No video

Hofu imeibuka Lodwar kufuatia mzozo kati ya polisi na maafisa KDF

  Рет қаралды 241,367

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Hofu imeibuka eneo la Lodwar kaunti ya Turkana kufuatia mzozo kati ya maafisa wa polisi na wenzao wa kijeshi. Hii ni baada ya maafisa wa jeshi kudaiwa kumshambulia na kumpiga afisa wa polisi siku tano zilizopita. Sasa wito umetolewa kwa mawaziri wa usalama na ulinzi kuingilia kati swala hili.

Пікірлер: 307
@user-go3cg3th5k
@user-go3cg3th5k 3 ай бұрын
Polisi ndo wakona kiburi Sana hongera kdf good bless you kabisa
@rashidrama1477
@rashidrama1477 3 ай бұрын
Wazi mkuu😂😂😂
@chepkwonyisaac1396
@chepkwonyisaac1396 3 ай бұрын
Police ndio hawana discipline wanajeshi wako sawa hawa wameskiza upande moja tu wa police hawaja skiza kdf but I'm very sure police mwenye alikua roadblock ndio alikua na shida na kdf because huyo driver wa kdf huwa hawasimami njiani, so please citizen tv mtupatie pia side ya kdf tuwaskie wana yapi yakusema?
@willyofaya2074
@willyofaya2074 3 ай бұрын
Ni sawa hao polisi kupewa kichapo na kdf ....hapo hakuna kesi ....hio iliiisha hio kesi ni kutuziba macho wataongeleashwa na watu waendeleee na biashara zao
@briankariuki9259
@briankariuki9259 3 ай бұрын
Polisi wengi wana kiburi na huhangaisha waKenya kila waendapo: hizo hongo hadi kina OCPD, OCS na majaji huzitafuna pamoja. KDF kwa kweli wanadharau hawa kwa hizo tabia dhaifu. Dunia mviringo, endapo, wamepatana na hao polisi wamejua KDF sio keki. Hongera kwa polisi wanaoifanya kazi nzuri ipasavyo.
@lucymwai7645
@lucymwai7645 3 ай бұрын
Police walikua wanataka hongo
@domin842
@domin842 3 ай бұрын
Kazi ni kuchukua hongo tu
@Petergichigi
@Petergichigi 3 ай бұрын
Hongera Kwa wanajeshi😅muongezewe mshahara good work
@johnbodo2972
@johnbodo2972 3 ай бұрын
Ile siku kdf watafanya operation kwenu hapo ndio utajua chenye inazuia kdf ni order. Wanaua raia kama ndege ngojea
@janeichai2701
@janeichai2701 3 ай бұрын
Walikua wanataka kitu kindogo as usual
@georgebadia6830
@georgebadia6830 3 ай бұрын
Mwenye hajawahi ona Vita huongea Kama wewe, Police follow rules of law that's the restraint Kama hawangefuata Sheria ingekuaje ?
@rashidrama1477
@rashidrama1477 3 ай бұрын
Ingekuaje kivipi kwn police anaeza piga KDF?
@georgebadia6830
@georgebadia6830 3 ай бұрын
@@rashidrama1477 these people carry the same gun undergo the same vigorous military training the difference is only the roles, and Law and international statutes which restrain them, look at the country like Sudan the war was between which groups, let's be careful if things can go south it will be dangerous
@user-gr8bd2vi1h
@user-gr8bd2vi1h 3 ай бұрын
Hao askari wawe na heshima,stop mistreating our soldiers
@m.k9882
@m.k9882 3 ай бұрын
Kazi nzuri hio..lazima men in blue wajue nani ndio kusema😂😂😂
@Bhokesandriends_Urbankids
@Bhokesandriends_Urbankids 3 ай бұрын
Sasa nani ndio kusema...inaisaidia aje nchi...huo ni utoto
@donmushiri
@donmushiri 3 ай бұрын
Thanks to our soldiers. Respect kdf manugu!
@giftedsulwe.
@giftedsulwe. 3 ай бұрын
Kwani Leo ndio hii video imekua news Kwa citizen na niliona jana ikitrend mtandaoni.KDF bravoo!!!
