Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo

  Рет қаралды 35,281

Hamasika Tv

Ай бұрын

Пікірлер: 53
@MatesoLukas
@MatesoLukas 4 күн бұрын
Ahsante mungu kwa hekima hii uaminifu ni msingi mzuri kimaisha
@kashikiphillipo1259
@kashikiphillipo1259 5 күн бұрын
Ujumbe mzuri
@GeovanChale
@GeovanChale 6 күн бұрын
Uko sahihi brother
@EmmanuelShilunga-m5c
@EmmanuelShilunga-m5c 23 күн бұрын
Mungu ni mwema
@IgnassSwa-gd9iy
@IgnassSwa-gd9iy Ай бұрын
Erick shigongo baba angu nakuomba no yako...naomba Sana baba angu usipuuze
@omaryisingo5697
@omaryisingo5697 Ай бұрын
❤❤❤❤❤😅
@Anifanusura
@Anifanusura 6 күн бұрын
Asante Mungu kijana kweli umesimama katika nafasi Mungu akubariki sana.
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 Ай бұрын
Hongera sana, Mh. E. Shigongo
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
Moja kati ya kitu wazazi wa kiafrika wanacho sahau kabisaa ni kutozingatia vipawa na talent za watoto wao. tunapoteza watu wakubwa wengi sana kwa kutokutambua nini ni bora na mtoto anaweza kufanya. kipaji ni kitu mtu anachoweza kufanya bila ugumu(kwa urahisi) . kuna watoto wengi hawawezi hata kuongea, ila kuna watoto wanaweza kusimama hata mbele ya kanisa au msikiti mzima na kuongea bila woga wala kusita sita. huo ni mfano wa kimoja tu kati ya vingi wazazi na walezi wasivyo viona. Kuna mtoto anakimbia kila sehemu akitumwa hata iwe karibu kiasi gani ataenda anakimbia na atarudi ana kimbia hata liwe jua kali la saa saba. lakini hakuna anae zingatia hayo. kila mtu ana focus na Sayansi tuuu, kumbe kuna utajiri mkubwa ambao kila mtu Mungu amempa kupitia kipaji. KIPAJI NI ZAWDI KUU NA YA THAMANI MNO AMBAYO MTU HUPEWA NA MUNGU . KIPAJI
@judicalosika7642
@judicalosika7642 13 күн бұрын
🇮🇱Eric, hakika, mtu asipige AKILI YAKO. Nashukuru sana kwa ujumbe huu. Mimi huwa nawaeleza jamaa zangu kuwa, "...ongeza madini makini kichwani...."
@EmmyDanielKweka-xl1gr
@EmmyDanielKweka-xl1gr 9 күн бұрын
kaka shigongo umenikuta najitafuta kabla sijazama kukata tamaa nasikia kuuhishwa .
@user-rw4qn6zh6n
@user-rw4qn6zh6n Ай бұрын
Very correct yaani ukiwa mwaminifu bas wew ni tajr tyr
@LUCASLUPIMO
@LUCASLUPIMO 28 күн бұрын
Mweshimiwa shigogo nime kuerewa sana ntafanyia kazii
@patrickkatana8823
@patrickkatana8823 14 күн бұрын
I really love this always 🎉
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
Eric Shingongo. One of the the best Author ever known
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Ай бұрын
Ujumbe umenibariki😢😢 naanza leo kutokuwa na matumizi yasiyo na lazima
@hamasikatv
@hamasikatv Ай бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@user-uy1df5so8c
@user-uy1df5so8c 26 күн бұрын
Mafunzo mazuri kabisa haya🎉
@godfreymasondaabel1904
@godfreymasondaabel1904 17 күн бұрын
Hongera sanaa Mheshimiwa
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 Ай бұрын
