MZEE SAID| TUKIFUNGWA NA YANGA TU USAJILI WOTE UTAKUWA MBOVU |TUTATUKANA VIONGOZI WATU WAMEKULA PESA

  Рет қаралды 131,522

Finest Online

Finest Online

19 күн бұрын

Пікірлер: 551
@Finestonline
@Finestonline 17 күн бұрын
FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
@RukhayyahMtutuma
@RukhayyahMtutuma 17 күн бұрын
pamoja familia
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 17 күн бұрын
Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.
@DM_15
@DM_15 17 күн бұрын
Ondoa shaka familia
@Finestonline
@Finestonline 17 күн бұрын
@@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏
@salimkadenge3231
@salimkadenge3231 17 күн бұрын
Poa gamba
@stevenobure8241
@stevenobure8241 17 күн бұрын
Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MpembaMayunga
@MpembaMayunga 16 күн бұрын
Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 17 күн бұрын
Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.
@user-ho1jq3ut2w
@user-ho1jq3ut2w 15 күн бұрын
🎉Yjistyuyyyuu98888😮
@Shadia544
@Shadia544 17 күн бұрын
Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 17 күн бұрын
Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤
@abasikusaga6132
@abasikusaga6132 17 күн бұрын
❤ kumbe na wewe umoo
@MwanzoNyedeche
@MwanzoNyedeche 17 күн бұрын
Mambo mrembi
@Shadia544
@Shadia544 17 күн бұрын
​@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu
@Shadia544
@Shadia544 17 күн бұрын
​@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂
@christophermbuga9623
@christophermbuga9623 17 күн бұрын
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
@Shuu_mwak
@Shuu_mwak 15 күн бұрын
An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw 17 күн бұрын
Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌
@YusuphMayunga-z8l
@YusuphMayunga-z8l 17 күн бұрын
Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana
@OmanAlkamil-nl2zw
@OmanAlkamil-nl2zw 17 күн бұрын
Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw 17 күн бұрын
Sawa Oman wa Tz😂😂
@gidanoagustino9056
@gidanoagustino9056 17 күн бұрын
😂😂😂
@BaruaniBakari
@BaruaniBakari 17 күн бұрын
Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke
@user-we3cm7db2h
@user-we3cm7db2h 17 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 17 күн бұрын
Yanga binwa msimu huu Asante MUNGU 🙏♥️
@GodblessMushi-e6y
@GodblessMushi-e6y 17 күн бұрын
Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 17 күн бұрын
😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo
@ChenchiKing
@ChenchiKing 17 күн бұрын
Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥
@BADILIJUSTUS-fs3oo
@BADILIJUSTUS-fs3oo 17 күн бұрын
Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 17 күн бұрын
Nimecheka jamani 😂😂 mzee said
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 16 күн бұрын
Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan
@alikawinga2289
@alikawinga2289 17 күн бұрын
Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 17 күн бұрын
Nipo USA 🇺🇸 Nipe number yako
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 17 күн бұрын
Kaka nipe namba yako nashida nawewe
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 17 күн бұрын
​@@Kuminamoja1995kaka nipe namba yako nashida naww
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 17 күн бұрын
Nipe namba yako kaka nashida naww
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 17 күн бұрын
Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂
@michaelmduba5931
@michaelmduba5931 17 күн бұрын
Kumekucha kumekucha na mzee Said
@MichaelMwambango
@MichaelMwambango 17 күн бұрын
Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥
@JANE-jv4eq
@JANE-jv4eq 17 күн бұрын
Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂
@BADAWY575
@BADAWY575 17 күн бұрын
Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua
@shefatiakeleye897
@shefatiakeleye897 16 күн бұрын
Mhuuuu😂😂
@minazsaid2470
@minazsaid2470 17 күн бұрын
Mzee Said bado hujasema 😂😂
@emaculatemakoi8226
@emaculatemakoi8226 17 күн бұрын
Huyu mzee nampendaaa sanaaaa
@abelimaganga417
@abelimaganga417 17 күн бұрын
Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana
@user-eh6wn9qf4b
@user-eh6wn9qf4b 17 күн бұрын
