😀😀😀😀 yani raha sana wallah Allah akuzidishie sheikh mazinge zidi kuwaelimisha
@yuzotv4582 жыл бұрын
Kitu sipendi ni vurugu zamakelele Apo utadhani watu wapo mpirani,Wakati wapo kujifunza habari za mungu. Ushauri wangu,Wakati mnakaribia kuanza muhadhara litoke tangazo lakukataza watu kupiga kelele na atakaekiuka atolewe nje mbaki na wastaarabu wanaohitaji kujifunza maneno ya mungu Asanteni sana.
@mariamhizzamariamhizza44836 жыл бұрын
Mazinge Allaaah akibr Allah akibr Allah akibr Allah akulinde inshallah
@salmadashlaquimanelaquiman44276 жыл бұрын
Mazinge we ni noma Allah akufanyie wepes akupe maisha marefu
@stevenngunzi4196 жыл бұрын
Naam maisha marefu atayapata apa duniani, je na mbinguni atayapata?
@samsamyoo36898 жыл бұрын
Kuna mzungu kasilimu anaeleza masikitiko yake kuwa toka amezaliwa alikuwa anaabudu dini iliyotengenezwa na mtu. hii ilimuuma sana lakini sasa ana furaha ya moyo kwa sababu amepata dini ya kweli.
@naimasafia75086 жыл бұрын
Mazinge Allah Akupe mema fii dinia wal akhera. Takbirrr makafiri pleni sna Andiko mnakosa Duuuuuhhhh
@khamiskangomba36365 жыл бұрын
Allah Akbar
@user-sc4iv7qp9b2 жыл бұрын
MaashaaAllah! Jaman mhadhara ulikuwa vizuri ila wahadhiri pande zote mlikosa vifaa vizur vya saut na pia kuweka utaratibu wa watu wenu kelele ni nyingi ila cha msingi daawa imefika alhamdulilah
@mswadikumussa16396 жыл бұрын
Allah akujaalie afya ewe kipenzi cha watu na Allah akutilie wepes katka kaz zako inshallah.
@missnellytv21497 жыл бұрын
MAZINGE ALLAH BARIK FIK HUYO MWENYE KITI HAFAI KWA HIO MJADALA KABISA,NA HIO DARASA LOO HALINA NIDHAMU
@wesodullahdullah78366 жыл бұрын
mazinge surely ur the man Allah bless u
@salimramadhan22397 жыл бұрын
aisee mazinge wangekuwa kumi katika nchi ya tanzania uislam ungesonga mbele sana
@ummyhawaaweis38678 жыл бұрын
al Habib mazinge Allah akupe afya na umri mrefu uendelee kufanya kazi ya Allah
@abu_AZOZ7 жыл бұрын
hapa fujo tu sielewi chochote
@olivamwaikuyu1037 жыл бұрын
Hawa Aweis
@salamanibigira37277 жыл бұрын
amiin
@user-fw7yr7yo2x5 жыл бұрын
Amin
@mesaidtsozi87978 жыл бұрын
jammani. hii tamu kweli. Mazinge, God bless you.
@bensonbenson69807 жыл бұрын
Mesaid Tsozi pumbavu
@Halimabintmafitah7 жыл бұрын
Benson Benson we kwanini unatukana.vumilia tu haki ndivo ilivondugu. umeguswa idarayako au
@youtubeisyours64176 жыл бұрын
Islam forever
@alsaarh2396 жыл бұрын
Benson Benson wewe usitukane watu ngoje moto wakungoja
@yusufunzira32737 жыл бұрын
Allah Awalipe Jannah kwa Kaziyenu inshaa Allah.
@salamanibigira37277 жыл бұрын
amiin
@user-fw7yr7yo2x5 жыл бұрын
Amin
@gideonimathew64916 жыл бұрын
Amwaminie Yesu hahukumiwi. Asie mwamini amekwisha kuhukumiwa. Jesus is Love's you
@salimmsingwa54536 жыл бұрын
Allah Azidi kuwapa nguvu ya kuutangaza Uislam!!