Yaani nisoma magareti yako Kila siku, uko good sana
@MwanzalimaLeonard
@MwanzalimaLeonard Ай бұрын
Ni mwanga mzur wenye kutoa hamasa!
@THADEOCHUNDU-eu3ez
@THADEOCHUNDU-eu3ez 12 күн бұрын
Unasoma degree una jina kubwa na pesa, utafeli kweli.
@JosephDaudi-x7k
@JosephDaudi-x7k 7 күн бұрын
Very interesting.
@GabrielLaizer
@GabrielLaizer 16 күн бұрын
❤ AMEEEN MWALIMU
@LENGE-v5r
@LENGE-v5r 21 күн бұрын
Ahsante sana Eric
@user-dq4qi2pn2s
@user-dq4qi2pn2s 13 күн бұрын
Well done my brother
@Alicemsafiri
@Alicemsafiri 9 күн бұрын
Asante Sana
@eddahhawa7471
@eddahhawa7471 Ай бұрын
Asante sana🫶🙏
@mariamsabuni608
@mariamsabuni608 21 күн бұрын
Ni kweli kabisa Mungu atusaidie
@johngibson3089
@johngibson3089 24 күн бұрын
Asante Eric Shigongo
@EmmyDanielKweka-xl1gr
@EmmyDanielKweka-xl1gr 9 күн бұрын
Naanza kutengeneza majani ya chai baada ya kuumizwa na mengi.pls pls pls
@user-kl5ji9ue2q
@user-kl5ji9ue2q Ай бұрын
Mungu ni mkuu Sana 🙏 🙏 🙏 🙏
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 Ай бұрын
Yaani huwa unibariki sana❤❤❤God bless you
@SamwelSenwa
@SamwelSenwa 25 күн бұрын
Mafunzo mazurii
@Magdalena-tz7uk
@Magdalena-tz7uk Ай бұрын
Shukran 🙏 kwamafunzo mazuri
@MUSAMSAFIRI-th3gi
@MUSAMSAFIRI-th3gi 24 күн бұрын
Asante sana🙏
@neemaemanuel7715
@neemaemanuel7715 Ай бұрын
Fact sana ,ahsante
@user-oc2zp6cg3z
@user-oc2zp6cg3z Ай бұрын
Great advise Wiseman👊
@euniestherwilliam1513
@euniestherwilliam1513 Ай бұрын
Ahsante Eric Be blessed
@Thisislilian
@Thisislilian Ай бұрын
This is so powerful
@masomekitwala3758
@masomekitwala3758 25 күн бұрын
Amen
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w Ай бұрын
Asante sana
@rodamakalwe57
@rodamakalwe57 Ай бұрын
Nataman sana nipate hata namba yako
@user-kw6bv9qp4e
@user-kw6bv9qp4e Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@user-hv6qw2zw2y
@user-hv6qw2zw2y Ай бұрын
Asante sana kiongozi
@GraceMakungu-vh9xd
@GraceMakungu-vh9xd 10 күн бұрын
🎉
@masomekitwala3758
@masomekitwala3758 25 күн бұрын
Tulikutana Lamadi,( sereñgeti) tuliongea mengi,plz nisaidie no yako
@user-wn2su2fj9d
@user-wn2su2fj9d Ай бұрын
Kongole
@YohanaMwaibeseisaya
@YohanaMwaibeseisaya 16 күн бұрын
Yes!
@MagombaLasford
@MagombaLasford 8 күн бұрын
Fuct
@FELISTERPETER-jf9jv
@FELISTERPETER-jf9jv 13 күн бұрын
Mimi mwanangu ana kipaji cha usanii wa mziki yaani akitoka shule ananitungia wimbo hapo hapo unaonihusu. Na unakuta kwenye begi lake kuna daftari limejaa nyimbo. Kila akirudi nachukua daftari naficha na pia akirudi tena unakuta ana kingine kimejaa nyimbo
@hamasikatv
@hamasikatv 9 күн бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@RynoFiree
@RynoFiree Ай бұрын
Inspired speech Mungu akubariki Sana kaka Shigongo
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 209 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 38 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН