Fix You: Nilijitoa sana kwa girlfriend wangu lakini akaniacha alipopata kazi, waliniasa sikusikia

  Рет қаралды 6,260

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

9 ай бұрын

Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 64
@magrethrichard8477
@magrethrichard8477 6 ай бұрын
Nauliza wanawake hv unasalitije mwanaume mwenye roho nzuri hv,,nyie mwanaume bora asiwe na hela ila awe na roho nzuri,,,napenda mwanaume mwenye roho na hofu ya mungu❤❤❤
@revocatusbahatibussiah5201
@revocatusbahatibussiah5201 9 ай бұрын
Bro ur so strong like me!!!!! Hata mm iliwah nikuta hiyo but I stand STRONGEST Kupona hadi mwaka uishe.... Na MUNGU atakupatia unaestahili
@shabanialawi1566
@shabanialawi1566 9 ай бұрын
Nakubaliana na wewe Amos! Kwanza hii ku-date haipo kwenye culture yetu, sisi unamuona unaemtaka unasema unaposewa unaoa sio ku-date 😊
@elmereckbet4510
@elmereckbet4510 9 ай бұрын
Familia ♥️
@beatricemalle4422
@beatricemalle4422 9 ай бұрын
Mungu ampe mwanamke wa maisha yake atakayempenda na kumuheshimu
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 9 ай бұрын
ila mapenzi kila mtu analalamika kivyake dah wanawake wanakuja apa wanalalamikia wanaume na wanaume nao wanalalamikia wanawake aaahhhh kweli mapenzi kamari 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
@thomaskapande8618
@thomaskapande8618 7 ай бұрын
Bet vizuri
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Makari ndo nini???
@elizabethmgina945
@elizabethmgina945 3 ай бұрын
Be strong my bro hata mimi nimeumizwa na mpenzi wangu mbaya zaidi ameniambia anaoa mwezi huu wa tano namshukuru MUNGU japo bado cjapona😢
@kmotivation1130
@kmotivation1130 9 ай бұрын
Ndugu zangu mimi sijui mapenzi lakina wanaume wenzangu acheni kuwa nice guy ,ukiwa nice guy sana mwana mke ana kutumia kukamilisha dream zake kupia wewe yani anakutumia ipasavyo so stop to be nice man, act like Alfa,Sigma guy itakusaidia , wanawake wengi wanatesa Beta Man coz ni wapole so wanaume Kuweni Makini ,
@Zenny89
@Zenny89 9 ай бұрын
Sasa Blaza!!! Kwanini msichana wa kitanga?? Ulitakiwa upate msichana wa kikuriaa… kila ukimwangalia usoni unapata ugonjwa wa Moyo😩.. hutaachwa.
@elamndendya5917
@elamndendya5917 9 ай бұрын
Pole sana kaka ila umetuambia ukweli mtupu
@jacksonrusanyu5521
@jacksonrusanyu5521 9 ай бұрын
Dada zile nywele zako natural zinakutoa sana
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 9 ай бұрын
Kabisa mwambie kabisa Yani akiwa ananywele zake alizokuwa anachana zilikuwa zinampendezesha snaa muonekano wake
@husseindjumida6568
@husseindjumida6568 9 ай бұрын
Bro anaongea mpaka mamb amabayo hajaulizwaa😂😂. Sio sawaa. Tena kama ww huwezi kua manager, mm na weza kabisaa...
