Mgombea tulimpata nae alikuwa magufuli na ametutoka kama ulivyo taka kwenye hatua hii baba nyerere lakini ametutoka mungu amlaze mahali pema peponi amina
@TheFire_Gamer3 жыл бұрын
Mbona tukianza skuli tulikua tukiulizwa wewe ni nani muhindi, muarabu au mshirazi kwa nn
@issamunga90393 жыл бұрын
Nani aliyemtaka huyo acha ulisha watu ujinga.
@RajabuKibwana-jd2to4 ай бұрын
Pp
@PhilipoMwita-wc1ku28 күн бұрын
Peponi wakati alikua anasapoti maaskari kuwaua watu Huyu alituchafulia uchaguzi kwasasa tunaviongoz wakijinga wasiojua majukumu Yako viongozi ambao hawana baraka za mungu
@margarethpolepole743828 күн бұрын
Toa ujingq wako@@TheFire_Gamer
@aminielyohana30523 жыл бұрын
Mungu baba wa mbinguni akulaze mahala pemaaa aminaaa
@makoyesospeter9443 жыл бұрын
Kwel shujaa wet
@sabrinaiboma24443 жыл бұрын
Kweli SHUJAAA
@thabitbakari67333 жыл бұрын
Hakika tunafanyia kazi maono yako mwalimu jk nyerere🙏🙏🙏
@victormpandula32472 жыл бұрын
Mh!!
@hassanmfaume4522 Жыл бұрын
Maono gn alikuwa nayo wewe unamjua vizuri huyu au unafata mkumbo tu wa kusifu sifu watu😅😅😅
@jmunyirimunyiri97833 жыл бұрын
Hekima yote hii ndani ya kichwa kimoja? Kifo hakina huruma jameni. Twakuenzi Mwalimu
@elizabetjohn17085 жыл бұрын
Uliyo yasema yote yametimia mwalimu upumzike kwa. Aman baba
@lightmoonsophiatv54333 жыл бұрын
Kimwili hauko nasi kiroho tuko nawe mungu yu mwema
@twaliathandrea66103 жыл бұрын
Nilikuwa naona wazazi wangu nababu wanalia kwa msiba wa Nyerere nawashangaa. Najiuliza hivi huu si uchimbi huu. Mtu hamfahamian nakulia kukosa raha! Hii iliponifika kwa Rais wetu alipokufa nikajua maumivu waliyoyapata. Ndo nimejua walimpenda kuwaweka huru. Walilia kwa sbb km hapa ambavyo naumia nalia naugulia donda kwa Rais wetu
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Hee mwenzangu mm basi juzi nili jiuliza hizi kumbe ndio mana wakati wa msiba wa nyerere wazazi wetu walifazaika? Hivi kwanini mawazo yetu saa zingine Yana fikili jambo moja
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Alikufamimi nikiwa na miaka 22,lkn nilimjua kwa namna yngu niliumia nilianza Julia alipokuwa anaumwa Sana,alipokufa niliteseka Sana,na sasa Magufuli ananiliza.
@felistamsuya62023 жыл бұрын
kwakweli twalia mwee
@margarethpolepole743828 күн бұрын
@@jenyyusuph4973 Hata wewe Baba yako akifa utamkumbukq kwa malezi mpaka hapo ulipofikia
@anoldnelson20493 жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani mashuja wa nchi yetu 😭😭😭😭😭
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
😭😭😭Naumia
@mathiaselikana75863 жыл бұрын
@@hadijamagufuli2661 ahl
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Wanapumzikaje kwa amani wauaji wa raia zao kaburini na mbele ya haki?Hao wawili wote walikuwa wauaji wa binadamu wenzao wanyonge.Usijitie ujingani
Siku zote kazi ya mungu haina makosa hatutawasahau mashujaa was Tanzania kama jk nyerere pamoja na jpm , rest in piece forever
@dennisomanyo76463 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu,tubariki na sisi kenya viongozi wa namna hii.
