No video

HII YA LEO KALI MZEE SAID AAMUA KUTEMA NYONGO| ANUNUA KUKU KUMUAGA SAIDO SIMBA BYE BYE SAIDO😂

  Рет қаралды 57,961

Finest Online

Finest Online

Күн бұрын

Пікірлер: 213
@user-tk1jh7rd8n
@user-tk1jh7rd8n 2 ай бұрын
Mimi YANGA lakini mzee Said anatupa burudani kubwa sana 😂😂😂😂😂😂 MZEE AONGEZEWE MKATABA KWACHAGAMBA TUZIDI KUBURUDIKA
@bakarimmbukwini9623
@bakarimmbukwini9623 2 ай бұрын
Mzee said mwamba kweli kwelikweli sasa niambie anayefuata nani baada ya saido
@trice_yanga
@trice_yanga 2 ай бұрын
wanayanga lazima tumfurahie siku timu yetu ikiyumba hutomtamani mzeee😂
@errydeo8865
@errydeo8865 2 ай бұрын
Atatuchamba huyooo😂😂😂​@@trice_yanga
@errydeo8865
@errydeo8865 2 ай бұрын
Mzee Said ,TOENI SADAKA KWA WALEMAVU,WATOTO NA WAHITAJI, NDO DUA ITAFIKA! YANGA KUSHINDA FA,ZILIKUA DUA ZA WALE WATOTO! HERSI ALIWAHIDI KOMBE! MUNGU ALISIKIA DUA ZA WALE WATOTO SAID! DUA YOYOTE ITOKE ROHO SAFI! SIMBA HAMNA ROHO SAFI BADO!
@roi2554
@roi2554 2 ай бұрын
Hata mi pia😂😂😂
@raphaeltanzania
@raphaeltanzania 2 ай бұрын
mzee said leo uko na Furaha sana hongera kwa Maombi yako leo yametimia
@MathiasFungavyema
@MathiasFungavyema 2 ай бұрын
😅😅😅😅 Mzee said amekua anatukosha sana sisi mashabiki wa yanga😂😂😂😂😂😂
@AlexMakanta-zn3zc
@AlexMakanta-zn3zc 2 ай бұрын
Hamisa mobeto na Azizi k wameingia kwenye formula ya Mzee Said 😂😂😂 Mbona wataisoma Number
@OmanAlkamil-nl2zw
@OmanAlkamil-nl2zw 2 ай бұрын
Hatimae vita ya Mzee saidi na saido imeisha
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 2 ай бұрын
Man of the mach Mzee said 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@gaspermathayo5204
@gaspermathayo5204 2 ай бұрын
Kwanza lakwanza kukimbilia penalty 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mzeee side
@nasseraljahwri6310
@nasseraljahwri6310 2 ай бұрын
😂😂😂 Chagamba shukran Sana 😂😂 kutuletea Mzee wetu Said, 😂😂 stress free Wallah
@shabanihaji3896
@shabanihaji3896 2 ай бұрын
Yan chagamba na mzee said uwa nawamic sna nikiwa saiz uku🏅🏅
@user-ui5xc6sb5m
@user-ui5xc6sb5m 2 ай бұрын
😂😂😂😂 Mzee saidi unanipa rahaa sana
@WasafiWasafi-up6du
@WasafiWasafi-up6du 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Mzee Said niko na kuku lingine
@MabruckLingondo
@MabruckLingondo 2 ай бұрын
😂😂usiombee mchezaji ukaingia kwenye mfumo wa Mzee saidi
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz 2 ай бұрын
Utatamani ligi iishe ukuimbie😅😅😅
@fatmaally7252
@fatmaally7252 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@omarymuya142
@omarymuya142 2 ай бұрын
Ugovi umeisha wa mzee saidi na sadiyo bado jobe na huyoakitoka sikuiyo atafanya sheele kubwa
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 2 ай бұрын
hahaaaaaa .....wewe mzee wewee ...mimi yanga nimecheka mpaka basi
@Asatheboy-vp3yx
@Asatheboy-vp3yx 2 ай бұрын
Jamani jaman jamani mzee said weweeee saidooo atakufata weweeee
@KadajhKadigh
@KadajhKadigh 2 ай бұрын
😂😂😂😂 sema mzee said 😂😂
@user-eh6wn9qf4b
