WIMBO: TUIOMBEE MIITO MITAKATIFU MTUNZI: A. J. MYONGA AUDIO BY: MELLOW STUDIO VIDEO BY: HOLY TRINITY STUDIOS
Пікірлер: 293
@josephambrose2215 Жыл бұрын
Hakika wimbo mzuri Sana, na mmeutendea haki kabisa kwa wote walioshiriki ktk kutuletea ujumbe huo. Hongereni Sana wanakwaya🙏🙏🤔
@hyvemunezero13414 жыл бұрын
Mungu uibariki hii kwaya na wakatolika na wasio wa katatolika wote kwa ujumla. Uibariki pia Afrika na wana Afrika kwa ujumla. Kiukweli wimbo huu hunisaidia sana kwa kutafakali maisha ya ukiristu. From Colorado 🇺🇸
@SixbertSanka-ku6is3 күн бұрын
Ni moja ya kwaya iliyonifanya mpaka nikaweza kuutambua wito wangu na sasa nipo seminary kuu kwa malezi ya Upadre ,,,Mungu awabariki sans
@SmilingMonarchButterfly-kh4veКүн бұрын
Hongera sana kaka... Yesu kristo rafiki ako Akushikilie kweli kweli katika safari hiyo njema kabisa aliyoianzisha ndani mwako 🙏🏽❤️🙏🏽❤️❤️❤️
@luclesiakifanjala91222 жыл бұрын
Daah wimbo mzuri, Mungu awalaze mahala pema wale waliofikwa na umauti 😭
@filbetkalembe28062 жыл бұрын
Aliwapeleka kweli mnanikumbusha msiba uliotokea kwenu kupitia wimbo huu naamini waliotangulia wanasifu na bwana mbinguni
@remigiachaleАй бұрын
Asanteni sana kwa wimbo mzuri mungu awazidishie baraka 🙏🙏
@paulkasawara54713 жыл бұрын
Kazi nzuri kutoka kwako kaka nyonga na nimefurahi kuona Kilocha seminari
@ElizabethSilayo-fr7sw Жыл бұрын
Mbarikiwe Sanaa ❤️❤️ Mmeimba Kwa Utulivu Na Hisia Za Kuiombea Miito Hakika Mungu Yu Pamoja Nasi Kuiimbea Miito Mitakatifu katika kanisaaa💒💒💒💒 Nabarikiwa snaaa ninapo Isikiliza hii Nyimboooo🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@clqudiaemmanuel77404 жыл бұрын
Hakika Mara zote mmekuwa mkinifariji kiukweli uvikanjo mmepata kunipa faraja pia kwa kongamano la vijana taifa Tanga hakika kazi yenu haiwezi kusahaulika
@laurentdaud63773 жыл бұрын
Mungu awabariki katika kulitangaza neno la Mungu. Hongera sana kwa wanakwaya na mtunzi, nasikia furaha sana nisikiapo na Kuona nyimbo hii. Sijawahi choka kusikiliza Siku zote
@valeriamgani4524 Жыл бұрын
Niwimbo mzuri sana hongereni sana 🙏🙏👏👏
@user-lv8zz2ou7o9 ай бұрын
Hongereni sana, bila kumsahau sir A, muyonga tallented one
@agripinamgema36564 жыл бұрын
Asanteni watumishi wa MUNGU, vijana wa Njombe mbarikiwe. Kwa nyimbo nzuri.
