidi Mtumishi wako Mwl. C Mwakasege. Amen
@elizabethjuma2837
@elizabethjuma2837 3 жыл бұрын
Kupitia kwa mafundisho yako. Niliomba mniombee mamangu alikua akisumbuliwa n magoti. Alikua hawezi ata kutembea. Akaenda hospital akaambiwa ana shida ya moyo n Figo. Mwalimu Mwakasege alisema tuweke mikono kichwan kumuombea yule mgonjwa uko nae. Nikafanya ivo. Kwa sasa mama anatembea vizur sana. Japo bado hajapona kabisa, lakini nina iman atapona kabisa maana Mungu wetu n mkuu🙏🙏
@malilaizer123
@malilaizer123 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@liliemonroe1406
@liliemonroe1406 11 ай бұрын
Mama Anaendeleaje ?
@cantcan1644
@cantcan1644 3 жыл бұрын
Nawapenda sana nyie watumishi wa mungu wa Izrael,,,,,Napenda sana maubiri yenu Namwomba mungu asinipite Asipite watoto wangu ,,eeeh mungu Nazidi kukuomba unipe mwalim wa neno lako kwenye uzao wa tumbo langu,,,Amen
@janiffermueni3213
@janiffermueni3213 3 жыл бұрын
Woow mungu atakupa
@livetlivet391
@livetlivet391 3 жыл бұрын
Eeeh Mungu nataka nikujue zaidi,nikupendeze,nikuguse,niguse Moyo wa Mungu,nipe kutoa kunakokupendeza🙏🙏🙏
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 3 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana, nimekosa usingizi ikiwa bado ni usiku wa manane hspa Ujerumani so nikajikuta niko nawatch hapa na baraka hizi za kujua haya
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 3 жыл бұрын
Aminaa Mungu wa mbinguni akubariki sana mwalim Christopher Mwakasege pamoja na family yako 🙏🙏🙏🙏🙏
@nabiiesterdonald4205
@nabiiesterdonald4205 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu ww na family yako na huduma ya ufalne wa Mungu aliye hai iwe na ulinzi siku zite za maisha ya huduma yako
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
mimi ushuhuda wangu Namshukuru Mungu amenipa kukuombea mwalim.nisipoomba kwa ajili yako na huduma ya mana kuna kitu namis ndani yangu na ninajua kabisa.so furaha yangu kukuombea mtumishi wa Mungu.Na ninabarikiwa na mengi mno kupitia huduma hii hapatoshi kuyataja hapa.Mungu awabariki sana mno.
@happinesstemu5414
@happinesstemu5414 3 жыл бұрын
Asante Yesu Kulisikia neno hili. Nisaidie Yesu kulitendea kazi. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
@tulymlomo8706
@tulymlomo8706 3 жыл бұрын
Haya mafundisho mwalim yanarushwa sangapi naomba kujua
@maikomahanji9411
@maikomahanji9411 2 жыл бұрын
Wapendwa katika bwana mimi naomb mniombee nimekuwa mkame sana sana sisikii kuomba kabisa haya kusoma neno la mungu sielewi kitu naomba maombi mungu anisaidie nitoka huko kwenye ukame huu sipendi mimi jamani natamani sana kuomba Kwa kumanisha sitaki kuigiza. Na linguine naomba maombi ninauvimbi kwenye kizaza Dr amesema eti ni mkubwa sm 8 naomba maombi mungu anisaidie nipone mimi
@vanessazbliss
@vanessazbliss 3 жыл бұрын
Hahaha I love the love between mama na baba mchungaji and I'm blessed by the word today.
@jamesmawenya480
@jamesmawenya480 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukufunika na kukulinda mwalimu Christopher mwakasege
@livetlivet391
@livetlivet391 3 жыл бұрын
Oooooooh thanks God Kuna nyumba nimepanda mbegu Mana niliiombea haina mtoto🙌🙌🙌
@ikupamwaisoba4118
@ikupamwaisoba4118 3 жыл бұрын
Amina baba na mama Mungu azidi kuwainua viwango vingine visivyosemeka.
