Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri GABO ZIGAMBA/MKEWANGU ALIKUWA MSUMBUFU SANA/NILIRANDANAE USIKU KUCHA/NAPENDA CHIPS MAYAI #Bonatv #Exclusive
Пікірлер: 91
@edithrwechungura27683 жыл бұрын
Eti mtoto wa kiume,shukuru Mungu akikupa mtoto usichague jinsia eti hata sherehe imekuwa kubwa zaidi ...hujayajua maajabu ya watt wa kike weweee kwa familia zao
@mimiapa84363 жыл бұрын
muache tu huyo amkasirishe Allah na kauli yake mtoto wa kike ndio mwenye huruma na mapenzi kwa wazazi tunayaona kwenye familia zetu
@mohdkhatib2232 жыл бұрын
Mtoto ni mtoto tu, lakini mwanaume amefadhilushwa na ALLAH na ndio alisema wanaume ni wasimamizi wa wanawake. Pia manabii wote ni wanaume
@nas28003 жыл бұрын
Waw kama naiyona furaha ya baba akipata mtoto Wa kiume mbona hongereni na Allah awakuzie mtoto wenu🥰🥰
@fatinarashid66183 жыл бұрын
🙏🙏🙏😂😂
@umyshedafa3303 жыл бұрын
Kwahiyo wakike hawana thamani ila mukumbuke hakuna watu wenye upendo na wazazi wao kana watoto wakike
@salmahalfani63073 жыл бұрын
Na ndio walezi wa wazazi wao
@khairatyathumani26403 жыл бұрын
Kauli ya gabo sijaipenda😭😭😭
@ustzsele663 жыл бұрын
Wanawake ndio kilakitu
@aishaomari9443 жыл бұрын
Kaongea utopolo
@zelhatyali85813 жыл бұрын
hujamuelewa nahisi, nikawaida ya mtu yoyote akiwa na mtoto zaidi ya mmoja wa jinsia moja anakhofia kutopata jinsia nyengine hivyo anakuwa na hamu sana. mfano kuna watu wanawatoto wanne wote wakiume au wote wa kike .
@magrethsheki27963 жыл бұрын
Tiffarstore mwenye vipodozi vyake og hongera mpenzi
@zenakambi62072 жыл бұрын
Wao kumbe gabo islamic very nice
@jasminjuma92543 жыл бұрын
😂😂😂jamani Mimba yangu inataka kwenda Dubei 😊😊vyakula hapana😆😆😆🤗
@salmaanassor67963 жыл бұрын
Mie naona mimba hii unataka nilale ikulu 🙄😆😆😆
@sabrinasab29103 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@devinastephen47343 жыл бұрын
@Jasmin Juma, yako kali 😂😂😂😂😂😂😂haina wengi 😂😂😂😂
@zakyahya46453 жыл бұрын
Mwenzenu mtoto wangu wa pili kaninywesha bia sio kitoto yaani kila mda harufu ya Casto lite ilikua inanijia na ilikua lazima nipate Ase mimba izi 🙌🙌
@zalhatamakange26273 жыл бұрын
Ha ha ha ha ha haaaaaaa
@zakyahya46453 жыл бұрын
@@zalhatamakange2627 mtihan kwakwel adi Dada angu alikua anachukia yni
@mohameeddoaan22963 жыл бұрын
MashaaAllah MashaaAllah
@azzamahamdu70392 жыл бұрын
Mie mimba yangu niltaman harufu ya mavi ya ng'ombe. Nilkua Namwambia mume wangu akaniache kwa zizi la ng'ombe. Harufu yke niliipenda mnooo
@khalidjafary1120 Жыл бұрын
Umeulizwa pongeza shuuli
@omanseeb36423 жыл бұрын
MashaAllah barakallah
@angelbwija95473 жыл бұрын
Mbona mama kama hana furaha jamani 😂😂😂😂
@khairatyathumani26403 жыл бұрын
Mshamba wa mitandao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tunu12413 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂anajibu Kam hataki vile
@agnesndagijimana1683 жыл бұрын
Ongera sana Gabo