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 9 ай бұрын
Dada Irene u back again,,wow,,❤️🥰we love you and kipindi chako pia,,usiache dada Irene endelea nakipindi chako kinatufunza sana
@irenekamugisha
@irenekamugisha 9 ай бұрын
❤❤
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 9 ай бұрын
​@@irenekamugishaumependeza irene
@husseindjumida6568
@husseindjumida6568 9 ай бұрын
Napendaa sana ichi kipindi! Dada pole namafuwa.😢😢
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 9 ай бұрын
Ila mwamba inaonekana bado kidonda chake bado kibichi hayo yameshawakuta wengi useme huwa ni ngumu kusema mwamba kawakilisha watu wengi
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious 9 ай бұрын
😂😂😂 Brother Mahusiano Sio Mpango
@elmereckbet4510
@elmereckbet4510 9 ай бұрын
Ila waisa 😃
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious 9 ай бұрын
@@elmereckbet4510 😆😆😆😆😆😆
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious 9 ай бұрын
@@elmereckbet4510 But Somo Kubwa Unetupatia Sisi Kama Vijana 💥💥💥💥
@abdallahmvungi3566
@abdallahmvungi3566 9 ай бұрын
NIMEPENDA HILO SWALI LA "ULIJUAJE KAMA ATAKUWA MKEO", HAPO NDIPO VIJANA WENGI TUNAPO KOSEA .
@doricelugundiza4849
@doricelugundiza4849 9 ай бұрын
Pole sana….
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 9 ай бұрын
Mim tukiachana ntajutia tuu moyo wangu lkn sio materials ambazo nlimsaidia au kunisadia coz vitu vipo vinapatikana ....ila jeraha la moyo Mungu atuponye tuu kwa sabbu kuna watu tukupenda tunaingiaga kichwa,mikono,miguu mpaka na viatu😂😂😂ukina kutendwa kutoka utajua hujui😅😅😅
@naumikabila5880
@naumikabila5880 9 ай бұрын
Hivi kwanin wanawake au wanaume wenye wapole na wako na true love ndo watu wanao umizwa sana kwenye mahusiano jmn??
@wisemelodytz589
@wisemelodytz589 9 ай бұрын
Kipindi bora kabisa hasa kwa sisi vijana kuna mengi ya kujifunza hapa Nulichogundua kutokana na story ya bro ni kwamba alikua "nice guy" wanawake wengi hawapendi hiyo usiwe innocent sana mwamba unatakiwa kuwa na heka heka "bad boy" imagine anataka kufua nguo za ndani mwanaume ni kichwa bro wanaojua wameelewa
@anthonykiula6321
@anthonykiula6321 9 ай бұрын
True.lazima uwe kichaa flan kias
@thomaskapande8618
@thomaskapande8618 7 ай бұрын
😂😂😂😂kaelewa now
@riziwanikipande8807
@riziwanikipande8807 9 ай бұрын
Pole kijana
@ashaidd2912
@ashaidd2912 9 ай бұрын
Sound down aongelee kwenye mic
@officialoscaroscarjrfan
@officialoscaroscarjrfan 9 ай бұрын
Yaani ni mm kabisa huyu daah maumivu yake duuh
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 9 ай бұрын
Mwamba alipigwa tukio hakika kuna baadhi ya wanawake sio wazuri hawana huruma.
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 9 ай бұрын
Kama wanaume tu. Kwanza wanaoongoza kuachwa ni wanawake.
@geofreymchwemba9251
@geofreymchwemba9251 9 ай бұрын
Sema hapo kunavitu vya kumsaidia mwanamkee ,, mfano vocha unamsaidia na yeye anakupigia wapo unawapa vocha hawakupigii kabixa,, kwangu sisahi mwanaume kuwajibika kabla ndoa ila kwenye ndoa mwanaume hanstaili kuwajibika
@husseindjumida6568
@husseindjumida6568 9 ай бұрын
Sister anajua kuhoji kuliko ma host weng ambao mnao Sns..yani ni namba 1 ao 2 kivyangu mimi..
@anthonykiula6321
@anthonykiula6321 9 ай бұрын
Hata mimi namuelewa
@benjaminchakwe9815
@benjaminchakwe9815 9 ай бұрын
Icho ki2 hata Mimi kimenikuta Ila Kwa kua Mimi ni son of LUCIFER, nilimuona Ka choko tu Yule demu, Kwa kua hakuniachia kilema nipo imara Sana mtoto wa kuzimu
@jamesmwakyusa9772
@jamesmwakyusa9772 9 ай бұрын
Duh
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 9 ай бұрын
Khee!Son of who..........nilidhani nimesikia mengi duniani.
