GPS: HAMAS yaushambulia mji wa TEL AVIV wa Israel kwa ROKETI!

  Рет қаралды 38,275

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

23 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 270
@SalumuMisigaro
@SalumuMisigaro 21 күн бұрын
Sma msema haki na mkweli. Viva Smaa
@MikelSitoe
@MikelSitoe 21 күн бұрын
Mimi mwenyewe na penda Sana Hamas na Ez BHollah, na Mungu awa jaalie Hamas
@BeckhamMsigwa
@BeckhamMsigwa 21 күн бұрын
Utapenda sana ila hamas kui piku Israel ni ngumu tena ngumu sana 😂😂
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 21 күн бұрын
​@@BeckhamMsigwa hayo ni maono yko fuatilia aljazeera uone idf wanavyoomba poo... wanajuta kumsikiliza natanyahu
@Mumewangu
@Mumewangu 21 күн бұрын
@@BeckhamMsigwa hiyo inajulikana lakin miezi 7 kikundi kidogo ameshindwa kukimaliza na Dunia INA msaidia israil hawezi kushinda hii vita manake kule alikokuteka tayari wanazibukia na kushambulia tena
@zuricakes6817
@zuricakes6817 21 күн бұрын
@@mohamedaley5632 wacha uongo, haya ni matamanio yako, yaani ndoto yako....alafu kuna kitu kinaitwa 'Ukweli'.
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 21 күн бұрын
@@zuricakes6817 kutokana tu na ulivyoongea nishajua ni katka wale anaewazungumzia dj smaa
@user-sd5hj2im4q
@user-sd5hj2im4q 21 күн бұрын
Dj smaaa is a master on military affair knowledge,, we are on here for all
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 21 күн бұрын
Dj Smaa nilitamani kumuona kabisa safi kabisa 🙌🏼🙌🏼
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 21 күн бұрын
Yani Hawa jamaa wanajua Sana mashalah wanaakili sana
@KondoSudai
@KondoSudai 21 күн бұрын
Allah wasaidie ndug zetu Hamas waweze kuwashinda hao waisrael
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 15 күн бұрын
Hatuhitaji vita tunahitaji Amani itawale ili 1. Watoto wakue 2. Wazee wapumzike 3. Wagonjwa watibiwe 4. Mazao yastawi
@PlatnamMogo
@PlatnamMogo 21 күн бұрын
Mko vizuri! Mnachambua vizuri.
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 21 күн бұрын
Asante sana ndg mtangazaji asante sana ndg wachambuzi mko vzr sana
@zaitunifamao7777
@zaitunifamao7777 21 күн бұрын
Great program,big up SNS.
@musiliitv2888
@musiliitv2888 21 күн бұрын
Ali masubi yuko vizuri sana kwa kuchambua yani mtazamaji unamuelewa vizuri sana
@zuricakes6817
@zuricakes6817 21 күн бұрын
Yuko vizuri ....yuko UNBIASED. DjSma ISRAEL (and allies) INAMUUMIZA SANA KICHWA! Asipoangalia ata presha mwaka huu😅, kwa sababu ISRAEL IS HERE TO STAY, na atakayewachokoza anabamizwa tuu!
@princematumbo
@princematumbo 20 күн бұрын
​@@zuricakes6817mkundu Wa mamako wewe, Israel to stay wapi?! nguruwe wewe
@zuricakes6817
@zuricakes6817 19 күн бұрын
@@princematumbo wewe mama yako haendi chooni? Au umezaliwa bila mama?😅 Punguza hasira usije ukapata presha ukaanguka ukafa 😃 Jina lenyewe Prince Matumbo!🤣😅
@hawa6052
@hawa6052 21 күн бұрын
Safi sana Mungu awasaidie wanaopigania Ardhi yao inayokaliwa kwa Mabavu
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 21 күн бұрын
Niwapongeze kwa taarifa nzuri sana zenye uhakika, kwa Tanzania nawapa namba moja mko vizuri kwa taarifa za Kimataifa
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 21 күн бұрын
Dj smaa upo vizur.defesi ya israel inapakwa mafuta ulaya na marekani ila akuna ulinzi apo.
