Allah atunusuru na dhambi ya uzinifu... na awape mashekhe wetu moyo wa kuzidi kutoa elimu... aameen
@najimseven12302 жыл бұрын
Ameen
@hodhoj6092 жыл бұрын
Mashaalwah napenda sana dini yangu ya kiislamu ni dini ya ukweli na yenye miongozo mizuri
@nadiromar86792 жыл бұрын
Mtihan cn Allah atusame makosa yetu
@sumayyahally8662 жыл бұрын
Subhannallah Allah atunusulu kwa zinaa siku zote za maisha yetu lnshaallah
@yasinkasimu16212 жыл бұрын
Aamin
@hamzahamisi55102 жыл бұрын
Ameen tuma ameeen
@rashidmwaita51632 жыл бұрын
Allah atunusuru na kila aina ya ma aswi
@azizamohammed7353 Жыл бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakat. Ikiwa ulikua kwa heidh.alafu ufanye romance mwezi wa ramadhani lakini mume asikuingie je ni vipi hivo.Allah atusamehe
@mwanaashasuleiman63462 жыл бұрын
Shukrani jazil
@user-bn7bo2ej4o4 ай бұрын
Shukran ostaz
@allykeita7042 жыл бұрын
Ukweli nipo huku chuo nimeanguka dash nahisi hukum moyoni
@rashidissa63622 жыл бұрын
Allah atuhifadhi inshaallah
@RamadhaniMshana-cv1hi Жыл бұрын
Allah atujalie funga yenye kukubalika na atuongoze kwenye swiratal mustakim
@husnaothman6243 Жыл бұрын
Napenda sana kuijuwa dini yangu ya kiislam❤
@fatmaali88382 жыл бұрын
Jazakallh kheir
@paulshikashika1922 жыл бұрын
Shukran sana
@yusuphmashallah37323 жыл бұрын
Hakika nmejifunza vitu Ving alhamdullilah
@mustaphazubery90502 жыл бұрын
Shukran sheh Allah atakulipa na atuepushe site🤲🤲🤲
@officialbirali92172 жыл бұрын
Mwenyezimungu atusamehe
@ummubukharothmn21832 жыл бұрын
Allah atusamehe madhambi yetu
@mauasaid55812 жыл бұрын
shukran utaz
@arebdyjorginho81543 жыл бұрын
Mashaallah
@abdallahhamadi8448 Жыл бұрын
As salaam alaykum warahmatullah wabarakaatuh
@ibrahimkhamis1820 Жыл бұрын
جزاك الله خيرا شيخ 🍇🍏🍇
@troubleabhat21902 жыл бұрын
ALLAH ATUEPUSHE NA MITIHANI MIOVU ATUEPUSHE NA VISHAWISHI VYA IBLISS
@fathymahadam75132 жыл бұрын
Amin
@shurmymeer32872 жыл бұрын
Yaa Rabi🙏💔
@omanmct13510 ай бұрын
Aaalllah atu sameh atupemwisho mwwema
@minaziparasu90745 ай бұрын
Naam sheikh Batashi vp Nchi ikiwa inafuata sheria zakiislamu. Mzinifu kafanya uovu huo ndani ya Ramadhani nn hukumu yake.jee atapata nahukum yakupigiwa Bakora ama mawe kwamwenyendoa.Naomba ufafanuzi tafadhali
@FatmaHamad-nt8og4 ай бұрын
Niko swali je katika mwezi mtukufu w ramadhani uko katika hedhi kisha usiku wake ukafanya zinaa y kujitoa manii kwa mkono pia dhambi lipo
@abubakaromar48672 жыл бұрын
A:allaikum, nina suali. NINI MAANA YA KUKURUBIA ZINAA. NA MFANO WAKE
@ijumpwimbwi12002 жыл бұрын
Hairuhusiwi
@azizamohammed7353 Жыл бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakat. Na ikiwa ulikua kwa siku zako afu ukafanya romance lakini hakukuingia je hio ni vipi.Allah atusamehe
@hafsaramadaan99662 жыл бұрын
Yarab turuzuku nahaya makosa tunayoyajua na tusoyajua hakika yy ni mwing wa rehema
@hclever77314 ай бұрын
😢😢😢
@aishadula213 жыл бұрын
mashallah
@nguvuyafikramedia12022 жыл бұрын
May Allah protect us from fornication
@salimosolomon10053 жыл бұрын
Sijaowa ustazi
@eliagitumbe4 ай бұрын
Mm nina swali je kama hamja halalisha ndoa yenu na mkafunga swaum yenu inakubalika
@BashiraKwezi-in7hw Жыл бұрын
Kwa hiyo unataka kuhalalisha vunja jungu
@fatmarashid31372 жыл бұрын
Je ikiwa ni mume anataka tendo mchana wa ramadhani nn hukmu yake?
@OmarMohamed-bp9ix2 жыл бұрын
Hukumu yake afunge miezi 2 mfululizo bila ya kuacha,,na Swaumu yake alipe,,,,
@haafidhaboubakary3097 Жыл бұрын
Mchana imeharamishwa
@ishaqmchungu78762 жыл бұрын
shekh ikiwa mwanamke kaolewa pindi ana ujauzito ambao ni wa nje ina swihi au la? na hukumu yake ni ipi?
@masoulupapa5587 Жыл бұрын
Mm nn swal je hzo sku 60. Za kufunga n baada y ramadhani au sku30 za ramadhani n unafunga sku30 zngne nd znatimia 60
@haafidhaboubakary3097 Жыл бұрын
Baada ya Ramadhan nd unafuatisha mfululizo Na Allah ndio mjuzi zaidi
@hams98962 жыл бұрын
As salam alaikum warahmatullah wabarakatuh, nina suali kuhusu wenye kufunga ndoa hali yakuwa na mimba alafu uka endelea una inchi na mwanamke ao mwanaume huyo pka mwezi wa ramadhan huku wakijuwa kuwa ndoa ina makosa wakawa wana fanya tendo la ndoa usiku. Je vipi swaum yao ????
@mudrikyoungcee7702 жыл бұрын
Haram haizuii halali kufanyika...ikiwa wataoana kitakachofanyika ni halali kwa muda ulioruhucka kisheria
@hams98962 жыл бұрын
@@mudrikyoungcee770 kuoleka kwenyewe kuna makosa naamini ivo nauliza kuhusu swaum zao ziko aje???
@mudrikyoungcee7702 жыл бұрын
@Hams me nikuulize hv ndoa na mimba iliyopo kip ni haram?
@mudrikyoungcee7702 жыл бұрын
@@hams9896 et kuolewa na iyo mimba kip ni kharam?
@hams98962 жыл бұрын
@@mudrikyoungcee770 ninavyo juwa kisheria hakuna ndoa huku mwanamke ni mja mzito, ima ndoa yenyewe ni halal ku bebesha mimba kitendo ndo haram lkni mtoto atabaki kuwa safi yeye.