No video

FID Q: Wakazi kadandia TRENI kwa mbele / MALIPO ya Ki JAY Z / Wanaongea pembeni

  Рет қаралды 56,437

LilOmmyTV

LilOmmyTV

Күн бұрын

Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy

Пікірлер: 104
@nelsonbanka5314
@nelsonbanka5314 5 жыл бұрын
Kwa ambao mliokua mnasubiri hii interview gonga like hapo
@amirysaimon9488
@amirysaimon9488 5 жыл бұрын
Nelson Banka Nirisubir sana kutwa nzima ya jana nasubir data on mwanzo mwisho hamna
@nelsonbanka5314
@nelsonbanka5314 5 жыл бұрын
@@amirysaimon9488 nilijua tuuu sitokua peke yangu tunaosubiri
@nelsonbanka5314
@nelsonbanka5314 5 жыл бұрын
@@mohamedslh5478 niambie mwamba
@shaphyvuai6805
@shaphyvuai6805 5 жыл бұрын
Nimependa sana ulivojibu swali kuhusu Nikki Mbishi Farrid you are really professor wa kitaa Kama unamkubali Fid gonga like hapa
@spacecoma7931
@spacecoma7931 5 жыл бұрын
Respect Fid Q,a perfect example of how music income shapes futures.Being your own boss shifts a mindset.
@stevewanga957
@stevewanga957 5 жыл бұрын
Fid Q namkubali long time..... Most MVP... Much love from 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
@lufundishason1510
@lufundishason1510 5 жыл бұрын
king of interview na Cheusidawa🙌🙌
@swalehhussein7885
@swalehhussein7885 5 жыл бұрын
Much respect ngosha 🙏
@benedictseth4681
@benedictseth4681 4 жыл бұрын
Jamaa kaanza interview mwanzo mwisho bila hata tabasamu? very concentrated the guy. love from DR Congo
@raginauthor1881
@raginauthor1881 5 жыл бұрын
Kitu ambacho Fid anasahau ni kwamba kuna utofauti wa mawazo, UNAWEZA KUWA NA WAZO kama limekuwa limepitwa na wakati, watu hawawezi kulielewa, kama wazo lako liko mbele zaidi ya wakati uliopo pia watu hawawezi kukuelewa, lakini ukiwa na wazo la wakati uliopo watu watalielewa, sasa Fid mistari yake ilikuwa mbele kabla ya wakati tuliokuwepo ndio maana akaonekana anaandika ngumu, lakini sasa hivi anaeleweka kwasababu ndio wakati sahihi wa kile alichokiwaza kabla ya wakati.
@giovannikomba
@giovannikomba Жыл бұрын
Hakuwa mbele ya muda ila hadhira ilichelewa yaani ilikuwa nyuma ya muda
@bobramaphyno4610
@bobramaphyno4610 5 жыл бұрын
I like this guy anaongea sense #Fid q
@Tygatattoo
@Tygatattoo 5 жыл бұрын
Nataman fid q afanye interview kila siku daah ila ndo haiwezekan
@RamsohLatinho
@RamsohLatinho 5 жыл бұрын
Very sure you the best bro, with the best Hip hop artist in East africa mzee chausi dawa.
@fittyblack2549
@fittyblack2549 5 жыл бұрын
Lil Omy,,,,,my favourite radio presenter pamoja na #KING FID Q the baddest rapper in the game,,,much respect from 254..
@DennyMathematic
@DennyMathematic 5 жыл бұрын
Daah huyu jamaa yupo deep sana aise 😀
@osmondyfate6599
@osmondyfate6599 5 жыл бұрын
Cjawah kuskia interview mbov kwako tambweeee
@tulisanga2023
