Holy Trinity Studio - Tuiombee Miito Mitakatifu ( Official Music Video )

  Рет қаралды 770,109

HOLY TRINITY STUDIOS

HOLY TRINITY STUDIOS

5 жыл бұрын

WIMBO: TUIOMBEE MIITO MITAKATIFU
MTUNZI: A. J. MYONGA
AUDIO BY: MELLOW STUDIO
VIDEO BY: HOLY TRINITY STUDIOS

Пікірлер: 293
@josephambrose2215
@josephambrose2215 Жыл бұрын
Hakika wimbo mzuri Sana, na mmeutendea haki kabisa kwa wote walioshiriki ktk kutuletea ujumbe huo. Hongereni Sana wanakwaya🙏🙏🤔
@hyvemunezero1341
@hyvemunezero1341 4 жыл бұрын
Mungu uibariki hii kwaya na wakatolika na wasio wa katatolika wote kwa ujumla. Uibariki pia Afrika na wana Afrika kwa ujumla. Kiukweli wimbo huu hunisaidia sana kwa kutafakali maisha ya ukiristu. From Colorado 🇺🇸
@SixbertSanka-ku6is
@SixbertSanka-ku6is 3 күн бұрын
Ni moja ya kwaya iliyonifanya mpaka nikaweza kuutambua wito wangu na sasa nipo seminary kuu kwa malezi ya Upadre ,,,Mungu awabariki sans
@SmilingMonarchButterfly-kh4ve
@SmilingMonarchButterfly-kh4ve Күн бұрын
Hongera sana kaka... Yesu kristo rafiki ako Akushikilie kweli kweli katika safari hiyo njema kabisa aliyoianzisha ndani mwako 🙏🏽❤️🙏🏽❤️❤️❤️
@luclesiakifanjala9122
@luclesiakifanjala9122 2 жыл бұрын
Daah wimbo mzuri, Mungu awalaze mahala pema wale waliofikwa na umauti 😭
@filbetkalembe2806
@filbetkalembe2806 2 жыл бұрын
Aliwapeleka kweli mnanikumbusha msiba uliotokea kwenu kupitia wimbo huu naamini waliotangulia wanasifu na bwana mbinguni
@remigiachale
@remigiachale Ай бұрын
Asanteni sana kwa wimbo mzuri mungu awazidishie baraka 🙏🙏
@paulkasawara5471
@paulkasawara5471 3 жыл бұрын
Kazi nzuri kutoka kwako kaka nyonga na nimefurahi kuona Kilocha seminari
@ElizabethSilayo-fr7sw
@ElizabethSilayo-fr7sw Жыл бұрын
Mbarikiwe Sanaa ❤️❤️ Mmeimba Kwa Utulivu Na Hisia Za Kuiombea Miito Hakika Mungu Yu Pamoja Nasi Kuiimbea Miito Mitakatifu katika kanisaaa💒💒💒💒 Nabarikiwa snaaa ninapo Isikiliza hii Nyimboooo🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@clqudiaemmanuel7740
@clqudiaemmanuel7740 4 жыл бұрын
Hakika Mara zote mmekuwa mkinifariji kiukweli uvikanjo mmepata kunipa faraja pia kwa kongamano la vijana taifa Tanga hakika kazi yenu haiwezi kusahaulika
@laurentdaud6377
@laurentdaud6377 3 жыл бұрын
Mungu awabariki katika kulitangaza neno la Mungu. Hongera sana kwa wanakwaya na mtunzi, nasikia furaha sana nisikiapo na Kuona nyimbo hii. Sijawahi choka kusikiliza Siku zote
@valeriamgani4524
@valeriamgani4524 Жыл бұрын
Niwimbo mzuri sana hongereni sana 🙏🙏👏👏
@user-lv8zz2ou7o
@user-lv8zz2ou7o 9 ай бұрын
Hongereni sana, bila kumsahau sir A, muyonga tallented one
@agripinamgema3656
@agripinamgema3656 4 жыл бұрын
Asanteni watumishi wa MUNGU, vijana wa Njombe mbarikiwe. Kwa nyimbo nzuri.
