Hotuba ya MWALIMU Nyerere iliyosisimua zaidi ilivyo mtabiri Rais JPM

  Рет қаралды 1,157,300

BINGO ONLINE TZ

BINGO ONLINE TZ

5 жыл бұрын

#kumbukumbuyamwalimu #nyerere

Пікірлер: 529
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Mgombea tulimpata nae alikuwa magufuli na ametutoka kama ulivyo taka kwenye hatua hii baba nyerere lakini ametutoka mungu amlaze mahali pema peponi amina
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer 3 жыл бұрын
Mbona tukianza skuli tulikua tukiulizwa wewe ni nani muhindi, muarabu au mshirazi kwa nn
@issamunga9039
@issamunga9039 3 жыл бұрын
Nani aliyemtaka huyo acha ulisha watu ujinga.
@RajabuKibwana-jd2to
@RajabuKibwana-jd2to 4 ай бұрын
Pp
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 28 күн бұрын
Peponi wakati alikua anasapoti maaskari kuwaua watu Huyu alituchafulia uchaguzi kwasasa tunaviongoz wakijinga wasiojua majukumu Yako viongozi ambao hawana baraka za mungu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 28 күн бұрын
Toa ujingq wako@@TheFire_Gamer
@aminielyohana3052
@aminielyohana3052 3 жыл бұрын
Mungu baba wa mbinguni akulaze mahala pemaaa aminaaa
@makoyesospeter944
@makoyesospeter944 3 жыл бұрын
Kwel shujaa wet
@sabrinaiboma2444
@sabrinaiboma2444 3 жыл бұрын
Kweli SHUJAAA
@thabitbakari6733
@thabitbakari6733 3 жыл бұрын
Hakika tunafanyia kazi maono yako mwalimu jk nyerere🙏🙏🙏
@victormpandula3247
@victormpandula3247 2 жыл бұрын
Mh!!
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 Жыл бұрын
Maono gn alikuwa nayo wewe unamjua vizuri huyu au unafata mkumbo tu wa kusifu sifu watu😅😅😅
@jmunyirimunyiri9783
@jmunyirimunyiri9783 3 жыл бұрын
Hekima yote hii ndani ya kichwa kimoja? Kifo hakina huruma jameni. Twakuenzi Mwalimu
@elizabetjohn1708
@elizabetjohn1708 5 жыл бұрын
Uliyo yasema yote yametimia mwalimu upumzike kwa. Aman baba
@lightmoonsophiatv5433
@lightmoonsophiatv5433 3 жыл бұрын
Kimwili hauko nasi kiroho tuko nawe mungu yu mwema
@twaliathandrea6610
@twaliathandrea6610 3 жыл бұрын
Nilikuwa naona wazazi wangu nababu wanalia kwa msiba wa Nyerere nawashangaa. Najiuliza hivi huu si uchimbi huu. Mtu hamfahamian nakulia kukosa raha! Hii iliponifika kwa Rais wetu alipokufa nikajua maumivu waliyoyapata. Ndo nimejua walimpenda kuwaweka huru. Walilia kwa sbb km hapa ambavyo naumia nalia naugulia donda kwa Rais wetu
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 3 жыл бұрын
Hee mwenzangu mm basi juzi nili jiuliza hizi kumbe ndio mana wakati wa msiba wa nyerere wazazi wetu walifazaika? Hivi kwanini mawazo yetu saa zingine Yana fikili jambo moja
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 3 жыл бұрын
Alikufamimi nikiwa na miaka 22,lkn nilimjua kwa namna yngu niliumia nilianza Julia alipokuwa anaumwa Sana,alipokufa niliteseka Sana,na sasa Magufuli ananiliza.
