No video

FULL VIDEO: TAZAMA MASOUD KIPANYA ALIVYOANZA KULITENGENEZA GARI LA UMEME HADI KUKAMILIKA

  Рет қаралды 32,497

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

#MasoudKipanya #GarilaUmememe
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#masoudkipanya #garilaumeme #Dar24Media

Пікірлер: 100
@dmwood5431
@dmwood5431 2 жыл бұрын
Mimi Nina uwezo wa kutengeneza boat za fiberglass... lakini nimejikuta mkulima....ikiwa nitafikia malengo shambani, nitafanya kama massud kipanya.,sina support...
@yunusrnb5227
@yunusrnb5227 2 жыл бұрын
Fibergrass ndio Nini?
@fredsanga9461
@fredsanga9461 2 жыл бұрын
Elon Musk aliyezaliwa Tanzania, hahitaji kingine zaidi ya support upendo na kumtia moyo. Naamini sana Masoud ana zaidi ya hilo. Mungu akubariki🙏🙏
@boniphacebukombe7285
@boniphacebukombe7285 2 жыл бұрын
Hongera sana Masoud, hakika tunajivunia sana ubunifu wa Kitanzania na mtoto wa Africa. Mungu aendelee kukulinda na kukupa ujasiri wa kukabiliana na changamoto nyingi za upinzani wa kibiashara. Ombi langu kwa Kaypee Motors, "Katika toleo jingine muweke board ya kufunika ili magari hayo tuyatumie ktk mizunguko ya mjini kutokana na changamoto ya nishati ya mafuta duniani
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 2 жыл бұрын
Dunia inatoka Kwa Kasi kwenye matumizi ya mafuta kwenye kwenye matumizi ya nishati safi kukabiliana na Mabadiliko ya tabia ya Nchi, Mradi huu wa Kipanya Moja Kwa Moja unachangia Malengo ya Dunia ya Kupunguza hewa Ukaa inayopelekea ongezeko la joto duniani. Hata kama Serikali haitamsaidia Duniani huko watamdaidia. Hongera sana Masudi Kipanya.
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 2 жыл бұрын
Tanzania tumelogwa mpaka anayetuloga anakereka na sisi ..huyu jamaa ni hatari Sana Serikali msaidieni huyu nasisi tuwe na chetu
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Sio serekali yetu asee. Yaan atapotezwa chap2 kwani yey ni wa kwanza sasa. Tena na vile wana bifu anavyowakera kuwachoraga na mitumbo mikubwa. Mhhhhh. Namuombea mungu . Ila wacha tuone midomo mirefu waione hii. Utasikia haijakidhi vigezo
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Safi sana. Haya ndiyi yaliyokuwa mawazo ya JPM. Akitamani sana kuona watanzania wakifanya mambo kama haya
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 2 жыл бұрын
Hakika Tuombe Mungu atuiburie JPM mwingine miaka ijayo
@omaryharuna1305
@omaryharuna1305 2 жыл бұрын
duuh!! nmejkuta natoa machozi tu daah!! mungu akulinde sana! spati picha kama ingelikuwa ni wakat wa mzee wetu bado bulldoza!..
@as-co2hg
@as-co2hg 2 жыл бұрын
Nimependa bro ulicho kifanya Mungu awasimamie. Kunavijana wamemaliza vyuo vyaufundi wanakipaji lakini kuendelea nakueza kuendeleza kipaji wanaishia njiani kutokana na changa mototo tofauti.Nadhani ukitanua na Kuwaiti mambo mengi yanaweza kufanyyika.
@elvisjonas8520
@elvisjonas8520 Жыл бұрын
Hongera sana kaka umetuvutia kama watanzania na Africa pia...
@sospeterurassa9894
@sospeterurassa9894 2 жыл бұрын
Hongera kaka,naomba kwenye kampuni yako tengeneza mpangokazi wa kuita vijana wenye vipaji vya aina ya wazo lako muungane ,hakika utapata mafanikio ya tija zaidi na ya haraka,Mungu awe nawe
@brisketkidari4856
@brisketkidari4856 2 жыл бұрын
Ttzo ni mmoja tu kwa vijana wanataka kuwa no1 hawataki kuanza 3
@lungusii
@lungusii 2 жыл бұрын
KAMA UMECHUKUA IDEA YANGU FLANI IVI, NIKO NA LONG PLAN IDEA KUTENGEZA GARI LANGU BINAFSI NA HII NILIANZA KUFIKILIA TANGU 2011 . NA BADO NIKO NA NIA HIYO NITA KAMILISHA PROJECT YANGU ALLAH AKINIPA UHAI IN SHAA ALLAH
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 2 жыл бұрын
Endelea kuwaza Miaka 11 unawaza tu
@naftaliwilliam514
@naftaliwilliam514 2 жыл бұрын
Ndugu yangu pambana wazo lako litimie usife moyo
@butungo1
@butungo1 2 жыл бұрын
Waziri waziri Waziri wa biashara na viwanda usipoitazama hii, utanidisappoint mno mnoo
@andyjk5974
@andyjk5974 2 жыл бұрын
wonderfull kweli tumekua na hizi idea sana. sema tu ndio kupata pa kuanzia.