@user-jz5yz7fx9v
@user-jz5yz7fx9v 9 ай бұрын
Nyimbo nzuri Sana ndugu zangu hongeren❤
@user-lv8zz2ou7o
@user-lv8zz2ou7o 11 ай бұрын
Hongera mtunzi ayubu muyonga daaaa na jopo lako
@mapachunyi4830
@mapachunyi4830 4 жыл бұрын
Jamani mnabariki sana,mko vzr kuanzia sauti,mavazi,style na vyote,,,bila kumsahau mpiga kinanda rafiki yangu A.Muyonga,,barikiwa sana
@ditricksilinu6038
@ditricksilinu6038 5 жыл бұрын
Uvikanjo mko juu sana ... Uimbaji wenu umetukuka na unapendeza sana
@siliviawabela4233
@siliviawabela4233 5 жыл бұрын
Mmm kweli mmeimba wimbo mzuri sauti zimetula mbarikiwe sana
@gemagabriel510
@gemagabriel510 5 жыл бұрын
Asanteni sana kwa wimbo mzuri.Mmeimba mkiwa na utulivu wa kutosha .Mbarikiwe sana:
@sekundaluwanga7216
@sekundaluwanga7216 5 жыл бұрын
Wimbo mzuri tulivu sana vijana njombe hongereni kwa kutuwakilisha.mungu awabariki mmeutendea haki kiukweli
@sarahfinah6304
@sarahfinah6304 5 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@despinamdende9810
@despinamdende9810 4 жыл бұрын
Hongern sana vijana kazi nzuri.hongeren sana HT mko vizuri sana.
@givenisrael801
@givenisrael801 5 жыл бұрын
my jimbo nakubali sana gonga like zote kama unawakubali kama mm apa
@martinkiwali2891
@martinkiwali2891 4 жыл бұрын
Given Israel yaa
@givenisrael801
@givenisrael801 4 жыл бұрын
@@martinkiwali2891 nawapenda bure uvikanjo
@jorasty2622
@jorasty2622 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe miito ibarikiwe.Amen
@anthonyleonard6419
@anthonyleonard6419 5 жыл бұрын
Namuonea wivu mcheza kinanda hongera sana kak unaweza pamoja na mashibe nyie talented
@fabiangeorge616
@fabiangeorge616 4 жыл бұрын
Hakika mmefanya kazi nzuri ya kitume.Mmetumia karama yenu kuhamasisha wote tuwajibike kuombea miito.Mbarikiwe sana.Nawakaribisheni wanaopenda kujiunga na shirika lolote la kitawa.....Nayafahamu baadhi ya mashirika pia. Hongereni sana tena sana wapendwa.
@dreamsdavido8100
@dreamsdavido8100 4 жыл бұрын
The best thing Katika hi video ni kuona mazingiraa mazuri ya kilocha. .God bless u UVIKANJO Kaz nzuriii mmeifanya
@lwangakajembula8085
@lwangakajembula8085 2 жыл бұрын
Hongereni kwa wimbo mzuri....tunaomba mtusaidie nota zake swahil music ili nasisi tuweze kuimba
@rudiamganiexaudi1628
@rudiamganiexaudi1628 3 жыл бұрын
Nimemuona mwalim wangu mbarikiwe San sir luzo hongera san
@jakobpanga742
@jakobpanga742 Жыл бұрын
Huu wimbo umenibariki sana vijana tujiunge na kwaya
@kizitom7078
@kizitom7078 5 жыл бұрын
kazi safi...tuombe pia tuweze kulieneza neno la mungu pote na popote.heko
@RichardMkongwa
@RichardMkongwa 3 жыл бұрын
Bravo sana kwa Ndugu yangu A.J Myonga pamoja na kwaya nzima. 🔥🔥
@joanithatheobard4660
@joanithatheobard4660 4 жыл бұрын
hongereni sana ! wimbo umenibariki sana
@georgendelwa686
@georgendelwa686 4 жыл бұрын
Hongereni sana nawapenda bureeeee
@innocentgaudencechuwa1449
@innocentgaudencechuwa1449 4 жыл бұрын
Hongereni Uvikanjo ujumbe mzuri,hongera sana mpiga kinanda na Holly Trinity studios hakika wimbo mzuri.