@user-eh6wn9qf4b 2 ай бұрын
Nimesubili sherehe ya mzee said 😂😂😂😂😂
@chemstry409
@chemstry409 2 ай бұрын
Mzee wangu Mzee Said sasa hivi atakuwa na amani....😂😂😂😂😂
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz 2 ай бұрын
Weee subir ligi ianze tunapata tu furaha nyengine Kwa mzee said❤❤❤
@H3s4d
@H3s4d Ай бұрын
Hujui,Huu ndiompira!🎉 Unatukanwa. Wanakusifia
@AchileusNshekanabo
@AchileusNshekanabo 2 ай бұрын
hahahahaha mzeee said jaman utaniua
@OmanOman-hj7tv
@OmanOman-hj7tv 2 ай бұрын
Yanga mzee saidi kaongea kwa upole😂😂😂😂😂😂
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf 2 ай бұрын
Chagamba we nae umo umo"! Kwan mpka useme yupo mazembe. Benchi🎉🎉🎉😂😂😂
@trice_yanga
@trice_yanga 2 ай бұрын
Saidoo kaondoka sasa itabaki kwa aziiiiiiiiiiiiiiiiiiii kiiiiiiii na hamisamobetto😂😂😂
@SundayTweve
@SundayTweve 2 ай бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅chagamba unafulahi sana hicho kicheko balaa unafulahishwa na mzee said
@gaspermathayo5204
@gaspermathayo5204 2 ай бұрын
Mzee side😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@user-ks9tn4uw1m
@user-ks9tn4uw1m 2 ай бұрын
Mzee anamkataa wajna wake😂😂😂😂😂
@awadhhamza9296
@awadhhamza9296 2 ай бұрын
Chagamba tutaomba namba za Mzee said Hadi lini kaka ,acheni roho mbaya aiseee...tunataka tumpe 🥤
@mwanangusana
@mwanangusana 2 ай бұрын
Sio rahisi kihivyo kutoa namba za mtu kirahic rahic hivyo ndugu zanguni.... Sio wote wanaweza kuitumia kwa Nia njema
@JosephineItambu
@JosephineItambu 2 ай бұрын
Namba yq chagamba iko hapo upande wa kulia chini....kama unamhitaji Mzee Said inabidi upitie kwa Chagamba kwanza kwa sababu za kiusalama wa Mzee wa watu maana sio kila mtu ana nia njema
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 2 ай бұрын
Haaah sa itakuwaje hata mi nataka no ya huyu mzee Yani I'm in ❤❤❤ with huyo mzee​@@mwanangusana
@user-xq7xy9xq4n
@user-xq7xy9xq4n 2 ай бұрын
Unataka kumtumia mzee saidi hela tumia namba ya chagamba ipo hapo chini upande wa kulia ukisha tuma unamwambia hela ya mzee saidi
@juma6253
@juma6253 2 ай бұрын
Hahhahhah mzee side mtata sana eti atamkumbuka saidoo kwa kugombania penati🤣🤣🤣
@user-vj6py9tq9v
@user-vj6py9tq9v 2 ай бұрын
Hahahaaa et kugombania penat na faulo🤣🤣🤣
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 2 ай бұрын
Vita imekwisha na saido😂😂😂
@kakwaleseleman
@kakwaleseleman 2 ай бұрын
mzee SAIDI ulakoze chane mzee wangu, hii maana yaake ASANTE, umetisha saana mzee wangu hii ya saido kila siku nilikuwa nakusubiri hatimaye imefika ULAKOZE(Asante)
@ngido255
@ngido255 2 ай бұрын
Mzee saidi very charming 😂😂
@jumannemohamedy1456
@jumannemohamedy1456 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Nkwiooooo nkwiiioo nkwioooooo
@rehemawamwarami3854
@rehemawamwarami3854 2 ай бұрын
😂mzeee saidi mitano tenaa
@elishaedson861
@elishaedson861 2 ай бұрын
Dah mzee saidi unanifurahsha sanaaa😅😅
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 2 ай бұрын
