Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Пікірлер: 64
@magrethrichard84776 ай бұрын
Nauliza wanawake hv unasalitije mwanaume mwenye roho nzuri hv,,nyie mwanaume bora asiwe na hela ila awe na roho nzuri,,,napenda mwanaume mwenye roho na hofu ya mungu❤❤❤
@revocatusbahatibussiah52019 ай бұрын
Bro ur so strong like me!!!!! Hata mm iliwah nikuta hiyo but I stand STRONGEST Kupona hadi mwaka uishe.... Na MUNGU atakupatia unaestahili
@shabanialawi15669 ай бұрын
Nakubaliana na wewe Amos! Kwanza hii ku-date haipo kwenye culture yetu, sisi unamuona unaemtaka unasema unaposewa unaoa sio ku-date 😊
@elmereckbet45109 ай бұрын
Familia ♥️
@beatricemalle44229 ай бұрын
Mungu ampe mwanamke wa maisha yake atakayempenda na kumuheshimu
@ashurajengela39269 ай бұрын
ila mapenzi kila mtu analalamika kivyake dah wanawake wanakuja apa wanalalamikia wanaume na wanaume nao wanalalamikia wanawake aaahhhh kweli mapenzi kamari 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
@thomaskapande86187 ай бұрын
Bet vizuri
@awatifalghanim1106Ай бұрын
Makari ndo nini???
@elizabethmgina9453 ай бұрын
Be strong my bro hata mimi nimeumizwa na mpenzi wangu mbaya zaidi ameniambia anaoa mwezi huu wa tano namshukuru MUNGU japo bado cjapona😢
@kmotivation11309 ай бұрын
Ndugu zangu mimi sijui mapenzi lakina wanaume wenzangu acheni kuwa nice guy ,ukiwa nice guy sana mwana mke ana kutumia kukamilisha dream zake kupia wewe yani anakutumia ipasavyo so stop to be nice man, act like Alfa,Sigma guy itakusaidia , wanawake wengi wanatesa Beta Man coz ni wapole so wanaume Kuweni Makini ,
@Zenny899 ай бұрын
Sasa Blaza!!! Kwanini msichana wa kitanga?? Ulitakiwa upate msichana wa kikuriaa… kila ukimwangalia usoni unapata ugonjwa wa Moyo😩.. hutaachwa.
@elamndendya59179 ай бұрын
Pole sana kaka ila umetuambia ukweli mtupu
@jacksonrusanyu55219 ай бұрын
Dada zile nywele zako natural zinakutoa sana
@philemonmagesa55489 ай бұрын
Kabisa mwambie kabisa Yani akiwa ananywele zake alizokuwa anachana zilikuwa zinampendezesha snaa muonekano wake
@husseindjumida65689 ай бұрын
Bro anaongea mpaka mamb amabayo hajaulizwaa😂😂. Sio sawaa. Tena kama ww huwezi kua manager, mm na weza kabisaa...
@jamilaathumani54819 ай бұрын
Dada Irene u back again,,wow,,❤️🥰we love you and kipindi chako pia,,usiache dada Irene endelea nakipindi chako kinatufunza sana
@irenekamugisha9 ай бұрын
❤❤
@shamsahaji62029 ай бұрын
@@irenekamugishaumependeza irene
@husseindjumida65689 ай бұрын
Napendaa sana ichi kipindi! Dada pole namafuwa.😢😢
@philemonmagesa55489 ай бұрын
Ila mwamba inaonekana bado kidonda chake bado kibichi hayo yameshawakuta wengi useme huwa ni ngumu kusema mwamba kawakilisha watu wengi
@Mbeyaconscious9 ай бұрын
😂😂😂 Brother Mahusiano Sio Mpango
@elmereckbet45109 ай бұрын
Ila waisa 😃
@Mbeyaconscious9 ай бұрын
@@elmereckbet4510 😆😆😆😆😆😆
@Mbeyaconscious9 ай бұрын
@@elmereckbet4510 But Somo Kubwa Unetupatia Sisi Kama Vijana 💥💥💥💥
@abdallahmvungi35669 ай бұрын
NIMEPENDA HILO SWALI LA "ULIJUAJE KAMA ATAKUWA MKEO", HAPO NDIPO VIJANA WENGI TUNAPO KOSEA .
@doricelugundiza48499 ай бұрын
Pole sana….
@mumyhendry29199 ай бұрын
Mim tukiachana ntajutia tuu moyo wangu lkn sio materials ambazo nlimsaidia au kunisadia coz vitu vipo vinapatikana ....ila jeraha la moyo Mungu atuponye tuu kwa sabbu kuna watu tukupenda tunaingiaga kichwa,mikono,miguu mpaka na viatu😂😂😂ukina kutendwa kutoka utajua hujui😅😅😅
@naumikabila58809 ай бұрын
Hivi kwanin wanawake au wanaume wenye wapole na wako na true love ndo watu wanao umizwa sana kwenye mahusiano jmn??