@DeborahJustine-cq8hd
@DeborahJustine-cq8hd Ай бұрын
Ameni , Mtumishi wa Yesu akubariki.
@olenjolai8095
@olenjolai8095 3 жыл бұрын
Ahsante Bwana Yesu kwa Kuipenda Upendo Media
@norahndesanjomwanga8662
@norahndesanjomwanga8662 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
@upendokiwanga9538
@upendokiwanga9538 3 жыл бұрын
4.Mungu atakubariki zaidi 2Kor ......
@waelmsangi5503
@waelmsangi5503 3 жыл бұрын
Mungu aendelee kukuinua Mtumishi wa Mungu. Tunapona kupitia mafundisho yako
@janemalongo5417
@janemalongo5417 3 жыл бұрын
Imani na Upendo vinaenda sambamba, utahubirije pasipo pelekwa? Maneno haya yamenibariki kwa jina la Yesu.Amina
@neysmgeda411
@neysmgeda411 3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi hill LA Dstv tunaomba kwakweli tunaomba saaana nasi pia
@furbenj7405
@furbenj7405 Жыл бұрын
Haleluya nawapa Hongera sana Wazazi wangu Watumishi Wa Mungu hadi sasa watuwengi tumefunguliwa sana nakubarikiwa Mungu azidi kuwapaka mafuta nakuwainua viwango vya juu pamoja na baraka tele za Mungu ziwafuate msipungukiwe kabisa
@Nicaonlinetv7324
@Nicaonlinetv7324 3 жыл бұрын
Baba Mwakasege tutakuchangia wala usikate tamaa tuombee moyo wa utoaji na huruma. Mimi sijawahi kutoa fungu la kumi lakini nimeahidi kwa Mungu nitakuwa natoa kwako ila cjui lini nitaanza. Mafundisho yako ni mazuri sana.Tuliokuwa wavivu kwenda kanisani na wale tuliokatishwa tamaa na wachungaji feki wafanyabiashara na wachumia tumbo ambao wanakatisha tamaa kondoo, sasa tunapata neno la Mungu lenye kiwango kupitia vyombo vya habari na sadaka tunatuma kwa hiyo tunashkuru Mungu ametugusa kwa namna nyingine.Sasa tunapata neno tukiwa kitandani kwa muda wowote You tube,Facebook, tv na redio.
@joycenganyule3231
@joycenganyule3231 3 жыл бұрын
Umenifarahisha haaa haaa eti hujui utaanza lini kutoa fungu la kumi
@davidbahati3748
@davidbahati3748 2 жыл бұрын
Usiseme utamchangia Mwakasege sema utamtolea Mungu sadaka, na ukiona unasema hujui utaanza Lin kutoa ujue bado neno halijakugusa vzur
@MrSeniorprince35
@MrSeniorprince35 3 жыл бұрын
Ahsamte sana Mtumishi. Am Your Number One fun watching from kenya.
@EnestFSoka
@EnestFSoka 2 жыл бұрын
Ninaponywa kila iitwapo leo kwa huduma yao mwalinu. Ubarikiwe ktka jina la Kristo Yesu. Ingependeza wachungaji kusimama kwa heshima ya Krisko aliye ndani yako wakati wote umwombapo Mungu.. Amen
@user-vv2xw6zu6k
@user-vv2xw6zu6k 4 ай бұрын
Amina mtumishi naomba mungu na mm anime Imani kubwa ya kumjua zadi ye ye🙏🙏🙏
@blessedtumaini516
@blessedtumaini516 2 жыл бұрын
Asante Mungu Baba kunifundisha naomba Roho Mtakatifu anisaidie kutiii. Mbarikiwe watu wa Mungu kwa huduma hii njema. 1WAKORINTHO 15:57-58.
