GHOROFA JIPYA ALILOHAMIA CHINO/ LINA SEBULE MBILI NA VYUMBA SITA/ AWAOMBA MSAMAHA MASHABIKI

  Рет қаралды 54,022

ZamaradiTV

ZamaradiTV

5 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 164
@musicheals1545
@musicheals1545 5 ай бұрын
huweze changanya washikaji na familiaaaa... tafuta sehem nyingine ambayo washkaji a.k.a wahuni watakuwa wanakuja na kufikiaaa mixa mashisha... ila nyumbani pabaki kuwa na heshima yakeee.
@user-yc7cx8lw8h
@user-yc7cx8lw8h 5 ай бұрын
Tafuta hela Binaaadam
@musicheals1545
@musicheals1545 5 ай бұрын
@@user-yc7cx8lw8h mbona nilichoandika na ulichoandika havina mahusiano mzeee🤣🤣🤣
@afrodinova
@afrodinova 5 ай бұрын
Kwani maana ya familia ni nini Mzee???
@musicheals1545
@musicheals1545 5 ай бұрын
@@afrodinova familia inahusisha washkaji/marafiki sio... anyway tumwache na maisha yake hata akifungua bar nyumbani poa tuu🤣🤣
@user-ck7pw4fm8c
@user-ck7pw4fm8c 5 ай бұрын
​@@musicheals1545😂😂😂
@AgnesAgnes-fm8wp
@AgnesAgnes-fm8wp 5 ай бұрын
Hilo jamaa lenye mtishet mwekundu linanichefua mim nafsiii yng😂😂
@chybuwagwantaz8054
@chybuwagwantaz8054 5 ай бұрын
Una mimba?
@ArnoldMarley-xz1vj
@ArnoldMarley-xz1vj 5 ай бұрын
Jersey Namba 13 ni bora ulivyotumwa kwa Shoe Shine Maan Too Much Kimbelembele Kimezidii..
@rahymaaa4357
@rahymaaa4357 5 ай бұрын
Ooooh karibu Oman chino bro❤
@SenetaKilaka
@SenetaKilaka 5 ай бұрын
Ongela sana
@user-fy9pw2zr8l
@user-fy9pw2zr8l 5 ай бұрын
haya ndio mambo marioo hataki😅😅😅
@TheBastarrrd
@TheBastarrrd 5 ай бұрын
Jumba la dhambi,😂😂
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 5 ай бұрын
Hao mabisboo wote humo ndani wanakula wapi 😢 uwiii usanii kazi sio kwa nyomi hilo
@kerryestomic8099
@kerryestomic8099 5 ай бұрын
Huyo mwenye tshirt ya baseball ana kimbelembele
@saidibanda8347
@saidibanda8347 5 ай бұрын
Maisha yana badilika mzee acha kutumia ela nyingi kupga ga fanya mpango jenga home boy
@JAYCLASSICMEDIA
@JAYCLASSICMEDIA 5 ай бұрын
Usanii mzee
@LinaUlaya-ze4en
@LinaUlaya-ze4en 5 ай бұрын
Sawa bro chino jaa bress
@marymanoni5536
@marymanoni5536 5 ай бұрын
Mungu akuongoze
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 5 ай бұрын
😂uyo mwenye 13 asee unaweza mpa banzi
@jumanamwasa-iw2zn
@jumanamwasa-iw2zn 5 ай бұрын
Ilo Kabat👀👀
@halimaoman8726
@halimaoman8726 5 ай бұрын
Hakuna kitu kubaya duniani kma kuweka mafanikio yako adharani weka ila baadhi yaifadhi sio yote systems ndugu watu wanamuangalia unavyoyatema mafanikio yako sisi binadamu ndio hawa hawa mm nakupenda
@Mkombozi255
@Mkombozi255 5 ай бұрын
Nyie ndo wachawi wenyewe ,kila kitu kutishana tu.ukiona hivyo ujue hata buku huna.muache dogo aishi anvyotaja yeye.akionyesha Mali ni maamuzi yake.
