Angalia mwanzo mwisho anavyokishwa maiti ufaidike#ramadhaan #ramadhaan #mawaidha#kigamboni cheka##islamicvideo
Пікірлер: 39
@rayisadesigns26462 ай бұрын
MAASHAALLAH HAYA NDIYO MAMBO WAISLAM TUNAYOYAHITAJI YANAYOTUFUNDISHA KUUFAHAMU UISLAMU WETU SIO KILA SIKU RADDI RADDI, TUMECHOKA NA UPUUZI WA RADDI ZISIZOTUELIMISHA KWA LOLOTE ZAIDI YA KUWAPA UMAARUFU WA KIDUNIA WALE WANAORADDIANA.
@Masjidfirdous-onlinetv2 ай бұрын
Allah atuongoze.amin
@hassanWanjikuАй бұрын
Ila raddi kwa wazushi ni wajib sababu huu umma wa kuamrisha mema na kukataza maovu sababu hatutanyamaza wazushi wakipita mipaka
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
@@hassanWanjikuNdio Rasulullah alikuwa akilingania hivyo.Kwamba alikuwa anaenda kwa Makufari pale Makkah kisha anawaambia "NYIE WATU MAKKA,ACHE UKAFIR WACHAWI WASHIRIKINA WAKUBWA.Ndio njia hii sahihi za kukosoana katika Dini enh?
@Munalimaboi-um5iqАй бұрын
Mashallah ustadhi umetufundisha n cc ambao atujui allah ziada ishallah akupe umri mrefu ili uweze kufundisha n wengine
@binkhatwab7691Ай бұрын
Mashaallah mashaallah Allah abarik na atie kheri zake inshaallah.
@nusrasadick35162 ай бұрын
maashallah shukran sana shekhe kwa elimu adhim Allah akuongezee elimu na umri mrefu wenye manufaa inshaallah
@hassanWanjikuАй бұрын
Mashaallah tabarakallah haya ndo mambo watu wanafaa kufundishwa Allah subhanallahu wa taala abariki haya si wale wanaochukua muda wao kutangaza ushirikina
@selmesalim2982 ай бұрын
Mashaallah mwalim wetu nimefarijika Allah akulipe kheri
@Masjidfirdous-onlinetv2 ай бұрын
Amiyn
@MwanaishaMwageleАй бұрын
Mashaallah tabarakaallah ustadhi kwa elimu yenye na mafunzo mungu akujalie Kheri.inshallah
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
Amyn
@saidakiwale92272 ай бұрын
Mashaallah shekh wetu Allah Akulipe kwa darsa Zurich sana some tumelielew
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
Amiyn
@user-dl1ce3yr5dАй бұрын
Mashllh Allah akulinde ustadh uzid kutufahamisha
@noot-oe2mwАй бұрын
Mashaallah shukrani sana sheikh
@GGgh-dv8pdАй бұрын
Mashaa allahh
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
❤❤
@user-kl8bd7ml5mАй бұрын
Maashaallah mungu akupe umri mrefu AMINA.
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
Amiyn
@ramadhanisaidi5580Ай бұрын
MA SHAA ALLAH. Masfunzo mema sana.
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
Shukraan
@Maryam-zo2loАй бұрын
Amin
@myunaniniahmad64632 ай бұрын
Mashaaa الله
@Masjidfirdous-onlinetv2 ай бұрын
amiyn
@halimamfaume19252 ай бұрын
MashaAllah
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
Amiyn
@setiseti5281Ай бұрын
Maashaallah
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
Shukraan
@bakarkhamis224815 күн бұрын
Kuoga lazima utumie sabuni...vinginevyo ...umejipaka maji tu😅
@bakarkhamis224815 күн бұрын
Huo ni uchache wa kuosha maiti ...kwa nn kama maji yapo tusifanye kwa ukamilifu sheikh wetu? 11:40
@hassanWanjikuАй бұрын
Gloves yasaidia ngozi ya mwenye kuosha isigusane n maiti
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
Tunatarajia Kuwaletea kipindi maalumu ya ili kujibu maswali yenu yote kwa usahihi
@halimamghana2293Ай бұрын
Mbona umeanza na mkono wa kushoto?au unaanza tu mkono wowote???shekh
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
Hakuna ubaya lakini katika Sunna NI kutanguliza upande WA kulia kabla ya kushoto
@MwanauluHaruniАй бұрын
Sheikh katika huo wudhu vipi tunaanza upande wa kulia ama upande wowote?
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
Wowote hamna shida lakini Sunna NI kutanguliza upande WA kulia kabla ya kushoto
@chumaramadhani.7581Ай бұрын
Nini matumizi ya sabuni katika kuosha. Maana hapo haukutumika, je kuna usahihi juu ya hilo?.
@Masjidfirdous-onlinetvАй бұрын
Sabuni ina muhimu wake na ndio maana ikikosekana sabuni inapendekezwa kutumiwa majani ya mkunazi. Lakini zaid ninayakusanya maswali yenu nitayatengezea MADA kukujibuni kwa undani zaid