@felistamsuya6202
@felistamsuya6202 3 жыл бұрын
kwakweli twalia mwee
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 28 күн бұрын
@@jenyyusuph4973 Hata wewe Baba yako akifa utamkumbukq kwa malezi mpaka hapo ulipofikia
@anoldnelson2049
@anoldnelson2049 3 жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani mashuja wa nchi yetu 😭😭😭😭😭
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
😭😭😭Naumia
@mathiaselikana7586
@mathiaselikana7586 3 жыл бұрын
@@hadijamagufuli2661 ahl
@maulidimuhammed7851
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Wanapumzikaje kwa amani wauaji wa raia zao kaburini na mbele ya haki?Hao wawili wote walikuwa wauaji wa binadamu wenzao wanyonge.Usijitie ujingani
@rosemaryeliahu5779
@rosemaryeliahu5779 3 жыл бұрын
14/10/1999,17/3/2021,legends died,tutawakumbuka daima
@jemedarikalimas7788
@jemedarikalimas7788 2 жыл бұрын
Siku zote kazi ya mungu haina makosa hatutawasahau mashujaa was Tanzania kama jk nyerere pamoja na jpm , rest in piece forever
@dennisomanyo7646
@dennisomanyo7646 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu,tubariki na sisi kenya viongozi wa namna hii.
@vincentnyabuto4605
@vincentnyabuto4605 11 ай бұрын
Kweli
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 Жыл бұрын
mpumzike kwa Amani ma shujaa wetu tz mungu awape mpumziko na mfurahi huko mbinguni Amina❤
@samsonjuma5618
@samsonjuma5618 Жыл бұрын
Asante sana mzee wetu..uliyejaliwa neema na hekima kutoka kwa MUNGU.. MUNGU akukumbuke
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@mariammkungirwa4199
@mariammkungirwa4199 3 жыл бұрын
Nyerere
@andrewawuor7982
@andrewawuor7982 3 жыл бұрын
Magufuli was a man in action.Although they killed him,But his spirit is alive.
@amnesalum8943
@amnesalum8943 3 жыл бұрын
Thanks so much bro 🙏💯
@ibrahimdaffa917
@ibrahimdaffa917 3 жыл бұрын
Welcome Tanzania unforgettable landa .We ever and ever get a strong leader like Magufuli ,my be after 100 years latter
@emmanuelkereto4344
@emmanuelkereto4344 2 жыл бұрын
You're wright my friend. Our Magufuli was a very honest man. We never get a such president before. And now will be very had to get a President like him, only God knows what is going to happen in our country. Because we even started to suffer again ever since he left. May God make him rest in peace wherever he is.
@jumadeo4763
@jumadeo4763 4 жыл бұрын
Heri kufa kwa busara zilizo hai kuliko kuishi kwa busara zilizo kufa busara zako bado zinaishia baba
@sambayetisfamily2116
@sambayetisfamily2116 3 жыл бұрын
Ni kweli
@watsonkatende2892
@watsonkatende2892 3 жыл бұрын
Mpokee mwanao mwanamapinduzi halisi ulietabili kuwa atakuja kuwaletea maendeleo watanzania amefanya na ametuacha baba mpokee apimzike kwa amani
@alexvyagusa8556
@alexvyagusa8556 3 жыл бұрын
.. #
@frankmwandike2800
@frankmwandike2800 3 жыл бұрын
Yyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyytt
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 3 жыл бұрын
Kweli
@harmodirect3688
@harmodirect3688 2 жыл бұрын
Watson katende umezinguah
@khadijakassi9941
@khadijakassi9941 3 жыл бұрын
Baba tulimpata mrithi wako aliibeba tanzania kwayote ulioyataja lakini ametutoka kama upepo hatuamini yani kama masihala hatuna lakusema tumeamini kwakua tumemuona kwenye jeniza inauma sana mungu ilaze roho yake mahali pema amin
@issamunga9039
@issamunga9039 3 жыл бұрын
Huyo hakuwa mrithi wake .