@user-jz5yz7fx9v9 ай бұрын
Nyimbo nzuri Sana ndugu zangu hongeren❤
@user-lv8zz2ou7o11 ай бұрын
Hongera mtunzi ayubu muyonga daaaa na jopo lako
@mapachunyi48304 жыл бұрын
Jamani mnabariki sana,mko vzr kuanzia sauti,mavazi,style na vyote,,,bila kumsahau mpiga kinanda rafiki yangu A.Muyonga,,barikiwa sana
@ditricksilinu60385 жыл бұрын
Uvikanjo mko juu sana ... Uimbaji wenu umetukuka na unapendeza sana
@siliviawabela42335 жыл бұрын
Mmm kweli mmeimba wimbo mzuri sauti zimetula mbarikiwe sana
@gemagabriel5105 жыл бұрын
Asanteni sana kwa wimbo mzuri.Mmeimba mkiwa na utulivu wa kutosha .Mbarikiwe sana:
@sekundaluwanga72165 жыл бұрын
Wimbo mzuri tulivu sana vijana njombe hongereni kwa kutuwakilisha.mungu awabariki mmeutendea haki kiukweli
@sarahfinah63045 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@despinamdende98104 жыл бұрын
Hongern sana vijana kazi nzuri.hongeren sana HT mko vizuri sana.
@givenisrael8015 жыл бұрын
my jimbo nakubali sana gonga like zote kama unawakubali kama mm apa
@martinkiwali28914 жыл бұрын
Given Israel yaa
@givenisrael8014 жыл бұрын
@@martinkiwali2891 nawapenda bure uvikanjo
@jorasty2622 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe miito ibarikiwe.Amen
@anthonyleonard64195 жыл бұрын
Namuonea wivu mcheza kinanda hongera sana kak unaweza pamoja na mashibe nyie talented
@fabiangeorge6164 жыл бұрын
Hakika mmefanya kazi nzuri ya kitume.Mmetumia karama yenu kuhamasisha wote tuwajibike kuombea miito.Mbarikiwe sana.Nawakaribisheni wanaopenda kujiunga na shirika lolote la kitawa.....Nayafahamu baadhi ya mashirika pia. Hongereni sana tena sana wapendwa.
@dreamsdavido81004 жыл бұрын
The best thing Katika hi video ni kuona mazingiraa mazuri ya kilocha. .God bless u UVIKANJO Kaz nzuriii mmeifanya
@lwangakajembula80852 жыл бұрын
Hongereni kwa wimbo mzuri....tunaomba mtusaidie nota zake swahil music ili nasisi tuweze kuimba
@rudiamganiexaudi16283 жыл бұрын
Nimemuona mwalim wangu mbarikiwe San sir luzo hongera san
@jakobpanga742 Жыл бұрын
Huu wimbo umenibariki sana vijana tujiunge na kwaya
@kizitom70785 жыл бұрын
kazi safi...tuombe pia tuweze kulieneza neno la mungu pote na popote.heko
@RichardMkongwa3 жыл бұрын
Bravo sana kwa Ndugu yangu A.J Myonga pamoja na kwaya nzima. 🔥🔥
@joanithatheobard46604 жыл бұрын
hongereni sana ! wimbo umenibariki sana
@georgendelwa6864 жыл бұрын
Hongereni sana nawapenda bureeeee
@innocentgaudencechuwa14494 жыл бұрын
Hongereni Uvikanjo ujumbe mzuri,hongera sana mpiga kinanda na Holly Trinity studios hakika wimbo mzuri.
@teddymulu23643 жыл бұрын
Tuzidi kuombea mapadri mabruda na mashemasi wazidi kutueka mbele ya Mungu
@laulenthaule97463 жыл бұрын
Honger kwa kuimb vizur
@thomasnyamari4015 жыл бұрын
Kazi nzuri sana hongera nawatakia kila LA heri katika uimbaji wenu
@fundibeny18213 жыл бұрын
Ongereni Sana kwa uinjilishaji mzur
@rosekalolo68615 жыл бұрын
Dada tele kwa mbaaaali,, ruzooo tas na woooote barikiweni saaana tuiombee miito
@mjasiriamalikwanzanjombe67084 жыл бұрын
namwona roozo na dada rudesinta
@raphaelmalekwa70495 жыл бұрын
Hongereni jamani kwa uimbaji pia mnainjirisha mko vizuri Mungu awabariki na azidi kuwapa Upendo katika kikundi chenu na uaminifu katika Kumtumikia Mungu Asanteni.