@saifalbarwani49936 жыл бұрын
Alhamdulillah wahadhiri mnajitahid mungu awalipe gheri inshaalwa
@seleiddi45686 жыл бұрын
Professor mazinge Allah is with you.
@peterchuchu53957 жыл бұрын
hivi mpaka muone nn ndipo muamin enyi wakristo? achen ushabiki dini ya mungu iko wazi ingien tusalimike na moto wa mungu
@olivamwaikuyu1037 жыл бұрын
PETER CHUCHU
@godlistenemanuel45385 жыл бұрын
huyo ni mungu wenu wasioamini sisi wanaoini tuna MUNGU wala sio huyo mungu wenu.
@minaminaa16695 жыл бұрын
@@godlistenemanuel4538 Allah is one
@saddamhusain65889 жыл бұрын
professor ss tumekukubali mazinge huyo mzungu alikua anapoteza tym walikua wamelemewa mungu atawaonyesha njia ya sawa ambayo ni uislam
@bashibapepekikonde44348 жыл бұрын
nyakazi za mwisho koohani inasema kazi ya Yesu ninini kama kweli unahijuwa?
@issaali27077 жыл бұрын
mikiristo mijinga hawana hata elimu wapo wapo tu poleni sana
@neemayauislamutv85475 жыл бұрын
subhanallah
@angelinawillium73306 жыл бұрын
Mungu awasamehe maaana hamjui mlitendalo
@yemenhussein77905 жыл бұрын
Tatizo waislam mnapokwenda kwenye mijadala hua mna jazba sana mnakosa utulivu hebu tutulieni hao hawana jipya hao daima ushindi hua ni wetu tu waislam
@jovinbalongo56388 жыл бұрын
Mwenyez Mungu awaponye
@ibrahimabdul54908 жыл бұрын
Mnajuwa nyinyi watu wa mungu mtu kama mnavojiita wenyewe.. Hamfahamu kuwa kira NABII aliletwa na M/mungu na ZAMA zake.. Lakin nyinyi baada ya kufika ZAMA za Mtume Mohammad kupewa utume na M/mungu nyinyi makafiri hamkuamini maandiko wala hamkumuamin Mtume Mohammad.. Lakin ukitafuta sababu gani wazungu hawakumkubali wala kumuamini Mtume Mohammad sabab ya kwanza tambueni Warabu na Wazungu hawaelewani kabisa kutokana na makaza au ardhi tu.. Ndo maana wazungu hawakutaka kuongozwa na Mwarabu.. Ndo mana wakaamua kuunda kitabu cha Biblia na kuwamuwa kumtangazia kuwa Yesu ndo mungu.. Mana kitabu cha Biblia hakijashushwa na M/mungu bali kiliandikwa na watu tu na kunakir maneno yaliyomo ktk Taurati Dhabuli na Injili na baadhi ya maandiko wameyageuzageuza ili kuwapotosha watu.. Lakin ndo hivyo hizo zote ni kazi za sheitwani alizomwambia M/mungu kuwa atawapotosha waja wake na kweli ndo hayo sasa tunayaona.. Lakin wazungu utundu wao wote wameshindwa kuandika maandiko ya ushahidi ya kuonesha kuwa (2) Ukristo ni dini ya Hakhi na ya kweli mbele ya M/mungu.. (2).Kuonesha maandiko kuwa Yesu alidai kama yeye ni mungu wa kweli na haku apasawe kuabudiwa kwa Hakhi ila yeye tu pekee.. Utatafuta vitabu vyote unavovijuwa wewe na hutopata maandiko hayo zidi ya porojo tu.. Allah Akbar..!