@tulisanga2023 5 жыл бұрын
Fid unaongea ukweli mtupu yan nikki mbish na fid ukiwasikiliza vzr utajua hawa jmaa ni nomaaaa
@lowasamollel9852
@lowasamollel9852 5 жыл бұрын
Big Up #Fid_Q and #Ommy
@jumalihumbo8937
@jumalihumbo8937 5 жыл бұрын
Big up young fid
@jacobmutambo3800
@jacobmutambo3800 5 жыл бұрын
Nakukubali fid q
@eliamuhitira4475
@eliamuhitira4475 Ай бұрын
To let the talented
@langadimbani9797
@langadimbani9797 5 жыл бұрын
Iko poa sana
@Majambo_Duniani_Tv
@Majambo_Duniani_Tv 5 жыл бұрын
Kaka ile tuzo unabeba maana every day lazima ni vote, naamini kura nazokupigia zina thamani japo chache ila zitasaidia kwa kiasi flani..
@nelsonnmwaipaja6980
@nelsonnmwaipaja6980 5 жыл бұрын
bado namsikiliza mziki wako hata ukiacha kuimba leo ngoma zako ni nyingi na hazichoshi kuzisikiliza coz zinaelezea maisha halisi ya mwanadamu
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 5 жыл бұрын
Mwanaume/ Ngosha
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 5 жыл бұрын
NICE INTERVIEW MMEK0MAA SANA💜🇰🇪💥❤️🇰🇪🙌
@innocentmushi1550
@innocentmushi1550 5 жыл бұрын
survival tactics👊👊
@shariff_musa
@shariff_musa 5 жыл бұрын
Tambweeee na ammygal nawakubaliii
@kurwajuma2492
@kurwajuma2492 5 жыл бұрын
King wa interview na king mwenye hip hop yake
@christopherjames3684
@christopherjames3684 5 жыл бұрын
Bonge la interview mzee.....ila nikuombe Mtafute bwana mmoja anaitwa KBC kwanza unit uzungume nae kuhusu game ya hip hop bonge
@florianmasawe9520
@florianmasawe9520 5 жыл бұрын
Ngoshaaa 🙌🙌🙌🔥
@saidymo8307
@saidymo8307 3 жыл бұрын
2021
@njoroboihastla
@njoroboihastla 10 ай бұрын
STILL 2023🎱💥🏌️‍♂️
@Yegon254
@Yegon254 5 жыл бұрын
nakuaminia sana fid
@ramadhaniswai2675
@ramadhaniswai2675 5 жыл бұрын
Kibet Abraham fdq ukovizurisam mm uwanakuerewasana
@zemwanzozefirst
@zemwanzozefirst 5 жыл бұрын
ushakula mavitabu plz
@aggreyenock1221
@aggreyenock1221 3 жыл бұрын
Anasoma vitabu Sana
@johnkerrysibomana9062
@johnkerrysibomana9062 5 жыл бұрын
Nipo chuoni BUJUMBURA nahangaika kutafuta namna ya kupata hii elimu ya kitaologia ilq nimeshindwa jamani
@issanaseeb7699
@issanaseeb7699 5 жыл бұрын
Tambwe Kizazi Sanaa🔥🔥💥💥😆😆🙌🙌
@xaverysunday1886
@xaverysunday1886 5 жыл бұрын
Aboi 4rm Makambako town OIOIOI oioi niaje hapo kwa mjengo
@chachamwita6535
@chachamwita6535 5 жыл бұрын
Kizazi xna Lil ommy ni Bonge LA interview
@ngalawekikohingalawekikohi4768
@ngalawekikohingalawekikohi4768 5 жыл бұрын
Aiseee huyu FD Q bana Mungu akubark kaka uko vzri
@neko9869
@neko9869 5 жыл бұрын
Heshima kwa fid q #hip hop#kitaaOLOJIA
@robertmatonya1851
@robertmatonya1851 5 жыл бұрын
🙌🙌
@johashisamson1915
@johashisamson1915 5 жыл бұрын
Much competent jamaa Fid Q unajua vitu vingi sana
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n 4 ай бұрын
