Mimi mwenyewe na penda Sana Hamas na Ez BHollah, na Mungu awa jaalie Hamas
@BeckhamMsigwa21 күн бұрын
Utapenda sana ila hamas kui piku Israel ni ngumu tena ngumu sana 😂😂
@mohamedaley563221 күн бұрын
@@BeckhamMsigwa hayo ni maono yko fuatilia aljazeera uone idf wanavyoomba poo... wanajuta kumsikiliza natanyahu
@Mumewangu21 күн бұрын
@@BeckhamMsigwa hiyo inajulikana lakin miezi 7 kikundi kidogo ameshindwa kukimaliza na Dunia INA msaidia israil hawezi kushinda hii vita manake kule alikokuteka tayari wanazibukia na kushambulia tena
@zuricakes681721 күн бұрын
@@mohamedaley5632 wacha uongo, haya ni matamanio yako, yaani ndoto yako....alafu kuna kitu kinaitwa 'Ukweli'.
@mohamedaley563221 күн бұрын
@@zuricakes6817 kutokana tu na ulivyoongea nishajua ni katka wale anaewazungumzia dj smaa
@user-sd5hj2im4q21 күн бұрын
Dj smaaa is a master on military affair knowledge,, we are on here for all
@MrTop-wj7no21 күн бұрын
Dj Smaa nilitamani kumuona kabisa safi kabisa 🙌🏼🙌🏼
@jamilaathumani548121 күн бұрын
Yani Hawa jamaa wanajua Sana mashalah wanaakili sana
@KondoSudai21 күн бұрын
Allah wasaidie ndug zetu Hamas waweze kuwashinda hao waisrael
@gilbertshirima268415 күн бұрын
Hatuhitaji vita tunahitaji Amani itawale ili 1. Watoto wakue 2. Wazee wapumzike 3. Wagonjwa watibiwe 4. Mazao yastawi
@PlatnamMogo21 күн бұрын
Mko vizuri! Mnachambua vizuri.
@imanuelnguya927721 күн бұрын
Asante sana ndg mtangazaji asante sana ndg wachambuzi mko vzr sana
@zaitunifamao777721 күн бұрын
Great program,big up SNS.
@musiliitv288821 күн бұрын
Ali masubi yuko vizuri sana kwa kuchambua yani mtazamaji unamuelewa vizuri sana
@zuricakes681721 күн бұрын
Yuko vizuri ....yuko UNBIASED. DjSma ISRAEL (and allies) INAMUUMIZA SANA KICHWA! Asipoangalia ata presha mwaka huu😅, kwa sababu ISRAEL IS HERE TO STAY, na atakayewachokoza anabamizwa tuu!
@princematumbo20 күн бұрын
@@zuricakes6817mkundu Wa mamako wewe, Israel to stay wapi?! nguruwe wewe
@zuricakes681719 күн бұрын
@@princematumbo wewe mama yako haendi chooni? Au umezaliwa bila mama?😅 Punguza hasira usije ukapata presha ukaanguka ukafa 😃 Jina lenyewe Prince Matumbo!🤣😅
@hawa605221 күн бұрын
Safi sana Mungu awasaidie wanaopigania Ardhi yao inayokaliwa kwa Mabavu
@madaiincubationcenter494721 күн бұрын
Niwapongeze kwa taarifa nzuri sana zenye uhakika, kwa Tanzania nawapa namba moja mko vizuri kwa taarifa za Kimataifa
@jumamussantuiche21 күн бұрын
Dj smaa upo vizur.defesi ya israel inapakwa mafuta ulaya na marekani ila akuna ulinzi apo.
