Highlights | Azam FC 4-0 Zimamoto FC | Mechi ya Kirafiki 12/07/2024

  Рет қаралды 69,962

Azam TV

Azam TV

25 күн бұрын

Magoli mawili ya Feisal Salum dakika ya 34 na 58 na mawili ya Jhonier Blanco dakika ya 37 na 82 kwa penati yameipa ushindi wa 4-0 Azam FC dhidi ya Zimamoto katika mchezo wa kirafiki uliopigwa leo kwenye Dimba la Amaan, Zanzibar.....

Пікірлер: 52
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 23 күн бұрын
Timu yangu Azam FC niko hapa karibu na uwanja wenu nawakubali sana. Ila kwa vikosi wanavyoandaa wapinzani wetu Simba na Yanga mwaka huu ni hatari tuongeze quality nyingine na tutafute timu kubwa kidogo.
@user-kq6zy9sl1y
@user-kq6zy9sl1y 23 күн бұрын
Azam fc tafuteni team bora zaidi ya hii kujipima nayo
@teddysanga1840
@teddysanga1840 23 күн бұрын
fei anakula vizurii siku hizi kule alikuwa anakula ugali sukari 😂
@CleoThedone
@CleoThedone 22 күн бұрын
Naikubali cn azamu
@abubakarjuma443
@abubakarjuma443 23 күн бұрын
Fei jitaidi kukata tumbo la si ivyo utakua tajir mwenye team
@FiniasYotham
@FiniasYotham 23 күн бұрын
FEISALI ana kitambi
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 23 күн бұрын
Yanga kulikuwa na njaa ndio maana alikuwa amekoooonda
@ahmedjeizan4431
@ahmedjeizan4431 23 күн бұрын
Acha ushamba yanga kuna njaa ya babako Djuma shaban alinenepa kwenu mchezaji anatakiwa kumaintain shape kwa mazoezi sio sifa kuwa na kitambi kama safura pimbi wewe
@KasmiliAndrea
@KasmiliAndrea 16 күн бұрын
Jamaa kama dube
@Mudathir-tx1md
@Mudathir-tx1md 21 күн бұрын
Hv hata APR itakuwa kazi kuwafunga
@c.grealish
@c.grealish 23 күн бұрын
Desbest player faysal
@josiacharles2778
@josiacharles2778 18 күн бұрын
Sasa uyu fei mbona kitambi kinazidi tu jamani 😢
@KasmiliAndrea
@KasmiliAndrea 16 күн бұрын
My we humkubalitu
@user-xb5ub7zj5n
@user-xb5ub7zj5n 22 күн бұрын
Namba 9 tunae 🎉🎉🎉🎉🎉 ligi ianze sasa
@EliphasNyagwaru
@EliphasNyagwaru 23 күн бұрын
Kwa huyu blanco mm nishamsahau dube
@mwanangusana
@mwanangusana 23 күн бұрын
😂😂😂 utamkumbuka ligi ikianza
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 23 күн бұрын
Mbn Sauti Hamna
@levocatuspjohn8638
@levocatuspjohn8638 23 күн бұрын
Feisal inamaana Azam wamekupa mikate hadi ume vembewa😂😂😂😂
@sailoo5722
@sailoo5722 23 күн бұрын
Kwani video imechukuliwa na simu, mbna mnatuonyesha giza ama mko unga
@maxmia100
@maxmia100 23 күн бұрын
Dah? Kweli dogo anakitambi dah? Ngoja abweteke tu kazi ndo inaishia hivyo
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 23 күн бұрын
Mumevaa jezi kama simba ila hamna mpango wowote
@nikky4757
@nikky4757 21 күн бұрын
Sema fei kama ana kitambi fulani hivi
@SalumMadimba
@SalumMadimba 22 күн бұрын
Basi Fei anajiona staaaa😂😂😂😂
@yusuphTosha
@yusuphTosha 23 күн бұрын
Dube wanini tena!
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 23 күн бұрын
Feisal mtuwmaan anakitamb
@LinuslusianLinuslusian