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 21 күн бұрын
Watu munaozani kua Islael ni nchi ya ki kristo poleni hio nchi ya kiyahoud na muache kuwasema wachambuz kua wanaudini hio ni vita tu kama vitanyengine
@YasintaMpanduji
@YasintaMpanduji 21 күн бұрын
Hiyo ni spiritual battle huwezi kuelewa Kwa akili ya kimwili
@BeckhamMsigwa
@BeckhamMsigwa 21 күн бұрын
Shauri yako
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 14 күн бұрын
Tunaipenda Israel ❤😂😂. Mbona wewe unapenda Iran 😂
@dorahbenard1837
@dorahbenard1837 21 күн бұрын
Dj sm👏👏
@user-oq5xl6by7s
@user-oq5xl6by7s 21 күн бұрын
Daa leo Israel wamefanya unyama m mungu awalindinde rafaa😢😢😭
@somoeomar4861
@somoeomar4861 21 күн бұрын
Dj smaa u r gd kwa kuchambua in short SNS muko vizuri
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 21 күн бұрын
Hamas ni kikundi kidogo lakini kinamtoa jasho Israel anaepewa kila kitu na Marekani ikiwemo jeshi
@user-xn5xr6km3i
@user-xn5xr6km3i 21 күн бұрын
Hawa watu Nihatarii sana maana muogpe sana mtu ambae anaeipigania haki yake ya maisha yake huyo ni vizazi na vizazi
@stevenjackson4985
@stevenjackson4985 21 күн бұрын
Sasa kama ni hivyo mbona mnalalamika na kulialia? Acha wapigane.
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 21 күн бұрын
Hamasi itazidi kusababisha Raia wa Palestina kuuawa sana.
@ramiamisanya9873
@ramiamisanya9873 21 күн бұрын
Twende kaziiii!!!
@zuwenarajab6675
@zuwenarajab6675 21 күн бұрын
Kuna tofauti gani kati ya Hamas na kile walichokifanya wakina Mandela(Madiba, mwamba wa Afrika) dhidi ya wale wazungu wakoloni Afrika kusini? Wangewapa mauwa na kuwapigia makofi kwa dhulma walizofanya wakoloni? Walipambana kama Hamas leo hii wanavyo pambania ardhi yao dhidi ya wayahudi Palestina na wakapata uhuru wao. Namnukuu Mandela "uhuru wa Afrika kusini haujakamilika mpaka Palestina iwe huru" mwisho wa kunukuu. Kwa hiyo wakina Mandela walikuwa hawana haki ya kutete taifa lao? Kuitwa gaidi hata Mandela aliitwa gaidi na kifungo juu. Baadaye akaja kuwa shujaa wa Afrika kusini, Afrika na dunia nzima kwa ujumla.
@user-rt9qr3ie9g
@user-rt9qr3ie9g 20 күн бұрын
M.mungu awabariki wananSNS
@faridhamad3678
@faridhamad3678 21 күн бұрын
Dj Smaa nakuelewa vzuri wanaosema una udini hawajitambui.usijali we endelea kutupa madini.
@MagrethShirima-mu3hn
@MagrethShirima-mu3hn 21 күн бұрын
Wote wako vizur hamna udini hpo nyinyi mnaoanza kufatilia leo ndio mnatuvuruga
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 21 күн бұрын
Sijui wanataka waelezewe vipi😢
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 21 күн бұрын
Ni mashabiki maandazi na udini mwingi hawataki kuambiwa ukweli
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 20 күн бұрын
Dj sma upo vizuri sna
@SamsonEzekiel-or9xc
@SamsonEzekiel-or9xc 21 күн бұрын
Mko vizuri wachambuzi balaaa
@zuwenarajab6675
@zuwenarajab6675 21 күн бұрын
Ukiwa Ulaya ndio utajua hujuwi, hakuna kitu cha bure. Familia wanaishi pamoja lakini kila mtu anajinunulia mwenyewe. Waubinafsi wa hali ya juu. Yaani changu changu, chako chako hata kama ni mama mzazi(lakini sio wote) ila wengi wao wapo hivyo. Ukiona umepewa kitu cha bure, akili ku mkichwa!!!