Dah! Mzee Said nakupenda! Unajua kunifurahisha
@Jastans-di5xn
@Jastans-di5xn 2 ай бұрын
Hata kama angefanya vibaya kuliko wote, hakustahili kuitwa "NUKSI" Ww huenda ulikuwa na tatizo nae toka awali aidha chuki binafsi. Mungu akusamehe na akurehem, haya kaondoka next season nisione interview yako ukihuzunika kwa matokeo mabaya Simba kwakuwa umeshasafisha "NUKSI"
@ashrafhamza9988
@ashrafhamza9988 2 ай бұрын
Dah ila mzee saidi miyeyusho sana kwa kuku gani mwenye kilo 10😅😅
@user-ix4uw8ke5t
@user-ix4uw8ke5t 2 ай бұрын
mzeee saidi sidooo kafanya kazi sana mpenin tu jeshima yake mtawaogopesja wachezaji wengine kujiunga
@SafiaWimana
@SafiaWimana 2 ай бұрын
Kuku wajirani yako 😂😂😂😂😂😂
@ChenchiKing
@ChenchiKing 2 ай бұрын
Mzee Saidii Uwaga Anajuwa Kutufurahisha Xana ❤🎉
@mtafutajiog1939
@mtafutajiog1939 2 ай бұрын
ASEME SASA NANI ANAFUATA AMBAYE ANAPENDA AONDOKE MWAMBIE MIRAJI ASIFICHE ASEME NAN ANATAMANI AONDOKE AWE MUWAZI KAMA MZEE SAID
@RashidMussa-is7xo
@RashidMussa-is7xo 2 ай бұрын
Chama
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
MANGUNGU 😂😂😂😂
@RashidMussa-is7xo
@RashidMussa-is7xo 2 ай бұрын
@@salimmalaka256 😂😂
@rukasifanderi-jg4li
@rukasifanderi-jg4li 2 ай бұрын
mzee wangu umetisha sana unaongea kama chelehan..... Duuuh
@ReganKimaro-js2rk
@ReganKimaro-js2rk 2 ай бұрын
Cod ya miraj rahisi sana anataka chama aondoke
@dicksondkaganga1290
@dicksondkaganga1290 2 ай бұрын
Mzee Said… Ana kipaji. He is smart!
@AlexMakanta-zn3zc
@AlexMakanta-zn3zc 2 ай бұрын
Leo Mimi wa pili jamani kuwa nikutamu kumbe
@ndayiragijevenant
@ndayiragijevenant Ай бұрын
Kpenzi changu said naomba uongez mkataba kwa chagamba jaman
@user-zi8zz2vy6t
@user-zi8zz2vy6t 2 ай бұрын
simba kua sawa mpak dulla atoke
@eliasiasende7115
@eliasiasende7115 2 ай бұрын
Mwambie mzee saidi ahishe kumzunguzia saido sasa ✅👋👋👋👋👋ayupo tena 😃♦️♦️
@marthageorge5043
@marthageorge5043 2 ай бұрын
Mzee saidi😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
@SafiaWimana
@SafiaWimana 2 ай бұрын
mbona kama umecelea 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@FredyDoto-jk8ud
@FredyDoto-jk8ud 2 ай бұрын
Maji yatapumzika kwa mzee said kiukweli zikipita siku tatu bila kumsikiliza mzee said sijisikii aman kabisa
@josiacharles2778
@josiacharles2778 2 ай бұрын
😂😂😂 apo kwa sawa dogo mzee umepigaje apo 😂
@josiacharles2778
@josiacharles2778 2 ай бұрын
Jamani wanadamu atuna jamani 😢😢 Atamimi masapot saido kuondoka ala siyo kwaubaya uwo.
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 2 ай бұрын
Eti amisa mbetoo 😂😂😂😂😂😂
@malietamaliet
@malietamaliet 2 ай бұрын
😂😂😂jaman watani wangu Simba tutafute namba ya Mzee said tumchangie elf 1 2 3 4 jmn Mzee wetu Kwa yanga sis mashabiki wake tunampenda sana
@FridayNkini
@FridayNkini 2 ай бұрын
Sasa huyu chagamba hataki kuweka namba
@user-lc6te2pe2l
@user-lc6te2pe2l 2 ай бұрын
Tangia jana watu wanaomba atume tumpe chochote mzee wetu anatuburudisha.
