Madamu kampuni iko eneo lako makonda, mkataba wa kuuziana haungekamilika bila kujuwa kuhusu wafanyi kazi wa zamani wa kampuni hiyo.
@elizalutiga628727 күн бұрын
DHULUMA NI NYINGI MNO NCHI HII
@user-fw6xu8gn2q26 күн бұрын
Dhuluma hii inchi ndio mahali pake mfano watumishi wa inchi hii wanadai sitahiki zao kama pesa za uhamisho posho za safari tangu mwaka 1999 wengine wamestaafu Hadi Leo hawajalipwa na serikali inajuwa na imeziba masikio