Tulikumiss sanaaaa xema saiz chagamba anazingua 😂😂😂😂😂😂
@leoncengabo5799
@leoncengabo5799 17 күн бұрын
Kkkkkkk Mzee Saidi nakupata vizurii nikiwa Kampala. Wazingue team!!! Makoe,kutunguluka,juijuijuii!!!! Kkkkkkkkkkk,misemo Yako,kweli nimeingia kamsi nimepotea...
@zakayomgaya2758
@zakayomgaya2758 17 күн бұрын
😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake
@BarnabaJaphet
@BarnabaJaphet 17 күн бұрын
Daaah ebana hapo sasa afadhar nimepata furaha ya moyo.pamoja sana gamba mpe salam mzee said
@Hgd-jk6lh
@Hgd-jk6lh 16 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
@PlanetLeo721
@PlanetLeo721 16 күн бұрын
Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.
@user-hp5zf2fw4o
@user-hp5zf2fw4o 17 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y 17 күн бұрын
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
@trice_yanga
@trice_yanga 16 күн бұрын
nakuona mchawi umetoaa maoni😂
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 16 күн бұрын
Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.
@kelvinkumila4708
@kelvinkumila4708 17 күн бұрын
BOKA TENA?? WAMELETA MWINGINE?? JANA?? ANAITWA BOKA!! KATOKA WAPI??? EEEH!😢😢
@GIFT37tv
@GIFT37tv 16 күн бұрын
IMENIUMA SANA KUMUACHA SAIDOO NTOMBANDOKIZA
@MpembaMayunga
@MpembaMayunga 16 күн бұрын
😂😂😂😂 xhenzi zako
@MariamMbonde-v1e
@MariamMbonde-v1e 17 күн бұрын
😅😅😅 mzee side angalia usije mpiga vibaoooo huyo chagamba aisee jaman nmecheka sanaaa😂😂
@cleophasmkungu623
@cleophasmkungu623 16 күн бұрын
Huhuuuu! Mzee Said utauaa, eti hamna cha Mkwara wala Mkwaraaaa😃😃
@mwanaidimtengo8151
@mwanaidimtengo8151 17 күн бұрын
Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Deboraaaaaaah Hahahaaaaaaaaaaa
@chumaramadhani.7581
@chumaramadhani.7581 17 күн бұрын
Mzee Said umetoa SMG kwa YANGA, wewe umebaki GOBOLE, Pole Sana.
@user-ls2pp5hi6m
@user-ls2pp5hi6m 17 күн бұрын
Mzee wetu said tunampenda sanaa
@rashadymuhamad6293
@rashadymuhamad6293 12 күн бұрын
Yaani tunampenda vibaya mnoooo!!!
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 17 күн бұрын
Mambo yashaaanza uku😂😂😂
@nelsonlugaimukamu6611
@nelsonlugaimukamu6611 16 күн бұрын
Hongereni sana kwa kipindi kizuri,mzee saidi namkubali sana....msema ukweli
@WilliamStanley-m8u
@WilliamStanley-m8u 17 күн бұрын
Nakuelewa sana mzee said
@deogratiaspmwolo1942
@deogratiaspmwolo1942 17 күн бұрын
Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 17 күн бұрын
Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?
@VedastinaVedarian
@VedastinaVedarian 16 күн бұрын
Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅
@tamariamisi3540
@tamariamisi3540 10 күн бұрын
Nikiwa from uganda I love said o
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 17 күн бұрын
Gamba Augustine ni namba 6 Gambaaaaa unampoteza Mzee ila hapo kwa Deborah nimecheka sana😅😅😅😅
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 16 күн бұрын
Pamoja sana mzee wetu saidi 🤗
@christophermbuga9623
@christophermbuga9623 17 күн бұрын
Mzee wa ngendembwe!! Mzee Said uko vizuri
@PeterTelemka
@PeterTelemka 17 күн бұрын
Nimemsubiri Sana mzee said hivi viongozi wa kaole Sanaa wako wapi kipaji hiki jamani kwenye maigizo
@Sadick-vb5gg
@Sadick-vb5gg 17 күн бұрын
Uwa nasubiri interview ya mzee Said,Hao wengine wakina kisugu siasa nyingi mara mama mara nyoko
@user-pw4hw5sx6e
@user-pw4hw5sx6e 17 күн бұрын
Nilitaka kushangaa bila kumtaja saidoo
@jofreymsomba4652
@jofreymsomba4652 17 күн бұрын
Noma sana mkuu mzee saidi huyu
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 16 күн бұрын
mzee saidi ni shidaa sana mjini
@mrrockboy9508
@mrrockboy9508 17 күн бұрын
😂😂😂😂 Mzee Saidi bana😅😅😅😅
@HarimaAbdallha
@HarimaAbdallha Күн бұрын
Mzee saidi unanipa rahaha sana mm ni mwananchi😂😂😂😂😂😂😂
@user-lr6kf6bf9l
@user-lr6kf6bf9l 17 күн бұрын
Chagamba hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupata vilivyo....😂😂
@EdsonMdagachule
@EdsonMdagachule 17 күн бұрын
Mzee Said upo sasa kabisa
@nacetsiringa1334
@nacetsiringa1334 15 күн бұрын
Chagamba unatukosea weka namba tuchangie hela ya maji kwa mzee said na miraji mahojiano mazuri sana 🎉🎉
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 17 күн бұрын
