No video

HII NDIO NYUMBA YA SPIKA wa BUNGE wa TANZANIA MHE. TULIA ACKSON DODOMA

  Рет қаралды 184,889

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 120
@muntueric-oy1ty
@muntueric-oy1ty Жыл бұрын
Mhe Tulia for life... @wasafi for life💪💪💪
@iddyramson2991
@iddyramson2991 Жыл бұрын
ujitambui bado
@ameirdarueshi2593
@ameirdarueshi2593 Жыл бұрын
@@iddyramson2991 kkkkkkkkk
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 Жыл бұрын
Ndo nn sasa Hivi
@lusupi
@lusupi Жыл бұрын
Kwa tunaoishi dodoma tunaijua hii nyumba ilivokua ina balaaa🔥🔥
@chrissg4026
@chrissg4026 Жыл бұрын
Balaa gani tena?
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc 8 ай бұрын
Ongeleni dodoma ulaya sikuizi
@DeusMagere-hd1co
@DeusMagere-hd1co Жыл бұрын
Sisi wenye vyumba kimoja tujuanee 👇👇
@jumakisailo8496
@jumakisailo8496 Жыл бұрын
🙄🙄🙄...mimi Nina chumba kimoja isitoshe kuna sehemu inavuja, Choo changu ni passport size.
@mohamedsaid2882
@mohamedsaid2882 Жыл бұрын
Pamoja sana mwamba 😂😂😂
@AdamFundikira-kk5oj
@AdamFundikira-kk5oj Жыл бұрын
​@@jumakisailo8496 ila anajitahidi kuwabana mawaziri mizigo
@EzzyK438
@EzzyK438 Жыл бұрын
Chumba chenyewe tumepanga 😂
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Жыл бұрын
Yote kwa yote sote pumzi yetu inamilikiwa na Mungu, bila kujali elimu, sura. Cheo, n.k,! Na mwisho wa siku nyumba ya kudumu ya kila mmoja baada ya haya maisha ni kaburi, hakika Mungu ni fundi mkuu.🙏🙏
@imelidamfikwa7954
@imelidamfikwa7954 Жыл бұрын
Hayo ni makazi ya Spika,Nyumba ya Tulia mumuulize mkapige picha kama mtaruhusiwa.Pili kiitifaki kuonyesha hivyo haikai vizuri sana.
@RonicaKolimba-ne3zh
@RonicaKolimba-ne3zh 8 ай бұрын
P
@divaimafuru6844
@divaimafuru6844 Жыл бұрын
Mwembie dk Tulia tunampenda sana
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
Hapo Ni kwa spika kama mtumishi wa serikali ila nyumba ni ya serikali na sio nyumba ya spika..
@omarhababuu3159
@omarhababuu3159 Жыл бұрын
Hiyo ninyumba yaspika nyumba alopewa niserekali sio hiyo nikule alikopigwa risasi tundu lisu nieneo lenyenyumba nyingi zaserekali wanakaa spika naibu spika nakiongozi waupizani bungeni hiyo ninyumba yakifahar ilozungurushiwa ukuta eneo lote lafenci linanyumba moja tuu
@user-qs9dm5dc2o
@user-qs9dm5dc2o Жыл бұрын
Home street home Mwangosi jamani tuwe wakweli hiyo nyumba ya kaiwada tu ni mjengo wa kisauziiii😅 Dom na Uzunguni kwetu hapo sema picha imenogesha na hiyo ni ya serikari alienza kukaa hapo Anna Makinda kama spika wa bunge kisha hao wengine wamefuata.
@priscajube4239
@priscajube4239 Жыл бұрын
Ni kweli. Imenogeshwa kwenye video. Ni nyumba ya kawaida. Ata watu binafsi wanazo zaidi ya hiyo. Naijua pia
@MubinaRoshan
@MubinaRoshan Жыл бұрын
Nampenda spika wa bunge yuko pice saba😂❤❤❤❤❤❤
@panchovalentino3576
@panchovalentino3576 Жыл бұрын
Jumba jumba kweli kabisa 💯🔥💥
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 Жыл бұрын
Mdogo wangu nakupenda sana Spika wabunge
@demetriaswai3193
@demetriaswai3193 Жыл бұрын
Nzuri sana hongera mheshimiwa
@sebastianmichael4031
@sebastianmichael4031 Жыл бұрын
Hiyo nyumba ni mali ya serikali, siyo spika mmiliki wa hiyo nyumba.