@godfreyhiza1075
@godfreyhiza1075 2 жыл бұрын
Big up br..... tunaweza...tuoneshe njia....
@baltazarlucas5000
@baltazarlucas5000 2 жыл бұрын
Itakuwa bora zaidi ya zao ikiwa na mfumo wa kujichaji pale battery ikipungua chaji na inawezekana . Hongereni sana iko poa sana.Maden in Tanzania 🇹🇿
@saidijuma5843
@saidijuma5843 2 жыл бұрын
Nikweli kaka kipanya, watu tunavipaji lakini hatuaminiwi na taasisi za kifedha yaan mabenki wala watu wenye fedha. Yaan mtu anapenda awekeze pale ambapo tayari pesa imeanza kuonekana.
@hamzaally3780
@hamzaally3780 2 жыл бұрын
Mungu akujaalie zaid bro
@angelmfinanga2354
@angelmfinanga2354 2 жыл бұрын
Masoud hongera brother and Mungu akulinde utuvushe
@timboxlee919
@timboxlee919 2 жыл бұрын
Congratulations 👏🤣🤩🤩, Sana masudi, waambie hata gorvment,kukopa wamezidi
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 2 жыл бұрын
JPM ALIKUWA ANATAFUTA WATU KAMA HAWA - RIP
@hdmsasa3355
@hdmsasa3355 2 жыл бұрын
Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN kzfaq.info/get/bejne/ecqpq81m3tOzgmg.html
@hdmsasa3355
@hdmsasa3355 2 жыл бұрын
Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN kzfaq.info/get/bejne/ecqpq81m3tOzgmg.html
@brisketkidari4856
@brisketkidari4856 2 жыл бұрын
Lait ningekuwa rais hii gari ya mwanzo ningeinunua nikaiweka kumbukumbu ya taifa
@abdulbandidu119
@abdulbandidu119 2 жыл бұрын
Bro Abdulsamad nimeona sehem nying sana anajitoa,ilifikia wakat kuna support nilihitaj kutoka kwakwe nikamDM kule Twitter,ila cha kushanganza mpk leo hata hajanijibu.
@ukk9798
@ukk9798 2 жыл бұрын
Watu waliofanikiwa, husimama peke yao na wengine hufuata baadaye. Huu ukimwa ni ishara tosha kuwa watu na hata serikali hawaamini kuwa ni kweli. But the end will justify the means.
@netlity5532
@netlity5532 2 жыл бұрын
Very nice brother...keep it up! 👍
@Worldunite
@Worldunite 2 жыл бұрын
Daah laiti hayati angelikuwepo, angefurahi sana maana alipigania sana kukuza vipaji km hivi
@barakathomaskibona1131
@barakathomaskibona1131 2 жыл бұрын
Hongera brother Masoud You are the best.
@andrewoscar7762
@andrewoscar7762 2 жыл бұрын
Hongera Sana kaka masud
@issamakamba5569
@issamakamba5569 2 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka Wengi Wana vipaji ila hawafiki kwasababu za kimfumo ila wewe umeonyesha Afrika na dunia
@zefamange7281
@zefamange7281 2 жыл бұрын
UMEFANYA KAZ NZURI, NILIKUCHUKIA SANA ULIPOKUA UNAMCHUKIA MAGUFULI
@ibnbaazalrufiji1468
@ibnbaazalrufiji1468 2 жыл бұрын
Nnavo wajua wa tz, sasahiv watasema masoud ni (Alien's) kutoka sayari nyingine"
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 жыл бұрын
Safi sana kipanya
@petermusa4745
@petermusa4745 2 жыл бұрын
Nakubalisana masudi maana waafrika tunajidharau sana, tunaona wazungu ndio wanaweza kumbesote tukosawatu kikubwa ni kwekeza watu wenye vipaji hakika tutapata mafanikio sana
@Bilichaproduction1234.