@vincentnyabuto4605
@vincentnyabuto4605 3 ай бұрын
Hongera Kwa wanajeshi 😂😂muongezewe mshahara good work🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@fourtwenty3526
@fourtwenty3526 3 ай бұрын
Maafisa wa Polisi wanafaa kupigia saluti Jeshi 💯
@wabwirewakuloba5608
@wabwirewakuloba5608 3 ай бұрын
Bila kubishana piga saluti kama asenali ikipigia mancity saluti😂
@leskorsucre
@leskorsucre 3 ай бұрын
I stand with KDF.
@jamessila3219
@jamessila3219 3 ай бұрын
Akiliyako nimeiona
@leskorsucre
@leskorsucre 3 ай бұрын
@@jamessila3219 wapi😁
@rashidrama1477
@rashidrama1477 3 ай бұрын
Me too
@rugendorunene545
@rugendorunene545 3 ай бұрын
Being KDF does not Mean Not to Respect the Rule of Law.
@Daniel-fm8ke
@Daniel-fm8ke 3 ай бұрын
Hakuna Mahali utawahi sikia military imewekewa road block.Magari ya jeshi yanajulikana kwani polisi mwenyewe ni mgeni?
@janeichai2701
@janeichai2701 3 ай бұрын
Labda WA jua kali
@georgebadia6830
@georgebadia6830 3 ай бұрын
People will never appreciate Police I don't know why?
@antonymungaiku1645
@antonymungaiku1645 3 ай бұрын
Which country am I in? 😢
@davidmwata2295
@davidmwata2295 3 ай бұрын
Alikuwa anataka za chai
@Lafta_Rapkey
@Lafta_Rapkey 3 ай бұрын
Because it's a rotten department​@@georgebadia6830
@evansowuor8628
@evansowuor8628 3 ай бұрын
Huyo polisi ana ujinga sana. Anawekea KDF road block!!. Walifanya vizuri sana kumchapa huyo polisi
@chaileeportraits
@chaileeportraits 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Nmeshangaa wanablock kdf
@patrickouma7501
@patrickouma7501 3 ай бұрын
I look at the comments and summarily give kudos to kdf officers
@wybzokizzy4416
@wybzokizzy4416 3 ай бұрын
Polisi wapigwe kabisaa waskie vile huwa tunaskia wakituwekelea vitu hatujafanya
@chaileeportraits
@chaileeportraits 3 ай бұрын
Wallahy tena
@user-yh1mi5qi4k
@user-yh1mi5qi4k 3 ай бұрын
Polisi ni watu wasumbufu sana na hizo D na E zao. Who blocks a military vehicle in an operational area an area where the same police couldnt maintain law and order reason they had to call KDF who are protecting us from Alshaabab, to protect them as they protect the people of Lodwar. We stand with our KDF any day. They are not corrupt and hideous like the kenya police. Kenyans know you and never expect Kenyans to side with the police, we meet them every day, kazi yao ni hogo and killing innocent civilians. Watu wa tumbo kubwa na akili hakuna. Muachane na warriors wetu KDF, tunawapenda tena sana. All the best KDF, we love you and you make us proud as Kenyans and we see why we pay you using our taxes. Police are just crooks in uniform and ŵith the right to carry guns and a cofa.
@destroyerarmor2846
@destroyerarmor2846 3 ай бұрын
Mwafrika soma na uelewe Sheria. Kenya sio Uganda
@jullostephen9090
@jullostephen9090 3 ай бұрын
Uko na kasoro upstairs
@pro-Russia
@pro-Russia 3 ай бұрын
Wakenya ni vichwa ngumu sana na lazima wafinywe kidogo ndio uwakumbushe maneno ya sheria 😂 hio maneno ya hongo huwa inaenezwa na wakenya wenyewe, mtu akishikwa unaskia akisema Wacha tuongee afande😅😅
@Buelli3
@Buelli3 3 ай бұрын
KDF fanya kazi kabisa ... Hawa polisi kazi ni kulala na kula na bandit
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 3 ай бұрын
How can you block a KDF track and insist on inspection, I thought that's the work of military police, those policemen were jinga kabisa
@donaldingwela7190
@donaldingwela7190 3 ай бұрын
Polisi husumbua watu barabarani, truth be told.