@nicodemusmutisya19075 жыл бұрын
Asanteni sana ujumbe wenu,kwa kweli sala ndio nguzo imara,Frt Nicodemus Mutisya wa shirika la Missionaries of Mary Immaculate (MMI) toka jimbo katoliki la Machakos nchini Kenya
@Msemwa3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@amonimsanganzila32123 жыл бұрын
Barikiwa sana
@boychidu Жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana Mungu awe nanyi
@stefanomwalongo45854 жыл бұрын
Hongera wanakwaya Hongera Myonga Hongera organist Hongera mwl. wa step Hongera mumeutendea haki wimbo.
@romanaeugen30665 жыл бұрын
Tumwombe Bwana wa Mavuno apeleke watenda kazi katika Shamba la Bwana..Baraka tele kwenu kwa Ujumbe mzuri..
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@andreaa.nyundo83333 жыл бұрын
Kazi nzuri ilifanywa na Ayoub Myonga hakika kipindi hicho ndio utume Wa kwaya ulikuwepo, sasa imebaki jina uimbali ni Wa kiasi,ila Mungu awajalie mrudi katika uimbaji kama huu.
@kamilusmgaya48065 жыл бұрын
Pongezi kwa video production umefanya kitu kitamu sana naiangaria toka babati
@emilianaluoga68934 жыл бұрын
Hongera sana wapendwa kazi nzuri sana ya Kumsifu Bwana Mungu,, HT Mungu awabariki
@damianibira.84634 жыл бұрын
hongeren kwa kwaya nzur mngu awabariki mzidi kuitenda kaz ya mngu kwa amani
@ayubj.myonga46945 жыл бұрын
Mungu wetu ni mwema!Na tumwombe aongeze watenda kazi katika shamba lake ili Basi mavuno yale yaliyo mengi yapate wavunaji(watenda kazi) wa kutosha nasi tupate kuokoka
@irenenyigu17875 жыл бұрын
Hongera sana Mtunzi .... YOU ROCK
@emmanueldkulwa18245 жыл бұрын
Copy kaka naweza kuipata? Wimbo umeusuka kisawasawa
@triffproductions43485 жыл бұрын
Hongera sana kijana
@stephanozacharia38474 жыл бұрын
Tafadhali tusaidie copy ya hii nondi kaka maana hiki ni kitu cha karne hongera sana
@danielmbanzi91994 жыл бұрын
Can mm
@happymsigala77325 жыл бұрын
hongereni sana jamani.MUNGU awabariki kwa kazi nzuri,hakika MUNGU atukuzwe daima.
@petersumuni43695 жыл бұрын
yaani sijawahi kumiliki neon la kusema juu ya ufundi wako mkuu wangu Ayubu j Myonga ila namuomba Mungu akuzidishie ki-awa katika utunzi wako
@hefintus5 жыл бұрын
Nikajua ni Albert F.Muyoga , maana nae fundi balaa yule mzee.
@michaelmusitah55535 жыл бұрын
Kazi nzuri sana wana Uvikanjo. Nimewaona ndugu zangu Mungu awabariki sana.