@abbasmjatta31028 жыл бұрын
wakristo hawamuamini Muhammad kwasababu zifuatazo. 1. muhammad ni mpagani aliekuwa akienda mapangoni kuabudu huko ndio maana huo utume wake alipatiwa pangoni tena kwa kukabwa na shetani eti mnadai ni malaika Gabriel. 2. nabii gani ambaye ameagiza watu wake kuoa mwisho wake 4 bali yy hakutii amri hiyo ya mungu kwa kuoa wake zaidi ya hao? 3. muhammad alikua mbakaji alie oa mtoto wa miaka 7 na kumuingilia akiwa na miaka 9. 4. mkewe bi zainab alikua mke wa mwanawe lkn yy alimuoa baada ya kuachwa na mwanawe? 5. muhammad alishiriki katika vita na umwagaji damu na kuwaingilia mateka wake yy pamoja na wafuasi wake. hivyo basi ktk kutafakari ujio wake na maisha yake hawezi kuwa nabii wa mwenyezi mungu ila washetani ndo maana hawezi kuaminika katika ukristo. Yesu ni alpha na omega yaani wa mwanzo na wa mwisho
@saidrashid81318 жыл бұрын
+Sangole Machungi na swala la kuoa ni mtume Mohammad (s.a) ndie aliye ruhusiwa kuoa wanawake 13 na kma mwanamke anataka kuolewa bila mahali ni mtume Mohammad(s.a) pekee ndie aliyeruhusiwa kuoa bila mahali na sio kwa waislam wote
@abbasmjatta31028 жыл бұрын
+Said Rashid. huyo alikua mtt wake wa kuadopt kwakua alimchukua mateka baada ya kupgana. Kuhusu idadi ya wanawake huo ni uongo ambao umeaminishwa huwezi kuwaambia watu msizini lakinj ww unazini na kuwaamisha mimj mungu ameniruhusu, huyo hawezi kuwa mungu. kama Mungu ametoa maelekezo ya wake 4 iweje amwambie Muhammad ww oa utakavyo hata kama ni ishirini! Mungu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mungu alietupa ufahamu na akili anataka pia tuyatumie maarifa hayo ktk kutafakari yale tunayoyaona na kuyasikia, tusiwe kama madodoki ambayo yakiwekwa majini yananyonya kila kitu mpaka uchafu. Huu ni uongo ndo maana wakristo hatumkubali Muhammad. Sio kwakua eti ni mwarabu maana manabii wote hata yesu ni myahudi ambao wote wana asili ya arabuni maana Ibrahim alitokea mesopotamia ambako ni iraq ya kusini. kwahiyo issue sio uarabu wa muhammad ni maudhui ya dini yake hayaingii au kuoana na maudhui ya kimungu na kinabii
@salmamahfoozsalma26937 жыл бұрын
IBRAHIM ABDUL
@alhamdulillah57966 жыл бұрын
Sangole Machungi, chukua miaka 120 tu nyuma bb yako aliolewa akiwa na umr gani? Au fatilia history ya hao wazungu unaowaamini ww waliolewa umr gan? Halafu utaangalia ni karne gan ambayo Mtume salla Allahu alayhi wasallam alokua akiishi yy. Fahamtum?