@edwardbayo3326
@edwardbayo3326 3 ай бұрын
Big Up KDF, polisi wengi Wana upuzi
@kennedyariembi5545
@kennedyariembi5545 3 ай бұрын
KDF vehicles are well known,why block them???
@hillaryngeno310
@hillaryngeno310 3 ай бұрын
Polisi respect kdf
@edwingichobi1657
@edwingichobi1657 3 ай бұрын
Elewa sheria vizuri kabla ya kupanua mdomo.Nguvu ya wanajeshi huisha nje ya gate za kambi zao.Huko nje hufuata sheria ya wananchi ambayo huimizwa na kulindwa na polisi.
@hillaryngeno310
@hillaryngeno310 3 ай бұрын
@@edwingichobi1657 thank you very much sisi hatuchui mambo ya Sheria lkn nimejifinxa kitu bro👍
@luciamusyimi9975
@luciamusyimi9975 3 ай бұрын
Yeah sure
@hillaryngeno310
@hillaryngeno310 3 ай бұрын
@@luciamusyimi9975 kdf forever, polisi waheshimu kdf
@Stevethewanderer
@Stevethewanderer 3 ай бұрын
I stand with the Kdf.
@jmmtm
@jmmtm 3 ай бұрын
Polisi walifanya makosa, tangu lini Lori ya jeshi ikawekewa kizuizi isipite. Polisi huyo anafaa kujua alikosea yeye Dio chanzo cha hio Mambo.
@EZZYSHOW
@EZZYSHOW 3 ай бұрын
Military vehicles are never ever detained at any check point have worked in military outside country for years
@Dfre1328..
@Dfre1328.. 3 ай бұрын
I'm sure huyo karao alikuwa kwa roadblock alidai kitu kidogo ndio afungue hio roadblock😂😂
@PreciousPreciousangela
@PreciousPreciousangela 3 ай бұрын
Police wanafaa kichapo cha mbwa good job to our kdf 🫡🫡
@Bragga664
@Bragga664 3 ай бұрын
Kwani citizen ndo mmejua Leo, seems you are are outdated. Hongera KDF. Polisi hawana heshima
@davidmaya5342
@davidmaya5342 3 ай бұрын
dont joke with kdf
@deceptionpointcheck2715
@deceptionpointcheck2715 3 ай бұрын
Mmewahi ona kdf wakichungua hango. KDF must be respected for their discipline
@estheranneclea4064
@estheranneclea4064 3 ай бұрын
KDF nawapenda sana❤ ukichokoza nyuki atauma hadi nywele 😂
@Liveforhealthq
@Liveforhealthq 3 ай бұрын
Indiscipline in Ruto’s govt from top down
@temane1963
@temane1963 3 ай бұрын
Those are soldiers we don't expect them to be soft . putting them on handcuffs is embarrassing and interdicting them is even unthinkable..let us not practice double standard we love kdf.
@rashidrama1477
@rashidrama1477 3 ай бұрын
Hakuna cku ata moja ntashabikia police blue nachojua mm kdf ndio kusema
@kimitimwaniki-ml3ey
@kimitimwaniki-ml3ey 3 ай бұрын
2 brothers are fighting one another u support one aganist the other .kaeni na amani left hand cutting the right hand makes no sense at all❤
@katrinaemy5277
@katrinaemy5277 3 ай бұрын
I blame the police those guys don't think straight....! Mbona wafungie military n government vehicles road block?!?!
@stevenkimani4976
@stevenkimani4976 3 ай бұрын
😂😂😂😂 wacha KDF watarudi badae
@stephenkoitalel7290
@stephenkoitalel7290 3 ай бұрын
I hope you see what they did to likoni jana😅😅😂
@josiahnyapicha
@josiahnyapicha 3 ай бұрын
What if there were rashing to recure someone's life somewhere? Huyo kdf alifanya kazi mzuri sana kwa huyo ofisa.