@PhyinaElias-mu4wf
@PhyinaElias-mu4wf 5 ай бұрын
Halima upo Sahihi sema binadamu hata ukiongea Kwa vzuri kabisa unaonekana mchawi,,,Ila hayo maisha ya wasanii huta yaweza Bora tuyaache kama yalivyooo ukitoa wazo waambulia kejer na matus🤐🤐🤐
@salekhvidal8346
@salekhvidal8346 5 ай бұрын
Hongera bro more blessings
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 17 күн бұрын
khaa wameitana kaya nzima sipendag sehem wanaka watu weng kama nyuki
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 5 ай бұрын
Nakuona umekua superstar faster illuminate wanapawa ya kumkuza mtu hongera sana
@syntaxsaintezzer5547
@syntaxsaintezzer5547 5 ай бұрын
Acha usenge wew na kama vp na wew nenda ukakuzwe na illuminati
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 5 ай бұрын
@@syntaxsaintezzer5547 nyie si mnapakuliwa wenye shobo nani kakuuliza paka mweusi wewe
@user-gn7nk7mw8v
@user-gn7nk7mw8v 5 ай бұрын
Vitmtkea puani
@donhussle948
@donhussle948 5 ай бұрын
Wape ukwelikakuzwa na illuminati juu ya kumuua mwenzake
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 5 ай бұрын
@@donhussle948 kuna huyo hapo sijui ndo chakula chake chino kuna watu wasanii wanapambana na hawatoki sasa huykatokea wap
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 5 ай бұрын
Nyie wapoli poli sana timberland haioxhwi na maji daa😂😂
@leecode6135
@leecode6135 5 ай бұрын
Hkuna kiatu kinasafishwa kwa maji hayo ni mambo ya zamani saaana 😅
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 5 ай бұрын
Wewe wa 79 bdio maana hujui
@happynkya9770
@happynkya9770 5 ай бұрын
huyo wa tshrt nyeupe namba 13 ni mshamba wa kamera ee
@onekisstv8412
@onekisstv8412 5 ай бұрын
Sema kuna mwamba uyo mwenye base ball anaranda sana si atulie
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 5 ай бұрын
Huyo alovaa white anazunguka kama Nesi wa zamu 😂😂😂😂😂
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 5 ай бұрын
😂😂😂
@user-hd5ey5yx1n
@user-hd5ey5yx1n 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@JAYCLASSICMEDIA
@JAYCLASSICMEDIA 5 ай бұрын
Daah huyo jamaa kazi anayo
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Barakatabudul
@Barakatabudul 5 ай бұрын
Jamaa Alovaa White" Anaushamba Anaboa sanaaa kuandama adama! watu kama hawa ni wachawii" jamaa atamani kama yy ndo Angekua Chino" dah! mshamba wa camera 😂😂😂😂😂😂
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 5 ай бұрын
Yan hawa ndo wachawi😂wenyew hawa kaaah 🙌
@allymwilu8089
@allymwilu8089 5 ай бұрын
Lake?
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 17 күн бұрын
khaa huyu kaka ana sifa mmnh ahahha
@mrrajjy
@mrrajjy 5 ай бұрын
Chinoo 🔥🔥🔥🔥
@pozclever854
@pozclever854 5 ай бұрын
Uyo Jamaaa ana kaz gn anatembea tu
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 5 ай бұрын
Bodyguard wa mchongo😂😂
@user-op5gz7vj6w
@user-op5gz7vj6w 5 ай бұрын
guuudi man munguu akubaaariiikii San brother daa ur soo smart blood.... Utazidii itakuwa
@user-sg1du9dp1i
@user-sg1du9dp1i 5 ай бұрын