@naimasafia75086 жыл бұрын
Ongera sna Mazinge hata kwa lunga mko sambamba Daaaahh
@bamboali34778 жыл бұрын
wakristo wana danganyiwa na dollar za wazungu ila ukweli wana ujuwa satu
@mzavamohamed67627 жыл бұрын
ali mahumud zecomed
@omarypanga40646 жыл бұрын
Hakuna kama mazinge
@mustaphakhamis15979 жыл бұрын
Unawaweza sana kwa.uwezo wa ALLAH
@benardoliko3565 Жыл бұрын
Iblisi ni mwisilamu na ndie mwenye Qur'an, sura ya ngombe 2:97_98
@yusuphb99845 жыл бұрын
Wakristo hamna akili ata uyo yesu siku akifa ata tamka la ilaha ila Allah Muhammad rasulu Allah
@jamesokombe56815 жыл бұрын
Muhammad Ali ni Nani
@mathiasngomango25702 жыл бұрын
Luka.22.31.32
@Pos_tyger_jr75 жыл бұрын
Sheikh mazinge tusaidie kitu ki 1 uje zanzibar nungwi
@myoutubecom-gg7sb6 жыл бұрын
MashaAllah
@pascalirafaeli11226 жыл бұрын
waislamu wote duniani nduguzao nimajin hawakwepi hilo
@salehemustaph46966 жыл бұрын
mungu akuongoze
@answermnubitv69096 жыл бұрын
Allah awaongoze
@joynjeri39586 жыл бұрын
Kubishana dini si poa kabisa mungu atatuhukumu kiviake
@smartboytz36286 жыл бұрын
MADA NZURI LAKINI SIJAFURAHISHWA NA MUADHARA WENYEWE, KELELE TUPU HII NI AIBU,,,
@donaldrobertmwanga74437 жыл бұрын
mambo ya Mungu ni ya rohoni ,lakini ninyi mpo kimwili.Mungu awasamee wote mliokusanyika hapo.
@winfridajohn40108 жыл бұрын
Subuhanallah
@feekhamis9166 жыл бұрын
mungu akilipe mazuri maznge
@nuruhussein53186 жыл бұрын
I nalilahii wainaailahi rajiun uwisilam ni dini iliyo yahaki sio setahi nyinyi munao jiita wakrisito mwajua kama ukrito ni jina la masihi jadali huyo amelaniwa na mungu
@financialloan98185 жыл бұрын
Mmmhh pole sana
@mgeniali17685 жыл бұрын
@@financialloan9818 ww tena
@hassansalum84967 жыл бұрын
Africa kusin hakujatulia jmn
@achanifumos10932 жыл бұрын
Kwa ndugu wacristo...kama hamna maandiko musiweke viraka..kubalini yaishe hata km hamtaki kuukubali ukweli
@masseanadir29047 жыл бұрын
yohana 6, mstari 7 hd 14. Muhammad anaonekana ndani ya Bible
@josephmusagasa55662 жыл бұрын
Mazinge kiingereza kwako ni mziki usiochezeka,bora ujibu kwa kiswahili wao wamtafsirie mzungu
@princewabudo68207 жыл бұрын
waislamu tupo juu
@hatibuomari91945 жыл бұрын
Nbv
@gideonimathew64916 жыл бұрын
Jesus coming soon
@kondohamidu8096 жыл бұрын
Mazinge Na Nyundo wamefanans
@salehlofy42518 жыл бұрын
Mungu anasema duniani kuna vyama viwili tu, chama cha Mungu uislam na chama cha shetani, chama cha shetani yaani dini nyingine nyingine zote na ktk aya nyingine imenukuliwa na Mungu mwenyewe shetani alipokataa kumsujudia Adam, Mungu akakasirika iblis akalaaniwa akamfukuza peponi, sasa hapo Iblisi akahdi kupoteza watu akasema atawakalia kulia, kushoto, mbele, nyuma ili wasione njia sasa hapo ukichora mfano wa maneno ya Iblisi utaona ni msalaba kwaio ukristo wenyewe ndo ushetani
@halujasalem78207 жыл бұрын
swadakta
@maryammaryam8837 жыл бұрын
Saleh Lofy Acheni ujinga kuchanganya watu imani zenu
@financialloan98185 жыл бұрын
Sasa mbona Mohammed ndo nabii wa mwisho kwann asiwe wa kwanz kuja duniani apa
@mgeniali17685 жыл бұрын
Poleni sana wakirsto maana huo ni msiba
@mgeniali17685 жыл бұрын
Kabisa
@salumwijengo71486 жыл бұрын
yesu asifiwe
@assumanemuidine42292 жыл бұрын
Unaposema yesu asifiwe inamana hanao watoto unaomba wasife😁😁😁😁
@fanuelkeneth18065 жыл бұрын
Mmekosa kazi za kufanya.