@vincentnyabuto460511 ай бұрын
Kweli
@nasrahassan7346 Жыл бұрын
mpumzike kwa Amani ma shujaa wetu tz mungu awape mpumziko na mfurahi huko mbinguni Amina❤
@samsonjuma5618 Жыл бұрын
Asante sana mzee wetu..uliyejaliwa neema na hekima kutoka kwa MUNGU.. MUNGU akukumbuke
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@mariammkungirwa41993 жыл бұрын
Nyerere
@andrewawuor79823 жыл бұрын
Magufuli was a man in action.Although they killed him,But his spirit is alive.
@amnesalum89433 жыл бұрын
Thanks so much bro 🙏💯
@ibrahimdaffa9173 жыл бұрын
Welcome Tanzania unforgettable landa .We ever and ever get a strong leader like Magufuli ,my be after 100 years latter
@emmanuelkereto43442 жыл бұрын
You're wright my friend. Our Magufuli was a very honest man. We never get a such president before. And now will be very had to get a President like him, only God knows what is going to happen in our country. Because we even started to suffer again ever since he left. May God make him rest in peace wherever he is.
@jumadeo47634 жыл бұрын
Heri kufa kwa busara zilizo hai kuliko kuishi kwa busara zilizo kufa busara zako bado zinaishia baba
@sambayetisfamily21163 жыл бұрын
Ni kweli
@watsonkatende28923 жыл бұрын
Mpokee mwanao mwanamapinduzi halisi ulietabili kuwa atakuja kuwaletea maendeleo watanzania amefanya na ametuacha baba mpokee apimzike kwa amani
@alexvyagusa85563 жыл бұрын
.. #
@frankmwandike28003 жыл бұрын
Yyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyytt
@jongosalehe10363 жыл бұрын
Kweli
@harmodirect36882 жыл бұрын
Watson katende umezinguah
@khadijakassi99413 жыл бұрын
Baba tulimpata mrithi wako aliibeba tanzania kwayote ulioyataja lakini ametutoka kama upepo hatuamini yani kama masihala hatuna lakusema tumeamini kwakua tumemuona kwenye jeniza inauma sana mungu ilaze roho yake mahali pema amin
@issamunga90393 жыл бұрын
Huyo hakuwa mrithi wake .
@adamfundikira45562 жыл бұрын
@@issamunga9039 alikua Nani kichwa chako
@issamunga90392 жыл бұрын
@@adamfundikira4556 alikuwa dikteta aliye wahifadhi watu wasiojulikana.
@adamfundikira45562 жыл бұрын
@@issamunga9039 mmmh kumbe na Samia je
@issamunga90392 жыл бұрын
@@adamfundikira4556 huoni tofauti ? Huyu ni muislamu na huyo hakuwa na heshimu hata viongozi wake wa fini.
@baisintudhu67422 жыл бұрын
I liked Mwalimu's phylosophy and leadership
@emanila58453 жыл бұрын
May the Lord receive you our worriors in Glory,Amen
@imanimelchiory47263 жыл бұрын
Siku zote unabii huwa hautimii kwa muda huo huo, ndiyo maana ilipita miaka kadhaa kumpata Kiongozi aliyetabiriwa lakini Sasa ametutoka. Mungu ana makusudio yake
@abisahdamuyao16473 жыл бұрын
Dah aridhi huwa inameza myamba sana mungu bhana acha aitwe mungu make hakuna kama yeye hakuzaa wala hakuzaliwa
@alexmutua95683 жыл бұрын
And that's how the foundations of a great country were laid!
@mathiaselikana75863 жыл бұрын
Jfmc
@mathiaselikana75863 жыл бұрын
Mhuuu
@KhalfanMassoud4 ай бұрын
❤
@oscarkasalile84423 жыл бұрын
Babu mpokee kijana wako mzee wetu John pombe magufuli maana alierithi mambo uliyokuwa unayoyafanya, ila hayupo tena tuombeeni huko mliko mungu awapumzishe kwa amani.