Dah Nashkuru Taifa Zima Tumetambua Namna Muuni mwenye uzi namba 13 namna anaushamba mwingi😂😂😂
@patisondidas6720
@patisondidas6720 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@letisiamakonda3873
@letisiamakonda3873 5 ай бұрын
😂😂😂
@user-vu9ee7yg1j
@user-vu9ee7yg1j 5 ай бұрын
Sio ushamba bali ni mshikaj wake chino......we ndo mshamba 😢
@danielimwakilasa3952
@danielimwakilasa3952 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mrrajjy
@mrrajjy 5 ай бұрын
🔥🔥🔥
@mamrashdon3632
@mamrashdon3632 5 ай бұрын
Salehe Umekosea Uyo Mwenye Nguo Nyeupe Ungemfukuza Bwana Anaboa
@ZawadMussa-sd1od
@ZawadMussa-sd1od 5 ай бұрын
Muhudumu
@user-so2yy8se7o
@user-so2yy8se7o 5 ай бұрын
Nampendaga salehe Anaadabu sana yani kila sehemu anambia viatu mashallah
@bennamush4616
@bennamush4616 5 ай бұрын
Kwanni usingempangishia mamako nyumba ingine tofwaut na hapo akae na ndugu zako maana hapo mpo vijana wengi haipendezi mi naona ushaur tuu lakin
@AfricanLady889
@AfricanLady889 5 ай бұрын
Amesema anamjengea mama yake nyumba, so hakuna haja ya kupanga nyumba ingine
@jamesgustav196
@jamesgustav196 5 ай бұрын
😅
@badifundi6089
@badifundi6089 5 ай бұрын
Niozesheni uyo philomeno bwana
@frowinmgimba8513
@frowinmgimba8513 5 ай бұрын
Mwenye no 13 anaziba kamera anaboa😂😂
@Soundprobeats
@Soundprobeats 5 ай бұрын
Kashapotea🚶huyo hamna kitu
@mamrashdon3632
@mamrashdon3632 5 ай бұрын
Kwani Uyo Kama Bodgard Vp
@kwisa4899
@kwisa4899 5 ай бұрын
myumba aina privacy kabisa
@mwinyiado1129
@mwinyiado1129 5 ай бұрын
Namba 13 anataka aonekane mwanafamiliaa 😂😂😂
@donhussle948
@donhussle948 5 ай бұрын
Baada ya kumtoa mwenzake wa karibu sanaa kumtoa kafara ... ndo freemasonry ndo wanafanya hvyo either ,family or mtu wako wakaribu or rafiki yako wa karibu sanaa ama watu kwa live performance kisha unatajirika c pesa halali azipatazo hizo
@saidtembele3070
@saidtembele3070 5 ай бұрын
Namba 13 mgongoni is typing and deleting.............😂😂😂😂
@afrahnawas4384
@afrahnawas4384 5 ай бұрын
😂😂
@Happy-ef9kf
@Happy-ef9kf 5 ай бұрын
Pambana sasa ujenge yako cyo kila siku kupanga punguza stare heee make pesa tengeneza maisha bro,,,
@Official83640
@Official83640 5 ай бұрын
Kapanga kapangiwa na boss mpya mume wa Fety Kitasa
@simulizi2632
@simulizi2632 5 ай бұрын
Washkaji ndio wamejaa. Kuna privacy kweli humu duh
@Saumujames1234
@Saumujames1234 5 ай бұрын
Uyo namba 13 mmempigilia 😂😂😂😂😂 kila comment watu wana mlalamikia 😂😂😂 mwane2 anapenda camera anachukua mafundisho ya ustar😅😅😅😅
@queenmilan2024
@queenmilan2024 5 ай бұрын
Huyo kijana mwingine mbona anafata nyuma kama mkia 😅
@shabanponera2895
@shabanponera2895 5 ай бұрын
Jamaa kazingua sana hatulii, na mnguo wake namba 13
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 5 ай бұрын
Superstar lazima awe na mpambe😂😂
@MuviisTV
@MuviisTV 5 ай бұрын
Mpambe
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 5 ай бұрын
MKIAMBIWA KUNA BAHATI MSIWE MNABISHA😊,,HUYO CHINO HAINGII KIVYOVYOTE,,,,KWA BADI.