@selemanimartin1081 Жыл бұрын
Daniel;Kazi tumekuachia ufanye wewe
@shugakombo96835 жыл бұрын
👓👓👓👓👓👓
@angelinawillium73306 жыл бұрын
Mungu awalehem maaana mungu atabaki kua mungu nayesu yuaja ndipo kila ulimi utakili
@mahfudhially47946 жыл бұрын
anakuja yupo chalinze
@ramadhaninyange85925 жыл бұрын
Gari alilo panda limekufa injini mpaka ifingwe mpya ww ushakuwa mjane
@mgeniali17685 жыл бұрын
Poleni
@mgeniali17685 жыл бұрын
@@ramadhaninyange8592 😅😅
@habibumussa30356 жыл бұрын
hii tamu kweli maring
@vailethkihunrwa57706 жыл бұрын
watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@vailethkihunrwa57706 жыл бұрын
tatizo dini yenu wenyewe hata hamuielewi mnabishana na ukwel ila siku zote giza na nuru havijawahi kukaa pamoja.na penye mwanga wa Yesu giza haliwezi kukaaa
@ramadhaninyange85925 жыл бұрын
Unateseka
@peninaelliya74296 жыл бұрын
c
@mwamvuarashid2903 ай бұрын
Mazinge kiboko ukikosea kwenye maandiko yeye kashajua kweli kitabu kipo kichwani huyu shk ni hazina ya taifa letu hasa kwa sisi waislam
@salmadashlaquimanelaquiman44276 жыл бұрын
Hujue tuna fuatilia Sana hii mihadhara so tutaomba utulivu akuna radha kiukwel daaaah kelele sanaaa
@georgenyaumba39255 жыл бұрын
Waislamu hawaielewi biblia.... Biblia ni kitabu cha vielelezo na mifano na Ishara.... Huwezi soma tu kama unasoma hadithi lazima utafakari.
@salmaomary21005 жыл бұрын
Hakna kitabu Hapo kk km mpk utafakar mmechemka😁 Qur'an unaisoma kisha inakpa jibu wakat unaisoma we mpk utafakar haa Kwa Kwel ndugu zetu mjiandaeee kesho kwenda kjibu Kwa mola
@joynjeri39586 жыл бұрын
Waisilamu kelele mingi kuweni watulivu
@captenndunga93855 жыл бұрын
Mkongo man kayakanyaga kwa mazinge chezea uislamu wewe utanasa😁😁😁😁😁
@aboumunira95466 жыл бұрын
bblia ina,maana gani
@mamawamoya33442 жыл бұрын
Sisi wanawake ,midomo kelele za watoto ,bure kabisa
@MWALIMUCHAKATV8 жыл бұрын
Nani anaweza nipa mawaziliano ya hawa wapendwa wa South Africa, Hilo andiko mbona lipo tu!! Simoni, Simoni! Sikiliza! Shetani alitaka kuwapepeta ninyi kama mtu anavyopepeta ngano. 32 Lakini mimi nimekuombea ili imani yako isipungue. Nawe utakaponirudia, watie moyo ndugu zako." 33 Naye Petro akamjibu, "Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa." 34 Yesu akamjibu, "Nakwambia wewe Petro, kabla jogoo hajawika leo utakuwa umenikana mara tatu."
