Ahsante mungu kwa hekima hii uaminifu ni msingi mzuri kimaisha
@kashikiphillipo12595 күн бұрын
Ujumbe mzuri
@GeovanChale6 күн бұрын
Uko sahihi brother
@EmmanuelShilunga-m5c23 күн бұрын
Mungu ni mwema
@IgnassSwa-gd9iyАй бұрын
Erick shigongo baba angu nakuomba no yako...naomba Sana baba angu usipuuze
@omaryisingo5697Ай бұрын
❤❤❤❤❤😅
@Anifanusura6 күн бұрын
Asante Mungu kijana kweli umesimama katika nafasi Mungu akubariki sana.
@Mapenzi2635Ай бұрын
Hongera sana, Mh. E. Shigongo
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
Moja kati ya kitu wazazi wa kiafrika wanacho sahau kabisaa ni kutozingatia vipawa na talent za watoto wao. tunapoteza watu wakubwa wengi sana kwa kutokutambua nini ni bora na mtoto anaweza kufanya. kipaji ni kitu mtu anachoweza kufanya bila ugumu(kwa urahisi) . kuna watoto wengi hawawezi hata kuongea, ila kuna watoto wanaweza kusimama hata mbele ya kanisa au msikiti mzima na kuongea bila woga wala kusita sita. huo ni mfano wa kimoja tu kati ya vingi wazazi na walezi wasivyo viona. Kuna mtoto anakimbia kila sehemu akitumwa hata iwe karibu kiasi gani ataenda anakimbia na atarudi ana kimbia hata liwe jua kali la saa saba. lakini hakuna anae zingatia hayo. kila mtu ana focus na Sayansi tuuu, kumbe kuna utajiri mkubwa ambao kila mtu Mungu amempa kupitia kipaji. KIPAJI NI ZAWDI KUU NA YA THAMANI MNO AMBAYO MTU HUPEWA NA MUNGU . KIPAJI
@judicalosika764213 күн бұрын
🇮🇱Eric, hakika, mtu asipige AKILI YAKO. Nashukuru sana kwa ujumbe huu. Mimi huwa nawaeleza jamaa zangu kuwa, "...ongeza madini makini kichwani...."
Very correct yaani ukiwa mwaminifu bas wew ni tajr tyr
@LUCASLUPIMO28 күн бұрын
Mweshimiwa shigogo nime kuerewa sana ntafanyia kazii
@patrickkatana882314 күн бұрын
I really love this always 🎉
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
Eric Shingongo. One of the the best Author ever known
@shukranjulius9526Ай бұрын
Ujumbe umenibariki😢😢 naanza leo kutokuwa na matumizi yasiyo na lazima
@hamasikatvАй бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@user-uy1df5so8c26 күн бұрын
Mafunzo mazuri kabisa haya🎉
@godfreymasondaabel190417 күн бұрын
Hongera sanaa Mheshimiwa
@rehemadaudi4390Ай бұрын
Yaani nisoma magareti yako Kila siku, uko good sana
@MwanzalimaLeonardАй бұрын
Ni mwanga mzur wenye kutoa hamasa!
@THADEOCHUNDU-eu3ez12 күн бұрын
Unasoma degree una jina kubwa na pesa, utafeli kweli.
@JosephDaudi-x7k7 күн бұрын
Very interesting.
@GabrielLaizer16 күн бұрын
❤ AMEEEN MWALIMU
@LENGE-v5r21 күн бұрын
Ahsante sana Eric
@user-dq4qi2pn2s13 күн бұрын
Well done my brother
@Alicemsafiri9 күн бұрын
Asante Sana
@eddahhawa7471Ай бұрын
Asante sana🫶🙏
@mariamsabuni60821 күн бұрын
Ni kweli kabisa Mungu atusaidie
@johngibson308924 күн бұрын
Asante Eric Shigongo
@EmmyDanielKweka-xl1gr9 күн бұрын
Naanza kutengeneza majani ya chai baada ya kuumizwa na mengi.pls pls pls
@user-kl5ji9ue2qАй бұрын
Mungu ni mkuu Sana 🙏 🙏 🙏 🙏
@judithsalvatory2892Ай бұрын
Yaani huwa unibariki sana❤❤❤God bless you
@SamwelSenwa25 күн бұрын
Mafunzo mazurii
@Magdalena-tz7ukАй бұрын
Shukran 🙏 kwamafunzo mazuri
@MUSAMSAFIRI-th3gi24 күн бұрын
Asante sana🙏
@neemaemanuel7715Ай бұрын
Fact sana ,ahsante
@user-oc2zp6cg3zАй бұрын
Great advise Wiseman👊
@euniestherwilliam1513Ай бұрын
Ahsante Eric Be blessed
@ThisislilianАй бұрын
This is so powerful
@masomekitwala375825 күн бұрын
Amen
@user-pi1st6pj3wАй бұрын
Asante sana
@rodamakalwe57Ай бұрын
Nataman sana nipate hata namba yako
@user-kw6bv9qp4eАй бұрын
❤❤❤❤❤
@user-hv6qw2zw2yАй бұрын
Asante sana kiongozi
@GraceMakungu-vh9xd10 күн бұрын
🎉
@masomekitwala375825 күн бұрын
Tulikutana Lamadi,( sereñgeti) tuliongea mengi,plz nisaidie no yako
@user-wn2su2fj9dАй бұрын
Kongole
@YohanaMwaibeseisaya16 күн бұрын
Yes!
@MagombaLasford8 күн бұрын
Fuct
@FELISTERPETER-jf9jv13 күн бұрын
Mimi mwanangu ana kipaji cha usanii wa mziki yaani akitoka shule ananitungia wimbo hapo hapo unaonihusu. Na unakuta kwenye begi lake kuna daftari limejaa nyimbo. Kila akirudi nachukua daftari naficha na pia akirudi tena unakuta ana kingine kimejaa nyimbo
@hamasikatv9 күн бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@RynoFireeАй бұрын
Inspired speech Mungu akubariki Sana kaka Shigongo