@malietamaliet
@malietamaliet 2 ай бұрын
Nani anajua jina analotumia Instagram anambie nije nijaribu kumDM aje na iyo mada na namba tukishaipata tuone tunafanyaje
@costadaraja2327
@costadaraja2327 2 ай бұрын
😂😂😂😂 mzee saidi eti anashika bukta utachana
@user-md8zq5cf8v
@user-md8zq5cf8v 2 ай бұрын
Naenjoy kumsikiliza Mzee saidi
@zainaburamadhani1444
@zainaburamadhani1444 2 ай бұрын
chagamba mwambie baba yetu ampumzish sasa SAIDO atwambie next ambae hamtakiii😂😂😂😂😂
@lamecksebyiga1630
@lamecksebyiga1630 2 ай бұрын
ILA HUYU MZEE KICHAA SANA😀😀😀😀😀😀, ANANIPAGA RAHA SANA NAMPENDA SANA, EBANA USIACHAGE KUMUHOJI, NAITWA LAMECK - HR HOTEL VERDE ZANZIBAR
@Emmanuel-cu7yu
@Emmanuel-cu7yu 2 ай бұрын
Wow! Hotel Verde tunayoionaga inatangazwa kwenye Azam Tv
@S0stenessyka
@S0stenessyka 2 ай бұрын
Ila mzee said nakukubali sana unasema ukwl na viongozi wamekusikia
@josiacharles2778
@josiacharles2778 2 ай бұрын
Ivi tukitoa magoli ya saido, Simba tungekua nafasi ya ngapi?
@westonyjob1747
@westonyjob1747 2 ай бұрын
Ila Mzee said dar mung anakuonq😅
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 2 ай бұрын
mZee said leo kufurahi kama mashabiki zake😅😅😅😅 aya wambie waandae team maana msije kuchukua 7 tena
@BabuZandar-ee4tg
@BabuZandar-ee4tg 2 ай бұрын
Haaaaa mzee saidi kweli alimchukia saidoo kanunua kuku
@JeniphaRobert
@JeniphaRobert 2 ай бұрын
Asa imebaki vita ya mzee saidi na alajiga😂😂 kuku anasafilisha nuksi
@bernaberna4159
@bernaberna4159 2 ай бұрын
Ila huyu mzeeee😂😂😂khaaaa
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf 2 ай бұрын
Uyu mzeee ana nipa lahaaa snaa🎉🎉🎉🎉
@user-fw6pv8qw3j
@user-fw6pv8qw3j 2 ай бұрын
Mzee saidi wanasema hivi ulakoze chane Kirundi na kiha 😅😅😅
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 2 ай бұрын
Aah jamani,hakika CHUKI BINAFSI HAIFAI,kikoc chote msimbazi jumba bovu limemuangukia mtt wng mwana wa Buyenzi(Said Omar Ntibazonkiza),Mzee Said hebu punguza ukali wa maneno kwa kjn wako/WAJINA WAKO,hebu kumbuka jema japo 1 tu kwake..
@LionOfWar
@LionOfWar 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 mzee said aisee
@SundayTweve
@SundayTweve 2 ай бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you
@N0RBETHMPOLOSI
@N0RBETHMPOLOSI 2 ай бұрын
MZEE SAID NGUVU MOJA ONE TEAM ONE DREAM FOREVER
@user-co8eb9es7q
@user-co8eb9es7q 2 ай бұрын
Wanapewa mkono wa kwaheri wenye magoli 9+ wanambakisha marasta mwenye goli moja
@ngwilunyiga2447
@ngwilunyiga2447 2 ай бұрын
Mzee said uko na mambo leo sana
@saidamanzi4923
@saidamanzi4923 2 ай бұрын
Umepigaje hapo mzee said yani boda boda alikuwa anaweka mafuta kwenye piki piki
@VictorMOSHI-hw3hg
@VictorMOSHI-hw3hg 2 ай бұрын
😂😂😂😂Hamisa
@flaxbeatman
@flaxbeatman 2 ай бұрын
nimefurahi na mzee saidi leo❤❤❤❤
@SundayTweve
@SundayTweve 2 ай бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅
@Jastans-di5xn
@Jastans-di5xn 2 ай бұрын
Mimi ni Mrundi nimeumizwa zaidi NTIBAZONKIZA, kuitwa Nuksi na huyo mzee Said. Maana ya jina la NTIBAZONKIZA, ni HAWATANIPONYA. Inaonekana SAIDO kapitia kipindi kigum alipokua Simba ila kwa Rehema za Mungu katoka hai na salama. Kaa ukijua taifa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮💔💘tume UMIA zaidi kumwita Mchezaji wetu NUKSI .