@jaquevan94646 жыл бұрын
ibirisi hana dini
@frankrapha11745 жыл бұрын
uislam una kasoro nyingi sanaaaa... hivi mkienda peponi Mnatarajia kuoa wake cjui wangapi mnadhani kule kuna sodoma na gomora?? halafu mazinge anaujua ukweli ila anapindisha asisome mstari asome habari nzima mpate kuijua kweli ili hiyo kweli iwaweke huru.. watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@mgeniali17685 жыл бұрын
Aibu yenu
@babylidyaandrea45686 жыл бұрын
Waisilam hawana utulivu hata kdg washaazoe kugombe masinia ya wali mazoe yana shida
@mauzubeir15546 жыл бұрын
Mashauzi Andrea. Pole sana Mwenyezi Mungu akuongoze katika dini ya kweli ambayo ni uislam. Wenzio wachungaji wamerudi katika dini ya kweli ambao wanajua bible kuliko wewe sasa unafikiri ukristo ni dini au nini
@babylidyaandrea45686 жыл бұрын
mau zubeir sidanganyiki hao walio silim ni wapumbavu wote
@amimumwanya42225 жыл бұрын
Baby Lidya Andrea mtaendelea kudanganywa mpaka mwisho wa dunia
@ramadhaninyange85925 жыл бұрын
Pole sana mungu kakupa ngozi nzuri ww unaona haifai unajichubua mungu kakupa nywele nzur ww unaona hazifai unavaa nywele za maiti Allah akusamehe
@princessyvetteevedollyisma25867 жыл бұрын
ila waisilamu amuna utulivu
@kabhikachambala33926 жыл бұрын
hapo mwalimu chaka ndio kiboko ya wasomi wa madrasa....
@jamesokombe56815 жыл бұрын
wasalamu hamjui Mungu
@vailethkihunrwa57706 жыл бұрын
hahahaaaa eti Yesu hakuwa mkristo kweli Yesu sio mkristo bali ni Kristo na sisi tunaomwamini ndio maana ndo wakristo hivyo tuuuu
@mohdahmada10612 жыл бұрын
Jin la Mt linakuw din
@brytonwashirah44235 жыл бұрын
Wakiristo waongo
@hoziaissai37682 жыл бұрын
mazinge utapata tabu xana .sana yesu alimkataa shetan lkn chakushangaza nyingine dn nyingine nimalafik nahayo madudu unamkuta mtu anatoka kusal matungur madudu kibao ndo mungu anavyotaka omben kimwili ngoja sie tuombe kiroh Kama manabii walopt
@qpwisdomchengula89476 жыл бұрын
Upumbavu
@husseinhamisiabdullah15997 жыл бұрын
tatzo hapa ni lugha.
@shukurumwalukopetro67575 жыл бұрын
ninyi waislamu hamjielew kabisa kwa sababu Mohamad mwenyewe alikuwa hajui kusoma wa kuandika sasa naongozwaje na mtu mjinga! bakini nae wenyew
@ramadhaninyange85925 жыл бұрын
Yesu alifundishwa na nani kusoma
@khamisally57885 жыл бұрын
Shukuru Mwaluko Petro bora asie jua kusoma na kuandika kuliko mungu aliyekufa dunia akaicha na watu tukaendelea kula bata wakaty mungu wako kashakufa leo unamuabud sio kuvurugwa huko
@husseindiaby5097 Жыл бұрын
Wewe ndio mjinga
@abelyshayp66116 жыл бұрын
mazinge tatizo lake moja tu yy yuko kwaajili ya kubishana ila sio kuwafundisha watu dini nakuwashawish
@jamesokombe56815 жыл бұрын
kabisa
@mgeniali17685 жыл бұрын
Mungu awanusuru nyinyi wana wa shetani
@vailethkihunrwa57706 жыл бұрын
ila waislam buana eti Luka hakuwa mwanafunzi wa Yesu hoja nyepesiii hadi nawasaidia kuwaona aibu khaaa Yesu awasamehe tuu
@muriphehamza5476 жыл бұрын
Haujui chochote weye n bumbuwazi tu
@ramadhaninyange85925 жыл бұрын
Ww ni mbumbumbu Wa mwisho kabisa
@munirayahaya83672 жыл бұрын
Walioko hapo walishindwa nn kutetea iyo hoja pumbavu tu wewe
@magrethfelician33408 жыл бұрын
Waislam mnapotea kwa kutokuwa na maarifa, Yesu anakuja na kila goti litapigwa mbele zake na ndimi zitakili kweli huyu ndiye Bwana wa Mabwana na Mfalme wa Wafalme.