@teddymulu2364
@teddymulu2364 3 жыл бұрын
Tuzidi kuombea mapadri mabruda na mashemasi wazidi kutueka mbele ya Mungu
@laulenthaule9746
@laulenthaule9746 3 жыл бұрын
Honger kwa kuimb vizur
@thomasnyamari401
@thomasnyamari401 5 жыл бұрын
Kazi nzuri sana hongera nawatakia kila LA heri katika uimbaji wenu
@fundibeny1821
@fundibeny1821 3 жыл бұрын
Ongereni Sana kwa uinjilishaji mzur
@rosekalolo6861
@rosekalolo6861 5 жыл бұрын
Dada tele kwa mbaaaali,, ruzooo tas na woooote barikiweni saaana tuiombee miito
@mjasiriamalikwanzanjombe6708
@mjasiriamalikwanzanjombe6708 4 жыл бұрын
namwona roozo na dada rudesinta
@raphaelmalekwa7049
@raphaelmalekwa7049 5 жыл бұрын
Hongereni jamani kwa uimbaji pia mnainjirisha mko vizuri Mungu awabariki na azidi kuwapa Upendo katika kikundi chenu na uaminifu katika Kumtumikia Mungu Asanteni.
@nicodemusmutisya1907
@nicodemusmutisya1907 5 жыл бұрын
Asanteni sana ujumbe wenu,kwa kweli sala ndio nguzo imara,Frt Nicodemus Mutisya wa shirika la Missionaries of Mary Immaculate (MMI) toka jimbo katoliki la Machakos nchini Kenya
@Msemwa
@Msemwa 3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@amonimsanganzila3212
@amonimsanganzila3212 3 жыл бұрын
Barikiwa sana
@boychidu
@boychidu Жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana Mungu awe nanyi
@stefanomwalongo4585
@stefanomwalongo4585 4 жыл бұрын
Hongera wanakwaya Hongera Myonga Hongera organist Hongera mwl. wa step Hongera mumeutendea haki wimbo.
@romanaeugen3066
@romanaeugen3066 5 жыл бұрын
Tumwombe Bwana wa Mavuno apeleke watenda kazi katika Shamba la Bwana..Baraka tele kwenu kwa Ujumbe mzuri..
@marllytitus4184
@marllytitus4184 5 жыл бұрын
Hongereni uvikanjo makambako mmeimba vizuri mmetulia mwenyezi Mungu azidiii kuwajalia afya njema
@mtakatifumgisha346
@mtakatifumgisha346 5 жыл бұрын
Daa! mbarikiwe Sana mmetoajumbe mzur katka mandhar nzur kabsa, mzki umetulia kabsa
@Msemwa
@Msemwa 3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@andreaa.nyundo8333
@andreaa.nyundo8333 3 жыл бұрын
Kazi nzuri ilifanywa na Ayoub Myonga hakika kipindi hicho ndio utume Wa kwaya ulikuwepo, sasa imebaki jina uimbali ni Wa kiasi,ila Mungu awajalie mrudi katika uimbaji kama huu.
@kamilusmgaya4806
@kamilusmgaya4806 5 жыл бұрын
Pongezi kwa video production umefanya kitu kitamu sana naiangaria toka babati
@emilianaluoga6893
@emilianaluoga6893 4 жыл бұрын
Hongera sana wapendwa kazi nzuri sana ya Kumsifu Bwana Mungu,, HT Mungu awabariki
@damianibira.8463
@damianibira.8463 4 жыл бұрын
hongeren kwa kwaya nzur mngu awabariki mzidi kuitenda kaz ya mngu kwa amani
@ayubj.myonga4694
@ayubj.myonga4694 5 жыл бұрын
Mungu wetu ni mwema!Na tumwombe aongeze watenda kazi katika shamba lake ili Basi mavuno yale yaliyo mengi yapate wavunaji(watenda kazi) wa kutosha nasi tupate kuokoka
@irenenyigu1787
@irenenyigu1787 5 жыл бұрын
Hongera sana Mtunzi .... YOU ROCK
@emmanueldkulwa1824
@emmanueldkulwa1824 5 жыл бұрын
Copy kaka naweza kuipata? Wimbo umeusuka kisawasawa
@triffproductions4348
@triffproductions4348 5 жыл бұрын
Hongera sana kijana
@stephanozacharia3847
@stephanozacharia3847 4 жыл бұрын
Tafadhali tusaidie copy ya hii nondi kaka maana hiki ni kitu cha karne hongera sana
@danielmbanzi9199
@danielmbanzi9199 4 жыл бұрын
Can mm
@happymsigala7732
@happymsigala7732 5 жыл бұрын
hongereni sana jamani.MUNGU awabariki kwa kazi nzuri,hakika MUNGU atukuzwe daima.
