Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote. #Habari #Zanzibar #KtvTzOnline Follow Ktv Tz Online Facebook | KTV TZ ONLINE INSTAGRAM |@ktv_tz_online cc: Sadia Rashid cc: Masoud Maganga
Пікірлер: 106
@khadijambarouk29835 жыл бұрын
Tatizo sio madaktari Bali serikali ajira hawatoi Kuna watu kibao wamemaliza kusoma hawawapi ajira mpk uwe na kadi ya CCM utasema hicho Chama ndio kilichokusomesha
@nureyna6295 жыл бұрын
Mtihani, Allah ampe nguvu aweze kufanya kazi zake kwa ufasaha,
@rajabkheir89985 жыл бұрын
Daktar mmoja vituo viwili....bado anaonekana sio mzalendo....baba sheni tuanze wilaya mbili dc mmoja.....alafu no usafiri twende sawa
@aliissa66325 жыл бұрын
Haiwezakani kabisa wakati yuko na familia yake huwezi kumwambia mtu lala sehemu fulani wakati kuna shifti basi hakuna kosa
@burhanisaidi98115 жыл бұрын
Siasa na udocta ni vitu viwili tofauti! Kama mkuu wa wilaya una imani na wananchi bas umuajiri daktari mwwngine sio kuleta siasa.
@aishaomar43185 жыл бұрын
Kabisa kaka 👍
@hamudseif5 жыл бұрын
Yan hiyo ndio athar ya kuwapa uongoz wanawake na watu wajinga
@omarjumanne44715 жыл бұрын
Mkuu wa wilaya. Una gari mtaalam hana gari maajabu hayo siasa mbere
@omarjumanne44715 жыл бұрын
Uajiri wa kiujomba ujomba hill pia tatizo kwa Zanzibar
@hajiabdalla57725 жыл бұрын
Nyote washenz . Huyo jimama yeye mwenyewe hafanyi kazi . Na kama kaowa au kaolewa .itakuwaje . Wapeni nyumba waje wakae pamoja na familia yao
@AliAli-xi3hu5 жыл бұрын
Asiende mazikoni wala asiwe karibu na familia yake? Wekeni madaktari watatu wawe wanapumzishana Lkn Daktari mmoja vituo viwili hii Sio haki
@alhamdulillah57965 жыл бұрын
MashaaAllah mana mm namuangalia huyo bibi kiongozi alivyokua mnene. Yy mwenyewe hata anaeza kufanya kazi au anamsisitiza mwenziwe kuacha kazi tu?
@shamsahaji62025 жыл бұрын
Hahaha umeona ee anahitaji kujiangalia mwenyewe kwanza
@mainaabuu89315 жыл бұрын
Mungu awape taufiq wawexe kutekeleza majukumu yao ipasavo
@w40582 жыл бұрын
Bora hata nisikomet chochote mshenzi tuu huyu mku wa nini sijui
@iqbalmuhamed44205 жыл бұрын
Musimlaumu daktari kwasababu daktari mmoja mnampangia sehemu mbili wakati kutoa ajira mnashindwa na daktari wapo wengi tu ss mtu gani anakae fanya kazi spitali mbili na apate mda gani wa kukaa na familia yake
@hebbyommy93555 жыл бұрын
True,,
@SA-xj8hc5 жыл бұрын
Kazi nzuri bi Hamida Kamishna , lakini serikali iwape pembejeo wafanyakazi kama usafiri nk. Pia wafanyakazi tubadilike “service to man means service to god”
@aishaomar43185 жыл бұрын
Na daktari m1 spitali 2 halafu alale apoapo akirokea mgonjwa usiku amuhudumie jamani na nyinyi mumfikirie
@MohamedMohamed-fz5qh5 жыл бұрын
Hawa wanasiasa akili zao wanazijua wenyewe
@omarjumanne44715 жыл бұрын
Gari wanapewa wanasiasa wataalamu. Hawasaminiwi