@Mandonhommie3 жыл бұрын
MashaAllah
@yahkiwera36113 жыл бұрын
Mashaallah
@awatifrajab73813 жыл бұрын
Mashallah kwa jina zuri lakini ukiliita jitajid usilikosee jina hilo hasa huitwa SHARHABILL ndivyo linavyoitwa
@bbishatuale11503 жыл бұрын
Swadakta 👍
@asamunique70753 жыл бұрын
Ndo nami najiuliza au nmeskia vbaya Navojua me ni hivo SHARHABIL, ama pengine yako mawili ngoja nkasearch🏃♀️
@ummimohammed93593 жыл бұрын
sharhabil
@baimarrajahbuayan62373 жыл бұрын
Mmependeza mno
@happykajange73073 жыл бұрын
I like it
@shirfadigubike79203 жыл бұрын
Usiku tu ndio anakuwa na hamu .mchana hana hamu.mhhhhh wati mnapenda kiki
@allyfaki78623 жыл бұрын
Mm mwenzenu ujauzito ndo kipindi ambacho chips,soseji,kuku, mayai vina nafasi kubwa kuliko dagaa maana najua nisipokula wakati wa ujauzito ndo bas tena
@evainnocent95203 жыл бұрын
Hahahaaaaaa lyo kweli
@mariammwendakazungu57833 жыл бұрын
😂😂😂😂
@elizabethzacharia26833 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@spreadlove21193 жыл бұрын
Aawee mjanja 😂😂😂💕
@farhatomar74953 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Duuh hatar kweli
@user-jc8lj7id6b10 ай бұрын
Mtoto wa kwanza wakati wa pili mbona tunakujuwa
@agnesbagaluha62933 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️
@khalifajuma36283 жыл бұрын
Waoooh
@hassanbakari52303 жыл бұрын
Ongera
@samiaabdallah23832 жыл бұрын
Mashaallah wajina wa mwanangu shurahbiil
@ameir2379 Жыл бұрын
Masha Allah
@agnesbagaluha62933 жыл бұрын
Wow Mashaalh👑👑👑🥰🥰🥰🤲
@agnesavungwa86832 жыл бұрын
Wote ni watoto bhana acha ubaguz
@yusrashabani29833 жыл бұрын
Masha Allah
@merinajuma69483 жыл бұрын
Shga ango Tifa ongra mwaya
@rahmandegeulaya39273 жыл бұрын
Hakika imeshehena
@ghaniahamadhamad51623 жыл бұрын
Msaada anae jua gabo n wa mkoa gani
@faridaessa78443 жыл бұрын
Tanga
@ghaniahamadhamad51623 жыл бұрын
@@faridaessa7844 oky ahsante man kun mtu alinambia ety mmakonde
@africa74793 жыл бұрын
Tanga, mdigo
@ghaniahamadhamad51623 жыл бұрын
Hahahahahaaa wamakonde wanataka kumuiba gabo
@Bandidutv3 жыл бұрын
Ni mtu wa tanga na iringa mama yake ni mtanga baba yake ni mtu wa iringa ndio mana anajiita zigamba manayake ni n'gombe dume
@rukiaomar33692 жыл бұрын
IYO TABIA YA KUWA NA MIMBA KUTAKA VITU USIKU WA MANANE SIO MZULI MAANAILIMKUTA MADEBE LIDAI KAENDA KUTAFUTA UDOGO AKAITILIWA MWIZI MAANA MKE WAKE ALITAKA UDOGO WA NYUMBA SIO WA KUNUNUA MADUKANI SI ALITAKA WA NYUMBA SIO VZR JAMANI MSIENDEKEZE MIMBA ZENU
@deboraramadhan86633 жыл бұрын
Mama shura habil mikono yanguo yako haukupi uhuru nayo maana unaivutavuta
@mahmoodalghefeili53703 жыл бұрын
kavaa ya mikono mifup uku anataka stara ramadhan hii
@hafsakhamis51523 жыл бұрын
Shurahbills wow
@jenifajuma53953 жыл бұрын
Gabo umesema ni mtoto wako wa tatu na huyo mkeo amesema ni mtoto Wake wa Kwanza kwahiyo huyu Latifa ni mkeo wa pili au ni vipiii? Jamani anaejua anipe jibu tafadhali 🙏