@petersumuni4369
@petersumuni4369 5 жыл бұрын
yaani sijawahi kumiliki neon la kusema juu ya ufundi wako mkuu wangu Ayubu j Myonga ila namuomba Mungu akuzidishie ki-awa katika utunzi wako
@hefintus
@hefintus 5 жыл бұрын
Nikajua ni Albert F.Muyoga , maana nae fundi balaa yule mzee.
@michaelmusitah5553
@michaelmusitah5553 5 жыл бұрын
Kazi nzuri sana wana Uvikanjo. Nimewaona ndugu zangu Mungu awabariki sana.
@revocatuskatto7293
@revocatuskatto7293 5 жыл бұрын
Nice song big up HT kwa kaz nzur
@fedilikikabelege9014
@fedilikikabelege9014 4 жыл бұрын
Ahsant
@calvinceomondi4086
@calvinceomondi4086 3 жыл бұрын
I just love the orgarn, moves, vocals, May God bless you, tuzidi kuombea miito katika kanisa
@annachesco2758
@annachesco2758 2 жыл бұрын
Hongereni sana waimbaji mnaimba vzri sana Mungu awatangulie katika kumtumikia Mungu ...na wapenda sana ...pia Mungu awalaze mahali pema wale walio kufa kwa ajari njombe Mbele yetu nyuma yenu
@emmanueldkulwa1824
@emmanueldkulwa1824 4 жыл бұрын
Wimbo mzuri nimeupenda sana hongereni sana
@remsimmbala7635
@remsimmbala7635 5 жыл бұрын
Barikiwa sana kwa uimbaji wenu wimbo ni mzuri sana pamoja na ujumbe uliomo,,,,,,,,,,
@godfreymangalu1940
@godfreymangalu1940 5 жыл бұрын
I'm proud to be Catholic. Kazi nzuri saana. Hakika Ujumbe umefika, hongereni kwa utunzi mzuri
@PaulOmarimanyara
@PaulOmarimanyara 5 жыл бұрын
Bwana pokea ombi letu. Amina. Hongera Wanakwaya
@paschalmathew8840
@paschalmathew8840 5 жыл бұрын
Asanteni kwa ujumbe mzuri na kutukumbusha jambo muhimu kweli yatupasa kuiombea miito mitakatifu Mungu awabariki
@felistaludela2695
@felistaludela2695 4 жыл бұрын
Tumwombe BWANA wa mavuno awapekele watenda kazi shambani mwake. tuombe bila kuchoka. Hongera kwa ujumbe wenu umetufikia vema
@gelmanusmwashiozya6216
@gelmanusmwashiozya6216 5 жыл бұрын
wimbo mzuri umetulia saut saf mpiga Kinanda safi video safiiii
@MabossoGrayson
@MabossoGrayson 10 ай бұрын
Hongera Xana Wana kwaya
@veronicathomas9422
@veronicathomas9422 2 жыл бұрын
Very pain full kwa ajali iliyowapata Mungu awapumzshe kwa amani na wngne uponyaj
@asteriamkana5300
@asteriamkana5300 4 жыл бұрын
Mubarikiwe wapendwa wimbo umetulia
@sarabeda4735
@sarabeda4735 2 жыл бұрын
Basi naamini kwamba mmeenda,waliofikwa ma umauti mungu awape pumziko la milele
@wilgismbele1313
@wilgismbele1313 5 жыл бұрын
Nzuri San 🎵 naona jamaazangu wapo vizuri holly trinity mpojuu mungu awape nguvu zaidi ya hapo mfike mbali zaidi
@theresiaburusu1497
@theresiaburusu1497 5 жыл бұрын
Hongeren sana
@richmeela6812
@richmeela6812 4 жыл бұрын
Nyimbo ni nzuri sana hongereni sana
@davidrama5122
@davidrama5122 4 жыл бұрын
Ninakuwa na furaha moyoni mwangu ninapo sikia nyimbo sa kwaya mbali mbali za kanisa letu Katolika. Mungu aendelee nguvu ya kutimiza kazi yake.