@mohdjuma70315 жыл бұрын
Wanafunzi WA Zanzibar school of health nakuoneni muhajir,MKUBWa na wengineo
@samsungjsevenprime57175 жыл бұрын
Ktv tz online hakika hii ni Fahari yetu 👍
@abubakarmohammed59945 жыл бұрын
Huyo mkuu wa Wilaya yeye mwenyewe mgonjwa angalia hivo alivyo tumbo,ziwa, tako yote yamekaliana sehemu 1 hata hawezi kumaintain mwili wake...Ovyooooo
@mohdiddi77925 жыл бұрын
Uzalendo ni kufanya kazi kwenye mazingira magumu mbona nyinyi wanasiasa hamufanyi kazi kwenye mazingira magumu muna magari ya bei mishahara mizuri marupurupu tele
@MohamedMohamed-fz5qh5 жыл бұрын
Hawa akili zao wanazijua wenyewe
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
SHUKRAN KTV TZ online hakika hii ni FAHARI yetu
@hajiabdalla57725 жыл бұрын
Hata wao serekali wote wanaofanya kaz ni wavivu
@ibrahimame98055 ай бұрын
Hapa siasa 2 sio utendaji ccm oyee
@aminattai26765 ай бұрын
Yaani zanzibar usingizi ni mwingi sana,kiongozi ata kuongea hajui,mungu tusaidie usingizi zanzibar kiutendaji uondoke na pia viongozi wa zanzibar muache kuvaa vi suti vyenu vinavofana,kila mtu akishaitwa muheshimiwa basi vile visuti kama mesenja,haijuilakani dereva nani haijuilikani usalama nani haijuilikani waziri au muwakilishi au mbunge kutoka zanzibar ni nani,badilikeni kwenye mavazi.
@makamemufadhil6275 жыл бұрын
Musituzingue Zanzibar kuna jaa uozaa eti hospitali kama huna mwenyeji huduma hupati ipasavyoo
@RashidAli-rn3ro5 жыл бұрын
Hamna jipya hvi madaktari hawapo wakaajiriwa mpka dokta mmoja vituo 10? Lkn pia maslah ya smz ni mabovu wafanyakazi hawapewi motisha lazima watoke iman na nchi yao bana
@EshaHamd-ed9yv5 ай бұрын
Kwanza hawa Madaktari umewaandalia Maandalizi ya makazi au ni kutaka sifa Kwa watu Sasa hao Madaktari hata usafiri hawana mumewakusudia Nini Kituo kipo lakini Kwa kutoa huduma itakuwa ngumu wapeni usafiri wa uhakika ili wawahi kazini mapema la sihivyo mutapepeya miku tu
@omarjumanne44715 жыл бұрын
Zanzibar siasa nyingi Hanna kitu
@mohammedmnyimbi3688 Жыл бұрын
Viongozi lazima watambue Sheria za kazi.ili kituo kiwe Cha masaa 24 na idadi ya wafanyakazi Ni miongoni mwa sifa ,mfanyakazi kwa siku anatakiwa afanye kazi kw masaa nane na nusu na apate siku mbili za off km unataka ake kituoni masaa 24 huo Ni muda wa ziada haumlazimu km hataki. Km viongozi mnahisi Kuna umuhimu mlipeni over time.msiwanyanyase.
@ashuashu38435 жыл бұрын
Ndio mambo ya dunia(dunia duara Jambo la muhimu ni busara na uvumilivu na ushirikiano.
@iqbalmuhamed44205 жыл бұрын
Sheria na huruma musijifanye wakuu kisha mkaongea tu
@ibrahimame98055 ай бұрын
Daftari l a Kudumu twalinunua mamilion daktari mahospitalin i hamna miaka 60 mapinduziiiiii hahahaaa
@adillhabib20065 жыл бұрын
Kwa mshahara gan
@BESTTV1LIVE5 жыл бұрын
Mumepa usafiri wa kutoka huko porini kwenda sehemu nyingine?