@adamfundikira4556
@adamfundikira4556 2 жыл бұрын
@@issamunga9039 alikua Nani kichwa chako
@issamunga9039
@issamunga9039 2 жыл бұрын
@@adamfundikira4556 alikuwa dikteta aliye wahifadhi watu wasiojulikana.
@adamfundikira4556
@adamfundikira4556 2 жыл бұрын
@@issamunga9039 mmmh kumbe na Samia je
@issamunga9039
@issamunga9039 2 жыл бұрын
@@adamfundikira4556 huoni tofauti ? Huyu ni muislamu na huyo hakuwa na heshimu hata viongozi wake wa fini.
@baisintudhu6742
@baisintudhu6742 2 жыл бұрын
I liked Mwalimu's phylosophy and leadership
@emanila5845
@emanila5845 3 жыл бұрын
May the Lord receive you our worriors in Glory,Amen
@imanimelchiory4726
@imanimelchiory4726 3 жыл бұрын
Siku zote unabii huwa hautimii kwa muda huo huo, ndiyo maana ilipita miaka kadhaa kumpata Kiongozi aliyetabiriwa lakini Sasa ametutoka. Mungu ana makusudio yake
@abisahdamuyao1647
@abisahdamuyao1647 3 жыл бұрын
Dah aridhi huwa inameza myamba sana mungu bhana acha aitwe mungu make hakuna kama yeye hakuzaa wala hakuzaliwa
@alexmutua9568
@alexmutua9568 3 жыл бұрын
And that's how the foundations of a great country were laid!
@mathiaselikana7586
@mathiaselikana7586 3 жыл бұрын
Jfmc
@mathiaselikana7586
@mathiaselikana7586 3 жыл бұрын
Mhuuu
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 4 ай бұрын
@oscarkasalile8442
@oscarkasalile8442 3 жыл бұрын
Babu mpokee kijana wako mzee wetu John pombe magufuli maana alierithi mambo uliyokuwa unayoyafanya, ila hayupo tena tuombeeni huko mliko mungu awapumzishe kwa amani.
@janethkidemi9751
@janethkidemi9751 Жыл бұрын
Amina
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 3 жыл бұрын
J. K. Nyerere na J. P. Magufuli mlale mahali pema peponi, ninyi ndo maraisi wangu bora kuwahi tokea
@sarahsimon9228
@sarahsimon9228 3 жыл бұрын
Tulikuenz baba japo wengine atukukuta lkn pia. We still suffer for our supper hero magufuli😭😭😭😭😭
@watsonkatende2892
@watsonkatende2892 3 жыл бұрын
Kati ya watu ambao walitutoka komwili Ila bado unaishi kwenye roho za watanzania wote kwa yali uliyokuwa ukiyaongea wakati upo na yanatokea Hadi Sasa Karne ya 21 . Mungu akupumzishe na mwanga wa milele akupe eebwana
@salomefelix2052
@salomefelix2052 Жыл бұрын
Mwenye heri.
@wisemanking001
@wisemanking001 Жыл бұрын
Sio kwa watz tu Mkuu... mimi mkenya lakini hotuba za Nyerere na JPM ni faida sana kwangu!!!
@rosemarryjohn1376
@rosemarryjohn1376 3 жыл бұрын
Hakika tulimpenda sana mungu ame mpenda zaidi yetu
@victormathu6689
@victormathu6689 3 жыл бұрын
Shida ya kenya mpaka sahi ni ukabila....upuzi mtupu..mimi mkenya na bado jambo hili laniudhi kabisa
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 3 жыл бұрын
In shaa Allah yatapita hayo tunawaombea@Victor
@innocentsanga9347
@innocentsanga9347 3 жыл бұрын
Ipo ckui utaishaa broo
@alfanm.8221
@alfanm.8221 3 жыл бұрын
Ni kweli unachoongea na kimekuwa kidonda sugu mungu atunusuru na hili janga maana wanasiasa ndo chanzo cha makabila hapa kenya.