@SmilingMonarchButterfly-kh4ve
@SmilingMonarchButterfly-kh4ve Күн бұрын
Waaooh 🤗🤗🙏🏽❤️🙏🏽❤️🙏🏽❤️❤️❤️🔥
@joycerobert4135
@joycerobert4135 3 жыл бұрын
Mbarikiwe wanakwaya wote...kazi nzuri sana, Tuendelee kuiombea miito Mitakatifu Amina
@alesiakayoka1203
@alesiakayoka1203 5 жыл бұрын
Amina MUNGU Awabariki wote Mlio shiriki kuinjilisha
@augustinoevarist6754
@augustinoevarist6754 5 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana aisee, Nabarikiwa sana ninaposikia nyimbo nzuri. Mungu azidi kuwaongoza katika utume wenu wa uimbaji.
@Msemwa
@Msemwa 3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@luwaevergreen3190
@luwaevergreen3190 5 жыл бұрын
uvikanjo kwaya mbarikiwe sana kwa kutuinjirisha mungu awabari sana wimbo mzuri sana sichoki kuusikiriza mungu awape nguvu ya kuwahubiria wanadamu hapa duniani mavuno nimengi rakini wafanyakazi ni wachache tumwombe bwana wa mavuno awapereke watenda kazi shabani mwake
@germanacornel1822
@germanacornel1822 5 жыл бұрын
Mungu awabariki. Wimbo umetulia na kuimbwa kwa utulivu. Nasi tumeutafakari
@emmanueldkulwa1824
@emmanueldkulwa1824 5 жыл бұрын
Hongereni Sana wapendwa, uvikanjo wapya, vipi brother Mass siku hizi kawa Mzee? Sijamuone, Lugome nimekujicho, hongera Sana kujiunga na kwaya ya vijana! HT hamjawahi haribu kazi, mko juu Sana, bro bony a.k.a myunani na mwenzio latinus, kazi iko Poa sana
@wolfgangmsigwa94
@wolfgangmsigwa94 4 жыл бұрын
Mungu awabariki ndugu zangu UVIKANJO kwa wimbo huo na wote waliowezesha kufikia hatua hii. Mellow Studio chini ya B.M Hongera.
@marysafari569
@marysafari569 11 ай бұрын
Great choir, mtunzi apewe soda nakuja kulipia. God bless you guys. Asante Myonga
@kimatumusiccompositions2636
@kimatumusiccompositions2636 3 жыл бұрын
pongezi kwa wimbo mtamu
@rachelnyagawa6062
@rachelnyagawa6062 5 жыл бұрын
Kazi nzuri,hongereni sana ndugu zangu
@euchariakumbulu7938
@euchariakumbulu7938 5 жыл бұрын
wimbo supa barikiwa
@Msemwa
@Msemwa 3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@luciajuma8336
@luciajuma8336 Жыл бұрын
Am proud to be Catholic 🙏🙏
@faustusikyoshe3008
@faustusikyoshe3008 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@stellafungo9711
@stellafungo9711 4 жыл бұрын
Mmeimba vizuri Sana na mmependeza. Mungu awabariki Sana.
@raymondkibiki6661
@raymondkibiki6661 5 жыл бұрын
woyooooo kazi nzuri sana, hongereni HT, Uvikanjo pamoja na mwalimu Myonga Mungu awabariki sana
@onesmolevi1660
@onesmolevi1660 4 жыл бұрын
Kwakeli Mungu awabariki sana uvikanjo...hii style ya uimbaji nimeipenda sana aisee...
