FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
@RukhayyahMtutuma17 күн бұрын
pamoja familia
@femidayahaya488217 күн бұрын
Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.
@DM_1517 күн бұрын
Ondoa shaka familia
@Finestonline17 күн бұрын
@@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏
@salimkadenge323117 күн бұрын
Poa gamba
@stevenobure824117 күн бұрын
Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MpembaMayunga16 күн бұрын
Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉
@rosenamilia414017 күн бұрын
Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.
@user-ho1jq3ut2w15 күн бұрын
🎉Yjistyuyyyuu98888😮
@Shadia54417 күн бұрын
Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂
@mjumbemwanda966617 күн бұрын
Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤
@abasikusaga613217 күн бұрын
❤ kumbe na wewe umoo
@MwanzoNyedeche17 күн бұрын
Mambo mrembi
@Shadia54417 күн бұрын
@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu
@Shadia54417 күн бұрын
@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂
@christophermbuga962317 күн бұрын
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
@Shuu_mwak15 күн бұрын
An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂
@GeradinaJohn-xh8pw17 күн бұрын
Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌
@YusuphMayunga-z8l17 күн бұрын
Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana
@OmanAlkamil-nl2zw17 күн бұрын
Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi
@GeradinaJohn-xh8pw17 күн бұрын
Sawa Oman wa Tz😂😂
@gidanoagustino905617 күн бұрын
😂😂😂
@BaruaniBakari17 күн бұрын
Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke
@user-we3cm7db2h17 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
@salimalaquimane307717 күн бұрын
Yanga binwa msimu huu Asante MUNGU 🙏♥️
@GodblessMushi-e6y17 күн бұрын
Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja
@lumistarboy849917 күн бұрын
😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo
@ChenchiKing17 күн бұрын
Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥
@BADILIJUSTUS-fs3oo17 күн бұрын
Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise
@user-vi7ly9zh1q17 күн бұрын
Nimecheka jamani 😂😂 mzee said
@user-ch2it3qt5z16 күн бұрын
Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan
@alikawinga228917 күн бұрын
Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga
😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake
@BarnabaJaphet17 күн бұрын
Daaah ebana hapo sasa afadhar nimepata furaha ya moyo.pamoja sana gamba mpe salam mzee said
@Hgd-jk6lh16 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
@PlanetLeo72116 күн бұрын
Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.
@user-hp5zf2fw4o17 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee
@user-ff1it9og8y17 күн бұрын
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
@trice_yanga16 күн бұрын
nakuona mchawi umetoaa maoni😂
@mohdkhatib22316 күн бұрын
Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.
Chagamba jitahidi kila siku ukutane na Mzee Saidi mi MSURE mbaya.Wanafamilia tunampenda sana ,hasa kwa ukweli wake,vichekesho na lugha yake ya utani.Mie nacheka tu huku na kuongeza uhai wangu😂😂😂
@user-zq2tj9gr6r17 күн бұрын
Mzee saidi saidiya simba yako
@WilliamStanley-m8u17 күн бұрын
Nakuelewa mzee said
@jamesmakaranga117017 күн бұрын
Mzee said bn nakukubali sna
@phiddeschacha314317 күн бұрын
Yaani Mzee Saidi wenye kukuelewa wamekuelewa
@KhatibuMadizii12 күн бұрын
Nakukubali Sana mzee said
@chrispinallan368317 күн бұрын
Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang
@EliasMyeya17 күн бұрын
Mzee saidi unatufurahisha san wanayanga,......najua ndo tumejazana apa