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 21 күн бұрын
Kwann upende vya bure?? Fanya kazi
@richardtimoth7865
@richardtimoth7865 21 күн бұрын
Huyu jamaa mweus anachambua uhalisia haonyeshi kuegemea upande fulani na ndivyo inavyotakiwa
@muddjigal4096
@muddjigal4096 21 күн бұрын
Wote hapo ni weusi umemaanisha nani boss
@JamalKanani
@JamalKanani 21 күн бұрын
Ukweli unauma mnyonge akifqnikiwq
@SAYMOEKARIM
@SAYMOEKARIM 21 күн бұрын
tatazo watu saivi ukweli hamuutaki
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 21 күн бұрын
Kweli lakini huyo hapo mwarabu anakandamiza sana waizilaeli
@SAYMOEKARIM
@SAYMOEKARIM 21 күн бұрын
@@chikusangalala7759 ok basi mbona Ndugu zetu wa Congo mbona wanakufa sisi weusi wezao tupo kimya ?
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 21 күн бұрын
Kwani ata wakifa watatangaza 😢.Mungu awalinde hamas
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 21 күн бұрын
Wanakufa sana hawatangazi MUNGU tunakuomba linda raia wa Gaza 🙏
@pesaspy_tv
@pesaspy_tv 21 күн бұрын
Hivi Israel ni ya kupigana vita miezi 6 dhidi ya hamas tena kimji kidogo kabisa
@paschaljuma3312
@paschaljuma3312 21 күн бұрын
Tena hapo ni kwakuwa wameharibu tu majengo na kuua raia isinge kuwa hivyo yani israel hawana uwezo wa kuiondoa hamas
@aishaswab2413
@aishaswab2413 21 күн бұрын
Hatari
@allenanase8161
@allenanase8161 21 күн бұрын
Air supression
@salumadam2862
@salumadam2862 21 күн бұрын
Kweli
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 21 күн бұрын
Na yale maandamano telaviva ni ya nini viva abu ubaida❤
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 21 күн бұрын
hapo hakuna cha udini jamaa anaongea fact only
@reginamayuto1357
@reginamayuto1357 20 күн бұрын
❤❤❤❤ safi sana
@HajiJuma-xw7vh
@HajiJuma-xw7vh 21 күн бұрын
Safi sana
@hafidhyakoub8369
@hafidhyakoub8369 21 күн бұрын
Hao wana jipiga wenyewe hao
@user-cn9xk3iq8r
@user-cn9xk3iq8r 21 күн бұрын
malaya
@user-rt9qr3ie9g
@user-rt9qr3ie9g 20 күн бұрын
DJ smaa unachambua vzr
@user-ju4md1yq6o
@user-ju4md1yq6o 21 күн бұрын
Safi sana wachambuzi napenda muwe mnatuchambulia ivi
@RBMBAKARI-bv6wn
@RBMBAKARI-bv6wn 21 күн бұрын
Huyo masoubi hampati kabisa dj smaa smaa anavitu adimu sana
@modekaijames
@modekaijames 21 күн бұрын
Kaka wote atuwezi kuwa Sawa
@BongoPlatformTv
@BongoPlatformTv 20 күн бұрын