@peterjohn2099
@peterjohn2099 3 жыл бұрын
Amen mtumishi wa bwana ubarikiwe sana
@sireddy2012
@sireddy2012 3 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@benjaminpatrick6364
@benjaminpatrick6364 3 жыл бұрын
Amen baba mtumishiii Mungu akubarikii mnoooo
@lukembilinyi3039
@lukembilinyi3039 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa MUNGU maana maneno yako yanaonyesha jinsi gani ulivyo muweka MUNGU moyoni mwako. Ubarikiwe
@naserianmichael2411
@naserianmichael2411 3 жыл бұрын
I love you guys Mungu azidi kuwatunza.
@issayalewapi1834
@issayalewapi1834 3 жыл бұрын
Amina sn watumishi wa Mungu. Tunafaidi sana kupitia mafundisho yenu
@furbenj7405
@furbenj7405 Жыл бұрын
Haleluya nawapa Hongera sana Wazazi wangu Kwajalein mnatusaidia sana
@tullyibrahim8098
@tullyibrahim8098 3 жыл бұрын
Mungu nizidishie moyo wa kupenda
@hellendeus7809
@hellendeus7809 3 жыл бұрын
Barikiwa sana mwalimu
@user-my6rm4gr5i
@user-my6rm4gr5i 8 ай бұрын
Mungu kwa kupitia mtumishi wako nipe na Mimi nikutumikie kwa nguvu zako
@QUEENJoseph-kh6cb
@QUEENJoseph-kh6cb 2 ай бұрын
Amin na iwe hivyo pokeya kwa jina la Yesu
@vascosanga7615
@vascosanga7615 3 жыл бұрын
Ameni.... From Mafinga
@neymermponde7810
@neymermponde7810 3 жыл бұрын
Amen barikiwa baba
@albinamarcel3117
@albinamarcel3117 3 жыл бұрын
Amen Mwl Mwakasege, nashkuru sana na Mungu akubariki pamoja na familia yako
@catherineminja5481
@catherineminja5481 3 жыл бұрын
Jaman mm mwakasege ananibariki saana nataman nwe muhubiri kama yeye Mungu nisaidie
@lucasmsigala3179
@lucasmsigala3179 3 жыл бұрын
Mungu akutendee sawasawa na haja ya moyo wako
@catherineminja5481
@catherineminja5481 3 жыл бұрын
Ameeen
@kijiwenikijiweni9118
@kijiwenikijiweni9118 Жыл бұрын
Asanteee mutimishi.wa Mungu hakika umenena Ameeeen Ameeeni
@johnmasanjakengele1588
@johnmasanjakengele1588 3 жыл бұрын
Asante Mungu kwa ujumbe hi
@rizikipyuzza3411
@rizikipyuzza3411 3 жыл бұрын
Barikiwa Mwalimu
@angelakalambo2188
@angelakalambo2188 3 жыл бұрын
Ameen baba Mungu awabariki mnoo .ss wa dstv watukumbuke na Mungu awatie nguvu
@dinakyoma5977
@dinakyoma5977 3 жыл бұрын
Asante kwa ombi la DSTV kweli tunakosa hii Neema . Naamini mtatukumbuka. Ubarikiwe Elisha wa kizazi hiki
@nururaphael9913
@nururaphael9913 3 жыл бұрын
Amen najuingamanisha na neno hili
@floranyefwe3464
@floranyefwe3464 3 жыл бұрын
Mama sauti ako huwa unanipa nguvu ya kusonga mbele nakupenda Sanaa na ninakuombea piaaa
@neemamcharo3797
@neemamcharo3797 3 жыл бұрын
God bless Upendo media
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 2 жыл бұрын
🙏 salama rohoni ni salama rohoni mwangu IT IS INDEED . WELL IN MY SOUL. ASANTE YESU. 🙏
@doreenmasumai9661
@doreenmasumai9661 3 жыл бұрын
Nimefunguka sana na nitatii zaidi kwa upande wa utoaji hasa kusindikiza neno la Mungu.niliahidi mtumishi ulivyokuja mbeya mwezi uliopita kuchagia seminar mwakani mbeya.nitatimiza
@emanuelmaleshi6849
@emanuelmaleshi6849 6 ай бұрын
Amina mtumish wa munguu
@paulotanaki958
@paulotanaki958 3 жыл бұрын
Barikiwa sanaa Mwl
@bilugwemwanzije
@bilugwemwanzije Жыл бұрын
Amen !! ....amen !!?....Kenya....watamu.