@mitchlusina1162
@mitchlusina1162 3 ай бұрын
Wote wako na shida, kila mtu anataka kuonyesha ako na nguvu
@dennowderullow1118
@dennowderullow1118 3 ай бұрын
Police ndio alikataa kutoa buria/road block KDF wapite ikabid washuke b4 niendelee gar ya jeshi haina baria yaingia au kupita popote apart from kwamba huyo police knew well ilkua kdf's vehicle(for your information tutanyorosha police mpaka washike adabu)kama kwel niwanaume watkujie barracks coz sis tutawachapa in every road block its unless wakituona watoroke na waende kabisa shenz type
@JulixYung-kw2tr
@JulixYung-kw2tr 3 ай бұрын
I am teling it ls the same behaviour in High school taken to security oficers. Where one school think is superior than the other. Madharau
@user-ir4jj1ct2c
@user-ir4jj1ct2c 3 ай бұрын
Congratulations to the KDF
@JosephMacharia-wq4ps
@JosephMacharia-wq4ps 3 ай бұрын
Hongera jeshi letu wakomeshe hawa polisi kuchukua hongo
@omaromy3056
@omaromy3056 3 ай бұрын
We stand with KDF
@BrightonSimiyu-qr4hz
@BrightonSimiyu-qr4hz 3 ай бұрын
Bravo kdf heshimu jeshi
@Lashymreal96
@Lashymreal96 3 ай бұрын
Discipline Discipline ni kitu kizuri mwisho watauwana
@methuselahlagat3469
@methuselahlagat3469 3 ай бұрын
Good job wanajeshi. Finya hawa watu
@MohamedAli-jh3kb
@MohamedAli-jh3kb 3 ай бұрын
Stop wasting bullets..we are paying taxes.Waeke tu bunduki kando wapigane😂 na respect itadumu.
@user-vu7bl9oh8o
@user-vu7bl9oh8o 3 ай бұрын
Adan Dwale take action and transfer all those officers from those places. Otherwise sirikal ni moja. Please respect one another.
@hakeemahmed2874
@hakeemahmed2874 3 ай бұрын
Duale has no power to transfer soldiers Military is more organized than the police. They have their own systems and everything.
@davidmuiga4248
@davidmuiga4248 3 ай бұрын
Especially kdf
@RickyEric958
@RickyEric958 3 ай бұрын
​@@hakeemahmed2874😂😅has no power but transfers already underway. Kimewaramba, don't joke with military.
@pro-Russia
@pro-Russia 3 ай бұрын
​@@RickyEric958the soldiers ndio watapata tabu juu assaulting a police officer ni offence, hao majamaa hata sidhani wako job saa hii
@martinmoogi
@martinmoogi 3 ай бұрын
Polisi wa sasa, shame on you ig koome
@mkadinali_17
@mkadinali_17 3 ай бұрын
We don't complain 😌 no matter what happens. Long live kdf
@RAINERMovers
@RAINERMovers 3 ай бұрын
You guys achenii na Hawa police wachapwee , police especially traffic police. Hiio kulagaii watu achaa wachapwee kabisaa kwanza awaaa wa Mombasa ferry and central and makupa 😢😢😢 KDF chapa hao watu kabisa
@annamativo1023
@annamativo1023 3 ай бұрын
😂😂
@livingstonewaithanje1286
@livingstonewaithanje1286 3 ай бұрын
Bna msiondoe na mnaona hao ni wakubwa wenu
@narkisomalit1187
@narkisomalit1187 3 ай бұрын
KDF wakosawa wanalinda inchi na awafayi kuwekewa rodblock
@stephenmusinga7538
@stephenmusinga7538 3 ай бұрын
I stand with KDF
@gideonmwangangi9151
@gideonmwangangi9151 3 ай бұрын
iyo dio ilikuwa siku ya kwanza ya polisi kuona gari la jeshi likipita katika hicho kizuizi ?