@hateemmerj6020
@hateemmerj6020 5 ай бұрын
Tutakupelekea moto
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 5 ай бұрын
@@hateemmerj6020 😆
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 5 ай бұрын
Bongo bana mchiz kafua timberland yani 😂😂😂😂
@mattmax773
@mattmax773 5 ай бұрын
Hakuwa anajua angejua adingefanya Hvo ki ubinadamu tu Viatu sio kitu cha thaman kuzid binadam
@shabanponera2895
@shabanponera2895 5 ай бұрын
Mchizi mwenye jezi ya base ball kaleta ushamba wa kizamani sana, mbona wenzake wametulia tu
@user-pi2zh8fg7g
@user-pi2zh8fg7g 5 ай бұрын
baba levo uyo
@user-vu9ee7yg1j
@user-vu9ee7yg1j 5 ай бұрын
Bro uwo sio ushamba but kaonesha upendo mkubwa appreciate broo chino uyo ndo mshikaji kweli ✌️
@shabanponera2895
@shabanponera2895 5 ай бұрын
@@user-vu9ee7yg1j Acha utoto huoni alikuwa anazuia camera, halafu unajua dhima ya hicho kipindi? Bora alivyotumwa akapeleke viatu kwa fundi huyo mjinga
@user-ie6hs3ul2q
@user-ie6hs3ul2q 5 ай бұрын
Huyu namba 13 mtafutie bwana
@rockyjr6314
@rockyjr6314 5 ай бұрын
Ao masela tafta shm uwapeleke nyumba inakosa heshima
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 5 ай бұрын
Aoe mara ngapi
@EmmanuelKawawa
@EmmanuelKawawa 5 ай бұрын
​@@tanzcanmediatv4473kamaanisha sehemu sio shemu
@user-zk7sc7fg1s
@user-zk7sc7fg1s 4 ай бұрын
Sisi uku DRC🇨🇩 sisi wenye maisha ya chini ndo tuna tembeleya ma BMW kama izo.lkn tz ni za wasanii
@khadijamemba785
@khadijamemba785 5 ай бұрын
Hivi "kama kawa" ndio salam
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 5 ай бұрын
Currently viatu havioshwi, tumia foam
@Wigoz_puppy
@Wigoz_puppy 5 ай бұрын
Tunaomba NGOMA na Mavoko ❤❤❤❤ sio kila SIKU unamtaja alafu humsapiti boss wako wakitambo❤❤❤❤😂
@ezekielmichael9431
@ezekielmichael9431 5 ай бұрын
Tafuta nafasi ujenge Ili familia ikae sehem moja maana naona group kubwa ,
@ezekielmichael9431
@ezekielmichael9431 5 ай бұрын
Jenga utenganishe washkaji nabfamilia
@hanifamziray277
@hanifamziray277 5 ай бұрын
Hingera sn punguza marafiki wengne sio wazuri kbs
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 5 ай бұрын
Huyu nwenye mtshrt mweupe mbona anafwata kila mahal jmn ameboa
@kelvinkilale
@kelvinkilale 5 ай бұрын
Si ndo maana kapewa kiatu apeleke kupiga dawa😂😂
@sabrinaraphael3474
@sabrinaraphael3474 5 ай бұрын
😂😂
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 5 ай бұрын
@@kelvinkilale kwakwel maana asingewaaacha peke yao interview isinge pendeza
@kipukatz
@kipukatz 5 ай бұрын
Mlinzi wa boss
@naumikabila5880
@naumikabila5880 5 ай бұрын
No 13 bwanaake nani😅 jmn
@Official_JohnVicker
@Official_JohnVicker 5 ай бұрын
Umetisha chinno
@nelsonmaganya5391
@nelsonmaganya5391 5 ай бұрын
Waka miradi ndugu yangu
@Alexismadimo
@Alexismadimo 2 ай бұрын
Nyumba ina watu weng sana kama wahindi yani
@TheBastarrrd
@TheBastarrrd 5 ай бұрын
Ulimwosha nani miguu Chino,mbona usenge huo????
@user-lw7wd8nz9g
@user-lw7wd8nz9g 5 ай бұрын
Hongera sana chino wan man
@HanceBablo-ot8sz
@HanceBablo-ot8sz 5 ай бұрын
Mnaekelekwa na 13 gonga like
@happy56timothy58
@happy56timothy58 5 ай бұрын
Bora umempa kazi yakupeleka viatu kwa fundi😂😂😂😂
@leylamohamed9939
@leylamohamed9939 5 ай бұрын
Halafu Namba 13 Falaaaaaa Anaboa Yeye utasema ndio Camera Man, NI NANI HUYU???😂😂😂😂😂 Jinga Kweliiii 😂😂😂😂😂 Kila eneo yupo anafuata fuata tuu… Yeye ndio nani kwa Chino😂😂😂😂
@EsterMpete
@EsterMpete 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu mwenye nyeupe yaan ni kama mwanajeshi wa zamani
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 5 ай бұрын
Zawadi ya damu ilishapita mambo yanafunguka
@arianjrstanslaus4991
@arianjrstanslaus4991 5 ай бұрын
😂😂😂😂..but we not sure....speculations mzee....
