HARMONIZE KUHUSU KUJENGA NYUMBA YAO ''PANATAKIWA KUBAKI KUMBUKUMBU''
Пікірлер: 31
@momo-bs1xz5 жыл бұрын
yah historia ya utotoni sio maigizo nakukubali sana keep it up utafika mbali zaidi ya apo ulipo
@gideonluwongo2075 жыл бұрын
Vamakonde vachi uvilaa,kila munu avele na kwao,lakini ukweli uniyoha nanangu momoo nikavele na chinu lakini nguvele nkulinga kukaya,but go where'ver you like home sweet home.Nangu kwetu kunewala kijiji cha Chihangu.
@faridahangedo55545 жыл бұрын
Ubaya wa harmo Sauti yake huwa haisikikii vizuri
@blessonline26455 жыл бұрын
Harmo hiyo ngoma mbona sioni...
@gamestonechannelboy73335 жыл бұрын
This true bro life is to shoot 🔥🔥🔥
@marconzilankoma75815 жыл бұрын
Hongera sana mkuu nakukubali
@msouthqualitymabati46575 жыл бұрын
This is powerful dream lazima u prove em wrong
@davidkilima51485 жыл бұрын
mna zingua sana mna post interview nusu nusu
@kassimulugajo65125 жыл бұрын
makumbusho house 😁😁😁😁😁
@aishalenatus59475 жыл бұрын
Harmonize hapo umefeli kabisaa eti uache nyumba yenu mbavu za mbwa na wakati ww mjini unaishi jumba zuri lakifahari, wenzio wakipata cha kwanza wanawajengea wazazi wao nyumba nzuri, we mmakonde mshamba
@audifacejosephat70715 жыл бұрын
Acha ubishoo mama hawezi kaa kwenye mgongo Wa tembo eti kisa history
@romzget18925 жыл бұрын
Most of Tanzanian people ain't know this VERSION they say VISION ..wot da fuck 😂😂😂😂 Harmonize nextime jus say VERSION NOT VISION
@frozen4rozen4755 жыл бұрын
Mmakonde huyu ni nyoko tafikiri sio watandaimba
@salvamasta74935 жыл бұрын
Mm nakukubali sana
@jasmineshemweta16835 жыл бұрын
Jmn kizungu hakuna chenyenaelewa plz kwa mwenyekuelewa lol
@yusuphpenza48955 жыл бұрын
Maisha Safari ndefu.
@saidyr65672 жыл бұрын
Hiv huyu jamaaaa ana akili vizur
@muhammadmahmoud10685 жыл бұрын
Wasanii wabongo kw kujidai+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@eliyansongoma68345 жыл бұрын
Kondeboy gang
@alirahma89675 жыл бұрын
Mkata kwao mtumwa
@athmanbello3805 жыл бұрын
Hii interview ni usiku ,ama kufunga pia hafungi
@lucymlawa99275 жыл бұрын
Bonge la point
@barakabahati43155 жыл бұрын
Jenga kwenu mbwa ww,malaya wapo tuu
@ramadhaniathumanimlenge66415 жыл бұрын
Upo sawa hamo
@abdulkarimu77845 жыл бұрын
Pia kumbuka umauti
@pendoanthony64025 жыл бұрын
Wasanii na kizungu bhanaa ahahaha sasa mmakonde na kizungu wapi na wapi ahahahaha,.kajambe huko ety history ahah