@janethkidemi9751 Жыл бұрын
Amina
@timothmwakakusyu45633 жыл бұрын
J. K. Nyerere na J. P. Magufuli mlale mahali pema peponi, ninyi ndo maraisi wangu bora kuwahi tokea
@sarahsimon92283 жыл бұрын
Tulikuenz baba japo wengine atukukuta lkn pia. We still suffer for our supper hero magufuli😭😭😭😭😭
@watsonkatende28923 жыл бұрын
Kati ya watu ambao walitutoka komwili Ila bado unaishi kwenye roho za watanzania wote kwa yali uliyokuwa ukiyaongea wakati upo na yanatokea Hadi Sasa Karne ya 21 . Mungu akupumzishe na mwanga wa milele akupe eebwana
@salomefelix2052 Жыл бұрын
Mwenye heri.
@wisemanking001 Жыл бұрын
Sio kwa watz tu Mkuu... mimi mkenya lakini hotuba za Nyerere na JPM ni faida sana kwangu!!!
@rosemarryjohn13763 жыл бұрын
Hakika tulimpenda sana mungu ame mpenda zaidi yetu
@victormathu66893 жыл бұрын
Shida ya kenya mpaka sahi ni ukabila....upuzi mtupu..mimi mkenya na bado jambo hili laniudhi kabisa
@maryamabdallah31403 жыл бұрын
In shaa Allah yatapita hayo tunawaombea@Victor
@innocentsanga93473 жыл бұрын
Ipo ckui utaishaa broo
@alfanm.82213 жыл бұрын
Ni kweli unachoongea na kimekuwa kidonda sugu mungu atunusuru na hili janga maana wanasiasa ndo chanzo cha makabila hapa kenya.
@denisimweji45042 жыл бұрын
Msijali Mungu atajalia yatapita tu..🇹🇿🇹🇿
@herryfesto10944 ай бұрын
D😮😢😢😢😢io09😊😊😊 😊😅😅@@alfanm.8221
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Yn ikikichwa ndo sawa sawa na cha magufur baba yn ivi ndo bichwa vilikuwa ktk nchi yetu na angekuwa ai uyu akakutana na baba magu page noga
@joshuageradi1657 Жыл бұрын
Baba ulituacha mahari pazur hakika tutakuezi daima. Pumzika kwaamani baba🙏
@jumalameck16563 жыл бұрын
Maneno yako mwalimu nyerere yalikuwa niyaukweli mtupu hakika rais magufuli ulimtabiria ukweli ila mw1mungu amempenda mungu ailaze roho ya magufuli peponi amina
@heatherwanjuguna46293 жыл бұрын
What a great orator, what a heartfelt speech, what genuine concern for the people.
@lightmoonsophiatv54333 жыл бұрын
Tulipata jembe jpm tulimpenda ila mungu kampenda zaidi
@isackamoss36873 жыл бұрын
Kweli baba magufur ameyakamilisha
@kinlee80353 жыл бұрын
Raisi tuliyempata kama zawadi ametutoka ambae ulimtabiri pia TUTAWAKUMBUKA SANA MALEGEND WA TANZANIA MASHUJAA WA AFRICA
@johnkimaro854011 ай бұрын
Nahis Kuna watu Mungu anewachagua; Mungu atusaidie sana maana watu wamekuwa na tamaa ya Mali na kusahau ubinadamu, Huwa nalia sana Kwa sababu ya magufuli Mfugale Kijazi nawaombea sana.
@alexandermutakha8825 ай бұрын
A patriotic leader of vision for his country.
@rizikichengula56733 жыл бұрын
Kweri raisi magufuri hatuta msahau kamwe
@richardboaz-mashagospel23463 жыл бұрын
Na walikua wanamtaka JPM, sasa hilo jamaa linajiita lissu, hakuna mwananchi anayelielewa.....zaidi ya vibaraka.....majambazi ya kizungu, litetezi la wezi wa madini, linatamaa ya kuvunja Amani ya nchi. Yaani halifai kabisa
@taturajabu59773 жыл бұрын
Halifai hata kwa kulumagia hilo kibaraka wa wabeligij
@ramadhanichinyanya36083 жыл бұрын
Nalitakufa vibaya sana lilisu silipendi
@trisamilob36523 жыл бұрын
Yani mm huyo kiumbe lisu sitaki hata nimusikie make namuona Kama ibilis aliyetupwa tanzania
@taturajabu59773 жыл бұрын
@@trisamilob3652 hasewaa
@trisamilob36523 жыл бұрын
Ndo inamaana gano
@dannyosolo27523 жыл бұрын
Rest Baba Nyerere& Magufuli...the two greatest African Presidents after Mandela
@coolruler68202 жыл бұрын
Mandela alikuwa kibaraka wa wazungu, kipindi chake makaburu ndio waliomiliki uchumi wa Waafrika kusini ,,,,,,,ukisema Magufuli ni sawa,,,yeye alipambana na wezi wote wa rasilimali zetu
@elibarikipeter Жыл бұрын
@@coolruler6820 sd
@melaneniyoyita81983 жыл бұрын
Tutamkumbuka milele na milele. Magufuli shuja wuja.