@mchungajijesse4593
@mchungajijesse4593 3 жыл бұрын
Amen mama na baba Mwakasege
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 Жыл бұрын
Nafarijika kwa kuwezeshwa kuishi ndani ya " UWEPO WA MUNGU " kila wakati nasikia hali ya kutokutoka nje ya nguvu ambayo imejidhihirisha kila wakati. Nikitoka nje tu, napata taarifa ndani yangu , na jinsi ya kutawa hali kwa wepesi mkubwa sana Jinsi ya kufanya kwa hali iliyo njema , na kupata furaha , nimevuka. Papo hapo napata hali ya kumweleza mtu mwingine katika hali yenye nguvu ya aina isiyoelezeka. HAKIKA YESU AMETUSHINDIA. HUCHOKI KWA YOTE UFANYAYO. ( EKA NNU DENNY NDUMM8 Y3SU. ) 🙏
@deborahdelly4532
@deborahdelly4532 3 жыл бұрын
Mungu azidi kuwapa mafunuo zaidi nabarikiwa sana nanyi mbarikiwe mno
@lynelee5846
@lynelee5846 3 жыл бұрын
Jamani mnai deslike haya masomo MPONE KWA JINA LA YESU;
@joneyhenryk3003
@joneyhenryk3003 3 жыл бұрын
Hawajui maana ya like na dislike wasamehee
@lynelee5846
@lynelee5846 3 жыл бұрын
@@joneyhenryk3003 haapo umemaliza dadangu
@justicemollel4928
@justicemollel4928 8 ай бұрын
Ahimidiwe Mungu na kutukuzwa sana milele yote kwa ajili ya upendo media
@dainakinyamagoha4815
@dainakinyamagoha4815 2 жыл бұрын
Mungu awabarik
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 жыл бұрын
Amina.Mungu anisaidie,peke yangu siwezi.
@jimmymberesero7350
@jimmymberesero7350 3 жыл бұрын
AMEEN from Mtwara
@happymatola980
@happymatola980 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba yetu,mwalimu wetu.
@jovitusregnald1326
@jovitusregnald1326 3 жыл бұрын
Amen. From Dodoma Tanzania
@LusekeloSamwely-xl6nm
@LusekeloSamwely-xl6nm 11 ай бұрын
Amenị barikiwa
@upendokiwanga9538
@upendokiwanga9538 3 жыл бұрын
3.Imani unayoitumia Ktk kutoa sadaka inakupa sauti
@merymrema420
@merymrema420 3 жыл бұрын
Nakushukru MUNGU Kwa upendo wako kutupa mwalimu naomba uzidi kumpa afya njema yeye na family yake
@michaelmalisa494
@michaelmalisa494 3 жыл бұрын
Barikiwa mtumish
@godfreymsembe169
@godfreymsembe169 2 жыл бұрын
Nashukuru sana Mwalimu umenisaidia
@albertsalota5951
@albertsalota5951 3 жыл бұрын
Barikiwe baba mtumishi wa mungu
@marymrema6067
@marymrema6067 3 жыл бұрын
Mungu alietufilia pale msalaban azid kukulinda mwalimu...
@DeborahJustine-cq8hd
@DeborahJustine-cq8hd Ай бұрын
Utukufu kwa Yesu.