@denisimweji4504
@denisimweji4504 2 жыл бұрын
Msijali Mungu atajalia yatapita tu..🇹🇿🇹🇿
@herryfesto1094
@herryfesto1094 4 ай бұрын
D😮😢😢😢😢io09😊😊😊 😊😅😅​@@alfanm.8221
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 жыл бұрын
Yn ikikichwa ndo sawa sawa na cha magufur baba yn ivi ndo bichwa vilikuwa ktk nchi yetu na angekuwa ai uyu akakutana na baba magu page noga
@joshuageradi1657
@joshuageradi1657 Жыл бұрын
Baba ulituacha mahari pazur hakika tutakuezi daima. Pumzika kwaamani baba🙏
@jumalameck1656
@jumalameck1656 3 жыл бұрын
Maneno yako mwalimu nyerere yalikuwa niyaukweli mtupu hakika rais magufuli ulimtabiria ukweli ila mw1mungu amempenda mungu ailaze roho ya magufuli peponi amina
@heatherwanjuguna4629
@heatherwanjuguna4629 3 жыл бұрын
What a great orator, what a heartfelt speech, what genuine concern for the people.
@lightmoonsophiatv5433
@lightmoonsophiatv5433 3 жыл бұрын
Tulipata jembe jpm tulimpenda ila mungu kampenda zaidi
@isackamoss3687
@isackamoss3687 3 жыл бұрын
Kweli baba magufur ameyakamilisha
@kinlee8035
@kinlee8035 3 жыл бұрын
Raisi tuliyempata kama zawadi ametutoka ambae ulimtabiri pia TUTAWAKUMBUKA SANA MALEGEND WA TANZANIA MASHUJAA WA AFRICA
@johnkimaro8540
@johnkimaro8540 11 ай бұрын
Nahis Kuna watu Mungu anewachagua; Mungu atusaidie sana maana watu wamekuwa na tamaa ya Mali na kusahau ubinadamu, Huwa nalia sana Kwa sababu ya magufuli Mfugale Kijazi nawaombea sana.
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 5 ай бұрын
A patriotic leader of vision for his country.
@rizikichengula5673
@rizikichengula5673 3 жыл бұрын
Kweri raisi magufuri hatuta msahau kamwe
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 3 жыл бұрын
Na walikua wanamtaka JPM, sasa hilo jamaa linajiita lissu, hakuna mwananchi anayelielewa.....zaidi ya vibaraka.....majambazi ya kizungu, litetezi la wezi wa madini, linatamaa ya kuvunja Amani ya nchi. Yaani halifai kabisa
@taturajabu5977
@taturajabu5977 3 жыл бұрын
Halifai hata kwa kulumagia hilo kibaraka wa wabeligij
@ramadhanichinyanya3608
@ramadhanichinyanya3608 3 жыл бұрын
Nalitakufa vibaya sana lilisu silipendi
@trisamilob3652
@trisamilob3652 3 жыл бұрын
Yani mm huyo kiumbe lisu sitaki hata nimusikie make namuona Kama ibilis aliyetupwa tanzania
@taturajabu5977
@taturajabu5977 3 жыл бұрын
@@trisamilob3652 hasewaa
@trisamilob3652
@trisamilob3652 3 жыл бұрын
Ndo inamaana gano
@dannyosolo2752
@dannyosolo2752 3 жыл бұрын
Rest Baba Nyerere& Magufuli...the two greatest African Presidents after Mandela
@coolruler6820
@coolruler6820 2 жыл бұрын
Mandela alikuwa kibaraka wa wazungu, kipindi chake makaburu ndio waliomiliki uchumi wa Waafrika kusini ,,,,,,,ukisema Magufuli ni sawa,,,yeye alipambana na wezi wote wa rasilimali zetu
@elibarikipeter
@elibarikipeter Жыл бұрын
@@coolruler6820 sd
@melaneniyoyita8198
@melaneniyoyita8198 3 жыл бұрын
Tutamkumbuka milele na milele. Magufuli shuja wuja.