@mustafamsati959921 күн бұрын
Watu munaozani kua Islael ni nchi ya ki kristo poleni hio nchi ya kiyahoud na muache kuwasema wachambuz kua wanaudini hio ni vita tu kama vitanyengine
@YasintaMpanduji21 күн бұрын
Hiyo ni spiritual battle huwezi kuelewa Kwa akili ya kimwili
@BeckhamMsigwa21 күн бұрын
Shauri yako
@zebedayokatamaduni967614 күн бұрын
Tunaipenda Israel ❤😂😂. Mbona wewe unapenda Iran 😂
@dorahbenard183721 күн бұрын
Dj sm👏👏
@user-oq5xl6by7s21 күн бұрын
Daa leo Israel wamefanya unyama m mungu awalindinde rafaa😢😢😭
@somoeomar486121 күн бұрын
Dj smaa u r gd kwa kuchambua in short SNS muko vizuri
@braystuskibassa384221 күн бұрын
Hamas ni kikundi kidogo lakini kinamtoa jasho Israel anaepewa kila kitu na Marekani ikiwemo jeshi
@user-xn5xr6km3i21 күн бұрын
Hawa watu Nihatarii sana maana muogpe sana mtu ambae anaeipigania haki yake ya maisha yake huyo ni vizazi na vizazi
@stevenjackson498521 күн бұрын
Sasa kama ni hivyo mbona mnalalamika na kulialia? Acha wapigane.
@zebedayokatamaduni967621 күн бұрын
Hamasi itazidi kusababisha Raia wa Palestina kuuawa sana.
@ramiamisanya987321 күн бұрын
Twende kaziiii!!!
@zuwenarajab667521 күн бұрын
Kuna tofauti gani kati ya Hamas na kile walichokifanya wakina Mandela(Madiba, mwamba wa Afrika) dhidi ya wale wazungu wakoloni Afrika kusini? Wangewapa mauwa na kuwapigia makofi kwa dhulma walizofanya wakoloni? Walipambana kama Hamas leo hii wanavyo pambania ardhi yao dhidi ya wayahudi Palestina na wakapata uhuru wao. Namnukuu Mandela "uhuru wa Afrika kusini haujakamilika mpaka Palestina iwe huru" mwisho wa kunukuu. Kwa hiyo wakina Mandela walikuwa hawana haki ya kutete taifa lao? Kuitwa gaidi hata Mandela aliitwa gaidi na kifungo juu. Baadaye akaja kuwa shujaa wa Afrika kusini, Afrika na dunia nzima kwa ujumla.
@user-rt9qr3ie9g20 күн бұрын
M.mungu awabariki wananSNS
@faridhamad367821 күн бұрын
Dj Smaa nakuelewa vzuri wanaosema una udini hawajitambui.usijali we endelea kutupa madini.
@MagrethShirima-mu3hn21 күн бұрын
Wote wako vizur hamna udini hpo nyinyi mnaoanza kufatilia leo ndio mnatuvuruga
@rajabdibwa641521 күн бұрын
Sijui wanataka waelezewe vipi😢
@MiriamAbdallah21 күн бұрын
Ni mashabiki maandazi na udini mwingi hawataki kuambiwa ukweli
@hamzafishten956020 күн бұрын
Dj sma upo vizuri sna
@SamsonEzekiel-or9xc21 күн бұрын
Mko vizuri wachambuzi balaaa
@zuwenarajab667521 күн бұрын
Ukiwa Ulaya ndio utajua hujuwi, hakuna kitu cha bure. Familia wanaishi pamoja lakini kila mtu anajinunulia mwenyewe. Waubinafsi wa hali ya juu. Yaani changu changu, chako chako hata kama ni mama mzazi(lakini sio wote) ila wengi wao wapo hivyo. Ukiona umepewa kitu cha bure, akili ku mkichwa!!!