HAYA MADUDE I LIKE THAT
@rutihindakiuyajibu2918
@rutihindakiuyajibu2918 5 жыл бұрын
Ila Fid Q ni muongo sana😂😂
@bynobhc6377
@bynobhc6377 5 жыл бұрын
Makini bro
@nourredineChikambo
@nourredineChikambo Жыл бұрын
❤❤❤❤
@mjunimjuni9982
@mjunimjuni9982 5 жыл бұрын
Bruv ngoma ya love beat yake ilikua kama copy and paste flani from hallelujah ya mondi 🤦🏿‍♂️🤦🏿‍♂️🤦🏿‍♂️
@eliamuhitira4475
@eliamuhitira4475 Ай бұрын
Akina mood bong wajifunze😢
@jamaaking5823
@jamaaking5823 4 жыл бұрын
2020
@ramadhabiramadhabi1447
@ramadhabiramadhabi1447 4 жыл бұрын
Pamoja sn fiq nakubaliana sn
@frankchamba8894
@frankchamba8894 5 жыл бұрын
Hii noma san
@Daniel_ivan.
@Daniel_ivan. Жыл бұрын
10:12
@eliamuhitira4475
@eliamuhitira4475 Ай бұрын
Zungumzia chunusi tofauti na mapunye
@eliamuhitira4475
@eliamuhitira4475 9 ай бұрын
FD Q kasema ukweli ila jamani tuna vipaji kama akina Moud bonge ambao ni watoto wadogo ambao bado wanahitaji fursa nyingi ikiwemo elimu kuendelezwa na kuinua vipaji vyao vya usanii
@raheemmahadi2987
@raheemmahadi2987 5 жыл бұрын
Tatizo la Nikki mbish anajua kila kitu
@griezmannmhalaka4338
@griezmannmhalaka4338 5 жыл бұрын
Daaa hako ka mdada kanaitwa kananiiiii?
@khamisramadhan5133
@khamisramadhan5133 5 жыл бұрын
Lini Utafanya ngoma na sugu,
@chatechikokonkblmkalimzeem2976
@chatechikokonkblmkalimzeem2976 5 жыл бұрын
Fareed kubanda wewe mwalimu
@frankedward8643
@frankedward8643 5 жыл бұрын
Tuishi humo nami naja
@kennethkibiki9971
@kennethkibiki9971 5 жыл бұрын
👊👑👊
@yohanabaraka8192
@yohanabaraka8192 5 жыл бұрын
I thank me for subscribing to this channel
@benardmartine244
@benardmartine244 5 жыл бұрын
Gonga Like Kama We Ngosha ,
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 5 жыл бұрын
Fid Q ninja wa kitaa Hip Hop culture
@hassansamata9696
@hassansamata9696 5 жыл бұрын
Ngoshaaa ngoshaaa
@eliamuhitira4475
@eliamuhitira4475 Ай бұрын
Vijana jifunze
@johnmwangi2435
@johnmwangi2435 5 жыл бұрын
Ya kizazi sana
@nzeyyunus5990
@nzeyyunus5990 5 жыл бұрын
Ommy bana asa haya mambo si yalishaongelewa block89! Mbona fid q package yake kubwa tu ase...
@frankremmyriwa4917
@frankremmyriwa4917 2 жыл бұрын
Law of attraction nimekuelewa sana✊🏾
@williamnguta5683
@williamnguta5683 2 жыл бұрын
Malipo ya ki ezi
@katengololosteven8196
@katengololosteven8196 5 жыл бұрын
Alafu Fid q bana,ukija Mwanza nitafute!!!!!!
@modestusdaudi6975
@modestusdaudi6975 4 жыл бұрын
heshima yako ngosha
@eliamuhitira4475
@eliamuhitira4475 9 ай бұрын
Ee bhana ee😂😂
@nivogee9830
@nivogee9830 5 жыл бұрын
Swali kwa nn wasaniii wa hiphop hamko nominated kwenye tuzo unaanzaa kuzungukazunguka maneno mbingi....we ni mbinafsi
@CyimSky
@CyimSky 5 жыл бұрын
IMMAH 255
@emmanuelbrassy4000
@emmanuelbrassy4000 2 жыл бұрын
Kubanda sema baba.
@user-ln1iz8gg7g