@josephvenus3259
@josephvenus3259 3 жыл бұрын
🤔🤔🤔👋👋 🦁🦁 Simba wa Afrika R.R.I.P OUR LOVELY PRESIDENT OF TANZANIA AND AFRICA IN GENERAL
@stanleymollel3358
@stanleymollel3358 3 жыл бұрын
🙏
@ayishaayisha8053
@ayishaayisha8053 3 жыл бұрын
Kweli baba.mungu akurehemu pia
@suzanamabula2099
@suzanamabula2099 3 жыл бұрын
Baba nilimpata kiongozi ila Mungu kampenda tena
@rajayofficial4916
@rajayofficial4916 3 жыл бұрын
Nabaki tu natabasamu nikimuangalia uyu shujaa
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 жыл бұрын
Kote uko baba magu kapita yn sehemu ngumu zote yy ndo kazitatuwa maguful mashaalah allha akupe mwanga baba wamlilele😭😭😭
@edinaally8377
@edinaally8377 3 жыл бұрын
Hakika amejitahidi alipoweza laiti km raho ya mwl nyerere ikimpokea itafurahi pamojanae
@sethiaksanti2647
@sethiaksanti2647 3 жыл бұрын
Que vive l'Afrique, vive la Rdc sans oublier la Tanzanie 🇹🇿.
@AmaniLekule
@AmaniLekule Жыл бұрын
Amani lekule😢🎉
@AmaniLekule
@AmaniLekule Жыл бұрын
Jivgd ddgg yu LMC zD du
@dominarwechungura3984
@dominarwechungura3984 3 жыл бұрын
Huyu baba Alikuwa Na maono
@subirajohn728
@subirajohn728 3 жыл бұрын
Alikuwa na maono makali Sana! Mwenyezimungu wapumzishe Kwa amani mashujaa wetu wajalie pepo isiyo na mwisho!
@mahmoodalsubhi1619
@mahmoodalsubhi1619 3 жыл бұрын
Amiin yaraby
@dr.erickjmazyala8905
@dr.erickjmazyala8905 5 ай бұрын
Tumekuwa na marais wazuri sana, Mungu ametupendelea sana watz, na atatupa tena rais mwenye viwango hivyo hivi karibuni! Mungu azidi ibariki Tanzania.
@ElizabethJoseph-vj7zr
@ElizabethJoseph-vj7zr 11 ай бұрын
Kweli wewe ilikuwa baba was kweli sio was kambo mungu akubariki na akuweke mahalo pema"amen
@suleimankiumwa5328
@suleimankiumwa5328 5 жыл бұрын
Allha akupe kauli sabiti baba wataifa, 2takukumbuka daimaa
@yakobomuna2777
@yakobomuna2777 4 ай бұрын
Asante sana hayati raisi wetu J.K.Nyerere. kwa kuondoa ukabila nchini kwetu.
@plisteradundo7603
@plisteradundo7603 3 жыл бұрын
R.I.P. we love you forever President Nyerere
@mayaally2512
@mayaally2512 3 жыл бұрын
Anachokisema baba wa taifa tulimpata mtu ambae hupepesi maneno
@chezariboy
@chezariboy Жыл бұрын
Nyerere Mungu akusamehe ulipojikwaa hakika tutakukumnuka mpaka mwisho was dahari,, na kamwe hatujawahi kupata anaefanana na wewe nyerere mpaka leo, tumekuwa tunapata wakiogozi wabinafsi wachoyo wanaopendelea chama na kuweka chaguzi zenye zambi nyekundu Kwa kupitisha rafiki zao na kutumia nec vibaya kwamba wamepita bila kupigwa mamia ya watu wamefungwa wengine hawakutaka kujadili juu ya katiba mpya wala mazungumzo ya pamoja na wasio was chama tawala,, NYERERE HAKUNA WA KUKUIGA HATA ONGEA YAKO HAINA UJANJAUJANJA,, STAY BLESSED NYERERE, YOU REAL LOVED YOUR NATION.