@lusajomwaipopo504221 күн бұрын
Kwann upende vya bure?? Fanya kazi
@richardtimoth786521 күн бұрын
Huyu jamaa mweus anachambua uhalisia haonyeshi kuegemea upande fulani na ndivyo inavyotakiwa
@muddjigal409621 күн бұрын
Wote hapo ni weusi umemaanisha nani boss
@JamalKanani21 күн бұрын
Ukweli unauma mnyonge akifqnikiwq
@SAYMOEKARIM21 күн бұрын
tatazo watu saivi ukweli hamuutaki
@chikusangalala775921 күн бұрын
Kweli lakini huyo hapo mwarabu anakandamiza sana waizilaeli
@SAYMOEKARIM21 күн бұрын
@@chikusangalala7759 ok basi mbona Ndugu zetu wa Congo mbona wanakufa sisi weusi wezao tupo kimya ?
@evelynemugeni236921 күн бұрын
Kwani ata wakifa watatangaza 😢.Mungu awalinde hamas
@MiriamAbdallah21 күн бұрын
Wanakufa sana hawatangazi MUNGU tunakuomba linda raia wa Gaza 🙏
@pesaspy_tv21 күн бұрын
Hivi Israel ni ya kupigana vita miezi 6 dhidi ya hamas tena kimji kidogo kabisa
@paschaljuma331221 күн бұрын
Tena hapo ni kwakuwa wameharibu tu majengo na kuua raia isinge kuwa hivyo yani israel hawana uwezo wa kuiondoa hamas
@aishaswab241321 күн бұрын
Hatari
@allenanase816121 күн бұрын
Air supression
@salumadam286221 күн бұрын
Kweli
@ayshasaid154721 күн бұрын
Na yale maandamano telaviva ni ya nini viva abu ubaida❤
@khamisjuma761621 күн бұрын
hapo hakuna cha udini jamaa anaongea fact only
@reginamayuto135720 күн бұрын
❤❤❤❤ safi sana
@HajiJuma-xw7vh21 күн бұрын
Safi sana
@hafidhyakoub836921 күн бұрын
Hao wana jipiga wenyewe hao
@user-cn9xk3iq8r21 күн бұрын
malaya
@user-rt9qr3ie9g20 күн бұрын
DJ smaa unachambua vzr
@user-ju4md1yq6o21 күн бұрын
Safi sana wachambuzi napenda muwe mnatuchambulia ivi
@RBMBAKARI-bv6wn21 күн бұрын
Huyo masoubi hampati kabisa dj smaa smaa anavitu adimu sana
@modekaijames21 күн бұрын
Kaka wote atuwezi kuwa Sawa
@BongoPlatformTv20 күн бұрын
Sky. Mm nina ushauri kwako kama una weza ili kipindi kiwe offolicial kwa mambo haya hata kwa hiyo cku 1 moja. Tengeneza sehemu nzuri ambayo ina ji brand pia.kipindi kina noga. Ni maoni yangu tu.tunapenda tuone maendeleo pia ya vipindi nyenu mkiwa live kama hivi .🙏
@kylesmeight483721 күн бұрын
Dj SMA Analet habar ambazo huwezipata Mainstream Media
Ila jamani, kombola kufik hadi Mji mkuu kweli litakua halina madhara? Mzee ukikutana nalo utakufa tu
@AliNassor-qt6fm21 күн бұрын
Mfumo wa ulinzi wa Israel wanaousifu sana sio bora kiivo , mbn hizbollah rocket 🚀 zinapenya , Ali Masuby bado mwepesi kwenye uchambuzi
@josephwilliam581321 күн бұрын
Mifumo ya ulinzi yoote DUNIANI haizuii KWA asilimia mia NDIO maana HATA s 400 ya URUSI zimeshambuliwa
@asyajey347921 күн бұрын
Leo mmeambizana kuvaa black 😊
@festohaule971621 күн бұрын
Mpaka Leo Hamasi anaubavu tena wa kurusha rocket !!!!!!!
@daudimaniseli75921 күн бұрын
Hiyo nimipango yao WENYEWE... kudanganya uma,,mibomu kila siku Leo USEME,,Bado WAPO...mm naomba vita ikwishe mwisho utasikia NYUMBA zimejengwa PARESTINA ambacho kitaongeza vita.