@Msemaukwelikweli
@Msemaukwelikweli 3 ай бұрын
KDF used to be a very disciplined force but this is what corruption does am.pretty sure if you investigate these KDF officers from their academic and how they entered into KDF it will not shock anyone....I will repeat again corruption is now destroying KDF
@antibiotic7238
@antibiotic7238 3 ай бұрын
Wewe ni msenge tu hujui kitu..Sikia story what happened and what has been happening
@antibiotic7238
@antibiotic7238 3 ай бұрын
Ulikosa job sasa you've never heal
@pro-Russia
@pro-Russia 3 ай бұрын
​@@antibiotic7238nimeenda Kwa Kambi za jeshi mingi sana, na hata huko Kuna barrier, hata Kama wewe ni askari huwezi ingia na silaha Kambi yao, hao wanajeshi wako na bahati sana juu kama wangepatana na wazimu, angewalipua hapo Kwa barrier na hakuna kitu angefanyiwa juu yeye ndio ako kazi hapo
@johngeorge4834
@johngeorge4834 3 ай бұрын
Polisi wanakuanga na ujinga sana,niaje unaeza bishana na Army officer....kdf ndio wanafanya mnapata amani huko lodwar
@user-yh1mi5qi4k
@user-yh1mi5qi4k 3 ай бұрын
You understand what goes in operational areas. The reason why kdf are in that location in the first place. Polisi walishindwa na kazi and they had to bring in kdf to help them do their work and now this. They silently do ask kdf for assistance wakivamiwa. KDF is the superior force, heshima idumu Abnormal Police (AP)
@pro-Russia
@pro-Russia 3 ай бұрын
​@@user-yh1mi5qi4khakuna kitu unajua wewe 🤣🤣 hii mipaka ni kazi ya jeshi, police hawafai kuwa huko, police anapigana na Al shabaab, OLF na Toposa na hio ni kazi ya jeshi, askari ndio anasaidia jeshi not the other way around 😂😂
@borntowinborntoshine698
@borntowinborntoshine698 3 ай бұрын
Nonsense huyo police kwani ni mjinga aje They have to respect KDF..
@walterongeri4531
@walterongeri4531 3 ай бұрын
Hiyo road block lazima utoe pesa ndio wafungue wako na madharau sana kdd nyonga mtu
@gayanmocha4276
@gayanmocha4276 3 ай бұрын
Upumbavu mkubwa...kwa nini gari la jeshi linaekewa kizuizi
@viralkenyan6249
@viralkenyan6249 3 ай бұрын
Tandikeni hao 50-bob collectors kabisa. 😂😂
@kelvinmwaura8109
@kelvinmwaura8109 3 ай бұрын
Wafanye tizi na KDF b4 waende kupigana na Nyangau za Haiti
@simonwanyiri8116
@simonwanyiri8116 3 ай бұрын
Polisi Ni raiyaa
@denismaungu5753
@denismaungu5753 3 ай бұрын
napongeza kdf police wako na ujiga sana juu ya kitu kidogo
@mosesngige3998
@mosesngige3998 3 ай бұрын
Kdf is a disciplined force sio such acts
@martinmwingirwa4117
@martinmwingirwa4117 3 ай бұрын
Heshimu kdf mafala nyinyi hongo tu ndo mnajua
@umarkihara
@umarkihara 3 ай бұрын
No policemen you should not joke with kdf plz
@robertokeyo2877
@robertokeyo2877 3 ай бұрын
Police wamejerewa kufika Haiti Sasa wanafanyia kdf mazoesi
@johngachugu305
@johngachugu305 3 ай бұрын
That's why there is a big difference between Police service and Defence Forces. KDF sio jokes.
@gamersnevercryever
@gamersnevercryever 3 ай бұрын
Askari chungeni jeshi sana - unajua jeshi inaeza sema polisi waende wote nyumbani na wataenda
@lucymwai7645
@lucymwai7645 3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@pro-Russia
@pro-Russia 3 ай бұрын
😂😂😂😂 wanasema kama nani?
@AbdifatahShire-tv9on
@AbdifatahShire-tv9on 3 ай бұрын
Wako na bahati siku join kdf kilasiku nigekua chapa polisi kumi kwa siku.
@juliasochieng5164
@juliasochieng5164 3 ай бұрын
Angefinya makende ya huyo police ndio wajue kdf Havana akili kama yao
@denojasega
@denojasega 3 ай бұрын
Polisi ni rayia,..they should respect kdf
@suldanshariff1398
@suldanshariff1398 3 ай бұрын
Blue 🔵 boys respect kdf
@alimasha-qh3vn
@alimasha-qh3vn 3 ай бұрын
Nyinyi raia wa lodwa ni washamba mnateteya hao mafisa wa pololise waliozoeya kuchukuwa hongo
@ORDHIS
@ORDHIS 3 ай бұрын
Pigananeni Iko Nini😂😂😂
@rajbrown25
@rajbrown25 3 ай бұрын
Sasa uta ekea Road block 🚧 military 🪖 kweli police 🚔 wana kichwa mbaya.