@luhilovenance5813
@luhilovenance5813 3 жыл бұрын
Tutayakumbuka maneno yako Jk Nyerere
@saldonichalisi2219
@saldonichalisi2219 3 жыл бұрын
KWELI,MUNGU WA KWELI hana dini wala dhehebu .
@fridajosephyusif4364
@fridajosephyusif4364 3 жыл бұрын
Mzee wa maono Rip nyerere
@mbuifesto4325
@mbuifesto4325 3 жыл бұрын
Kila mwenye maono huongozwa na nafsi ya iman# hakika Mwl alikuwa kiongozi imara na aliyekidhi matakwa ya watanzania wote
@pendomarco8928
@pendomarco8928 3 жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani mwlm Nyerere na JPM
@maulidimuhammed7851
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Wanapumzikaje kwa amani wakati wamedhulumu roho za binadamu wenzao?Au unaomba dua hii kwa sababu katika wengi wa waliouliwa hayumo baba yako,mjomba yako au kaka yakoSio?Basi ujue wamo wa wenzio.Hiyo ni roho mbaya ya nafsi ya kichawi hivyo ndivyo ulivyo.
@simonemmanuel4969
@simonemmanuel4969 3 жыл бұрын
Hakika
@immahkobeh3929
@immahkobeh3929 5 жыл бұрын
Ndiyo kiongozi pekee wa taifa LA Tanzania hakuna wa kulivaa viatu vyake mwalimu nyerere punzika kwa Amani baba yetu mpendwa
@bokergamaa941
@bokergamaa941 5 жыл бұрын
Ndio kiongozi ninaye mkubali mm
@jordanclassic7849
@jordanclassic7849 3 жыл бұрын
Magu je?
@ibrahimngurungu5607
@ibrahimngurungu5607 3 жыл бұрын
@@jordanclassic7849 huyu na magu ndo watu ambao naweza kuwaelewa katka marais wote waliopita
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 3 жыл бұрын
@@ibrahimngurungu5607 hata mimi jpm na huyu
@issamunga9039
@issamunga9039 3 жыл бұрын
@@timothmwakakusyu4563 wote hao walikumbatia ujamaa siasi mbaya kuliko zote duniani , wanao itekeleza ni madikteta ushwara ambao hawapendi maendeleo ya watu.
@HassanNoor-pk2fm
@HassanNoor-pk2fm Жыл бұрын
😢😢😢😢😢baba umeenda ungekuwepo basi tungekuwa mbali sana
@fridajosephyusif4364
@fridajosephyusif4364 3 жыл бұрын
Kumbe magufuli alifata maneno ya baba wa taifa ndio maana kaweza rip magufuli
@maulidimuhammed7851
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Ni kweli wanafanana hata tabia zao ,Nyerere kaua Wazanzibar kibao maelfu kutokana na mapinduzi alitoyafanya kule.Makufuli kaua raia zske kibao hapa aTanzania bara akiwemo Ben Saa Nane ,Azory Gamba na mamia ya watu yaliyokua yakiokotwa kwenye viroba pwani bichi Wanapumzikaje kwa amani na roho za watu walizozitanguliza kwa dhulma?Tusiwe wajinga.
@all-victorious2156
@all-victorious2156 11 ай бұрын
@@maulidimuhammed7851 Mjinga ni wewe , peleka ushoga kwenu Zanzibar. Msenge kabisa !
@marionsteven8198
@marionsteven8198 5 жыл бұрын
we mic u so much hero. jk nyerere.. may rest in internal soul peace dady...
@sospetersekela9364
@sospetersekela9364 3 жыл бұрын
Huyo mzee n kichwa..