@josephvenus32593 жыл бұрын
🤔🤔🤔👋👋 🦁🦁 Simba wa Afrika R.R.I.P OUR LOVELY PRESIDENT OF TANZANIA AND AFRICA IN GENERAL
@stanleymollel33583 жыл бұрын
🙏
@ayishaayisha80533 жыл бұрын
Kweli baba.mungu akurehemu pia
@suzanamabula20993 жыл бұрын
Baba nilimpata kiongozi ila Mungu kampenda tena
@rajayofficial49163 жыл бұрын
Nabaki tu natabasamu nikimuangalia uyu shujaa
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Kote uko baba magu kapita yn sehemu ngumu zote yy ndo kazitatuwa maguful mashaalah allha akupe mwanga baba wamlilele😭😭😭
@edinaally83773 жыл бұрын
Hakika amejitahidi alipoweza laiti km raho ya mwl nyerere ikimpokea itafurahi pamojanae
@sethiaksanti26473 жыл бұрын
Que vive l'Afrique, vive la Rdc sans oublier la Tanzanie 🇹🇿.
@AmaniLekule Жыл бұрын
Amani lekule😢🎉
@AmaniLekule Жыл бұрын
Jivgd ddgg yu LMC zD du
@dominarwechungura39843 жыл бұрын
Huyu baba Alikuwa Na maono
@subirajohn7283 жыл бұрын
Alikuwa na maono makali Sana! Mwenyezimungu wapumzishe Kwa amani mashujaa wetu wajalie pepo isiyo na mwisho!
@mahmoodalsubhi16193 жыл бұрын
Amiin yaraby
@dr.erickjmazyala89055 ай бұрын
Tumekuwa na marais wazuri sana, Mungu ametupendelea sana watz, na atatupa tena rais mwenye viwango hivyo hivi karibuni! Mungu azidi ibariki Tanzania.
@ElizabethJoseph-vj7zr11 ай бұрын
Kweli wewe ilikuwa baba was kweli sio was kambo mungu akubariki na akuweke mahalo pema"amen
@suleimankiumwa53285 жыл бұрын
Allha akupe kauli sabiti baba wataifa, 2takukumbuka daimaa
@yakobomuna27774 ай бұрын
Asante sana hayati raisi wetu J.K.Nyerere. kwa kuondoa ukabila nchini kwetu.
@plisteradundo76033 жыл бұрын
R.I.P. we love you forever President Nyerere
@mayaally25123 жыл бұрын
Anachokisema baba wa taifa tulimpata mtu ambae hupepesi maneno
@chezariboy Жыл бұрын
Nyerere Mungu akusamehe ulipojikwaa hakika tutakukumnuka mpaka mwisho was dahari,, na kamwe hatujawahi kupata anaefanana na wewe nyerere mpaka leo, tumekuwa tunapata wakiogozi wabinafsi wachoyo wanaopendelea chama na kuweka chaguzi zenye zambi nyekundu Kwa kupitisha rafiki zao na kutumia nec vibaya kwamba wamepita bila kupigwa mamia ya watu wamefungwa wengine hawakutaka kujadili juu ya katiba mpya wala mazungumzo ya pamoja na wasio was chama tawala,, NYERERE HAKUNA WA KUKUIGA HATA ONGEA YAKO HAINA UJANJAUJANJA,, STAY BLESSED NYERERE, YOU REAL LOVED YOUR NATION.