@revocatuskatto72935 жыл бұрын
Nice song big up HT kwa kaz nzur
@fedilikikabelege90144 жыл бұрын
Ahsant
@calvinceomondi40863 жыл бұрын
I just love the orgarn, moves, vocals, May God bless you, tuzidi kuombea miito katika kanisa
@annachesco27582 жыл бұрын
Hongereni sana waimbaji mnaimba vzri sana Mungu awatangulie katika kumtumikia Mungu ...na wapenda sana ...pia Mungu awalaze mahali pema wale walio kufa kwa ajari njombe Mbele yetu nyuma yenu
@emmanueldkulwa18244 жыл бұрын
Wimbo mzuri nimeupenda sana hongereni sana
@remsimmbala76355 жыл бұрын
Barikiwa sana kwa uimbaji wenu wimbo ni mzuri sana pamoja na ujumbe uliomo,,,,,,,,,,
@godfreymangalu19405 жыл бұрын
I'm proud to be Catholic. Kazi nzuri saana. Hakika Ujumbe umefika, hongereni kwa utunzi mzuri
@PaulOmarimanyara5 жыл бұрын
Bwana pokea ombi letu. Amina. Hongera Wanakwaya
@paschalmathew88405 жыл бұрын
Asanteni kwa ujumbe mzuri na kutukumbusha jambo muhimu kweli yatupasa kuiombea miito mitakatifu Mungu awabariki
@felistaludela26954 жыл бұрын
Tumwombe BWANA wa mavuno awapekele watenda kazi shambani mwake. tuombe bila kuchoka. Hongera kwa ujumbe wenu umetufikia vema
@gelmanusmwashiozya62165 жыл бұрын
wimbo mzuri umetulia saut saf mpiga Kinanda safi video safiiii
@MabossoGrayson10 ай бұрын
Hongera Xana Wana kwaya
@veronicathomas94222 жыл бұрын
Very pain full kwa ajali iliyowapata Mungu awapumzshe kwa amani na wngne uponyaj
@asteriamkana53004 жыл бұрын
Mubarikiwe wapendwa wimbo umetulia
@sarabeda47352 жыл бұрын
Basi naamini kwamba mmeenda,waliofikwa ma umauti mungu awape pumziko la milele
@wilgismbele13135 жыл бұрын
Nzuri San 🎵 naona jamaazangu wapo vizuri holly trinity mpojuu mungu awape nguvu zaidi ya hapo mfike mbali zaidi
@theresiaburusu14975 жыл бұрын
Hongeren sana
@richmeela68124 жыл бұрын
Nyimbo ni nzuri sana hongereni sana
@davidrama51224 жыл бұрын
Ninakuwa na furaha moyoni mwangu ninapo sikia nyimbo sa kwaya mbali mbali za kanisa letu Katolika. Mungu aendelee nguvu ya kutimiza kazi yake.
Amina MUNGU Awabariki wote Mlio shiriki kuinjilisha
@augustinoevarist67545 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana aisee, Nabarikiwa sana ninaposikia nyimbo nzuri. Mungu azidi kuwaongoza katika utume wenu wa uimbaji.
@Msemwa3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@luwaevergreen31905 жыл бұрын
uvikanjo kwaya mbarikiwe sana kwa kutuinjirisha mungu awabari sana wimbo mzuri sana sichoki kuusikiriza mungu awape nguvu ya kuwahubiria wanadamu hapa duniani mavuno nimengi rakini wafanyakazi ni wachache tumwombe bwana wa mavuno awapereke watenda kazi shabani mwake
@germanacornel18225 жыл бұрын
Mungu awabariki. Wimbo umetulia na kuimbwa kwa utulivu. Nasi tumeutafakari
@emmanueldkulwa18245 жыл бұрын
Hongereni Sana wapendwa, uvikanjo wapya, vipi brother Mass siku hizi kawa Mzee? Sijamuone, Lugome nimekujicho, hongera Sana kujiunga na kwaya ya vijana! HT hamjawahi haribu kazi, mko juu Sana, bro bony a.k.a myunani na mwenzio latinus, kazi iko Poa sana
@wolfgangmsigwa944 жыл бұрын
Mungu awabariki ndugu zangu UVIKANJO kwa wimbo huo na wote waliowezesha kufikia hatua hii. Mellow Studio chini ya B.M Hongera.