@jesterfredrick9497
@jesterfredrick9497 5 ай бұрын
@@arianjrstanslaus4991Alooooooh😂😂😂😂
@beatricemshiu2816
@beatricemshiu2816 5 ай бұрын
Khaaa hii nyumba au ghetto 🙄
@user-jj9xf7nt9k
@user-jj9xf7nt9k 5 ай бұрын
Uyu nae anataka kuoneka maan sio kwa kufata uko kama mkia
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 5 ай бұрын
Nimefulai sna kwakuelewana unajua wewe chino na Mario mnabond nzur Sana na mkiwa pamoja ndo mtapiga pesa Kwa pamoja kwamana mnaendana sana
@abbassalum6824
@abbassalum6824 5 ай бұрын
Kabla umeki ujenge unaanza kupanga majumba ya gharama shaulizako
@agreymbwilo5874
@agreymbwilo5874 5 ай бұрын
Msanii huyo mkuu, acha aishi maisha yanayofanana na sanaa yake. Na kujenga anamjengea kwanza mama ake
@stanslausmathias1878
@stanslausmathias1878 5 ай бұрын
Msanii ni tofauti na ww, vilevile maisha ni plan....mawazo ya kuwaza kuwai kujeng ni ya kimaskini saana watu wengi waliofanikiwa huanza na investment haijalishi kapanga maana kwa mji wa dar es salaam kimsingi huwezi jenga nyumba ya mil.3
@narrissajackson3869
@narrissajackson3869 5 ай бұрын
Kitu mtu anatafuta pesa mwenyewe na anaamua mwenyewe atumie vipi, anaweza tumia zote hata ndani ya siku moja. Tatizo tunapenda kujadili maisha ya watu wakati wao hawana habari na maisha yetu. Hatujui mipango yao na hawajui yetu
@abbassalum6824
@abbassalum6824 5 ай бұрын
@@agreymbwilo5874 Duuuh saw ndio fikla zako ziliko ishia
@abbassalum6824
@abbassalum6824 5 ай бұрын
@@stanslausmathias1878 Daaah blaza kwa Muonekano wako unaonekana ni mtu mmoja mwenye akilizake lakin si hivyo nilivyo tegemea Kwan kumshauli mtu kunatatz kwan nnachomwambia mim kinaubaya kwan wasanii wote lazima waishi maisha anaishi yeye au hujaona wasanii walikua wakubwa kama wakina chidi mst naisi wakowap sasaiv
@fredanthony740
@fredanthony740 5 ай бұрын
Mpe kolabo mavoko sasa
@leylamohamed9939
@leylamohamed9939 5 ай бұрын
ILA CHINO ANA MAMBO YA WASHKAJI SANA SANA BADO MTOTO MDOGO HUYU AKILI ZAKE, ZIMEKAA KISHKAJI KISHKAJI TU… ANASEMA AKIHAMA ANAWAGA VITU KWA WANA, HUYU ATAKUJA FULIA VIBAYA SANA MWISHO WAKE WAJA.. KAMA ANASHINDWA KUJIJENGA KWA UPEPO ALIOPATA SASA ATAFULIA SANA VIBAYA MNO
@user-vu9ee7yg1j
@user-vu9ee7yg1j 5 ай бұрын
Iman yake inaamin watu hawo aliwo kuwa nawo ndo wamechangia mchango mkubwa kweny harakat zake.. appreciate my king chino you doing well bro waliyo kusaidia kutafut kuni ndo hawo hawo ota nawo moto...wewe ni Really mengine mungu ndo refa...
