Рет қаралды 295
Tulifanikiwa kwenda kufanya utume Parokia ya Chalinze, Jimbo la Morogoro, katika Kanisa la Yohane Mwinjili.
Tulipata Mwaliko kutoka kwa wanakwaya wenzetu wa kwaya ya Kristu mfalme...
Ilikuwa ni siku ya Furaha sana kwetu, Tulienda salama, tukaimba, tulikula vizuri na tukafanikiwa kurudi salama
Sherehe ya kuzaliwa kwa Kanisa (Pentekoste) kwetu ilikuwa namna hiyo....
umgana nasi kuangalia video hii, usisahau ku comment, ku like, ku share na ku subscribe.