@Bilichaproduction1234. 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@tdlkonyagi5098
@tdlkonyagi5098 2 жыл бұрын
Hongera sana.
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Hongera sana kaka. Ila hapo inabidi inayokuja ufanye modify ya kufunga alternator. Na belt ili ijichaji battery yenyew pindi2 inapowashwa. Ili isiwe ya kuchajisha tena
@petroprenge8716
@petroprenge8716 2 жыл бұрын
Wazo zuri sana kaka, natamani asome hii reply. Ila sasa ikijichaji yenyewe kuna watu watakosa ulaji, nazungumzia Charging Centers
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
@@petroprenge8716 kweli kabisa kaka umeona mbali. Maana ukizingatia ni kweli . Mtu hawezi fanya jambo kubwa hivyo afu akashindwa kuweka hyo system. Ina maana ametengeneza ulaji wa style nyingine
@abdallahburhan5981
@abdallahburhan5981 2 жыл бұрын
Daah umeni inspire sana bro masoud
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 2 жыл бұрын
Haya ndio matunda ya JPM kupitia hotu a zake zilikiwa zinatia ujasiri makubwa Sana wakuthubutu
@J4UPro
@J4UPro 2 жыл бұрын
Upo Safi sana Masoody
@frankmnale1900
@frankmnale1900 2 жыл бұрын
Ongera sana Masoud
@noblestbrokers6290
@noblestbrokers6290 2 жыл бұрын
So wonderful
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 2 жыл бұрын
This man is good....
@aliomar1986
@aliomar1986 2 жыл бұрын
Ina speed ngapi
@salvatorebaregu9871
@salvatorebaregu9871 2 жыл бұрын
Maisha plus, nilipo kuwa nikiona vitu vikifanyika niliamini siku moja kutakuwa na matokeo chanya heko bwana kipanya
@ubunifubashitekibajaji6179
@ubunifubashitekibajaji6179 2 жыл бұрын
nice project
@ubunifubashitekibajaji6179
@ubunifubashitekibajaji6179 2 жыл бұрын
Nami nakipaji Lakini cnawakuniendeleza
@josephotieno1253
@josephotieno1253 2 жыл бұрын
Tumekubali na tumekuheshimu brow.
@michaeltilla3527
@michaeltilla3527 2 жыл бұрын
Mm ni mtanzania mwenye nia ya kuendesha gar ktk kampun ya masoud
@paulinedamian2929
@paulinedamian2929 2 жыл бұрын
Big up masood
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 жыл бұрын
Mungu akusimamie ili tutoke kwenye utumwa wa akili tuanze kutumia vya kwetu Hongera
@mussabendera1751
@mussabendera1751 2 жыл бұрын
Mashaallah
@mtumzito4045
@mtumzito4045 2 жыл бұрын
Africa wakati wetu umefika wa kufanya vyetisasa tujitambuetu na mungu atatubariki
@kyakagoro6584
@kyakagoro6584 2 жыл бұрын
Hongera sana kk
@Worldunite
@Worldunite 2 жыл бұрын
Tulishalishwa sumu ya kushindwa, na wakati sasa waafrika kuamka na kuondoa hiyo sumu tuliyolishwa, tz tunaweza sana
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 жыл бұрын
Kipanya wewe Genius
@raymondndeanka2608
@raymondndeanka2608 2 жыл бұрын
HONGERA KAKA, MUNGU AKUBARIKI KWA KUFIKIRI NA KUTHUBUTU, NIMEJIFUNZA KITU.
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 2 жыл бұрын
Mbona gari hatuioniii
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 2 жыл бұрын
Elon musk wa bongo jamani tujivunie huyu jamaaaaa
@selemanshechonge5456
@selemanshechonge5456 2 жыл бұрын
Mchukue yule kijana wa kigoma zuber pia ana kipaji cha kutengeneza magari na yeye akuze kipaji chake
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 2 жыл бұрын
Tuweke nadhiri Kila mwenye uwezo wa kununua magar aanze na gari la Kaylee ndipo anunue Aina nyingine ili kumsapoti huyu mtu jamani nawashauri wenye maduka mjini hii gari inafaa kusogezea mizigo dukani,wauza mayai,wauza mikate,nk tuwekeze kwa huyu mwamba.