@Ramadhanimsingwa
@Ramadhanimsingwa 3 жыл бұрын
Dhati ya moyo wangu nilimpenda Mwl Nyerere raisi Wa kwanza na Dr John Magufuli raisi Wa tano niliwapenda kwa moyo wangu wote walinivutia kwa kazi na kutetea wananchi Mungu awasamehe awape pepo ya daraja Tuwaobee ameni
@pastornolbertletema5178
@pastornolbertletema5178 3 жыл бұрын
Asante magufuri
@athumanhussen2692
@athumanhussen2692 3 жыл бұрын
Huyu mzee alikuwa comfortable
@DanijParaa
@DanijParaa Жыл бұрын
Mwalimu nyerere yuko sawa tumkumbuke sana baba yetu wa taifa
@munirimkwayu1692
@munirimkwayu1692 3 жыл бұрын
Awamu zote magufuli namwalim nyerere walikuwa zaidi yaviongoz bora Africa nawakuigwa Mambo yao .
@rajabuhondo4973
@rajabuhondo4973 3 жыл бұрын
Kwer tuli mpataa huyo kiukwer katimiza yakee ya liokuwa yaki hitajika. Mupumzike kwa Aman
@kawiche4911
@kawiche4911 3 жыл бұрын
Mwalimu NYERERE Dr John Joseph POMBE MAGUFULI Nyayo zenu tutafuata ALUTA continua Mapambano bado yanaendelea
@kelvinmtavangu7701
@kelvinmtavangu7701 Жыл бұрын
IN SWAHILI NYERERE SAID: PEOPLE ARE POOR WITHIN A RICH COUNTRY TANZNIA WITH MAJESTIC NATURAL RESOURCES. RIP OUR FATHER.
@joycemgaya1605
@joycemgaya1605 3 жыл бұрын
Tutawakumbuka daima viongozi wetu Pumzikeni kwa amani😭😭😭😭
@peninajohn8047
@peninajohn8047 3 жыл бұрын
Ö .olp
@maulidimuhammed7851
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Wanapumzikaje kwa amani wauwaji?Wadini na wakabila .
@mandelasakara-no3bw
@mandelasakara-no3bw Жыл бұрын
Mungu awaweke maali pema peponi Amina 🙏
@Yonadaudi-ud9vd
@Yonadaudi-ud9vd 9 ай бұрын
How you can most important leader struggle for our nation R.I.P our beloved leader
@zakariachacha8447
@zakariachacha8447 3 жыл бұрын
Mzee wetu baba was taifa nitakumbuka siku zote
@mshindimshindi9120
@mshindimshindi9120 3 жыл бұрын
Tuungane Sasa Watanzania tuache ujinga wa makabila Na uchama
@georgeshamba6027
@georgeshamba6027 3 жыл бұрын
Hotuba ya Nyerere yenye busara Sana na muhimu sana.
@KesaleMotela-lq7hg
@KesaleMotela-lq7hg 11 ай бұрын
Daaaaaa mzee wa taifa ili alikuwa mwamba Sana na John pombe Joseph magufuli na alikuwa mwamba Sana R.I.P kwa wote
@swafaasaid4805
@swafaasaid4805 3 жыл бұрын
tunakukumbuka sana baba wa taifa mungu akuweke panaposthiki
@evajoseph4022
@evajoseph4022 2 жыл бұрын
Mwl Nyerere fought corruption, tribalism nor did he discriminate any one. But we have witnessed discrimination in religion to the extent of exposing the followers of a certain religion to put on uniforms even in public offices, schools etc. Past 5 yrs tribalism took us to a dark corner. Northern tribes and some few tribes from Lake zone who were in public service were unlawfully sacked some oppressed, abused to force them to quit office etc. Other principle officers of the forced their junior officers to communicate in their vernacular (kisukuma) so that other officers from different tribes would not understand. Thank God for saving us from such hatred. We are one again thank you your Excellency Samia Suluhu Hassan our lovely President of the United Republic of Tanzania😘😘😘
@sarahdamas6724
@sarahdamas6724 3 жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba byeeeee na mwanao magufuri
@mshindimshindi9120
@mshindimshindi9120 3 жыл бұрын
BUSARA KAMA Hii itakuwa shida kuipata.