@leylamohamed9939
@leylamohamed9939 5 ай бұрын
@@user-vu9ee7yg1j UPUUZI HAKUNA MCHANGO WOWOTE, NGOJA AFIRISIKE NDIO UTAJUA HUO MCHANGO WA WANA ULIVYO
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 5 ай бұрын
Apo chino umekosea kusema utaki mama ako kufunga ni Kwasababu atakonda? Kwer? Apo umekosea piga astakafirural kama nimuislam
@benahdesigner
@benahdesigner 5 ай бұрын
Bola katumwa 😂
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 5 ай бұрын
😂😂😂
@OmanOman-bm1lr
@OmanOman-bm1lr 5 ай бұрын
Salehe nampenda anaheshima na nyumba za watu saana haingii tuu kama chooni
@shabanponera2895
@shabanponera2895 5 ай бұрын
Bora mwamba katumwa apeleke viatu kwa shoe shiner
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 5 ай бұрын
Camera man umezingua
@halima_nasseb
@halima_nasseb 5 ай бұрын
hili li namba 13 jaman kila sehemu
@user-vu9ee7yg1j
@user-vu9ee7yg1j 5 ай бұрын
Uwo ndo upendo wa kweli kwa chino🎉
@AgnesAgnes-fm8wp
@AgnesAgnes-fm8wp 5 ай бұрын
Chinoo punguza marafiki watakuponza
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 5 ай бұрын
Maisha ya kufeki haya mtakuja muumbuke
@user-vu9ee7yg1j
@user-vu9ee7yg1j 5 ай бұрын
Watu wanaishi broo awafek tafuta nawew upate ili tuone kama utafek au utaishi....
@yasiniramadhani4871
@yasiniramadhani4871 5 ай бұрын
Bonge show
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 5 ай бұрын
Napenda unavyo ishi na mzazi wako
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 ай бұрын
Saleh hivo viatu kama ni mimi ningevua kisha nikashika mkononi nikapanda navo maana ulipo mbali😂😂
@user-cq5dx1vr2p
@user-cq5dx1vr2p 5 ай бұрын
😅😅😅kwamba ataibiwa
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 ай бұрын
@@user-cq5dx1vr2p Ehee
@dr_godfrey
@dr_godfrey 5 ай бұрын
Kama ni kwako hongera sana ila kama umepanga da! POLE SANA usije laumu watu baadae
@naifathassan2607
@naifathassan2607 5 ай бұрын
Anajenga kwake hapo kapanga
@narrissajackson3869
@narrissajackson3869 5 ай бұрын
Maisha ni yake aachwe aishi
@musicheals1545
@musicheals1545 5 ай бұрын
ushauri muhimu mwisho wa siku asije kwenye media akaomba msaada, umri unaendaaaaaaa@@narrissajackson3869
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 5 ай бұрын
Anamalizia nyumba 2.ziko pamoja
@amanimanase8798
@amanimanase8798 5 ай бұрын
Usimpangie MTU maisha na matumizi ya pesa zake kwani anasaidiwa na MTU apo?
@Saumujames1234
@Saumujames1234 5 ай бұрын
Aahh kwer ili jumba la zambi 😂😂 watu kibao😅😅
@ruu6592
@ruu6592 5 ай бұрын
mbona mafanikio ya chino yanaanza kujitokeza baada ya ile ajali na kifo cha yule kijana ama nina mawazo potovu
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 5 ай бұрын
alimtoa mwenzake kafara chura huyu
@user-vu9ee7yg1j
@user-vu9ee7yg1j 5 ай бұрын
Usikufur mungu Allah ndo refa wa mchezo 🖤
@BAGAMOYOMEDIATZ
@BAGAMOYOMEDIATZ 5 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/gdljrNmXrrGUdZs.htmlsi=go--XEKTOW151aga AMEN MANKOLOMATZ FT MC KIBILITI X KHAZAV ( MASNICHI )
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 45 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 29 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 5 МЛН
Mwabukusi Atoa Hotuba Nzito Baada ya Kuapishwa, 'Tuwe Wamoja'
19:11
GETO ANALOISHI HAMIS WA BSS UTALIPENDA/AFUNGUKA KUACHWA NA MZUNGU
30:13
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
0:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 32 МЛН
Арбузорезка 🍉
0:42
Сан Тан
Рет қаралды 4,4 МЛН
#automobile #rek #cover #love #kesfet #ambulance #keşfet
0:47
Утро начинается не с кофе
0:41
Онлайн-кинотеатр PREMIER
Рет қаралды 9 МЛН