Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Halima Mdee akichangia maoni yake kwenye mjadala kuhusu muswada wa Sheria ya Ununuzi wa Umma wa mwaka 2023 leo Septemba 7, 2023.
Пікірлер: 5
@DeusiSetivin-ls9uz11 ай бұрын
Ukiijua kweri simamia hapohapo uri mwongo aangaike ! Namkubari sana mdee kwa utetezi wa hoja zake zenye manufaa
@barnaba303711 ай бұрын
Nakubali Halima
@brysonbryson173511 ай бұрын
KIMEI NAONA HAKUNA UNACHO CHANGIA KWENYE JIMBO LAKO HALIMA AMEKUZIDI
@majaliwawilson937211 ай бұрын
Wannchi 2025 kila wilaya Jimbo amabo hawawaoni wawakilishi hawaongei chochote kila siku wano changia niwale wale nahuku sinting alawas wanapewa wote sawa atakae waludisha watu Kama hao bungeni ajiulize anamludisha akafanye nini