@benjaminchakwe9815
@benjaminchakwe9815 9 ай бұрын
@@jamesmwakyusa9772 Mambo yakawaida Sana haya hata usiogope wala kutishika
@benjaminchakwe9815
@benjaminchakwe9815 9 ай бұрын
@@neemayatosha1618 Mambo yakawaida Sana haya wala usiogope wala kutishika ☠️🤘🏿
@thomaskapande8618
@thomaskapande8618 7 ай бұрын
Sure
@user-cq2uh6wl6o
@user-cq2uh6wl6o 9 ай бұрын
Duuuuuu Broo Broo iyo stor inaniusu kbs yamenikuta mm mzee yaan isje kukutokea iyo ishu
@martinsimba4366
@martinsimba4366 9 ай бұрын
😂😂Tuko wengi bro😂
@jamesmwakyusa9772
@jamesmwakyusa9772 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@shabanizena2612
@shabanizena2612 9 ай бұрын
Pore
@liberatharichard4556
@liberatharichard4556 7 ай бұрын
Typing..................deleting.........., .......😢
@dayana5513story
@dayana5513story 9 ай бұрын
Ndo maana mimi nimechagua kua single
@danielamosi6871
@danielamosi6871 9 ай бұрын
Usiogope dayana
@Salehabdallah-cu7kh
@Salehabdallah-cu7kh 9 ай бұрын
Kila mtu anakua mshauri mambo yakienda kombo....nobody tells us about it wakiwa kwa romance
@thomaskapande8618
@thomaskapande8618 7 ай бұрын
Wanatukaushia
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 9 ай бұрын
Kwa tabia hizo za huyu jamaa lazima tu uachwe....
@thomasgabriel588
@thomasgabriel588 9 ай бұрын
Mwamba mchumba hasomeshwi
@AminaAmina-yy1fn
@AminaAmina-yy1fn 9 ай бұрын
Umejichanganya
@atomphoton5000
@atomphoton5000 9 ай бұрын
Sasa huyu kaka ni Lambistic anahitaji tiba ya kisaikolojia. Girlfriend kazi yake ni kupelekewa moto tu, malavidavi, romatic gestures, kufuliana chupi, kunyonya papuchi, kumpikia, kusaidia wazazi wake kiuchumi, kumtoa out, kuwekeza kwa future ya mpenzi, kutelekeza familia yako kisa mchumba na kujitoa sadaka hayo ni mambo unayaacha kwanza hadi huyo Girlfriend awe mke na hiyo ni baada ya kujiridhisha pasipo shaka lolote kuwa anaweza kupokea moto wakati wowote, muda wowote na "popote".
@halimoabgal5039
@halimoabgal5039 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaaahh
@acmaheri
@acmaheri 9 ай бұрын
Mhhhhh😂😂😂😂😂😂. Kama mawazo ya vijana wa siku hizi ndio haya wasichana wa nyakati hizi watapata sana tabu
@DannyWiston-rb9cl
@DannyWiston-rb9cl 9 ай бұрын
@@acmaheri huwez kua na mawazo ya vijana wa kizamani ambao ni wazee wasasa, ikiwa wewe ni kijana wa sasa, tunaishi nao kulingana na walivyo
@thomaskapande8618
@thomaskapande8618 7 ай бұрын
Ukiwa mlaini mno kwa mwanamke ndo matokeo yake better ukajua mipaka ya me na ke
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 58 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 8 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 66 МЛН
⬅️🤔➡️
00:31
Celine Dept
Рет қаралды 51 МЛН
SNAKE BOY | ep 26 | SEASON TWO
35:19
CLAM VEVO
Рет қаралды 37 М.
MAMBO YA KUZINGATIA  NDANI YA CHUMBA CHA USAILI WA KAZI/JOB INTERVIEW
12:52
Mwanga Wa Akili (Intelligence) Dr.Elie V.D Waminian.
33:27
Chomoza Tv
Рет қаралды 16 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
Fix You: Makosa makubwa watu huyafanya wanapoingia kwenye Mahusiano
1:06:20
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 4,8 М.
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 58 МЛН