Sky. Mm nina ushauri kwako kama una weza ili kipindi kiwe offolicial kwa mambo haya hata kwa hiyo cku 1 moja. Tengeneza sehemu nzuri ambayo ina ji brand pia.kipindi kina noga. Ni maoni yangu tu.tunapenda tuone maendeleo pia ya vipindi nyenu mkiwa live kama hivi .🙏
@kylesmeight4837
@kylesmeight4837 21 күн бұрын
Dj SMA Analet habar ambazo huwezipata Mainstream Media
@mwijagejoseph1675
@mwijagejoseph1675 21 күн бұрын
Mmeshindwa kuchambua mpira mnaanza kuchambua mabomu. Washamba kweli
@user-cq2lt6ho5w
@user-cq2lt6ho5w 21 күн бұрын
Ila jamani, kombola kufik hadi Mji mkuu kweli litakua halina madhara? Mzee ukikutana nalo utakufa tu
@AliNassor-qt6fm
@AliNassor-qt6fm 21 күн бұрын
Mfumo wa ulinzi wa Israel wanaousifu sana sio bora kiivo , mbn hizbollah rocket 🚀 zinapenya , Ali Masuby bado mwepesi kwenye uchambuzi
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 21 күн бұрын
Mifumo ya ulinzi yoote DUNIANI haizuii KWA asilimia mia NDIO maana HATA s 400 ya URUSI zimeshambuliwa
@asyajey3479
@asyajey3479 21 күн бұрын
Leo mmeambizana kuvaa black 😊
@festohaule9716
@festohaule9716 21 күн бұрын
Mpaka Leo Hamasi anaubavu tena wa kurusha rocket !!!!!!!
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 21 күн бұрын
Hiyo nimipango yao WENYEWE... kudanganya uma,,mibomu kila siku Leo USEME,,Bado WAPO...mm naomba vita ikwishe mwisho utasikia NYUMBA zimejengwa PARESTINA ambacho kitaongeza vita.
@KAMTUPE
@KAMTUPE 20 күн бұрын
Nipo hapa.
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 21 күн бұрын
Ahsante sana GPS 💪
@salitosofo5561
@salitosofo5561 21 күн бұрын
Iyo source yenu ya bbc ya uwongo
@MzeeKigogo_
@MzeeKigogo_ 18 күн бұрын
Wapigwe hao magaidi. God bless Israel
@user-ki7hd3lg2q
@user-ki7hd3lg2q 21 күн бұрын
Dj smaa ni hatari anajua sana tena sana. Mungu amjaalie apindishi maneno . Hawa watu tunawatumiaje kwenye taifa
@mohamedS-yd9wh
@mohamedS-yd9wh 21 күн бұрын
Wachambuzi wetu pongezi zenu naona mnachambua habari za ukweli na uhakika bila kuelemea upande wowote
@ramazanzibar8264
@ramazanzibar8264 21 күн бұрын
Mzee upo Fasta sana
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 21 күн бұрын
Tupo pamoja
@hot_news-
@hot_news- 21 күн бұрын
Mkuu kuna mejeruhi 3
@abdisemgunda3171
@abdisemgunda3171 6 күн бұрын
Huo ndio ukweli... mtamsifu Israel sana but anapigana na nani..!!?? Na je ananini huyo anaepigananae..!!