@HassanNoor-pk2fm
@HassanNoor-pk2fm Жыл бұрын
Mashujaa wainji yetu ya Tanzania wako wawili tuu Mangu fuli na baba wa taifa enendeni mkapumzike salama😢😢😢
@jabiriramadhani3692
@jabiriramadhani3692 2 жыл бұрын
You did a great job sir
@AmynerChumChum-fc4mt
@AmynerChumChum-fc4mt 11 ай бұрын
Tutawakumbuka. Sana. Wazeewetu munguawaripe. Kwakire. Mmetufanyia. Watazania
@frolandele2604
@frolandele2604 Жыл бұрын
Uhuru na kazi hapa kazi tu na Mungu anasema asiye fanya kazi asile mbarkiwe
@masudikaswala7898
@masudikaswala7898 3 жыл бұрын
Kijana wako ametuacha .Utendaji wake utaishi karine mbili
@user-iy2ik6lp9t
@user-iy2ik6lp9t 10 ай бұрын
Mungu awaweke mahali pema patulivu waliotangulia mbele za haki, na awalinde wale wote wanao endelea kujitoa kwa kusimamia haki ya Kila mmoja milele AMINA.
@hilalikitabu5229
@hilalikitabu5229 3 жыл бұрын
mungu akupumzishe baba yetu wa tz
@simkotec3091
@simkotec3091 3 жыл бұрын
Nyerere never saw Magufuli coming....
@frankfidelis7551
@frankfidelis7551 3 жыл бұрын
Nyerere utaenziwa daima hotuba hii ni kiboko yao
@mimimoop2617
@mimimoop2617 3 жыл бұрын
Mabadiliko tumeyaona kwa JPM ndani ya miaka 5 hakika ulimtabiria,
@martinmasinde3373
@martinmasinde3373 3 жыл бұрын
Mzee alinena ila mungu nimwema
@husseinnyanda1230
@husseinnyanda1230 3 жыл бұрын
Maneno yanayoendelea kuishi
@cliffjackma3374
@cliffjackma3374 2 жыл бұрын
wonderful speech 🔥
@joycemgaya1605
@joycemgaya1605 Жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani viongozi wetu daima tutawakumbuka😭😭😭😭
@omarikinyory5785
@omarikinyory5785 Жыл бұрын
Nyerere and magu
@evanstum5032
@evanstum5032 Жыл бұрын
Kenyans should listen this
@getrudamkulu9319
@getrudamkulu9319 3 жыл бұрын
Kweli kabisaaa ulimtabiri Magufuri vyote vinne ulivotabiri ndivyo alivyokuwa anapambania Magufuri pumzika kwa amani Jembe
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 3 ай бұрын
Rare intelligence with high moral value. What was his worldviews of government?
HOTUBA YA J K NYERERE MBEYA MWAKA 1969
49:55
TZ TRENDING
Рет қаралды 242 М.
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 31 МЛН
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
Hamasika Tv
Рет қаралды 27 М.
Itakuliza.! HOTUBA YA KUSISIMUA NA HISIA KALI YA HAYATI MAGUFULI
11:36
Nyerere Speech 1995
1:42:25
Tanzania Yetu
Рет қаралды 1,7 МЛН
Kumbukumbu ya mwalimu Nyerere
2:12:09
Tununu
Рет қаралды 204 М.
Nico’s new friend!#nico #smartnico #funny #dog #cute
0:24
Nico_thepomeranian
Рет қаралды 20 МЛН
Они поймали того , кто уничтожал их дома
0:40
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
0:49
Yoeslan
Рет қаралды 32 МЛН