@abubakarimwasumilwe72937 жыл бұрын
we ndo umepotea.... hujui Yesu alikua Muislam.... we hyo dini umeipata wp?
@zakariakhamis59276 жыл бұрын
tuache yesu no binadamu kama wewe na Mimi wala cyo mung
@rskiabdala48686 жыл бұрын
Yani binadam mwnzngu nd nimfanye awe mungu hz kweli akili za binadam?
@mahfudhially47946 жыл бұрын
magoti tumepiga shule
@vailethkihunrwa57706 жыл бұрын
na pia Yesu sio nabiiii na wala msimfananishe na muhamad hata siku moja Yesu ni Mungu
@saidaally14206 жыл бұрын
umepotea yesu mungu duhhhhhh
@muriphehamza5476 жыл бұрын
Inna lillah,, Mungu yuafa, yuazaliwa,, uu n uongo dhahiri,, yesu haezi kua Mungu bali n mja
@mauzubeir15546 жыл бұрын
Vaileth Kihunrwa ngoja wakati unapotoka roho ndiyo utajua Yesu ni Mungu.
@salahesalumpendo2945 жыл бұрын
Wewe kamautabaki naimaniyakohyo yakuamini kuayesunimungu naukafa katika imaniyakohyo lazima ukaungue
Katerina Dada Diniyako ndoinakufundishasheni matusi ivo kweli. Ukiona umeguswa kaa kimya vumilia tu haki ndivoilivo ndugu. Haki huwa inachomachoma. Usitutukanie nduguzetu, tafadhali.
@muriphehamza5476 жыл бұрын
Pumbavu mwenyee,, kafiri mkubwa ww
@itongwamtebwa91496 жыл бұрын
Umeshakuwa watuwazima nyie acheni ubishi watoto.
@mgeniali17685 жыл бұрын
Nyoooh ubishi wa kura sio dini shetani nyinyi
@emilyonsongo67986 жыл бұрын
mazinge muongo kweli!!! akishindwa Vida vingi sana hahahaaaa 😂😂😂😂
@nattysuleimani37835 жыл бұрын
Love u Islamic lkn mzung kazingua😃😃😃😃😃😃😃😃
@alihijiiddi89775 жыл бұрын
Z😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹MAZINGE BWANA KAWAPATA HAPA DUUUUUUUUUUUUUUUUU WANGO KWELI WAKRISTO DUUUUUUUU SHETANI ANAKUTAFUTA TAFUTA WAPENI NAFASI WATAFUTE WAJINGACWAKUBWA NA ZUNGULAO
@financialloan98185 жыл бұрын
Na uyo mazinge anawapata aho wasio jua bible mbona ananyooshwa kila siku na wachungaj wanao jua bible Mohammed ni firauni
@ruhaymahothman75985 жыл бұрын
Mamayoo firaun wakristo wotee na yesu sio mkristo
@financialloan98185 жыл бұрын
@@ruhaymahothman7598 toa ilo andiko la yesu sio kristo😂😂😂😂😂😂😂mmelaaniwa nyinyi waabudu uchi Uko Mecca na kubusu jiwe
@husseindiaby5097 Жыл бұрын
Mbwa ww
@christinekalume18788 жыл бұрын
neno la yesu ndo la kweli mkimfata yesu mtapata ufalme wa mbinguni
@vailethkihunrwa57706 жыл бұрын
niwajibu tu Yesu sio chakula kutoka kwa allah ni kutoka kwa Mungu wa mbinguni nyie huyo allah ni Mungu wenu nyie
@ramadhaninyange85925 жыл бұрын
Duuu unateseka sana vai
@mgeniali17685 жыл бұрын
Masikin sana tena kipofu kondo nyinyi nyote maubwa ndio maana hawajielewi wakristo ata jina la Allah watowa kashifu kkkkkkh
@vailethkihunrwa57706 жыл бұрын
biblia huwa ni kitabu kitakatifu na kama huna msaada wa roho mtakatifu huwezi elewa
@leonardabrahamh69065 жыл бұрын
Huyu Mazinge ni mkosaji wa adabu hana utaratibu bado ana akili za kitoto mambo ya kimjini mjini.kawa mwenye kiti pia ndie mwalimu,yawezekana kichwani hayuko sawa anaitaji maombezi.YESU AKUOKOWE.