@KAMTUPE20 күн бұрын
Nipo hapa.
@RamazaniMulongeca21 күн бұрын
Ahsante sana GPS 💪
@salitosofo556121 күн бұрын
Iyo source yenu ya bbc ya uwongo
@MzeeKigogo_18 күн бұрын
Wapigwe hao magaidi. God bless Israel
@user-ki7hd3lg2q21 күн бұрын
Dj smaa ni hatari anajua sana tena sana. Mungu amjaalie apindishi maneno . Hawa watu tunawatumiaje kwenye taifa
@mohamedS-yd9wh21 күн бұрын
Wachambuzi wetu pongezi zenu naona mnachambua habari za ukweli na uhakika bila kuelemea upande wowote
@ramazanzibar826421 күн бұрын
Mzee upo Fasta sana
@Brunotarimo1021 күн бұрын
Tupo pamoja
@hot_news-21 күн бұрын
Mkuu kuna mejeruhi 3
@abdisemgunda31716 күн бұрын
Huo ndio ukweli... mtamsifu Israel sana but anapigana na nani..!!?? Na je ananini huyo anaepigananae..!!
@johnmessi683121 күн бұрын
Na kupata vyema kutoka Tel Aviv-Yafo
@SerahGlam21 күн бұрын
Leo kaka gps imekuwa fupi sanaa
@SimuliziNaSauti21 күн бұрын
Ndefu ipo itakuja soon
@MohdSuleiman-fw2un21 күн бұрын
Dahhhh nikwel kwa vifaa vya kivita Israeli wapo juu lkn lkn hamas wanambinu nyingi sana tena sana
@elishaalex174721 күн бұрын
aise Israel watajb kwa ukubwaa🎉🎉🎉
@user-is9xs1kd9z21 күн бұрын
Waulize kinachowakuta😂😂😂
@muzafarsharif946521 күн бұрын
ok yahudi tumekuelewa
@wadantz12321 күн бұрын
Sawa semaji la kiyahudi
@zebedayokatamaduni967614 күн бұрын
Israel anajibu kikamifu😂
@zebedayokatamaduni967614 күн бұрын
Israel anajibu kikamilifu 😂😂
@user-ny2cd9dt1d21 күн бұрын
Ukizoea kumuonea mtu anayekuogapa kwa mda mlefu huwa unamtengeneza kuwa jasili na shujaa asiyeogopa chochote. Israel imewakomaza Hamas mwenyewe so ikubali matokeo
@MarcellySumaye-bv5lh21 күн бұрын
Pointless
@josepheriah597721 күн бұрын
Limerunguliwa
@aftapat536521 күн бұрын
leo vipi dakika 14 tu 😢😢
@user-ng4xq6dw1k20 күн бұрын
Wacambuzi bola kabisa mungu ibaliki inchi jilani Tanzania
@timothyemmanuel352221 күн бұрын
Kwann ivyo vichwa vipo hapo mshauri mama samia avichukue ivyo vichwa visaidie Taifa
@MasterOil-qm6vw21 күн бұрын
Kaka ally ulaya wote ni wabovu kwenye vita hawana silaha bora bali wao ni watu wa kujisifu na kujitangaza kwenye vyombo vyao vya habari
@atutweve416021 күн бұрын
WAPI WAMEJITANGAZA 🤣😳😳😳
@peterthobias500019 күн бұрын
Yakwetu yametushinda tunajadili ya wengine huu ni ujinga uliokithiri
@MasterOil-qm6vw21 күн бұрын
Kaka umesema kweli israel hawana uwezo wa kivita maana nimashoga wala huo mfumo wao wa ulinzi ni wa hovyo
@martinejoseph609815 күн бұрын
Huyo jamaa white hamna kitu hajui kuchambua😅😅😅😂😂😂 ananichekesha😂😂😂
@philipmendamenda251421 күн бұрын
Kwani mnajua mnachokijadili? Kumbukeni mnajadili unabii wa Mungu, hiyo vita sio ya kisiasa kumbukeni Hilo.
