Naipenda. Sana. Dhikiri. Hiyo. Machozi. Yanatoka. Nawaza. Mbali. Sana
@fidelpemba96017 күн бұрын
Yanayokuja usiku utilinde Mola, nimependa sana hio maombi.
@athmanustadh92395 ай бұрын
Napenda sana dhikri hii Iko siku mutaniona huko
@maisarirajab48464 ай бұрын
Hii ni zaidi, safi sana
@saidahamid11788 ай бұрын
Tadhar au mashallah nawapnd
@muhammadkhamis93967 ай бұрын
Yaa rabbi utulinde
@user-ej4os3cz4w4 ай бұрын
❤Safi sana mashaa alll
@user-gm5gp2mu6m2 ай бұрын
Hapn kucheza apoo wanamtaj mungu wee mshambaa
@omarimtoromi4494 ай бұрын
Hii dhikiri safi sana sana
@user-dl9wr5ee2u7 ай бұрын
Mashallaaah
@user-gm5gp2mu6m2 ай бұрын
Hiii dhikri aswaa tamu bwana weee wasoipenda wachee hawajuw utamu aoo wee km wanasem bidaa heee watajuwa sij ya kufa tuwache tumsif mtume saw km hatujamsif ss wakamsif nani nd muombez wt yani rahaaa natamn nend
@YusraKharid-yf9vx6 ай бұрын
Masha Allah
@user-bc9bn5fy9k21 күн бұрын
Hyo mwenye kazu ya bluu isiwezekane akawa mkirsto anavyoluka
@rashidabasi79404 ай бұрын
Wapi hii na ratiba zake zipoje... Msineemeke pekeyenu
@mohamedhamis9022Ай бұрын
Masha'allah mungu atukuzie dini yahaki
@user-ib7kx9dc5m4 ай бұрын
Wewe kama kucheza huwezi usi wakele wenzako fanya Kwa kiasi
@user-sn7dg4xi1c7 ай бұрын
Mashallah
@fikratulmuhibbonlinetvismail5 ай бұрын
Pozo langu
@user-ur8eu3ph9k7 ай бұрын
Napenda sana dhikrii hii
@MakataWaMakatani7 ай бұрын
❤❤❤❤❤ 👍👍👍👍
@user-ps7kj9qj8t6 ай бұрын
Tumuombe,Sanamola
@AbdullaSeifKhamis-tv4zq4 ай бұрын
Kigoma cha mdomo na mikono hicho Ukipiga tathmini kwa hao mashekhe Kucheza hapo Juzuu 5 za Qurani hazipo wengi wao tusameheane tu lakin Ukweli usemwe kua tumeiwacha dini starehe ndio tumezipapia na kufuata matamanio ya nafsi zetu kitu kipendacho😢😢😢😢
@SilajiOmary-gz7im3 ай бұрын
@SilajiOmary-gz7im3 ай бұрын
@adamkhatib68702 ай бұрын
Sawa karibu sana
@hantiroadhan32415 ай бұрын
Maa Shaa Allah, Aamiin
@saidsaid-oe1oi3 ай бұрын
Mashaallah
@user-su6vg3bm1p3 ай бұрын
Ww ndio akili huna kilicheza kigogo mbele ya mtume unashangaa sis kucheza
@abdul-malikothman58373 ай бұрын
Aaallah Allah ...❤
@user-li1xh6be4g7 ай бұрын
❤
@SalhamaulidSuleiman3 ай бұрын
MashaAllah❤
@FIRDAWUSITV2 ай бұрын
mashaalla
@bipoposhabani55288 ай бұрын
Jamani naomba nije kutembea
@Mawazobrand8 ай бұрын
Unakaribishwa
@saidimaalim69978 ай бұрын
@@Mawazobranduko wapi
@Mawazobrand7 ай бұрын
Zanzibar
@bir4450Ай бұрын
Huu ugomv wa qadiriya na wasokuwa qadiriya hauishi huu kama palesyina na isreal.huwaambii kitu watu wa abdulqdir jailan..
@MakataWaMakatani6 ай бұрын
😂😂😂😂 subhanallah 🤣
@samorajama88333 ай бұрын
KILLA IBAADA INA ASILI KUTOKA KWA RASUUL SWALLA LLAAHU ALAYHI WA SALLAM HEBU TUPENI UONGOFU WAKE
@ibnumaxamed55446 ай бұрын
This is not in religion of prophet muhammad peace upon him 😢May Allah guide you to the right path😢
@Mawazobrand6 ай бұрын
Ameen to all inshallah
@omaryabdallah87346 ай бұрын
Aamiin
@alijabiri98795 ай бұрын
اليوم أكمالتم لكم دن ..
@binswalehramadhan96794 ай бұрын
I didn't know that someone is counted to sinning by say "Ooh Allah protect us,our parents,our children and other Muslims" let's think before we say anything in our religion
@yussuph-lx7cu4 ай бұрын
Dhikri ya namna hii SIJUWI IMETOLEWA KATIKA KITABU GANI ,,,,MUNGU TUSAMEHE KATIKA UZUSHI WA NAMNA HII ,,HII KWELI NI IBADA ?ASTAGHAFIRU LLAHI
@JanethZinga4 ай бұрын
Hili jambo bwana mtume hakufundisha,halafu mnatuaibisha mnafanya makafiri watuone wote hatuna akili kwa huu uovu wenu wa kukoroma.
@RashidiMwanongo3 ай бұрын
ww bona unafiki mwingi hivi😊
@hamadihaji40073 ай бұрын
Hv mtume alipanda gari mbona husemi bidaaa ukapanda farasi na ngamia hakukua na vyoooo kama hivi vyakukaaa ila Leo macho wewe muone panapobidi fata pale unapoona sahihi ila Wacha tupende kungurumisha vifua
@kheriakida33093 ай бұрын
Haya mambo yalikuwepo kabla babu yako hajazaliwa wacha wewe na wazazi wako, hawa ni wazee wa mridu, tumeyaona toka zama na hatujasikia wakisemwa na mashekh wakubwa hapa Tanzania, acha mdomo
@IslamPeto-fd6wr3 ай бұрын
@@hamadihaji4007mpe uyoo
@SelemaniDowile-mk1wm2 ай бұрын
Kama jambo hulitaki ww bx kama kimya nyinyi mpaka dhikri baada ya swala mnakimbia
@HabibuUrasa4 ай бұрын
Watu wanafurahia kwasababu wanacheza hakuna ibada ya kucheza
@kheriakida33094 ай бұрын
Usilolijua kaa kimya sio lazima useme kitu, hizo ni zipo toka enzi na hazijawahi kosolewa