@johnmessi6831
@johnmessi6831 21 күн бұрын
Na kupata vyema kutoka Tel Aviv-Yafo
@SerahGlam
@SerahGlam 21 күн бұрын
Leo kaka gps imekuwa fupi sanaa
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 21 күн бұрын
Ndefu ipo itakuja soon
@MohdSuleiman-fw2un
@MohdSuleiman-fw2un 21 күн бұрын
Dahhhh nikwel kwa vifaa vya kivita Israeli wapo juu lkn lkn hamas wanambinu nyingi sana tena sana
@elishaalex1747
@elishaalex1747 21 күн бұрын
aise Israel watajb kwa ukubwaa🎉🎉🎉
@user-is9xs1kd9z
@user-is9xs1kd9z 21 күн бұрын
Waulize kinachowakuta😂😂😂
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 21 күн бұрын
ok yahudi tumekuelewa
@wadantz123
@wadantz123 21 күн бұрын
Sawa semaji la kiyahudi
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 14 күн бұрын
Israel anajibu kikamifu😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 14 күн бұрын
Israel anajibu kikamilifu 😂😂
@user-ny2cd9dt1d
@user-ny2cd9dt1d 21 күн бұрын
Ukizoea kumuonea mtu anayekuogapa kwa mda mlefu huwa unamtengeneza kuwa jasili na shujaa asiyeogopa chochote. Israel imewakomaza Hamas mwenyewe so ikubali matokeo
@MarcellySumaye-bv5lh
@MarcellySumaye-bv5lh 21 күн бұрын
Pointless
@josepheriah5977
@josepheriah5977 21 күн бұрын
Limerunguliwa
@aftapat5365
@aftapat5365 21 күн бұрын
leo vipi dakika 14 tu 😢😢
@user-ng4xq6dw1k
@user-ng4xq6dw1k 20 күн бұрын
Wacambuzi bola kabisa mungu ibaliki inchi jilani Tanzania
@timothyemmanuel3522
@timothyemmanuel3522 21 күн бұрын
Kwann ivyo vichwa vipo hapo mshauri mama samia avichukue ivyo vichwa visaidie Taifa
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 21 күн бұрын
Kaka ally ulaya wote ni wabovu kwenye vita hawana silaha bora bali wao ni watu wa kujisifu na kujitangaza kwenye vyombo vyao vya habari
@atutweve4160
@atutweve4160 21 күн бұрын
WAPI WAMEJITANGAZA 🤣😳😳😳
@peterthobias5000
@peterthobias5000 19 күн бұрын
Yakwetu yametushinda tunajadili ya wengine huu ni ujinga uliokithiri
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 21 күн бұрын
Kaka umesema kweli israel hawana uwezo wa kivita maana nimashoga wala huo mfumo wao wa ulinzi ni wa hovyo
@martinejoseph6098
@martinejoseph6098 15 күн бұрын
Huyo jamaa white hamna kitu hajui kuchambua😅😅😅😂😂😂 ananichekesha😂😂😂
@philipmendamenda2514
@philipmendamenda2514 21 күн бұрын
Kwani mnajua mnachokijadili? Kumbukeni mnajadili unabii wa Mungu, hiyo vita sio ya kisiasa kumbukeni Hilo.
@badruseif1318
@badruseif1318 21 күн бұрын
Muyahudi mweusii kajitojekeza
@user-ki9wu6no3d
@user-ki9wu6no3d 21 күн бұрын
Hapn DJ Sma Ukiingizaa Udini hauwezi kumwelewa, Yeye anachambua uhalisia katika Vita
@user-is9xs1kd9z
@user-is9xs1kd9z 21 күн бұрын
Kweli 😮😮
@natual7572
@natual7572 21 күн бұрын
Kabisa weng hawamuelew sma
@Latifahhassan-lr8ew
@Latifahhassan-lr8ew 21 күн бұрын
Sema wewe usijumlishe wengine
@Latifahhassan-lr8ew
@Latifahhassan-lr8ew 21 күн бұрын
Sma shukran sana kusimamia haki na ukweli
@SalumJuma-iz2gj
@SalumJuma-iz2gj 17 күн бұрын
Yaan palestina hawaish kwa amani lakini iziraili pia hawajawah pia kuishi kwa aman
@user-eg1ts2fu9z
@user-eg1ts2fu9z 21 күн бұрын
Israel haitaki huu mzozo uwishe mapema
@user-st1zs1ng2x
@user-st1zs1ng2x 21 күн бұрын
Hiyo nimeiyona waliwaingiza mkenge na wao wakazama kichwa kichwa kwenye mahandaki Al qasam wa kasepaa nao na huyo mwanajeshi aliyejirecod hiyo ni hotuba ya Netanyau mwenyewe 😂.. Coz Ata hy video aliyeisambaza kwa mara ya kwanza ni mtoto wa Netanyahu anayeishi California