@badruseif131821 күн бұрын
Muyahudi mweusii kajitojekeza
@user-ki9wu6no3d21 күн бұрын
Hapn DJ Sma Ukiingizaa Udini hauwezi kumwelewa, Yeye anachambua uhalisia katika Vita
@user-is9xs1kd9z21 күн бұрын
Kweli 😮😮
@natual757221 күн бұрын
Kabisa weng hawamuelew sma
@Latifahhassan-lr8ew21 күн бұрын
Sema wewe usijumlishe wengine
@Latifahhassan-lr8ew21 күн бұрын
Sma shukran sana kusimamia haki na ukweli
@SalumJuma-iz2gj17 күн бұрын
Yaan palestina hawaish kwa amani lakini iziraili pia hawajawah pia kuishi kwa aman
@user-eg1ts2fu9z21 күн бұрын
Israel haitaki huu mzozo uwishe mapema
@user-st1zs1ng2x21 күн бұрын
Hiyo nimeiyona waliwaingiza mkenge na wao wakazama kichwa kichwa kwenye mahandaki Al qasam wa kasepaa nao na huyo mwanajeshi aliyejirecod hiyo ni hotuba ya Netanyau mwenyewe 😂.. Coz Ata hy video aliyeisambaza kwa mara ya kwanza ni mtoto wa Netanyahu anayeishi California
@user-rt1wf6se5f20 күн бұрын
Kama una degr za kujitambua na kuacha ushabiki hawa jamaa utawaelewa
@IddyAmir-gq1jr21 күн бұрын
Islael na marekani hata wapigwe vipi hawasemi ukweli utasikia tu hakuna madhara😂😂😂
@officiallugano899121 күн бұрын
Dj sma nimchambuzi mzuri but yupo na udini sana ana chuki za wazi wazi kwa nchi za ulaya na America 🇺🇸
@Gulfnas121 күн бұрын
Sio lazima kumfuata
@user-cj2kl7cd9k21 күн бұрын
Na mimi nimegundua hilo
@Levis43821 күн бұрын
Kitu ambacho naona mmekiacha kwenye uchambuzi wenu ni kwamba Hamas wanakua wagumu zaidi kumalizwa sababu ya njia yao ya kujificha kwa Raia
@KajokaTanzania21 күн бұрын
Hao Aljazira hawaaminiki kabisa
@MasterOil-qm6vw21 күн бұрын
Wanawadanganya hao makafiri hata wapigwe hawasemi
@hamidamussa-sy4fm20 күн бұрын
Acha uongo anaweza tengeneza ata yeye
@user-hj4bc5uh2x21 күн бұрын
Hao wanajishambulia wenyewe we ukitaka uamin wakuonyeshe maiti .za kiyahudi hio kama septemba ileven warakufa raia wengine sio wayahudi
@MasterOil-qm6vw21 күн бұрын
Hao mashoga hata wafe hawasemi maana wanaona aibu lakin wamekufa haiwezekani walenge shabaha na ifike mahali husika na wasife
@atutweve416021 күн бұрын
Sawa basi wamekufa wameisha na vita imeisha na hamas wameshinda 🤣
@user-it7ih1it3m21 күн бұрын
Dj sma huyo israel hajaanza vita leo ameanza vita zamani ukitaka kuona yupo vzur ingia nae vitan
@muzafarsharif946521 күн бұрын
ok yahudi tumekuelewa
@barakamwamasage-hy2jo21 күн бұрын
Kama hauelewi kipindi hauelewi tu.Ali ni Ali Smaa ni Smaa
@abuuramadhan809321 күн бұрын
Kwenye ground Israel imeshindwa
@King_Of_Everything20 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
@RuttaJames-kh5jx4 күн бұрын
Wapige hao masoga
@ghazarahmed8020 күн бұрын
Hawana air defense generation wala ya nini ? Kwamba ulaya wenyewe wanaitaka? Hizo propaganda kila kukicha kuwapa credit uongo uongo mwingi hao wayahudi
@stephanosospeter170921 күн бұрын
Ilo jibu la ni apana, ni lako sio la Israel
@SaraphinaKidoti-qe7gi21 күн бұрын
Wenzao wanawauwa afu wenyewe wanawateka si wauwe tu
@FastpayMauzo21 күн бұрын
DJ SMA kwan mrusi alikupa nini?