@aishaomar43185 жыл бұрын
Muajiri madaktari wengi lkn sio daktari m1.wapo kibao wamemaliza kusomea waajirini na wengine zaidi
@jumailyass93085 жыл бұрын
Uzalendo hauji na njaa
@mohamed.hassani99175 жыл бұрын
Wapeni usafiri wa magari ,magari yote mnaendesha nyinyi wanasiasa ,Udaktari ni kujitolea boresheni huduma vile vile wajihisi kama wako town.
@sulymansalymaly38595 жыл бұрын
Nyinyi kazi zenu siasa chafu tu rekebisheni sana hao madaktar uchwara na wauguzi wenu uchwara wana dharau sana hawajui wajibu wao unakuta mtu anasomea unesi au udaktari halaf hatak kuwahudumia sasa kma huwez kuhudu kasomee mambo mengine kwann ujitie huko pumbavu zao aanzeni hosptl kubwa nazo ujinga mtupu
@familylove54175 жыл бұрын
Mmh wallah wazungu wanaweza kwenda peponi wote
@salehhamadi60705 жыл бұрын
Why
@hajiharoub81255 жыл бұрын
Hizo hisia zako zinakudanganya
@tanitani33875 жыл бұрын
KTV online hakika hii ni fahari yetu.
@EshaHamd-ed9yv5 ай бұрын
Hawa tatizo wanaajiri watoto wenu vyeti hawana huna lolote wewe Mkuu wa Wilaya Wewe mwenyewe hufanyi uadilifu
@captain_kharus47845 жыл бұрын
Madactar wangapi wapo majumbani bila ya ajira
@ibrahimmpemba87795 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 viongozi wetu hawa eeeeh. Sasa masaa ya kazi ya daktari yakoje? Mkuu wa Wilaya au mkuu wa vilaza?
@ameeranassor16195 жыл бұрын
Mmewapa usafiri? Eti daktari anapanda daladala au boda boda😂😂😂😂😂 Motû kishasoma miaka zaidi mitano Tena Mara nyingi huwa nje ya nihilism halafu muwaweke kwenye mabanda ya mbuzi,Kituo cha kutoa huduma masa 24 kilo wapi wakati umeme unazimwa Kama unavyozimwa kutwa.Hakuna cha uzalendo mnatakiwa muwajali wafanyakazi wenu ikiwa daktari aache maisha hake ahamie eneo la kazi basi wawekeeni mazingira rafiki
@saidmohd50905 жыл бұрын
Tuuzieni hizo nyunba cc tunazitaka
@ahmeidyoung24105 жыл бұрын
Safi sana mkuu wa mkoa
@syedsaad84492 жыл бұрын
Wameonewa wapo huru Umuhimu ni kazi nzuri tu daktari hafukuzwi??
@alyhamad46875 жыл бұрын
serikali iengeze wafanyakazi wenye uzalendo
@magibomwita81345 жыл бұрын
Dah hatari sana kwa nchi zetu maana daktari mmoja awezi kuhudum sehemu mbili
@thaniyasuleimansimai54864 жыл бұрын
Kufa.nya kazi kwa mazoea ndio sababu inayopelekea haya.ukijumlisha na dharau kama mnazi mmoja anofunguwa chumba cha ultrasound ni mtu mmoja tu na funguo anaondoka nayo usiku likitokezea tatizo anasema mie siji saivi uko.... yani 😢 mtihani kwa kweli Na wakati kapangiwa zamu yake awepo mda ule lakini ikisha hachukuliwi hatua yoyote. Wewe unaenda zikwa yamekwisha.