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
Kazi Spika wangeni wa leo tutacheka hadi tuongeze Siku Ubarikiwe
@Soon815
@Soon815 6 ай бұрын
WaTz elimu duni kwa kwel😢😢 Hiyo nyumba ni ya mhimili wa bunge sio serikali! Hv shule mlienda kusoma nini??? Leo nimeamini Tz kielimu tupo nyuma mno.
@tabiaramadhani2348
@tabiaramadhani2348 Жыл бұрын
MUHESHIMIWA TUNAOMBA SISI WAKAZI WA VIKAWE MKOA WA PWANI WILAYA YA KIBAHA UTUANGALIE KWA HII BARABARA AMBAE INATAKIWA WATU WALIPWE PESA NA NDIO IANZE KUTENGENEZWA ASANTE SANA KIONGOZI WANGU
@franktangeki9342
@franktangeki9342 Жыл бұрын
anaishi kama yuko ulaya nyumba nzuri natumaini inazidi ata ya waziri mkuu.Nyumba hiyo inaweza kununua vibanda umiza vyote pale arusha na kubaki chenchi
@richardburundi3090
@richardburundi3090 Жыл бұрын
Ninzuri ila bado wokowatanzania hawana umeme nabato wanakunyamaji yakutoka gisiman
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
@@richardburundi3090 we nae Sasa watu wasijenge kisa
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
@@richardburundi3090 harafu hayo maji ya gisimani ndo maji gani
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Жыл бұрын
@@richardburundi3090 binadamu siku zote hamkosi la kusema, hata angekuwa anaishi kwa kujidhiki mngemsema vilevile, ni kheri amejenga jumba lake anaishi, kuwa kiongozi haimaanishi ndio utakuwa Yesu wa matatizo ya watu wote, kiongozi anafanya kadiri ya uwezo wake, wokovu mwengine ni wa mwananchi mwenyewe afanye jitihada kukomboa familia yake. Nyinyi mnaomsema huyo angekuwa mama yenu au shangazi yenu yasingewatoka hayo maneno. Na mpaka mnamuona mtu kafika aliko fika mjue kapambana kwenye maisha yake, acheni ushamba, mnataka watu waishije, huyo kiongozi wa kubeba umasikini wa dunia hayupo
@abdulkarimukusaga3617
@abdulkarimukusaga3617 Жыл бұрын
I love ❤️ spika
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Inapendeza SANA
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Hongera sana kwake
@victorjames3730
@victorjames3730 Жыл бұрын
Sjui nilitaka kusema Nini ila acha nilie tu😢😢😢
@jesseboy6024
@jesseboy6024 Жыл бұрын
Makaburi ndio majumba ya uhakika tuyaimarishe haya ya duniani ni mapito tu Akherah ndio makazi✓ {{قل إن الخاسرين الذين خسروا أنفسهم وأهليهم يوم القيامة ألا ذلك هو الخسران المبين}} الآية الزمر.
@mosesmaiga7408
@mosesmaiga7408 Жыл бұрын
Basi wewe subiri ufe uende uko makaburini acha roho zakichawi na hayo mandishi yako yakitumwa mwanaume ni mtu wa kupambana siyo hadithi za kiarabu au za kizungu
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 9 ай бұрын
Nyumbani pamependeza na hao wameongea vizuri Wabarikiww
@pastoraile7195
@pastoraile7195 Жыл бұрын
Africa people kwa mama huyoooo vituu vidogo
@seneu.2128
@seneu.2128 Жыл бұрын
Hiyo ni nyumba ya serikali kwa ajili ya makazi ya spika aliyechaguliwa maana yake hata ndungai aliishi hapo na sio nyumba binafsi ya tulia...ila kupitia nyumba hii ndio utajua nikwanini viongozi wa nchi hii hupigania madaraka kwa njia yeyote hata ikibidi kumngoa mtu meno.
@jamesshaw4011
@jamesshaw4011 10 ай бұрын
Mwafrika ni mtu mweusi tu anajifikiria yeye na family yake tu...Nchi masikini madawa huduma za hospital barabara ufisadi fursa hakuna kwa masikini. MIKATABA ya kifisadi ....kiongozi yeye anatanua tu...mtu mweusi ni mweusi tu.
@manifestationmastermindset6518
@manifestationmastermindset6518 Жыл бұрын
Kodi yangu
@geoufo2858
@geoufo2858 Жыл бұрын
Nyumba nzuri simple yn mama wawatu cio mwizi kwakweli
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Simple kivipi hizo ni kodi za wananchi
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Жыл бұрын
​@@ilynpayne7491kwa cheo chake hiyo ni simple
@simonmasunga7398
@simonmasunga7398 Жыл бұрын
Eti siyo mwizi, are you CAG or PCCB?
@ramayonline2281
@ramayonline2281 Жыл бұрын
@@ilynpayne7491 ulitaka awe na nyumba ya aina gani??? Je yey siyo mfanyakazi ambaye analipwa??
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Жыл бұрын
@@ilynpayne7491 wewe unadhani kwa mshahara wake hawezi kujenga hivyo? Hasa ukizingatia ana miaka zaidi ya saba bungeni, na alisha kuwaga profesa (wa chuoni, sio wa heshima, wa chuoni, kasoma) kwa miaka kumi na, yani pesa alikuwa nazo kabla hajawa mbunge, bado tu unaamini hawezi kujenga hivyo??
@czechzyamwaga1021
@czechzyamwaga1021 Жыл бұрын
Walaji wa pesa zetu hao
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Kabisa ila Walimu Madaktari na Manesi na watumishi wadogo tunakatwa makato ya kila aina ili wao waishi peponi. MUNGU umulika hawa
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 9 ай бұрын
Hii nyumba aliyechukua crip alitumia Majenta. Yaani hata kama kijani niyakwaida utadhani waliweka mbolea.
@MichaelSimba-nk7mu
@MichaelSimba-nk7mu 9 ай бұрын
Usipotoshe watu, hayo ni makazi yake binafisi siyo nyumba ya serikali, usiongelee vitu usivyovijua.
@rambostalon2888
@rambostalon2888 Жыл бұрын
Kudadadeki mnawakandamiza watu wa chini nyie mnaishi kifahari kumaae zenu
@johanesnixon5473
@johanesnixon5473 Жыл бұрын
KUSOMA RAHA
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын
Hapo chawa watasifiaaa,Hadi saa kumi jioni.
@leonardkyara7422
@leonardkyara7422 Жыл бұрын
Hapo wa kusifiwa ni watz kwa kutoa kodi
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Na wakutukanwa ni watz wanaolipa Kodi halafu zinatafunwa na wachache,,,
@cooler3263
@cooler3263 Жыл бұрын
Daah wanainjoi
@zahorsalum4976
@zahorsalum4976 Жыл бұрын
Hawa ndo mafisadi wanchii hii.
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Exactly
@mayrose9772
@mayrose9772 Жыл бұрын
Ya kwake au ya serikal
@SelinaMdoe-jv1pu
@SelinaMdoe-jv1pu 9 ай бұрын
Simfanye mlioyafat a mbona sifa nyingi sana hamna hata la msingi vipi mnamwaga sifa tu
@LtW2-om6yj
@LtW2-om6yj Жыл бұрын
Duu mnapesa ila hamna kelele ilaringia TikTok utakitana nawa2 tafta ela tafta ela mpaka kichwa kinauma ila kumbe kunawa2 mnaela na amna kekele
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Wanaishi peponi walipa kodi wanaishi hohehahe presha kila kukicha
@kanghanhankang1440
@kanghanhankang1440 Жыл бұрын
Siku akiacha anaondoka nayo au vip😅😅
@mariamirumu4669
@mariamirumu4669 Жыл бұрын
Ni nyumba ya serikali au yake binafsi?
