Asante kwa Tarrifa atakama sio kwa udani sana,naomba kwa undani
@alenyema773810 күн бұрын
Ila serikali mmmh badala barabara ianzie Airport wameamua ianzie ifisi.., sasa km 1 Kufika airport
@tonyaron1194Ай бұрын
Tunashukuru kwa kutuletea hiyo Taarifa wengine tupo mbali na jiji letu tunapenda kujua maendeleo ya mradi huo maana ni muhimu sn hiyo barabara kwa faida ya Wana Mbeya ili waepukane na ajali zisizo za lazima, lkn pia ni kufanya mji wetu upendeze maana ni jiji lkn haufanani na majiji mengine nchini