@luhilovenance58133 жыл бұрын
Tutayakumbuka maneno yako Jk Nyerere
@saldonichalisi22193 жыл бұрын
KWELI,MUNGU WA KWELI hana dini wala dhehebu .
@fridajosephyusif43643 жыл бұрын
Mzee wa maono Rip nyerere
@mbuifesto43253 жыл бұрын
Kila mwenye maono huongozwa na nafsi ya iman# hakika Mwl alikuwa kiongozi imara na aliyekidhi matakwa ya watanzania wote
@pendomarco89283 жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani mwlm Nyerere na JPM
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Wanapumzikaje kwa amani wakati wamedhulumu roho za binadamu wenzao?Au unaomba dua hii kwa sababu katika wengi wa waliouliwa hayumo baba yako,mjomba yako au kaka yakoSio?Basi ujue wamo wa wenzio.Hiyo ni roho mbaya ya nafsi ya kichawi hivyo ndivyo ulivyo.
@simonemmanuel49693 жыл бұрын
Hakika
@immahkobeh39295 жыл бұрын
Ndiyo kiongozi pekee wa taifa LA Tanzania hakuna wa kulivaa viatu vyake mwalimu nyerere punzika kwa Amani baba yetu mpendwa
@bokergamaa9415 жыл бұрын
Ndio kiongozi ninaye mkubali mm
@jordanclassic78493 жыл бұрын
Magu je?
@ibrahimngurungu56073 жыл бұрын
@@jordanclassic7849 huyu na magu ndo watu ambao naweza kuwaelewa katka marais wote waliopita
@timothmwakakusyu45633 жыл бұрын
@@ibrahimngurungu5607 hata mimi jpm na huyu
@issamunga90393 жыл бұрын
@@timothmwakakusyu4563 wote hao walikumbatia ujamaa siasi mbaya kuliko zote duniani , wanao itekeleza ni madikteta ushwara ambao hawapendi maendeleo ya watu.
@HassanNoor-pk2fm Жыл бұрын
😢😢😢😢😢baba umeenda ungekuwepo basi tungekuwa mbali sana
@fridajosephyusif43643 жыл бұрын
Kumbe magufuli alifata maneno ya baba wa taifa ndio maana kaweza rip magufuli
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Ni kweli wanafanana hata tabia zao ,Nyerere kaua Wazanzibar kibao maelfu kutokana na mapinduzi alitoyafanya kule.Makufuli kaua raia zske kibao hapa aTanzania bara akiwemo Ben Saa Nane ,Azory Gamba na mamia ya watu yaliyokua yakiokotwa kwenye viroba pwani bichi Wanapumzikaje kwa amani na roho za watu walizozitanguliza kwa dhulma?Tusiwe wajinga.
@all-victorious215611 ай бұрын
@@maulidimuhammed7851 Mjinga ni wewe , peleka ushoga kwenu Zanzibar. Msenge kabisa !
@marionsteven81985 жыл бұрын
we mic u so much hero. jk nyerere.. may rest in internal soul peace dady...
@sospetersekela93643 жыл бұрын
Huyo mzee n kichwa..
@Ramadhanimsingwa3 жыл бұрын
Dhati ya moyo wangu nilimpenda Mwl Nyerere raisi Wa kwanza na Dr John Magufuli raisi Wa tano niliwapenda kwa moyo wangu wote walinivutia kwa kazi na kutetea wananchi Mungu awasamehe awape pepo ya daraja Tuwaobee ameni
@pastornolbertletema51783 жыл бұрын
Asante magufuri
@athumanhussen26923 жыл бұрын
Huyu mzee alikuwa comfortable
@DanijParaa Жыл бұрын
Mwalimu nyerere yuko sawa tumkumbuke sana baba yetu wa taifa
@munirimkwayu16923 жыл бұрын
Awamu zote magufuli namwalim nyerere walikuwa zaidi yaviongoz bora Africa nawakuigwa Mambo yao .