@LinuslusianLinuslusian 23 күн бұрын
Feisal sasa basi hana mazeezi
@muhamadmaulid694
@muhamadmaulid694 23 күн бұрын
Iv Zanzibar soka limeenda wapi ,mbona timu mbovu mbovu tu,inakera sana Yani ,misingi ya soka ipo ila mafanikio sifuri
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 22 күн бұрын
Halafu ndo kombe la muungano limerudi Zanzibar tutakuwa tunashika mkia
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 22 күн бұрын
Mpira ni pesa baba hakuna misingi yoyote zaid ya pesa.. Timu moja ya bara inawazaamini sita... Wakt tim za znz hazina mzamini hata mmoja
@samsonmwaipaja5231
@samsonmwaipaja5231 23 күн бұрын
apr haooo wamefika
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 23 күн бұрын
Fei akikajuu tu kitamb
@fabianbenardngatunga2713
@fabianbenardngatunga2713 21 күн бұрын
Mbn wamevaa nyekundu ili wajue wameifunga simba wawe wamelipa kisasi
@honoratielisha6543
@honoratielisha6543 23 күн бұрын
Mbn feisal ana tako
@jameschumbula7351
@jameschumbula7351 23 күн бұрын
🤓
@manfuture_
@manfuture_ 23 күн бұрын
We huna
@getajo1153
@getajo1153 23 күн бұрын
Simba toeni hela tumchukue Feisal...
@rogersdavis3058
@rogersdavis3058 22 күн бұрын
Tumpeleke wapi
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 23 күн бұрын
Azam tafuten timu ya kujipima zaidi sio zimamoto yanga na simba ni moto
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 23 күн бұрын
Zimamoto sio wabovu kbs lkn
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 23 күн бұрын
Hhhhhhhhhh ww ni zima moto nini
@mosesjacksonkarashani2642
@mosesjacksonkarashani2642 23 күн бұрын
Mbona Feisal ana kitambi?😢
@YalkinAlkindy-nt2hf
@YalkinAlkindy-nt2hf 23 күн бұрын
Siku izi hali ugali na sukari😂
@manfuture_
@manfuture_ 23 күн бұрын
Kwan wana kataza
@mosesjacksonkarashani2642
@mosesjacksonkarashani2642 23 күн бұрын
@@manfuture_ Hivi unakuwaga mjinga hivi au unaigiza?
@IMRANITV1
@IMRANITV1 23 күн бұрын
Munampa kichwa kumtaja taja fanyeni kama hajuikani vilee tuendelee na mengine
@onekisstv8412
@onekisstv8412 23 күн бұрын
Apo sasa shida sijui ni nini
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 23 күн бұрын
Ni xavi mtupu
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 29 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
APR FC vs AL HILAL FC PENALTY SHOOTOUTS.#CECAFAKAGAMECUP2024
8:19
Life With Claire
Рет қаралды 1,4 М.
MWANANCHI DAY | Utambulisho wa Chama, Aziz Ki, na Pacoume
5:39
#msstudiokz #бокс #boxing #shorts #чемпион
0:19
MS STUDIO KZ
Рет қаралды 315 М.
Скромный парень НАКАЗАЛ ЧЕЧЕНЦА за дерзость 😡
1:00
БЕЗУМНЫЙ СПОРТ
Рет қаралды 2,3 МЛН
Париж 2024 #қазақстан #бокс #boxing #париж2024 #olympics
0:19
Kazakhstan Boxing Federation
Рет қаралды 41 М.
100% Funny Reactions 😂
0:30
L7 Football
Рет қаралды 10 МЛН
Players vs Robot Goalkeeper + Putin🤯🔥
0:19
Best Football Shorts
Рет қаралды 6 МЛН