Gamba kwanini malizia ukuta wa yeriko😂😂😂😂😂
@shabanihaji3896
@shabanihaji3896 17 күн бұрын
Ila mzee saidii 😂😂😂
@user-tk5wi3gi5o
@user-tk5wi3gi5o 17 күн бұрын
Mzee saidiiiìii unanichekesha mpaka basi,nawapata kutokea mascat Oman,
@MusaDadi-pd3jd
@MusaDadi-pd3jd 15 күн бұрын
Mzee said ni 🔥🔥🔥
@trice_yanga
@trice_yanga 16 күн бұрын
Mzeee said kwann wakuite Deborah 😂😂😂
@westonyjob1747
@westonyjob1747 15 күн бұрын
Nimejikuta nimecheka kwa sauti ety nyooo😂😂
@halidijuma1884
@halidijuma1884 17 күн бұрын
Mimi yanga ila mzee Saidi na ENJOY kumsikiliza,,
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 17 күн бұрын
Gambaaa una enjoy San 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sem mzee Saidy
@taufiqis-haq536
@taufiqis-haq536 16 күн бұрын
Mzee said umeongea point Sana viongozi wa Simba wachukue Huu ushauri
@geraldndosi2083
@geraldndosi2083 16 күн бұрын
😂😂😂 mzee wetu saidi leo anaongea kwa uchungu sana
@tamariamisi3540
@tamariamisi3540 10 күн бұрын
Thank you so much said I love you me I live from yuganda
@gideonchipepo8405
@gideonchipepo8405 16 күн бұрын
Hongera sana Mzee saidi wewe ni mkweli siku zotee
@nasibumuya4504
@nasibumuya4504 15 күн бұрын
mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩
@witnessgeorge1976
@witnessgeorge1976 17 күн бұрын
😂😂😂nilikumc mzee said😂😂😂
@EmmanuliM.lugembe
@EmmanuliM.lugembe 17 күн бұрын
Mi mwemyewe mzee sis nimemc sana
@user-sy8wr2qr5o
@user-sy8wr2qr5o 17 сағат бұрын
Duuuuh mzeee said🎉🎉🎉🎉
@clementmmbaga3052
@clementmmbaga3052 17 күн бұрын
Hatarii mzee said
@musamwakalibule3383
@musamwakalibule3383 17 күн бұрын
Sasa😂😂😂😅 jamani mzee said, huyo chagamba kakosea nini? Usimpige huyo
@CharlesSeleli-to2un
@CharlesSeleli-to2un 16 күн бұрын
Sema mzee ana vibe sana 😂😂😂😂😂😂
@gaspermathayo5204
@gaspermathayo5204 16 күн бұрын
Ndomana watoto wayanga wananita debora😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 17 күн бұрын
Chagamba jitahidi kila siku ukutane na Mzee Saidi mi MSURE mbaya.Wanafamilia tunampenda sana ,hasa kwa ukweli wake,vichekesho na lugha yake ya utani.Mie nacheka tu huku na kuongeza uhai wangu😂😂😂
@user-zq2tj9gr6r
@user-zq2tj9gr6r 17 күн бұрын
Mzee saidi saidiya simba yako
@WilliamStanley-m8u
@WilliamStanley-m8u 17 күн бұрын
Nakuelewa mzee said
@jamesmakaranga1170
@jamesmakaranga1170 17 күн бұрын
Mzee said bn nakukubali sna
@phiddeschacha3143
@phiddeschacha3143 17 күн бұрын
Yaani Mzee Saidi wenye kukuelewa wamekuelewa
@KhatibuMadizii
@KhatibuMadizii 12 күн бұрын
Nakukubali Sana mzee said
@chrispinallan3683
@chrispinallan3683 17 күн бұрын
Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang
@EliasMyeya
@EliasMyeya 17 күн бұрын
Mzee saidi unatufurahisha san wanayanga,......najua ndo tumejazana apa
@MuammaryAbdalla
@MuammaryAbdalla 17 күн бұрын
wakikuita debora na wew waite joicy
@LinuslusianLinuslusian
@LinuslusianLinuslusian 17 күн бұрын
Mzee Said yuko safi mbona Jobe haongelewi?
@assumedprivacy3940
@assumedprivacy3940 17 күн бұрын
Nasema tena, Mzee Saidi hamia Yanga roho yako itulie mzee wangu
@jabalimikechi7750
@jabalimikechi7750 16 күн бұрын
Mzee wangu Said 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦mimi ni shabiki yako kindakindaki, ila mimi YANGA 😂😂😂😂😂
@harunimsangi7770
@harunimsangi7770 15 күн бұрын
Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu
@kingslove7772
@kingslove7772 17 күн бұрын
Mzee said bana we leo umeamua je
@godwingobe1887
@godwingobe1887 17 күн бұрын
Mzee saidi unasema ukweli utupu
@AllyMaketa
@AllyMaketa 16 күн бұрын
Chagamba ww yanga mzee said nakuelewa sana
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 17 күн бұрын
Watakuwa wanaijua daby Kwan hata kwao kuna daby
@mikidadymanga1346
@mikidadymanga1346 16 күн бұрын
Appreciate uncle said
@harmyally2713
@harmyally2713 17 күн бұрын
Mzee said anajua sana mpira
@priscermtafya6918
@priscermtafya6918 16 күн бұрын
On point, Mzee Said ,
@kefangendwa3336
@kefangendwa3336 17 күн бұрын
Kweli kabisa mzee said🤔🤔
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 17 МЛН
MZEE SAID: WACHEZAJI WALINDWE | MSIMU UJAO VIKOMBE | AZIZ KI KABAKI?
24:46
#Live: Mzee Said AFICHUA SIRI ZA CHAMA "Duh Hili Bomu Yanga Aangaliwe
17:13