Mimi YANGA lakini mzee Said anatupa burudani kubwa sana 😂😂😂😂😂😂 MZEE AONGEZEWE MKATABA KWACHAGAMBA TUZIDI KUBURUDIKA
@bakarimmbukwini96232 ай бұрын
Mzee said mwamba kweli kwelikweli sasa niambie anayefuata nani baada ya saido
@trice_yanga2 ай бұрын
wanayanga lazima tumfurahie siku timu yetu ikiyumba hutomtamani mzeee😂
@errydeo88652 ай бұрын
Atatuchamba huyooo😂😂😂@@trice_yanga
@errydeo88652 ай бұрын
Mzee Said ,TOENI SADAKA KWA WALEMAVU,WATOTO NA WAHITAJI, NDO DUA ITAFIKA! YANGA KUSHINDA FA,ZILIKUA DUA ZA WALE WATOTO! HERSI ALIWAHIDI KOMBE! MUNGU ALISIKIA DUA ZA WALE WATOTO SAID! DUA YOYOTE ITOKE ROHO SAFI! SIMBA HAMNA ROHO SAFI BADO!
@roi25542 ай бұрын
Hata mi pia😂😂😂
@raphaeltanzania2 ай бұрын
mzee said leo uko na Furaha sana hongera kwa Maombi yako leo yametimia
@MathiasFungavyema2 ай бұрын
😅😅😅😅 Mzee said amekua anatukosha sana sisi mashabiki wa yanga😂😂😂😂😂😂
@AlexMakanta-zn3zc2 ай бұрын
Hamisa mobeto na Azizi k wameingia kwenye formula ya Mzee Said 😂😂😂 Mbona wataisoma Number
@OmanAlkamil-nl2zw2 ай бұрын
Hatimae vita ya Mzee saidi na saido imeisha
@mnyongeiddi24542 ай бұрын
Man of the mach Mzee said 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@gaspermathayo52042 ай бұрын
Kwanza lakwanza kukimbilia penalty 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mzeee side
Saidoo kaondoka sasa itabaki kwa aziiiiiiiiiiiiiiiiiiii kiiiiiiii na hamisamobetto😂😂😂
@SundayTweve2 ай бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅chagamba unafulahi sana hicho kicheko balaa unafulahishwa na mzee said
@gaspermathayo52042 ай бұрын
Mzee side😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@user-ks9tn4uw1m2 ай бұрын
Mzee anamkataa wajna wake😂😂😂😂😂
@awadhhamza92962 ай бұрын
Chagamba tutaomba namba za Mzee said Hadi lini kaka ,acheni roho mbaya aiseee...tunataka tumpe 🥤
@mwanangusana2 ай бұрын
Sio rahisi kihivyo kutoa namba za mtu kirahic rahic hivyo ndugu zanguni.... Sio wote wanaweza kuitumia kwa Nia njema
@JosephineItambu2 ай бұрын
Namba yq chagamba iko hapo upande wa kulia chini....kama unamhitaji Mzee Said inabidi upitie kwa Chagamba kwanza kwa sababu za kiusalama wa Mzee wa watu maana sio kila mtu ana nia njema
@fatumasophu58552 ай бұрын
Haaah sa itakuwaje hata mi nataka no ya huyu mzee Yani I'm in ❤❤❤ with huyo mzee@@mwanangusana
@user-xq7xy9xq4n2 ай бұрын
Unataka kumtumia mzee saidi hela tumia namba ya chagamba ipo hapo chini upande wa kulia ukisha tuma unamwambia hela ya mzee saidi
@juma62532 ай бұрын
Hahhahhah mzee side mtata sana eti atamkumbuka saidoo kwa kugombania penati🤣🤣🤣
@user-vj6py9tq9v2 ай бұрын
Hahahaaa et kugombania penat na faulo🤣🤣🤣
@mwajumampokileomckapela75412 ай бұрын
Vita imekwisha na saido😂😂😂
@kakwaleseleman2 ай бұрын