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 2 жыл бұрын
IQ yako masoud ni hatari sana
@sandefacebooksalondunonusa39
@sandefacebooksalondunonusa39 2 жыл бұрын
Salut
@jamescustom6699
@jamescustom6699 2 жыл бұрын
Safi chief kitu kikubwa
@dennymkumbala5748
@dennymkumbala5748 2 жыл бұрын
Bei gan naitaji hii gari kwajili ya mishe zangu za ufugajii tupeni Bei tuagize
@Worldunite
@Worldunite 2 жыл бұрын
Gharama ya kununua gari hili ni kubwa sana ukilinganisha na Guta
@Loyal2
@Loyal2 2 жыл бұрын
Usiende inch za wazungu watakupa sumu hata wakuiteje tuma eafwasi wako
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 жыл бұрын
Nasubiri nijue gharama na Mimi niwe miongoni mwa wateja
@Worldunite
@Worldunite 2 жыл бұрын
Tz kuna vipaji, shida ni kwamba hakuna chombo kinachowaunganisha na kuwawezesha
@kinigarm8239
@kinigarm8239 2 жыл бұрын
Lazima Watanzania tumuunge mkono bwana Masoud.
@butungo1
@butungo1 2 жыл бұрын
KP tutengenezee magari tuache kuagiza Japan. Hivi waziri wa viwanda na biashara anaangalia hii au anaona aibu? Ningekuwa Rais, KP ungekuwa Katibu Mkuu wa Viwanda
@boniphacebukombe7285
@boniphacebukombe7285 2 жыл бұрын
Hello brother mambo vp? Ni kweli kabisa tulio wengi tuna matarajio makubwa sana kwa kampuni hii ya Kitanzania kupata support kubwa kutoka Serikalini tofauti na hapo wengi tutakuwa disappointed sana
@boniphacebukombe7285
@boniphacebukombe7285 2 жыл бұрын
From UJISEMI
@shamimjuma1262
@shamimjuma1262 2 жыл бұрын
Naomba ni uganenanyinyi ninakipagi
@ChakoniChako
@ChakoniChako 2 жыл бұрын
maelezo kibao tuonyeshe gari fungua boneti fungua mirango ya mbele asa hadithi kibao
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 жыл бұрын
Historia ushaiandika hujaja bure Duniani
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 2 жыл бұрын
Kongole kwako ewe Mwana wa Tanzania.
@Worldunite
@Worldunite 2 жыл бұрын
...ndo wanajitokeza baada ya mtu kupata umaarufu
@desngalaba1181
@desngalaba1181 2 жыл бұрын
Nazani tutengeneze namna ya watu kuinvest kwenye vitu kama hivi
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 жыл бұрын
uko sawa masood.... hongera sana...
@moriskawina7651
@moriskawina7651 2 жыл бұрын
Kaypee nimependa jitihada zako toka maisha plus ukibuni nashine na mbinu za maisha mbalimbali na mzee wako Babu wa maisha plus hujawahi kumtupa. Leo umefika hapo ulipofika hongera sana jitihada huzaa mafanikio
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 2 жыл бұрын
Duh akili kubwa
@shinshi9696
@shinshi9696 2 жыл бұрын
Musk kipanya, 🤣🤣🤣
@vijanafurniture1810
@vijanafurniture1810 2 жыл бұрын
Good
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 2 жыл бұрын
Hongera brother Ila serikali haitusapoti kilasiku nikurudi nyuma sana Nina tamani kuku Ina malanyingi Nike kusoma kwenye magazeti (vibonzo) ninatamani kukuona brother
@hdmsasa3355
@hdmsasa3355 2 жыл бұрын
Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN kzfaq.info/get/bejne/ecqpq81m3tOzgmg.html
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
Hongera sana kwa kweli that is a big move
@iddyjumanne8504
@iddyjumanne8504 2 жыл бұрын
Hawa ndio mainjinia sio walio jaza vyet tu nakuajiriwa maselekarin hakuna lolote hawana ubunifu hawana lolote
@gideongerald2846
@gideongerald2846 2 жыл бұрын
Sema kagari Kako katatumika mjini TU kwenye umeme vijijini hakawezi kufanya kazi labda watembee na mabetrii
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 2 жыл бұрын
Ss hapo ishu nyingine ni kwenye masoko watanZania wengi hawaaamini vya kwao labda awezeahwe sanasana then tuzuiliwe kununua magari nje
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Show Me the World
Рет қаралды 4,6 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 77 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 38 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 13 МЛН
MASOUD KIPANYA: BILA HII HUTOBOI...
11:50
Swahili Quest
Рет қаралды 1,6 М.
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 77 МЛН