@user-rt1wf6se5f
@user-rt1wf6se5f 20 күн бұрын
Kama una degr za kujitambua na kuacha ushabiki hawa jamaa utawaelewa
@IddyAmir-gq1jr
@IddyAmir-gq1jr 21 күн бұрын
Islael na marekani hata wapigwe vipi hawasemi ukweli utasikia tu hakuna madhara😂😂😂
@officiallugano8991
@officiallugano8991 21 күн бұрын
Dj sma nimchambuzi mzuri but yupo na udini sana ana chuki za wazi wazi kwa nchi za ulaya na America 🇺🇸
@Gulfnas1
@Gulfnas1 21 күн бұрын
Sio lazima kumfuata
@user-cj2kl7cd9k
@user-cj2kl7cd9k 21 күн бұрын
Na mimi nimegundua hilo
@Levis438
@Levis438 21 күн бұрын
Kitu ambacho naona mmekiacha kwenye uchambuzi wenu ni kwamba Hamas wanakua wagumu zaidi kumalizwa sababu ya njia yao ya kujificha kwa Raia
@KajokaTanzania
@KajokaTanzania 21 күн бұрын
Hao Aljazira hawaaminiki kabisa
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 21 күн бұрын
Wanawadanganya hao makafiri hata wapigwe hawasemi
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 20 күн бұрын
Acha uongo anaweza tengeneza ata yeye
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x 21 күн бұрын
Hao wanajishambulia wenyewe we ukitaka uamin wakuonyeshe maiti .za kiyahudi hio kama septemba ileven warakufa raia wengine sio wayahudi
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 21 күн бұрын
Hao mashoga hata wafe hawasemi maana wanaona aibu lakin wamekufa haiwezekani walenge shabaha na ifike mahali husika na wasife
@atutweve4160
@atutweve4160 21 күн бұрын
Sawa basi wamekufa wameisha na vita imeisha na hamas wameshinda 🤣
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 21 күн бұрын
Dj sma huyo israel hajaanza vita leo ameanza vita zamani ukitaka kuona yupo vzur ingia nae vitan
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 21 күн бұрын
ok yahudi tumekuelewa
@barakamwamasage-hy2jo
@barakamwamasage-hy2jo 21 күн бұрын
Kama hauelewi kipindi hauelewi tu.Ali ni Ali Smaa ni Smaa
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 21 күн бұрын
Kwenye ground Israel imeshindwa
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 20 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
@RuttaJames-kh5jx
@RuttaJames-kh5jx 4 күн бұрын
Wapige hao masoga
@ghazarahmed80
@ghazarahmed80 20 күн бұрын
Hawana air defense generation wala ya nini ? Kwamba ulaya wenyewe wanaitaka? Hizo propaganda kila kukicha kuwapa credit uongo uongo mwingi hao wayahudi
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 21 күн бұрын
Ilo jibu la ni apana, ni lako sio la Israel
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi 21 күн бұрын
Wenzao wanawauwa afu wenyewe wanawateka si wauwe tu
@FastpayMauzo
@FastpayMauzo 21 күн бұрын
DJ SMA kwan mrusi alikupa nini?
@ElijahOwino-xe2cd
@ElijahOwino-xe2cd 21 күн бұрын
Dj sma hatawai appreciate Israel.. Jamaa anamchukia sana Israel
@user-is9xs1kd9z
@user-is9xs1kd9z 21 күн бұрын
Kwani Israel ndio nani mpaka kila mtu aipende? Ifuatilieni mtajua hamjui😮😮😮
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 21 күн бұрын
Hawez kufika mbali akiegemea upande mmoja uchambuzi hautaki hvo
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 21 күн бұрын
​@@user-it7ih1it3mTatizo hupend ukweli
@aishaarusha894
@aishaarusha894 21 күн бұрын
Izrael ni ubwa walio potea awezi kuegemea
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 21 күн бұрын
​@@user-it7ih1it3m kwani alichokiongea kipi kaongopa??
