Hivi ndivyo anavyooshwa Maiti.Shkh Al hidhry

  Рет қаралды 36,874

Masjid Firdous Online Tv

2 ай бұрын

Angalia mwanzo mwisho anavyokishwa maiti ufaidike#ramadhaan #ramadhaan #mawaidha#kigamboni cheka##islamicvideo

Пікірлер: 39
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 2 ай бұрын
MAASHAALLAH HAYA NDIYO MAMBO WAISLAM TUNAYOYAHITAJI YANAYOTUFUNDISHA KUUFAHAMU UISLAMU WETU SIO KILA SIKU RADDI RADDI, TUMECHOKA NA UPUUZI WA RADDI ZISIZOTUELIMISHA KWA LOLOTE ZAIDI YA KUWAPA UMAARUFU WA KIDUNIA WALE WANAORADDIANA.
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 2 ай бұрын
Allah atuongoze.amin
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku Ай бұрын
Ila raddi kwa wazushi ni wajib sababu huu umma wa kuamrisha mema na kukataza maovu sababu hatutanyamaza wazushi wakipita mipaka
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
@@hassanWanjikuNdio Rasulullah alikuwa akilingania hivyo.Kwamba alikuwa anaenda kwa Makufari pale Makkah kisha anawaambia "NYIE WATU MAKKA,ACHE UKAFIR WACHAWI WASHIRIKINA WAKUBWA.Ndio njia hii sahihi za kukosoana katika Dini enh?
@Munalimaboi-um5iq
@Munalimaboi-um5iq Ай бұрын
Mashallah ustadhi umetufundisha n cc ambao atujui allah ziada ishallah akupe umri mrefu ili uweze kufundisha n wengine
@binkhatwab7691
@binkhatwab7691 Ай бұрын
Mashaallah mashaallah Allah abarik na atie kheri zake inshaallah.
@nusrasadick3516
@nusrasadick3516 2 ай бұрын
maashallah shukran sana shekhe kwa elimu adhim Allah akuongezee elimu na umri mrefu wenye manufaa inshaallah
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku Ай бұрын
Mashaallah tabarakallah haya ndo mambo watu wanafaa kufundishwa Allah subhanallahu wa taala abariki haya si wale wanaochukua muda wao kutangaza ushirikina
@selmesalim298
@selmesalim298 2 ай бұрын
Mashaallah mwalim wetu nimefarijika Allah akulipe kheri
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 2 ай бұрын
Amiyn
@MwanaishaMwagele
@MwanaishaMwagele Ай бұрын
Mashaallah tabarakaallah ustadhi kwa elimu yenye na mafunzo mungu akujalie Kheri.inshallah
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
Amyn
@saidakiwale9227
@saidakiwale9227 2 ай бұрын
Mashaallah shekh wetu Allah Akulipe kwa darsa Zurich sana some tumelielew
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
Amiyn
@user-dl1ce3yr5d
@user-dl1ce3yr5d Ай бұрын
Mashllh Allah akulinde ustadh uzid kutufahamisha
@noot-oe2mw
@noot-oe2mw Ай бұрын
Mashaallah shukrani sana sheikh
@GGgh-dv8pd
@GGgh-dv8pd Ай бұрын
Mashaa allahh
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
❤❤
@user-kl8bd7ml5m
@user-kl8bd7ml5m Ай бұрын
Maashaallah mungu akupe umri mrefu AMINA.
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
Amiyn
@ramadhanisaidi5580
@ramadhanisaidi5580 Ай бұрын
MA SHAA ALLAH. Masfunzo mema sana.
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
Shukraan
@Maryam-zo2lo
@Maryam-zo2lo Ай бұрын
Amin
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 2 ай бұрын
Mashaaa الله
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 2 ай бұрын
amiyn
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 2 ай бұрын
MashaAllah
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
Amiyn
@setiseti5281
@setiseti5281 Ай бұрын
Maashaallah
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
Shukraan
@bakarkhamis2248
@bakarkhamis2248 15 күн бұрын
Kuoga lazima utumie sabuni...vinginevyo ...umejipaka maji tu😅
@bakarkhamis2248
@bakarkhamis2248 15 күн бұрын
Huo ni uchache wa kuosha maiti ...kwa nn kama maji yapo tusifanye kwa ukamilifu sheikh wetu? 11:40
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku Ай бұрын
Gloves yasaidia ngozi ya mwenye kuosha isigusane n maiti
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
Tunatarajia Kuwaletea kipindi maalumu ya ili kujibu maswali yenu yote kwa usahihi
@halimamghana2293
@halimamghana2293 Ай бұрын
Mbona umeanza na mkono wa kushoto?au unaanza tu mkono wowote???shekh
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
Hakuna ubaya lakini katika Sunna NI kutanguliza upande WA kulia kabla ya kushoto
@MwanauluHaruni
@MwanauluHaruni Ай бұрын
Sheikh katika huo wudhu vipi tunaanza upande wa kulia ama upande wowote?
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
Wowote hamna shida lakini Sunna NI kutanguliza upande WA kulia kabla ya kushoto
@chumaramadhani.7581
@chumaramadhani.7581 Ай бұрын
Nini matumizi ya sabuni katika kuosha. Maana hapo haukutumika, je kuna usahihi juu ya hilo?.
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Ай бұрын
Sabuni ina muhimu wake na ndio maana ikikosekana sabuni inapendekezwa kutumiwa majani ya mkunazi. Lakini zaid ninayakusanya maswali yenu nitayatengezea MADA kukujibuni kwa undani zaid
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 180 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 14 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 102 МЛН
ToRung short film: i sell watermelon🍉
0:38
ToRung
Рет қаралды 22 МЛН
ПИЩЕВОЙ ВАНДАЛ НАКАЗАН
0:20
МАКАРОН
Рет қаралды 2,3 МЛН
Старший брат хотел ее защитить 😭🥺😱 #shorts
0:37
КЕПКА КОМАРОВ
0:16
KINO KAIF
Рет қаралды 7 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
0:21
FASH
Рет қаралды 16 МЛН
Would you recognize your soul mate by smell?
0:14
Den Done It
Рет қаралды 19 МЛН