@wisemelodytz5899 ай бұрын
Kipindi bora kabisa hasa kwa sisi vijana kuna mengi ya kujifunza hapa Nulichogundua kutokana na story ya bro ni kwamba alikua "nice guy" wanawake wengi hawapendi hiyo usiwe innocent sana mwamba unatakiwa kuwa na heka heka "bad boy" imagine anataka kufua nguo za ndani mwanaume ni kichwa bro wanaojua wameelewa
@anthonykiula63219 ай бұрын
True.lazima uwe kichaa flan kias
@thomaskapande86187 ай бұрын
😂😂😂😂kaelewa now
@riziwanikipande88079 ай бұрын
Pole kijana
@ashaidd29129 ай бұрын
Sound down aongelee kwenye mic
@officialoscaroscarjrfan9 ай бұрын
Yaani ni mm kabisa huyu daah maumivu yake duuh
@philemonmagesa55489 ай бұрын
Mwamba alipigwa tukio hakika kuna baadhi ya wanawake sio wazuri hawana huruma.
@sarahgaula22209 ай бұрын
Kama wanaume tu. Kwanza wanaoongoza kuachwa ni wanawake.
@geofreymchwemba92519 ай бұрын
Sema hapo kunavitu vya kumsaidia mwanamkee ,, mfano vocha unamsaidia na yeye anakupigia wapo unawapa vocha hawakupigii kabixa,, kwangu sisahi mwanaume kuwajibika kabla ndoa ila kwenye ndoa mwanaume hanstaili kuwajibika
@husseindjumida65689 ай бұрын
Sister anajua kuhoji kuliko ma host weng ambao mnao Sns..yani ni namba 1 ao 2 kivyangu mimi..
@anthonykiula63219 ай бұрын
Hata mimi namuelewa
@benjaminchakwe98159 ай бұрын
Icho ki2 hata Mimi kimenikuta Ila Kwa kua Mimi ni son of LUCIFER, nilimuona Ka choko tu Yule demu, Kwa kua hakuniachia kilema nipo imara Sana mtoto wa kuzimu
@jamesmwakyusa97729 ай бұрын
Duh
@neemayatosha16189 ай бұрын
Khee!Son of who..........nilidhani nimesikia mengi duniani.
@benjaminchakwe98159 ай бұрын
@@jamesmwakyusa9772 Mambo yakawaida Sana haya hata usiogope wala kutishika
@benjaminchakwe98159 ай бұрын
@@neemayatosha1618 Mambo yakawaida Sana haya wala usiogope wala kutishika ☠️🤘🏿
@thomaskapande86187 ай бұрын
Sure
@user-cq2uh6wl6o9 ай бұрын
Duuuuuu Broo Broo iyo stor inaniusu kbs yamenikuta mm mzee yaan isje kukutokea iyo ishu
Kila mtu anakua mshauri mambo yakienda kombo....nobody tells us about it wakiwa kwa romance
@thomaskapande86187 ай бұрын
Wanatukaushia
@charlesjohn57929 ай бұрын
Kwa tabia hizo za huyu jamaa lazima tu uachwe....
@thomasgabriel5889 ай бұрын
Mwamba mchumba hasomeshwi
@AminaAmina-yy1fn9 ай бұрын
Umejichanganya
@atomphoton50009 ай бұрын
Sasa huyu kaka ni Lambistic anahitaji tiba ya kisaikolojia. Girlfriend kazi yake ni kupelekewa moto tu, malavidavi, romatic gestures, kufuliana chupi, kunyonya papuchi, kumpikia, kusaidia wazazi wake kiuchumi, kumtoa out, kuwekeza kwa future ya mpenzi, kutelekeza familia yako kisa mchumba na kujitoa sadaka hayo ni mambo unayaacha kwanza hadi huyo Girlfriend awe mke na hiyo ni baada ya kujiridhisha pasipo shaka lolote kuwa anaweza kupokea moto wakati wowote, muda wowote na "popote".
@halimoabgal50399 ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaaahh
@acmaheri9 ай бұрын
Mhhhhh😂😂😂😂😂😂. Kama mawazo ya vijana wa siku hizi ndio haya wasichana wa nyakati hizi watapata sana tabu
@DannyWiston-rb9cl9 ай бұрын
@@acmaheri huwez kua na mawazo ya vijana wa kizamani ambao ni wazee wasasa, ikiwa wewe ni kijana wa sasa, tunaishi nao kulingana na walivyo
@thomaskapande86187 ай бұрын
Ukiwa mlaini mno kwa mwanamke ndo matokeo yake better ukajua mipaka ya me na ke