@RoyDaula
@RoyDaula 3 ай бұрын
Na kwa nini huyo police hakufungua njia
@Believingitright
@Believingitright 3 ай бұрын
Police and KDF both have equal shooting skills, when a live bullet is released it won't matter who pulled the trigger neither the victim of the shot. Both KDF and the Police deserve equal respect. KDF can't professionally hunt down urban city criminals as the police cant professionally hunt down jungle criminals, all in one mission to defend the lives of Kenyans. Now where's the stupid difference and superiority complex here? Nowhere does the constitution regard KDF higher than the Police. Both are live police. Both should respect each other equally. The police is taking care of KDF's kids and wife while he's in combat, fighting against internal crime. KDF takes care of the police kids and wife fighting against external crime at the borders.
@royjerry5479
@royjerry5479 3 ай бұрын
Police should know kdf are suffering day and night outside protecting the country out of terrorists ,Police hajui Gari la sirikali mbona anafunga barabara
@MoffatTurungi-hg2yv
@MoffatTurungi-hg2yv 3 ай бұрын
In this case Mr. Inspector General &Cs Mr. Kindiki should act immediately to solve the situation before getting worse.
@josephmuthami4710
@josephmuthami4710 3 ай бұрын
Why Elect road block to Military Trucks shame on you
@Vel42
@Vel42 3 ай бұрын
Mbona wanasimamisha KDF na walikuwa kazi?
@Vel42
@Vel42 3 ай бұрын
Hao wasimamishwe kazi mara moja
@johnstoneolefa913
@johnstoneolefa913 3 ай бұрын
Aliitishaushuru ya kiwanja kwa disciplined forces
@josephmuthami4710
@josephmuthami4710 3 ай бұрын
KDF don't be coward
@nyangwuodawuor-nf5eo
@nyangwuodawuor-nf5eo 3 ай бұрын
Askari apigwe tu
@Safari_Kenya_Official
@Safari_Kenya_Official 3 ай бұрын
Corrupted police respect KDF.
@chemicalengineer3391
@chemicalengineer3391 3 ай бұрын
Polisi lazima apige saluti
@ngilamosesmwangudza5695
@ngilamosesmwangudza5695 3 ай бұрын
Jeshi liheshimike hii inchi because what they go through to defend this country is not a joke,police Must bow to KDF
@meshackkisyula8196
@meshackkisyula8196 3 ай бұрын
Ile ujinga hiko Kenya wacha tu, Wakenya wenyewe ni kuropoka
@ShariffCharo
@ShariffCharo 3 ай бұрын
Masikar waache kibur kwa kdf
@kittony71
@kittony71 3 ай бұрын
huyo police man afungia kdf kwa nini ako na kiburi huyo
@vincentasava1529
@vincentasava1529 3 ай бұрын
Police wapewe adabu wanakiburi sana
@ZEDY5iVEZMEDIA
@ZEDY5iVEZMEDIA 3 ай бұрын
Nikama wanataka kitu kidogo ya barabara ju mostly wanaona kila gari 😅😅😅😅😅
@lucymwai7645
@lucymwai7645 3 ай бұрын
I support you 100%
@josephwairimu6222
@josephwairimu6222 3 ай бұрын
I stand with Kdf
@Gatharia797
@Gatharia797 3 ай бұрын
Ati romeo kachukuliwa
@bryanbrian409
@bryanbrian409 3 ай бұрын
Manze jo😂😂
@MartinezTimon
@MartinezTimon 3 ай бұрын
Congratulations kdf
@juliasochieng5164
@juliasochieng5164 3 ай бұрын
Ooh na hizo pikipiki zote inafanya nini station
Businessman Jimi Wanjigi arrested after surrendering to DCI
4:02
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 31 М.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 36 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 5 МЛН
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 7 МЛН
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 7 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН