why muna abudu mwana adamu instead kuh worship Mungu Alie Mbingumi haki mumeme lost muelekeo acheni hizo vituko njooni kwake Mungu Alie Hai mwe ata baki kua hai please🙏🙏
@pastorelijahdumusi80586 ай бұрын
Yuko wapi mwanadamu ambae umeona tukiabudu ndugu, ni rahisi sanà kuuliza swali labda pia itakuwa ngumu kwako kuelewa maybe. Sisi tunamwabudu Mungu aliye hai tena kwa ukweli, ila tu, sababu yako kusema hivo umesikia Jina likitajwa hapo Eti ELIJAH, samahani kakangu, ELIJAH SHIYONGA MAIKUVA huyo ni NABII wa mwenyzi MUNGU ambaye mwenyezi MUNGU alimtuma kwa ajili sisi binadamu tulimsahau Roho mtakatifu wa mungu. Mambo ni mingi ndugu ambayo siezi kuyaandika ili nikuelezee but njoo siku moja ukafanye ushahidi ili siku moja utakuja kutoa ushahidi wa ukweli Mbele ya mwenyezi mungu asante. Mwisho ni kwamba twamutambua NABII ELIJAH SHIYONGA MAIKUVA YEYE NI MUTUME TU SI MUNGU. ILA TU TWAFATA KATIKA ZILE NYAYA ZAKE ILI TUMUONE MUNGU AMBAE NI WA KWELI