@kassimukihanga92408 жыл бұрын
mapungufu ya uislamu yanaonekana wazi na watu wapaswa kujua ukristo ni imara na wala hautoshidwa kwa midahalo Kama hii tafuteni kazi za kufanya
@vailethkihunrwa57706 жыл бұрын
kassimu kihanga ni ukwel mtu wako kwenye company ya kupeperusha bendera ya shetan waache wapambane na hali zao
@rskiabdala48686 жыл бұрын
Imara wkt watu wanatok tu ktk ukristo wanaingia ktk uislamu imara uo uko wp?
@mauzubeir15546 жыл бұрын
kassimu kihanga. Pole sana Mwenyezi Mungu akuongoze katika dini ya kweli ambayo ni uislam.
@babylidyaandrea45686 жыл бұрын
Waisilam wapinzani sana ndiyo maana siku ya kufa wanageuzwa Mambwa
@chamypash5731 Жыл бұрын
Lete andiko palipoandikwa waislamu watageuzwa mbwa….. usiongee usivyovijua
@Janet_xd-rj5ec7 жыл бұрын
the devil has no religious but Muslim believe in majini so only God know n stop liying to people
@asmaabdallah40555 жыл бұрын
Hao makafiri hawana hoja wanafadhiliwa na wazungu tu
@asmaabdallah40555 жыл бұрын
Wewe mchungaji uko na maneno mingi huna kitu
@asmaabdallah40555 жыл бұрын
Mazinge kiboko wamakafiri mungu akuzidishie uwailimishe hao wakristo
@asmaabdallah40555 жыл бұрын
Hao makafiri kazi yao wanapelekwa na wazungu makafiri wenzao
@asmaabdallah40555 жыл бұрын
Waliolala katika kristo nao wamepotea hamuoni andiko hilo
@allanmbindyo70556 жыл бұрын
IBLIS ni mzungu
@katerinadada64817 жыл бұрын
mazinge mbishi kama pumbu lake
@hanadialabed86357 жыл бұрын
Katerina Dada sio km la bbko na aibu huna
@abuubadru24036 жыл бұрын
Katerina Dada imekuwa Kama ya anayekukaa juu
@aminariziki16776 жыл бұрын
Katerina Dada sister umepanic nn
@rskiabdala48686 жыл бұрын
Ukweli unauma lazma uumie tu
@mauzubeir15546 жыл бұрын
Katerina Dada. Pole muumini huwezi kuwa unatuma. Je Yesu amekufundisha ufanye hivyo.
@emilyonsongo67986 жыл бұрын
mazinge muongo kweli!!! akishindwa Vida vingi sana hahahaaaa 😂😂😂😂
@mohdahmada10612 жыл бұрын
Akil hun ww
@emilyonsongo67986 жыл бұрын
mazinge muongo kweli!!! akishindwa Vida vingi sana hahahaaaa 😂😂😂😂
@emilyonsongo67986 жыл бұрын
mazinge muongo kweli!!! akishindwa Vida vingi sana hahahaaaa 😂😂😂😂