@user-ln1iz8gg7g Жыл бұрын
Mnyamwez we noma umeanza sumbua tok mboka
@madylimbe3806
@madylimbe3806 5 жыл бұрын
Unajua kaka mpka unanibore
@abrahndwatta9803
@abrahndwatta9803 5 жыл бұрын
bonge la intaviyou
@badmanno.1650
@badmanno.1650 5 жыл бұрын
Amy gal anakipenda sana hiko kikoti aiseee😂😁
@SeekersTv671
@SeekersTv671 5 жыл бұрын
Fid Q, msanii makini sana! Tuunge mkono Kwa kusubscribe Suzan classic channel na uwe wa kwanza kupata taarifa zetu mapema. Asante sana kzfaq.info/love/GaNYKeDZZkVe_B_csLUVMQ
@saidbakary4945
@saidbakary4945 5 жыл бұрын
Mafanikio kagoma kutupa kideo chake
@masungermj2366
@masungermj2366 5 жыл бұрын
ozaaaaa mwanza mwanza niqa soloute....
@stansilauseliasi7883
@stansilauseliasi7883 5 жыл бұрын
Tatizo la wasanii wa bongo wengi clouns mwingi na unafiki mwangi diomana mnatamba hapa bongo ila hamfiki kokote
@richardmwankina
@richardmwankina 5 жыл бұрын
fid..anasisimua hadinywele
@eliamuhitira4475
@eliamuhitira4475 Ай бұрын
Wasidie vijana kama hawa
@eliamuhitira4475
@eliamuhitira4475 Ай бұрын
Wasaidie Akina mood bonge
@iambaizo
@iambaizo 4 жыл бұрын
Hivi kwann jamaa hua haponi chunusi 🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️😢
@hawaramadhani4435
@hawaramadhani4435 3 жыл бұрын
Mpe dawa ww atapona
@mohamedfogo8820
@mohamedfogo8820 5 жыл бұрын
Utabaki kuambiwa mkali tu Lkn hela hamna
@masomekipanga2311
@masomekipanga2311 5 жыл бұрын
Ashakwambia hataki kua tajili anataka kufanikiwa ko mkaushie msela wetu
@godfreycharles718
@godfreycharles718 5 жыл бұрын
Wewe unahela gani bwege tu
@masomekipanga2311
@masomekipanga2311 5 жыл бұрын
@@godfreycharles718 si ndo hapo eti hela hamna huyu msela tikiti kinoma aan
@kennethmasha5507
@kennethmasha5507 5 жыл бұрын
mohamed fogo unayajua maisha yake,,mpaka kiwango cha uchumi wake mzee,,
@aggreyenock1221
@aggreyenock1221 3 жыл бұрын
MKuu JCOLE ana followers w wachache sana Instagram lakini anapendwa na watu wengi na a najaza watu kwenye stage
@tonyelshabbaz
@tonyelshabbaz 5 жыл бұрын
Wakwanza ku dislike 😂😂
@georgemashauri4657
@georgemashauri4657 5 жыл бұрын
Acha ujinga A/C namba yake unajua ina kiasi gan? Kama hana hela huwa una mhudumia maisha yake?
@tonyelshabbaz
@tonyelshabbaz 5 жыл бұрын
@@georgemashauri4657 bro umeelewa nilichoandika??? Neno Dislike nalo Ni tatizo???😂
@masungermj2366
@masungermj2366 5 жыл бұрын
ozaaaaa mwanza mwanza niqa soloute....
EXCLUSIVE: FID Q: SITAKI UTAJIRI MIMI/ HELA SIO KITU NATAFUTA
29:00
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 164 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 45 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 3 МЛН
VITAAA.... AY, FA, FID Q - Mwizi wa kazi yetu tutadeal nae
18:16
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 164 МЛН