@user-sy9wy8gt5l
@user-sy9wy8gt5l Жыл бұрын
Duh bonge la mgeto
@fatmasherallysherally537
@fatmasherallysherally537 9 ай бұрын
Chezea cheo weyye
@khamisame8435
@khamisame8435 Жыл бұрын
Wakesha tok bungen hao utawakut wanaumwa maradhi tele
@faiditv5535
@faiditv5535 Жыл бұрын
Sio faida ya habari hii ndio nin sasa
@AliMohamed-gv7nw
@AliMohamed-gv7nw Жыл бұрын
Upumbavu iwasaidie nn Sasa mnao waonesha ilhali wao wanashida naumaskini
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp Жыл бұрын
Ila zembwela aisee anapendeza kwenye comedy tu avae vipensi. Kama suti haimtoi
@alvinbenito5243
@alvinbenito5243 Жыл бұрын
Pepo za dunia sio mchezo
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 Жыл бұрын
Mnajuwa kutuibia
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Sasa hapo umeibiwa nin🤔🤔🤣
@jacklinemolleli5238
@jacklinemolleli5238 Жыл бұрын
Tulia ni msomi
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
@@TM.Sullusi 😆😆😆😆
@samwelmollel602
@samwelmollel602 Жыл бұрын
Yakawaida Sana njooni Arusha
@franktangeki9342
@franktangeki9342 Жыл бұрын
😀😀wabongoo du
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Жыл бұрын
Tuje arusha kufanya nn
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
we unayo
@lusupi
@lusupi Жыл бұрын
Huijui hiyo nyumba kali sana siku pita nje uione
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 Жыл бұрын
Arusha tena wakati sie tuko dodoma
@abelicharles6874
@abelicharles6874 Жыл бұрын
Amewaheshimisha kwa lipi ujinga tu
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 Жыл бұрын
Mbona fupi sana wajameni nilitamani niendelee na mimi nifanye utalii wa ndani kupitia video hii
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Hata mm
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 Жыл бұрын
❤❤❤
@leganmichael6148
@leganmichael6148 Жыл бұрын
Bado mbeya inakuhitaji
@hydo8027
@hydo8027 Жыл бұрын
Sasa inakuwaje wameingia na viatu ndani😆😆
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro Жыл бұрын
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni CHACHE Sana na zimejaa taabu nyingi"🤔
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 Жыл бұрын
Unajaribu kisemaje yaani😂 usitutishe bhana hilo linajulikana
@wilbertmmary9076
@wilbertmmary9076 Жыл бұрын
Ila Kuna nyingine hazina tabu aiseee😅😅😅
@kingkendrickk
@kingkendrickk Жыл бұрын
Siasa inalipa
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 Жыл бұрын
Hii sio ya kushangaaa maana yeye ni SPIKA na B4 alikua Naibu Spika....Sasa hemu jiulizeni ikiwa mbunge anafikia 12M per month including mambo yote yeye jeee??....Soo nirahisi tu kujenga nyumba kama hiyo kwa kweli...Ila pia huyu dada anapiga kazi kweli kweli hilo tumpongezeni sana sana sana
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Nyumba ni ya serikali
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Inathamani ya nyumba ngapi za walimu wetu?
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Жыл бұрын
@@jumakapilima7295 elf moja
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@jescajulius8023 dah!!
@johnpella8703
@johnpella8703 Жыл бұрын
Miongoni mwa watu watakaoendelea namshukuru JPM.
@emmanuelessaugurtu9421
@emmanuelessaugurtu9421 Жыл бұрын
Hongera Sana Spika wetu kwa nafasi yako hata angelikuwa nani hayo angelifanya,jamani hata kuhani hula madhabahuni Ila mama pambana na maslahi ya watumishi ikiwa ni pamoja na kuondoa kikokotoo,tupeni haki zetu zote za pensheni tufurahie matunda ya kustaafu
@user-qy3gk8of7k
@user-qy3gk8of7k Жыл бұрын
Tafuta pesa
@edwingwesso6818
@edwingwesso6818 Жыл бұрын
Nyumba yake au ya serikal?
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Жыл бұрын
Nyumba ya serikali mahsusi kwa ajili ya speaker kuishi
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 Жыл бұрын
Yakwake hiko salasala
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
Ni nyumba ya serikali..
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
​@@frankngoloka5416 wacha kudanganya watu wewe.. hiyo ni nyumba ya serikali.. na kabla ya huyu tulia ackson.. maspika wote waliotangalia waliishi hapo hapo.. khaaa eti nyumba yake ulimjengea wewe??
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
@@frankngoloka5416 bac hyo ya kwako....hongera kwa nyumba nzuri...aiseee una hasira kali ww😆😆😆😆
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Ehh
@jeffhard5773
@jeffhard5773 Жыл бұрын
Machawa pro MAX A.k a wazee wakujipendekeza hamna baya nyie kazi yenu ni kusifia tu UTOPOLO
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 2,9 МЛН
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
MAMA WA DKT TULIA AELEZA ALIVYOTAKA MWANAYE ASIENDELEE NA MASOMO
6:44
MbeyaYetuOnlineTV
Рет қаралды 206 М.
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 2,9 МЛН