@ibnually74285 жыл бұрын
Nyumba ziko vizuri lakin zinaonekana hazikaliwi na mtu Pia zinahitaji maboresho kidogo
@shankalimauno57865 жыл бұрын
duuuu. kweli hapo si unakufa unajiona
@imamnassor30385 жыл бұрын
endeleeni tu hao ni ccm mbele kwa mbele
@nassornasser37335 жыл бұрын
Serikali yenyewe ya kizalimu washanzi nyii
@salmajadi92245 жыл бұрын
Na hawafanyi kazi kwaupendo daktar anatakiwa awe na upendo wakufanya kazi
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
dah
@user-ri8iw3we7l5 жыл бұрын
Muda wa kura umefika sheria na huruma kwan serekali imeaji daktar mmoja tu musiwe wachoyo wa fadhila kosa dogo tu habar mitandaon
@saidmohd50905 жыл бұрын
Kinacho takiwa kifanyike hizo nyumba Kama madocta hawazitaki kukaa zipijwe mnada cc tunazitaka
@hebbyommy93555 жыл бұрын
Ha ha ha haaaaaaaa
@kibojewee27105 жыл бұрын
Hata mimi nazitaka🤣🤣🤣
@amnemkubwa73535 жыл бұрын
😁😁😁😁😀
@omarkhamis63355 жыл бұрын
siasa mbele mama usiwe nanyodo kiasihicho
@adillhabib20065 жыл бұрын
Ajirini watu na ww mkuu wa wilaya acha kaz
@sharifabdul60855 жыл бұрын
Safi sana mkuu,ni mtihani kweli kuona mtu anatetea uzembe wa namna hii,hapa tunazungumzia afya ambayo ni maisha ya watu,lazima watu wawajibike,maana ktk kiapo ulikubali sasa kama huwezi ni bora kuacha sio kusema hufanyi then unapewa mshahara
@samsungjsevenprime57175 жыл бұрын
Ni vzr wakiwepo madoctar kuanzia 4 waweze kuingia kwa kupishana asiwepo mmoja itakuwa usumbufu kwa wagonjwa na kwa huyo Doctar
@adillhabib20065 жыл бұрын
Hamnalolote mshaishiwa
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
Hospital manug'uniko police na hao popo bawa viringo majini wabakaji manug'uniko kilakitu👎😠👉😂😂😂😂yatatibiwa mavi ya mbuzi.Watumbue majipu yaki toka damu usaha alimradi yasha tumbuliwa👌
Mwambie tu huna kazi kuanzia Leo na sio aandike barua
@MohamedMohamed-fz5qh5 жыл бұрын
Hawezi kumwambia kwa sababu anajua huwezi kumpanga mfanyakazi mmoja katika vituo viwili (kisheria).
@khamisijuma48425 жыл бұрын
Tatizo wazanzibari tunafanya mabo kwa muhali maana ktk hospital yetu kuuu unapo kwenda usiku Mara unaambiwa daktari ametoka
@fifo2625 жыл бұрын
Muongeze kuwaajiri watu wapooo
@ismailmashimba34705 жыл бұрын
Viongozi wa Zanzibar hawawezi kutumbua majitu
@adillhabib20065 жыл бұрын
Msiyatumie madaraka kimabavu
@nureyna6295 жыл бұрын
Apo cha kufanyika ni kuweka mazingira Sawa hapo anapoishi Daktari atakaa tu, lkn km mazingira hayo binafc sikai, chwaka huko heeeeh,
@shamsahaji62025 жыл бұрын
👀
@adillhabib20065 жыл бұрын
Munaachisha kaz wasomi
@kibojewee27105 жыл бұрын
Niuzieni mimi hiyo hospitali
@zayyatiyussuf95665 жыл бұрын
Naomba uniajili naahadi nitakua 💪
@hamudseif5 жыл бұрын
Siasa nyingi, ajir madaktari ww wachen siasa
@ahmadrashid8155 жыл бұрын
Wanasiasa huu wanaoufanya kwa watoa tiba wetu ni uhuni kabisa huwez kumpa daktar vituo viwili halaf unataka apige kazi masaa 24 Tuache siasa kwenye taaluma tusizozijua Tuache wenye taaluma wafanye kazi kwa taaluma zai na sio kwa matashi ya wanasiasa
@umiy19715 жыл бұрын
kila anaeongelea uzalendo hapa basi aujue na maana , nyie mshawahi kuuguliwa na familia ikawa huna muuguzi karibu ? au kwa kuwa hayajawafika ? ushawahi kupoteza mpendwa wako kwa uzembe wa dakitari kutokuwa kazini ? ukipewa jukumu aidha likatae kuwa huliwezi au litekeleze ipasavyo , mna maana gani mkisema ana familia yake atalalaje mbali ?? kwani wale alopangiwa kuwahudumia sio binaadamu ?? si analipwa ? na kama kulikuwa na malalamiko si ayapeleke kunako husika ??