mzee SAIDI ulakoze chane mzee wangu, hii maana yaake ASANTE, umetisha saana mzee wangu hii ya saido kila siku nilikuwa nakusubiri hatimaye imefika ULAKOZE(Asante)
@ngido2552 ай бұрын
Mzee saidi very charming 😂😂
@jumannemohamedy14562 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Nkwiooooo nkwiiioo nkwioooooo
@rehemawamwarami38542 ай бұрын
😂mzeee saidi mitano tenaa
@elishaedson8612 ай бұрын
Dah mzee saidi unanifurahsha sanaaa😅😅
@kibasamohamedi80292 ай бұрын
Dah! Mzee Said nakupenda! Unajua kunifurahisha
@Jastans-di5xn2 ай бұрын
Hata kama angefanya vibaya kuliko wote, hakustahili kuitwa "NUKSI" Ww huenda ulikuwa na tatizo nae toka awali aidha chuki binafsi. Mungu akusamehe na akurehem, haya kaondoka next season nisione interview yako ukihuzunika kwa matokeo mabaya Simba kwakuwa umeshasafisha "NUKSI"
@ashrafhamza99882 ай бұрын
Dah ila mzee saidi miyeyusho sana kwa kuku gani mwenye kilo 10😅😅
@user-ix4uw8ke5t2 ай бұрын
mzeee saidi sidooo kafanya kazi sana mpenin tu jeshima yake mtawaogopesja wachezaji wengine kujiunga
@SafiaWimana2 ай бұрын
Kuku wajirani yako 😂😂😂😂😂😂
@ChenchiKing2 ай бұрын
Mzee Saidii Uwaga Anajuwa Kutufurahisha Xana ❤🎉
@mtafutajiog19392 ай бұрын
ASEME SASA NANI ANAFUATA AMBAYE ANAPENDA AONDOKE MWAMBIE MIRAJI ASIFICHE ASEME NAN ANATAMANI AONDOKE AWE MUWAZI KAMA MZEE SAID
@RashidMussa-is7xo2 ай бұрын
Chama
@salimmalaka2562 ай бұрын
MANGUNGU 😂😂😂😂
@RashidMussa-is7xo2 ай бұрын
@@salimmalaka256 😂😂
@rukasifanderi-jg4li2 ай бұрын
mzee wangu umetisha sana unaongea kama chelehan..... Duuuh
@ReganKimaro-js2rk2 ай бұрын
Cod ya miraj rahisi sana anataka chama aondoke
@dicksondkaganga12902 ай бұрын
Mzee Said… Ana kipaji. He is smart!
@AlexMakanta-zn3zc2 ай бұрын
Leo Mimi wa pili jamani kuwa nikutamu kumbe
@ndayiragijevenantАй бұрын
Kpenzi changu said naomba uongez mkataba kwa chagamba jaman
@user-zi8zz2vy6t2 ай бұрын
simba kua sawa mpak dulla atoke
@eliasiasende71152 ай бұрын
Mwambie mzee saidi ahishe kumzunguzia saido sasa ✅👋👋👋👋👋ayupo tena 😃♦️♦️
@marthageorge50432 ай бұрын
Mzee saidi😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
@SafiaWimana2 ай бұрын
mbona kama umecelea 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@FredyDoto-jk8ud2 ай бұрын
Maji yatapumzika kwa mzee said kiukweli zikipita siku tatu bila kumsikiliza mzee said sijisikii aman kabisa
Asa imebaki vita ya mzee saidi na alajiga😂😂 kuku anasafilisha nuksi
@bernaberna41592 ай бұрын
Ila huyu mzeeee😂😂😂khaaaa
@RabsonSalmon-ys7bf2 ай бұрын
Uyu mzeee ana nipa lahaaa snaa🎉🎉🎉🎉
@user-fw6pv8qw3j2 ай бұрын
Mzee saidi wanasema hivi ulakoze chane Kirundi na kiha 😅😅😅
@rehemamahendeka-rm2ek2 ай бұрын
Aah jamani,hakika CHUKI BINAFSI HAIFAI,kikoc chote msimbazi jumba bovu limemuangukia mtt wng mwana wa Buyenzi(Said Omar Ntibazonkiza),Mzee Said hebu punguza ukali wa maneno kwa kjn wako/WAJINA WAKO,hebu kumbuka jema japo 1 tu kwake..