@user-en7pg4ym5r
@user-en7pg4ym5r 21 күн бұрын
Malaika mtowa roho anaeitwa iseraili
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau 21 күн бұрын
Daah Ally masubi jaribu kumwerekeza hata ww 🤣🤣 kuwa ile defense ya izilaer hata urusi ana cha kujifunza🤔🤔 siyo awafariji ndugu zake kuwa ni ya kawaida 👍 maana watu wenye majina ya kiarabu wakisikia defense ya izilaer ni yakawaida sana wanafarijika sana🤝 next time tuleteeni makala jinsi gani izilaer ilivyo na power kubwa kijesh 🔥💪 mtwambie kabsa kuwa entellegence yao hajapata kufikiwa na nch yoyote karne hii🙏🙏🙏
@hassanihamidu8546
@hassanihamidu8546 21 күн бұрын
Usije kuludia tena sikunyingine kuongea huo utumbo!!! Yani mrusi akajivunze kwa netanyau mtu anaepigana namataifa zaidi ya 45 akiwa pekeyake, ogopa sana Russia ule nimuziki mwingine hujiulizi kwa nini toka vita ya mrusi imeanza netanyau aligoma kupeleka silaha yoyote? Jibu ni moja tu Putin alimkanya netanyau akamwambia ukijaribu ntaichoma teraviv kwadakika 5 tu au unajisahaulisha?
@shabanimataka8418
@shabanimataka8418 21 күн бұрын
Tulivyo aminishwa na ilvyo israil ni mbali na mbali awako vizuri kabisa kwa Mimi muelewa kama wao wakovizur ulaya yote wanapeleka ulinzi pale wanini Sasa na wao ndo wenye ulinzi Bora kuliko wote
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau 21 күн бұрын
@@hassanihamidu8546 ndo mnafalijiana ujinga Ivo. Amemushindwa ucrein atawaweza wana wa izilaer mbona mnajamba vitani 🤣🤣🤣 urusi na izilaer hawajah kutunishiana misuri kabsa 🤝 coz izilaer Hana shida na urusi 🧷 yeye maadui zake Nini baba zenu warabu 🙆 apo hata wakiungana hawafulukuti kama ilivo Kwa urusi adui yake Mkubwa ni marekani. 💀 Mbona kama unasinzia mdgo wake mwamed🤣🤣🤣
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau 21 күн бұрын
@@shabanimataka8418 nani alikuaminisha Sasa🤣 huna haja ya kuaminishwa hilo lipo wazi🤜🤛 utaki unataka🙏
@user-kx4wd5vb4j
@user-kx4wd5vb4j 21 күн бұрын
Mimi siamini juu ya hilo,na hiyo ni mipango ya Esrail tu ili iendelee kuitwanga Palestina.
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 14 күн бұрын
Acha Hamasi atwangwe tu.😢
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 21 күн бұрын
Wametangaza au wametangaziwa? Maana tuangalie Israel dunia ilivyo ilivyowaelemea , movie tu hiyo
Whyyyy? 😭 #shorts by Leisi Crazy
00:16
Leisi Crazy
Рет қаралды 19 МЛН
🍕Пиццерия FNAF в реальной жизни #shorts
00:41
I Built a Shelter House For myself and Сat🐱📦🏠
00:35
TooTool
Рет қаралды 34 МЛН
The REAL story of Ishmael: what they don't tell you
13:19
Rabbi Simon Jacobson at Meaningful Life Center
Рет қаралды 716 М.
4 AWFUL Habits That Make People Disrespect You | Stoic PHILOSOPHY
15:04
James The Stoic
Рет қаралды 276 М.
Does the Quran Predict the End of Israel? || Ustadh Wahaj Tarin
21:42
Ustadh Wahaj Tarin
Рет қаралды 598 М.
Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran
35:23
Британский гонщик быстрее Гугл мапс 💨
0:48
Ждать пока остынут ступицы?
0:34
Trucker X
Рет қаралды 2,7 МЛН
На чем ездят армии мира? #shorts
0:59
PONOMAREV
Рет қаралды 498 М.