@ElijahOwino-xe2cd21 күн бұрын
Dj sma hatawai appreciate Israel.. Jamaa anamchukia sana Israel
@user-is9xs1kd9z21 күн бұрын
Kwani Israel ndio nani mpaka kila mtu aipende? Ifuatilieni mtajua hamjui😮😮😮
@user-it7ih1it3m21 күн бұрын
Hawez kufika mbali akiegemea upande mmoja uchambuzi hautaki hvo
Daah Ally masubi jaribu kumwerekeza hata ww 🤣🤣 kuwa ile defense ya izilaer hata urusi ana cha kujifunza🤔🤔 siyo awafariji ndugu zake kuwa ni ya kawaida 👍 maana watu wenye majina ya kiarabu wakisikia defense ya izilaer ni yakawaida sana wanafarijika sana🤝 next time tuleteeni makala jinsi gani izilaer ilivyo na power kubwa kijesh 🔥💪 mtwambie kabsa kuwa entellegence yao hajapata kufikiwa na nch yoyote karne hii🙏🙏🙏
@hassanihamidu854621 күн бұрын
Usije kuludia tena sikunyingine kuongea huo utumbo!!! Yani mrusi akajivunze kwa netanyau mtu anaepigana namataifa zaidi ya 45 akiwa pekeyake, ogopa sana Russia ule nimuziki mwingine hujiulizi kwa nini toka vita ya mrusi imeanza netanyau aligoma kupeleka silaha yoyote? Jibu ni moja tu Putin alimkanya netanyau akamwambia ukijaribu ntaichoma teraviv kwadakika 5 tu au unajisahaulisha?
@shabanimataka841821 күн бұрын
Tulivyo aminishwa na ilvyo israil ni mbali na mbali awako vizuri kabisa kwa Mimi muelewa kama wao wakovizur ulaya yote wanapeleka ulinzi pale wanini Sasa na wao ndo wenye ulinzi Bora kuliko wote
@BenjaminMetanyau21 күн бұрын
@@hassanihamidu8546 ndo mnafalijiana ujinga Ivo. Amemushindwa ucrein atawaweza wana wa izilaer mbona mnajamba vitani 🤣🤣🤣 urusi na izilaer hawajah kutunishiana misuri kabsa 🤝 coz izilaer Hana shida na urusi 🧷 yeye maadui zake Nini baba zenu warabu 🙆 apo hata wakiungana hawafulukuti kama ilivo Kwa urusi adui yake Mkubwa ni marekani. 💀 Mbona kama unasinzia mdgo wake mwamed🤣🤣🤣
@BenjaminMetanyau21 күн бұрын
@@shabanimataka8418 nani alikuaminisha Sasa🤣 huna haja ya kuaminishwa hilo lipo wazi🤜🤛 utaki unataka🙏
@user-kx4wd5vb4j21 күн бұрын
Mimi siamini juu ya hilo,na hiyo ni mipango ya Esrail tu ili iendelee kuitwanga Palestina.
@zebedayokatamaduni967614 күн бұрын
Acha Hamasi atwangwe tu.😢
@ameirzapy131821 күн бұрын
Wametangaza au wametangaziwa? Maana tuangalie Israel dunia ilivyo ilivyowaelemea , movie tu hiyo