@anoldselfalphonce4671
@anoldselfalphonce4671 2 ай бұрын
Sasa kama ni nuksi tusimuite nuksi?
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 2 ай бұрын
Saidoo hatokaa amsahau mzee said
@H3s4d
@H3s4d Ай бұрын
Mshabiki lazima aongee. Anachokijua
@user-ls9ig9lk3t
@user-ls9ig9lk3t 2 ай бұрын
Mzee saidi😂😂😂😅
@flaxbeatman
@flaxbeatman 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nge imepigwa kule😂😂😂😂
@mrrockboy9508
@mrrockboy9508 2 ай бұрын
Mzee Saidi bwana 😂😂😂
@HarriethLouis
@HarriethLouis 2 ай бұрын
Kweli mzee said alikuwa akimchukia saidoo
@mariammuhumpa7544
@mariammuhumpa7544 2 ай бұрын
Mzeee saidi😂😂
@errydeo8865
@errydeo8865 2 ай бұрын
Mimi Yanga,Chagamba😂😂😂😂mzee Said anajua sana Kithungu! Najiproud😂😂 Chagamba nipe namba ya mzee Said,nimtumie ela ya JOGOO! HICHO KIKUKU CHENYE MAYAI HAKITUTOSHI WANNAYANGA TUKIJA 🤣🤣 BORA NGOZI ( SUPU) LETU.....
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 2 ай бұрын
Hahahah kilo 10 kuku
@moseshaji1177
@moseshaji1177 2 ай бұрын
Vita sasa itahamia kwa Jobe atasagiwa kunguni na mzee Said hadi aondoke na yeye
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
MKITAKA KUMLA MBUZI WA MZEE SAIDI MTOWENI MANGUNGU SHENZISTAN YULE 😂😂😂😂
@samahakihange6421
@samahakihange6421 2 ай бұрын
Kwani saidoo alikufanya nini jammani mbona umemchukia sana kijana wa watu 😢😢
@Aman-vx6xb
@Aman-vx6xb 2 ай бұрын
Mbona mzee humuongei konde boy na ameachwa
@Jastans-di5xn
@Jastans-di5xn 2 ай бұрын
Haya kaondoka sasa utajirike nae afilisike, na kama yy ndio chanzo kutofanya vizuri basi tutaona si umetoa nuksi? Mwanadam mwenzio unamwita nuksi au ujue jina hilo ulompa huku akiwa hana hatia huenda likakurudi usipo omba msamaa.
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 2 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂Yanga😅😅😅
@MchomvuMasoud
@MchomvuMasoud 2 ай бұрын
Katika mtu msema kweli ni Mzee said japo baadhi ya makolo hawampendi wale wapiga Dili, kua makini Mzee wangu nakupenda bure
@FredyDoto-jk8ud
@FredyDoto-jk8ud 2 ай бұрын
Mzee said namkumbuka saido kwa kukimbilia penati
@othmanali7408
@othmanali7408 2 ай бұрын
Chagamba unaona utamuu kumuhoji mzee saidi .
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka 2 ай бұрын
karakashenee is typing...
@user-pb3ub3gl4q
@user-pb3ub3gl4q 2 ай бұрын
Hajakosea kweli ni "MWARAKOZE" yaani tunashukuru
@BarakaNjamag
@BarakaNjamag 2 ай бұрын
Nasubiri hii interview
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 2 ай бұрын
Hata warundi wanatumia urakozee
This Dumbbell Is Impossible To Lift!
01:00
Stokes Twins
Рет қаралды 34 МЛН
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 15 МЛН
Magic? 😨
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 20 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
This Dumbbell Is Impossible To Lift!
01:00
Stokes Twins
Рет қаралды 34 МЛН