HATUA ZA MWANZO ZA UPANDAJI WA TIKITI MAJI

  Рет қаралды 39,188

Suleiman H. Halletu

Suleiman H. Halletu

8 жыл бұрын

Ninaendelea na mtiririko wa hatua kwa hatua ktk uzalishaji wa tikiti maji kwa vitedo.
Mie bado mkulima mdogo kabisa hivyo nyenzo nizitumiazo ni ndogo pia lakini zinanipa matokeo tarajiwa.
Kama mnataka mali mtaipata shambani
Stay tuned!

Пікірлер: 31
@ogplus76ify
@ogplus76ify 8 жыл бұрын
ongera sana braza keep it up bro
@AIG7187
@AIG7187 4 жыл бұрын
Our agriculture our field #Great
@juliuskigulah6681
@juliuskigulah6681 10 ай бұрын
Napenda San hicho kilimo
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 жыл бұрын
Ahsante bro OG
@ahmedshabani966
@ahmedshabani966 8 жыл бұрын
JAAZAKAALLAAH KHAIYR
@samuellucas7212
@samuellucas7212 8 жыл бұрын
Hongera kiongozi kwa hatua hii ya kujikwamua , ila mie nina swali moja je kwanini uliamua kutumia mbegu ya shilingi elfu themanini wakati kunambegu za elfu nane, je hiyo ya elfu themanini ndio mbegu bora naomba maelekezo mie nipo kagera
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 жыл бұрын
Ahsante kwa swali zuri brother Samwel, inategemeana unataka kupanda mbegu kiasi gani maana mbegu za Tshs.80,000 ziko mbegu 1,000 kwenye pakiti lakini hizi mbegu ni zile za Hybrid. Kimsingi ni nzuri sana na mbegu ziko mpk za 240,000 inategemeana na idadi ya mbegu unazotaka kupanda.
@reyph1700
@reyph1700 7 жыл бұрын
good kaka
@msafirikatopola8750
@msafirikatopola8750 5 жыл бұрын
Ulilima shamba la ekari ngapi na ulitumia mtaji kiasi gani
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 6 жыл бұрын
Hata seminis ni F1 tofauti ni makampuni tu. KUna sukari F1, king sugar F1 , seminis F1 n.k hizo ni mbegu zilizoboreshwa
@bestonmwasalemba6915
@bestonmwasalemba6915 8 жыл бұрын
asante sana aisee, msisahau kutuwekea update maendeleo ya mimea shambani
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 жыл бұрын
Tunaweka maendeleo siku si nyingi. Endelea kutufuatilia ndugu.
@bestonmwasalemba6915
@bestonmwasalemba6915 8 жыл бұрын
Asante sana mkuu @suleiman
@eliachilonwa5056
@eliachilonwa5056 7 жыл бұрын
Hongera mkuu
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 7 жыл бұрын
Ahsante sana
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 7 жыл бұрын
Ahsante sana
@furahahitira6892
@furahahitira6892 6 жыл бұрын
safi
@iddramadhani8206
@iddramadhani8206 3 жыл бұрын
Au Ndugu SULEIMAN KAMA UPO ACTIVE NISAIDIE NUMBER ZAKO PLEASE
@jacksonmtaswa2885
@jacksonmtaswa2885 3 ай бұрын
Kk mbno ndg zako wengne tunaoitaji lima watukatisha tamaa kuona unaombwa no utoi na ss tunaitaji tufanye hyo inshu tunaitaji no zako utuelekeze vyema
@jacksonmtaswa2885
@jacksonmtaswa2885 3 ай бұрын
Nisaidie hyo no mm mdg wako Niko mkoa wa mtwra nimeendaa baadh ya vitu nipe no kk prease
@adammakoye4198
@adammakoye4198 6 жыл бұрын
nipe madhara ya kuifukia mbegu sana ww umesema sm 2.5 mm nkazidisha sm 5mpk 7
@iddramadhani8206
@iddramadhani8206 3 жыл бұрын
Habari za Jioni Kuna mtu mwenye number za huyu ndugu yetu SULEIMAN? TUPATE FAIDA KUTOKA KWAKE?
@sumaminga751
@sumaminga751 8 жыл бұрын
i wsh nikutembelee shamban kwako nijionee kwa vitendo ...nami nipo tabora
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 жыл бұрын
Karibu sana ndg. Unaweza nipigia ukiwa tayari kuja kwa 0763 80 64 85
@sumaminga751
@sumaminga751 8 жыл бұрын
Nashukuru sana ntakutafuta...and ths is my number 0763412402
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 жыл бұрын
ok
@bestonmwasalemba6915
@bestonmwasalemba6915 8 жыл бұрын
Aisee vp mwezi umeisha, tupatie mrejesho tuone maendeleo ya project
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/oLFdnMyrlc3KYKM.html Unaweza angalia kwa link hiyo hapo juu utapata updates ya mwezi mmoja. Lakini pia suscribe ili uwe unapata kila video ninayoitupia humu.
@bestonmwasalemba6915
@bestonmwasalemba6915 8 жыл бұрын
ok, asante sana
@stephanomulokizi2026
@stephanomulokizi2026 6 жыл бұрын
Nimefurahi kuona kijana anachukua hatua kulingana na mtaji alio nao safi
@herbertpeter3026
@herbertpeter3026 7 жыл бұрын
samahani kaka suleiman vipi kuhusu maji tikiti linahitaji maji kiasi gani? au linaweza kuhimili hata kwenye mvua za kawaida?
KILIMO CHA TIKITI MAJI TABORA (SIKU YA 30 BAADA YA KUPANDA)
18:20
Suleiman H. Halletu
Рет қаралды 55 М.
SolidWorks RE Tutorial # 335: Beginner Tractor complete video
3:49:31
SolidWorks Tutorial ☺
Рет қаралды 3,5 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 62 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
UWEKAJI WA MBOLEA ZA KUKUZIA NA MATUNDA KWENYE MAHINDI
5:23
AGALUS TV
Рет қаралды 5 М.
Kilimo cha Tikiti Maji - Part 2
30:56
Kilimo Biashara
Рет қаралды 24 М.
Pruning Watermelon Plants
4:19
SIVOTECH Nigeria Limited
Рет қаралды 177 М.
MBINU YA KUPATA MATIKITI MAKUBWA
3:15
Nemi Tv
Рет қаралды 933
Kilichomfanya Mrisho Mpoto  aingie kwenye kilimo.
24:36
ITV Tanzania
Рет қаралды 15 М.
5 Steps to Growing Watermelon
9:47
CaliKim29 Garden & Home DIY
Рет қаралды 1,6 МЛН