@bmproduction6316
@bmproduction6316 5 жыл бұрын
Hongereni waimbaji kazi nzuri sana. Mungu wetu mkuu azidi kuwatia nguvu huduma yetu ya uimbaji Njombe izidi kukua na kuieneza injili kote ulimwenguni. na zaidi MIITO IWE NI CHACHU YA KUMTUKUZA MUNGU KATIKA ROHO NA KWELI.
@gaudensiabaltazar8412
@gaudensiabaltazar8412 5 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana , Hongera sana mwl wangu Myonga Mungu aendelee kukutumia.
@helenalagwen8529
@helenalagwen8529 5 жыл бұрын
Hongeren saaana , kwa kazi nzuri
@mussakiyule5665
@mussakiyule5665 7 ай бұрын
Nyimbo bora kutoka njombe
@eleganthomesolutions
@eleganthomesolutions 4 жыл бұрын
WOW WIMBO MZURI SANA..... 👌👌👍👍
@buza3449
@buza3449 Жыл бұрын
Kazin nzur Amina sana
@jackytuyi8899
@jackytuyi8899 5 жыл бұрын
Hongera HT kazi nzuri sana
@reyjosee9390
@reyjosee9390 5 жыл бұрын
Asanteni sana Nyevaa kamwenee
@emmanuellaizzer7950
@emmanuellaizzer7950 5 жыл бұрын
Hongereni xana kwa ujumbe mzuri, Mungu awape saut nzuri cku zote
@ezekiangogo3430
@ezekiangogo3430 3 жыл бұрын
Mavuno ni mengi watenda kazi wachache
@daimonmaranda8251
@daimonmaranda8251 4 жыл бұрын
Holly trinity kazi yenu Nzuri Sana Mungu awabariki
@davidtengelei4914
@davidtengelei4914 4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana.
@christianngeleshi5921
@christianngeleshi5921 4 жыл бұрын
safi sana, hongereni mno.... naomba msaada wa nota zake ka inawezekana🙏
@monicamabonde794
@monicamabonde794 5 жыл бұрын
Safi sanaa mnajua kwakwer
@Aminaamina-cg8sf
@Aminaamina-cg8sf 4 жыл бұрын
Ayubu na kuona katikautendaji wakazi kumtumikia mungu ipasavyo mbarikiwe wote mlioshiriki hongereni wimbo uko poa sana amiina
@richardchaula1860
@richardchaula1860 4 жыл бұрын
Safi sana Wanakwaya, Hakika Kuna Raha tele ndani ya Kanisa Katoliki.
@beckychepngetich758
@beckychepngetich758 5 жыл бұрын
Elli,Paul,flori,Noel,Evans,John, Florian,Dennis I cannot mention everyone but I pray for you everyday
@frankmakeula4506
@frankmakeula4506 4 жыл бұрын
Uvikanjo Njombe hongera kwa ujumbe mzuri Mungu awe nanyi
@ruisnkana5322
@ruisnkana5322 4 жыл бұрын
S Safi sana uvikanjo.
@evancemwankenja1052
@evancemwankenja1052 5 жыл бұрын
Kazi njema kbsa. Mungu awabariki sana.
@gelmanusmwashiozya6216
@gelmanusmwashiozya6216 5 жыл бұрын
tumuombe bwana wa mavuno apeleke watenda kazi
@simonbassop3047
@simonbassop3047 5 жыл бұрын
Bonjour je suis à tous les jours qui suivent la semaine du mois d'août
@simonbassop3047
@simonbassop3047 5 жыл бұрын
Bonjour je vous souhaite une bonne journée à vous allez tous bien fort et je vous souhaite une bonne journée à tous et toutes mes excuses
бесит старшая сестра!? #роблокс #анимация #мем
00:58
КРУТОЙ ПАПА на
Рет қаралды 3 МЛН
Why You Should Always Help Others ❤️
00:40
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 139 МЛН
бесит старшая сестра!? #роблокс #анимация #мем
00:58
КРУТОЙ ПАПА на
Рет қаралды 3 МЛН