@LionOfWar2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 mzee said aisee
@SundayTweve2 ай бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you
@N0RBETHMPOLOSI2 ай бұрын
MZEE SAID NGUVU MOJA ONE TEAM ONE DREAM FOREVER
@user-co8eb9es7q2 ай бұрын
Wanapewa mkono wa kwaheri wenye magoli 9+ wanambakisha marasta mwenye goli moja
@ngwilunyiga24472 ай бұрын
Mzee said uko na mambo leo sana
@saidamanzi49232 ай бұрын
Umepigaje hapo mzee said yani boda boda alikuwa anaweka mafuta kwenye piki piki
@VictorMOSHI-hw3hg2 ай бұрын
😂😂😂😂Hamisa
@flaxbeatman2 ай бұрын
nimefurahi na mzee saidi leo❤❤❤❤
@SundayTweve2 ай бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅
@Jastans-di5xn2 ай бұрын
Mimi ni Mrundi nimeumizwa zaidi NTIBAZONKIZA, kuitwa Nuksi na huyo mzee Said. Maana ya jina la NTIBAZONKIZA, ni HAWATANIPONYA. Inaonekana SAIDO kapitia kipindi kigum alipokua Simba ila kwa Rehema za Mungu katoka hai na salama. Kaa ukijua taifa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮💔💘tume UMIA zaidi kumwita Mchezaji wetu NUKSI .
@anoldselfalphonce46712 ай бұрын
Sasa kama ni nuksi tusimuite nuksi?
@iddimngazija19572 ай бұрын
Saidoo hatokaa amsahau mzee said
@H3s4dАй бұрын
Mshabiki lazima aongee. Anachokijua
@user-ls9ig9lk3t2 ай бұрын
Mzee saidi😂😂😂😅
@flaxbeatman2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nge imepigwa kule😂😂😂😂
@mrrockboy95082 ай бұрын
Mzee Saidi bwana 😂😂😂
@HarriethLouis2 ай бұрын
Kweli mzee said alikuwa akimchukia saidoo
@mariammuhumpa75442 ай бұрын
Mzeee saidi😂😂
@errydeo88652 ай бұрын
Mimi Yanga,Chagamba😂😂😂😂mzee Said anajua sana Kithungu! Najiproud😂😂 Chagamba nipe namba ya mzee Said,nimtumie ela ya JOGOO! HICHO KIKUKU CHENYE MAYAI HAKITUTOSHI WANNAYANGA TUKIJA 🤣🤣 BORA NGOZI ( SUPU) LETU.....
@user-qo6qv6mc5p2 ай бұрын
Hahahah kilo 10 kuku
@moseshaji11772 ай бұрын
Vita sasa itahamia kwa Jobe atasagiwa kunguni na mzee Said hadi aondoke na yeye
Kwani saidoo alikufanya nini jammani mbona umemchukia sana kijana wa watu 😢😢
@Aman-vx6xb2 ай бұрын
Mbona mzee humuongei konde boy na ameachwa
@Jastans-di5xn2 ай бұрын
Haya kaondoka sasa utajirike nae afilisike, na kama yy ndio chanzo kutofanya vizuri basi tutaona si umetoa nuksi? Mwanadam mwenzio unamwita nuksi au ujue jina hilo ulompa huku akiwa hana hatia huenda likakurudi usipo omba msamaa.
@lumistarboy84992 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂Yanga😅😅😅
@MchomvuMasoud2 ай бұрын
Katika mtu msema kweli ni Mzee said japo baadhi ya makolo hawampendi wale wapiga Dili, kua makini Mzee wangu nakupenda bure