@salummbaruok94085 жыл бұрын
Humo kwenye nyumba huduma muhimu zipo lkn? Isijekuwa choo kibovu, maji hamna, n.k
@bindawood9785 жыл бұрын
Ugatuzi,changamoto na majensi kiswahili chei chei.
@riphatmuhene96155 жыл бұрын
Ovyoooo
@ismailjuma36925 жыл бұрын
Ajirini wengine basiii
@khamisbakar76375 жыл бұрын
umempiga chura teke kwa mshahara gani si bora ukauze dagaa hupangiwi mda
@jumailyass93085 жыл бұрын
Ongezeni maslah na sio kuwadhalilisha mtu mmoja hawezi kufanya kazi 24hrs,ktk dunia hiii hakuna inchi inafanya hivyo mnatudhalilisha kwa kuwa hatuna pakwenda, kirahisi tu tuache kazi sidhani Kama Dr shein kawaagiza kufanya hivyo
@ahmadrashid8155 жыл бұрын
Mkuu on call unaijua kwel au unatamka tuu 🤤🤤🤤 nyumba tupu haikai mtu 🤤🤤🤤🤤 On call mnawalipa allowance zao ????
@jumamwadhini60665 жыл бұрын
kwani dokta wahicho kitengo yupo peke yake
@mariamdjae98255 жыл бұрын
Huwo ni unyanyasaji kwa raiya, halafu wasingiziw serikali na imewaajiri na wanalipwa mshahara kamili kwa mujibu kwa mujibu wanavyotakikana wafanye kazi, ukichunguza muhishimiwa wanafanya kazi kwenye private. Sasa serikali ichukue hatua kwenye private hospital lazima wajue list za madakrari na nursy wanofanya kazi dipo mtapowapata wote wanao dhalilisha wagonjwa, pia hospital wizara ya afya lazima wawawekee madaktari kusayni time shift kwa kila kituo anacho ingia na kutoka sio wakilipwa pesa za bure na hawatoi huduma kwa raiya. Serikali haitoshindwa kuwekwa computer kwa kila kituo kwa ajili ya hao madakrari na wafanyakazi kusayni wananapoingia na kutoka.
@MohamedMohamed-fz5qh5 жыл бұрын
Wewe huyajui, wanafunzi tu wanaotakiwa kufundishwa kwa hizo computer basi unapita skuli hamna hata computer moja.
@mtumwasamaki69115 жыл бұрын
Ali Issa nyumba zipo kwani wamekatazwa kuishi na familia zao ? Kama hawakukatazwa muhimu walale kwa kuhudumia wananchi
@princeganji27795 жыл бұрын
Wagonjwa kweli nyie
@hbomy9745 жыл бұрын
Langu jicho to
@ahmadashaury67825 жыл бұрын
Xx kimtizamo doctor yupo sehemu 2 jmn uyo mtu atafany nn jmn
@rasanxavi68995 жыл бұрын
Ujinga tuu, hizo zinazoongelewa zote ni Pumba tuu.... Wamekaa kama hawana akilj