@marysafari56911 ай бұрын
Great choir, mtunzi apewe soda nakuja kulipia. God bless you guys. Asante Myonga
@kimatumusiccompositions26363 жыл бұрын
pongezi kwa wimbo mtamu
@rachelnyagawa60625 жыл бұрын
Kazi nzuri,hongereni sana ndugu zangu
@euchariakumbulu79385 жыл бұрын
wimbo supa barikiwa
@Msemwa3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@luciajuma8336 Жыл бұрын
Am proud to be Catholic 🙏🙏
@faustusikyoshe30082 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@stellafungo97114 жыл бұрын
Mmeimba vizuri Sana na mmependeza. Mungu awabariki Sana.
@raymondkibiki66615 жыл бұрын
woyooooo kazi nzuri sana, hongereni HT, Uvikanjo pamoja na mwalimu Myonga Mungu awabariki sana
@onesmolevi16604 жыл бұрын
Kwakeli Mungu awabariki sana uvikanjo...hii style ya uimbaji nimeipenda sana aisee...
@bmproduction63165 жыл бұрын
Hongereni waimbaji kazi nzuri sana. Mungu wetu mkuu azidi kuwatia nguvu huduma yetu ya uimbaji Njombe izidi kukua na kuieneza injili kote ulimwenguni. na zaidi MIITO IWE NI CHACHU YA KUMTUKUZA MUNGU KATIKA ROHO NA KWELI.
@gaudensiabaltazar84125 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana , Hongera sana mwl wangu Myonga Mungu aendelee kukutumia.
@helenalagwen85295 жыл бұрын
Hongeren saaana , kwa kazi nzuri
@mussakiyule56657 ай бұрын
Nyimbo bora kutoka njombe
@eleganthomesolutions4 жыл бұрын
WOW WIMBO MZURI SANA..... 👌👌👍👍
@buza3449 Жыл бұрын
Kazin nzur Amina sana
@jackytuyi88995 жыл бұрын
Hongera HT kazi nzuri sana
@reyjosee93905 жыл бұрын
Asanteni sana Nyevaa kamwenee
@emmanuellaizzer79505 жыл бұрын
Hongereni xana kwa ujumbe mzuri, Mungu awape saut nzuri cku zote
@ezekiangogo34303 жыл бұрын
Mavuno ni mengi watenda kazi wachache
@daimonmaranda82514 жыл бұрын
Holly trinity kazi yenu Nzuri Sana Mungu awabariki
@davidtengelei49144 жыл бұрын
Mungu awabariki sana.
@christianngeleshi59214 жыл бұрын
safi sana, hongereni mno.... naomba msaada wa nota zake ka inawezekana🙏
@monicamabonde7945 жыл бұрын
Safi sanaa mnajua kwakwer
@Aminaamina-cg8sf4 жыл бұрын
Ayubu na kuona katikautendaji wakazi kumtumikia mungu ipasavyo mbarikiwe wote mlioshiriki hongereni wimbo uko poa sana amiina
@richardchaula18604 жыл бұрын
Safi sana Wanakwaya, Hakika Kuna Raha tele ndani ya Kanisa Katoliki.
@beckychepngetich7585 жыл бұрын
Elli,Paul,flori,Noel,Evans,John, Florian,Dennis I cannot mention everyone but I pray for you everyday
@frankmakeula45064 жыл бұрын
Uvikanjo Njombe hongera kwa ujumbe mzuri Mungu awe nanyi
@ruisnkana53224 жыл бұрын
S Safi sana uvikanjo.
@evancemwankenja10525 жыл бұрын
Kazi njema kbsa. Mungu awabariki sana.
@gelmanusmwashiozya62165 жыл бұрын
tumuombe bwana wa mavuno apeleke watenda kazi
@simonbassop30475 жыл бұрын
Bonjour je suis à tous les jours qui suivent la semaine du mois d'août
@simonbassop30475 жыл бұрын
Bonjour je vous souhaite une bonne journée à vous allez tous bien fort et je vous souhaite une bonne journée à tous et toutes mes excuses