@rajabuhondo49733 жыл бұрын
Kwer tuli mpataa huyo kiukwer katimiza yakee ya liokuwa yaki hitajika. Mupumzike kwa Aman
@kawiche49113 жыл бұрын
Mwalimu NYERERE Dr John Joseph POMBE MAGUFULI Nyayo zenu tutafuata ALUTA continua Mapambano bado yanaendelea
@kelvinmtavangu7701 Жыл бұрын
IN SWAHILI NYERERE SAID: PEOPLE ARE POOR WITHIN A RICH COUNTRY TANZNIA WITH MAJESTIC NATURAL RESOURCES. RIP OUR FATHER.
@joycemgaya16053 жыл бұрын
Tutawakumbuka daima viongozi wetu Pumzikeni kwa amani😭😭😭😭
@peninajohn80473 жыл бұрын
Ö .olp
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Wanapumzikaje kwa amani wauwaji?Wadini na wakabila .
@mandelasakara-no3bw Жыл бұрын
Mungu awaweke maali pema peponi Amina 🙏
@Yonadaudi-ud9vd9 ай бұрын
How you can most important leader struggle for our nation R.I.P our beloved leader
@zakariachacha84473 жыл бұрын
Mzee wetu baba was taifa nitakumbuka siku zote
@mshindimshindi91203 жыл бұрын
Tuungane Sasa Watanzania tuache ujinga wa makabila Na uchama
@georgeshamba60273 жыл бұрын
Hotuba ya Nyerere yenye busara Sana na muhimu sana.
@KesaleMotela-lq7hg11 ай бұрын
Daaaaaa mzee wa taifa ili alikuwa mwamba Sana na John pombe Joseph magufuli na alikuwa mwamba Sana R.I.P kwa wote
@swafaasaid48053 жыл бұрын
tunakukumbuka sana baba wa taifa mungu akuweke panaposthiki
@evajoseph40222 жыл бұрын
Mwl Nyerere fought corruption, tribalism nor did he discriminate any one. But we have witnessed discrimination in religion to the extent of exposing the followers of a certain religion to put on uniforms even in public offices, schools etc. Past 5 yrs tribalism took us to a dark corner. Northern tribes and some few tribes from Lake zone who were in public service were unlawfully sacked some oppressed, abused to force them to quit office etc. Other principle officers of the forced their junior officers to communicate in their vernacular (kisukuma) so that other officers from different tribes would not understand. Thank God for saving us from such hatred. We are one again thank you your Excellency Samia Suluhu Hassan our lovely President of the United Republic of Tanzania😘😘😘
@sarahdamas67243 жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba byeeeee na mwanao magufuri
@mshindimshindi91203 жыл бұрын
BUSARA KAMA Hii itakuwa shida kuipata.
@HassanNoor-pk2fm Жыл бұрын
Mashujaa wainji yetu ya Tanzania wako wawili tuu Mangu fuli na baba wa taifa enendeni mkapumzike salama😢😢😢
Uhuru na kazi hapa kazi tu na Mungu anasema asiye fanya kazi asile mbarkiwe
@masudikaswala78983 жыл бұрын
Kijana wako ametuacha .Utendaji wake utaishi karine mbili
@user-iy2ik6lp9t10 ай бұрын
Mungu awaweke mahali pema patulivu waliotangulia mbele za haki, na awalinde wale wote wanao endelea kujitoa kwa kusimamia haki ya Kila mmoja milele AMINA.
@hilalikitabu52293 жыл бұрын
mungu akupumzishe baba yetu wa tz
@simkotec30913 жыл бұрын
Nyerere never saw Magufuli coming....
@frankfidelis75513 жыл бұрын
Nyerere utaenziwa daima hotuba hii ni kiboko yao
@mimimoop26173 жыл бұрын
Mabadiliko tumeyaona kwa JPM ndani ya miaka 5 hakika ulimtabiria,
@martinmasinde33733 жыл бұрын
Mzee alinena ila mungu nimwema
@husseinnyanda12303 жыл бұрын
Maneno yanayoendelea kuishi
@cliffjackma33742 жыл бұрын
wonderful speech 🔥
@joycemgaya1605 Жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani viongozi wetu daima tutawakumbuka😭😭😭😭