@catherinekashenge3704
@catherinekashenge3704 3 жыл бұрын
Asante Muumba kwa ajili ya mtumishi wako
@bagumaeliaamoti6943
@bagumaeliaamoti6943 3 жыл бұрын
Aksante Mwalimu Wa habari ya Bwana Mungu akubariki
@joycebuberwa7982
@joycebuberwa7982 Жыл бұрын
Amina
@godlistengipson7268
@godlistengipson7268 2 жыл бұрын
Aminaaa
@edinahmaganga2722
@edinahmaganga2722 3 жыл бұрын
Baba na Mama ninawapenda sana Mungu azidi kuwatunza milele
@mrslucasndoka2920
@mrslucasndoka2920 3 жыл бұрын
Asante Yesu kwa mafundisho haya, Mungu azidi kukulinda na kukubarki Mtumishi🙏🙏🙏
@TrynesDastanNyamaNyama
@TrynesDastanNyamaNyama 9 ай бұрын
Amen Amen
@heavenlight5084
@heavenlight5084 3 жыл бұрын
Love you dady n mom very much.
@luganomwaigomole8849
@luganomwaigomole8849 3 жыл бұрын
Amen baba
@beatricemayengo8631
@beatricemayengo8631 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki hakika mafundisho yako ni mazuri.
@merymrema420
@merymrema420 3 жыл бұрын
Ameni
@erickchuma821
@erickchuma821 3 жыл бұрын
Napokea kwa jina la YESU
@deborambogoso195
@deborambogoso195 3 жыл бұрын
Amen mtumishi .Barikiwa
@obadiafredy4499
@obadiafredy4499 3 жыл бұрын
Glory to God 🙌
@bishoptvalbert4112
@bishoptvalbert4112 3 жыл бұрын
Salama moyoni mwangu
@mariapaul1703
@mariapaul1703 3 жыл бұрын
Amén Amen 🙏🏾
@judygathoni5861
@judygathoni5861 3 жыл бұрын
From Qatar tuko
@jamesmawenya480
@jamesmawenya480 3 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana Mtumishi mwalimu wake Christopher mwakasege . Azidi kukutunza na kukulinda.. Mungu azidi kukutumia kulijenga kanisa zaidi na zaidi
@barakamapasa2947
@barakamapasa2947 2 жыл бұрын
Hakika Neema ya Mungu isikupungukie Mwal. C Mwakasege.
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Good respect
@anjelasaid6098
@anjelasaid6098 3 жыл бұрын
Always blessed dady
@francismfinanga2588
@francismfinanga2588 3 жыл бұрын
Thank you Jesus Amen
@happydorcasmollelmollel6114
@happydorcasmollelmollel6114 Жыл бұрын
Amen
@dasoemillian1680
@dasoemillian1680 3 жыл бұрын
Salama rohoni mwangu
@catrachannel7935
@catrachannel7935 3 жыл бұрын
Glory to God.
@upendokiwanga9538
@upendokiwanga9538 3 жыл бұрын
2.upako ulio juu yao utakuja na juu yako pia Neh 2:8
@johnstonkayila5775
@johnstonkayila5775 3 жыл бұрын
Amen from Dar city
@gideons5265
@gideons5265 3 жыл бұрын
Nenda Kakae... Nimeipenda
@Bilikejr_12
@Bilikejr_12 5 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
FAIDA ZA KUPOKEA UPAKO WA MFALME NA KUHANI MKUU MELKIZEKI WAKATI WA KUSHIRIKI MEZA YA BWANA
1:19:18
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 157 М.
NYOMI LA STESHENI YA SGR DODOMA NI HIVI 🔥🔥🔥🔥🔥
10:13
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,1 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 77 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 13 МЛН
SEMINA YA VIJANA DODOMA 2016
40:59
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 79 М.
UTURUKI KUILINDA NIGER DHIDI YA UVAMIZI WA ECOWAS/MAGAIDI NA UMOJA WA AFRIKA
11:40
SADAKA NA FUNGU LA KUMI
48:56
RGC-TOANGOMA
Рет қаралды 19 М.
TIZAMA MATENDO MAKUU YA MUNGU, BAADA YA MAOMBI YALIYOONGOZWA NA MWL MWAKASEGE, HAKIKA MUNGU AKAJIBU.
34:59
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 269 М.
#2. CHAKULA CHA BWANA KAMA MAHAKAMA INAYOMPA MUNGU UHALALI WA KUHUKUMU MIUNGU
1:02:29
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 65 М.
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,1 МЛН