Haya ndiyo yakujifunza cku zote,, na sio upuuz wa wengneo kwenye mitandao. Shukran.🙏
@erisonguonahom69844 жыл бұрын
Mzee habari nzuri we need more than this we appreciate my brother
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Woow nimependa Sana umeeleza vizuri, hongera sky
@ashuraussein75824 жыл бұрын
Masha allah mungu nijalie utajiri nisaidie mayatima wanaoteseka😢🙏
@goldchaz70502 жыл бұрын
Sasa mtu alipewa dollar 3000 miaka ya 1977 sawa na milion 6 na point kwa miaka hiyo inamaana sio pesa ya kitoto sasa we jidanganye uote kuja kuwa tajiri kikubwa tupambane tu na hali zetu tupate chakula maana MAJI HUFATA MKONDO
@drfrankfaustine54692 жыл бұрын
Kaka sky izo ndo story zinazoweza kuleta manufaa inchin lakin siyo umbea wa kina mwijaku kwaiyo pls story kama izi ziwe nying ili watu wajifunze kutokubweteka na kufanya biashara ndogo ndogo ili kufika mbali sana
@sirabahendayussufu28623 жыл бұрын
Sky ww ni nomaaa sauti yako noaaaaaa sanaaa I wish I can be like u🎼🎼🎼🎼very attractive
@rehemashafi48094 жыл бұрын
Thanks u brother sky kwa habr nzr na utangazaji wako
@desekepi4 жыл бұрын
Basi kuna mtu mzima tuu tena mkubwa alinipa story tofauti na hii kuhusu dangote afu sikuwazaga kuitafuta tena nikamuamini 💯 kumbe kaniingiza chaka 😅😅😂
@aminaabdallah36444 жыл бұрын
Mashallah Allahumma barik 🙏❤❤❤❤
@samanthaali8734 жыл бұрын
Dangote kumbe ndio huyu shukran
@barackhuncho24324 жыл бұрын
Ooooh... it's OK it's ok
@zennakailo81064 жыл бұрын
Kumbe dangote ndo huyu🤔sasa kwhyo mam dangote huyu ni mwananae🤪
@sadadololi45454 жыл бұрын
Asante maelezo mazuri sana 🙏
@godimahenge3345 Жыл бұрын
Kuna stoli nyingine na as tuwe tuna jiongeza tusiwe na mawazo mafupi ya kukuba TU. (1) babuyake unaambiwa alikua ni Moja ya matajili Nigeria (2) chuo kikuu Cha biashala kasoma misili. alipo itimu kaludi Nigeria (3)kakopa Kwa ndugu yake USD 3500. SAWA na 6000000 kwa miaka ya saizi Kwa miaka ya Yuma ilikua ni chini yaapo iyo iyo ela kaagiza Mchele na sukali. Nchi mbili tofauti. 🤔🤔🤔. Yani iyo nisawa nakuwaangiza vijana wajiajili wakati wewe umeajiliwa. 🙏🙏
@Nominated207 Жыл бұрын
Hakuna kisichowezekana lakini ukweli hawa watu hawawezi kusema ukweli story zao ndio kama hivo wanasema wametokea katika familia maskini kumbe sio kweli huwa wanazikuta mali kiasi wao wanaendeleza lakini bado Nampa heshima yake sababu kuviendeleza na vikakua pia kazi si ndogo
@lucymtui86804 жыл бұрын
Woow
@asiajuma83304 жыл бұрын
Walai izi story ndio nazipenda sio kila siku wasanii tu ivi vitu vinatujenga ss ambao tunapambna
@latriciah01augustino674 жыл бұрын
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽Sns
@shaadenshaduni77554 жыл бұрын
Napenda unavyo simlia 🥰
@shubackmashinga35354 жыл бұрын
💪💪
@khamisomary74286 ай бұрын
Tunaomba utafanyie interview na zongii mwanza
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Safi
@gucijeshii17944 жыл бұрын
Boss
@egonkasiano78224 жыл бұрын
one
@fashiontrendstv32074 жыл бұрын
Sasa fanyeni video why alifunga kiwanda chake cha Tz
@ankalmzito254 Жыл бұрын
alilelewa kama MUISLAMU ama ni mwislamuu.??..🇰🇪🇰🇪🇰🇪