Mapenzi ya dawa unaishi kwa wasiwasi yakiisha huna chako iyo nzuri nimeipenda kama tuko pamoja gonga like kwa wingi
@SalmaKenyatta-cn8tg21 күн бұрын
Mapenz ya Dawa hayadumu😂😂😂😂
@user-rm9iz4me2i21 күн бұрын
Na mtu awezi zuia hatma ya mtu
@LinaLina-uu5pw21 күн бұрын
Mafundisho,vichekesho,maelimisho mazuri tunafurahia mno kwa hii movie ❤kama unawapenda waigizaji tupa likes kwa wingi.
@joshuzaro921 күн бұрын
Hii ni noma sana kai kachukua maamuzi ya kiume ,sjawai pata like kuanzia nianze kuangalia hii muvi naombeni like
@user-nh5zw9fg1h21 күн бұрын
Woyooooo wanaofrahia maamzi ya kai gonga like hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mwajumasimai216521 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤
@ridhwaniSdhahabu21 күн бұрын
salminaabasi
@Kinyua-ye8kk21 күн бұрын
Candy Laana Ni mbaya badala unyenyekee bado unamkaripia utabaki Na Laana milele
@JenipherAlphayo13 күн бұрын
Maake acha nicheke kwanz 🤣🤣🤣🤣🤣
@HillarySendeu-ht3lj21 күн бұрын
Wale tunao enjoy maamuzi ya kai tugonge like
@BerthaHaule21 күн бұрын
❤
@SunGod-i4b21 күн бұрын
❤❤❤🎉🎉
@iamnicalJojo4 күн бұрын
😂😂😂
@user-sk7un6ls2t21 күн бұрын
Jamani ambao tulisubiri mpaka tukakata tamaa like hata kumi nienjoy kidogo please 🙏❤️😂😂
@YoanaNikomedi-hk7lh21 күн бұрын
Mimi mpaka nikahisi kufa
@user-sk7un6ls2t21 күн бұрын
@@YoanaNikomedi-hk7lh ahahaha jaman 🤣🤣🤭
@user-sk7un6ls2t21 күн бұрын
Ambao tulikuwa tunasubiri kuona sapraiz ya kai mko wap😂😂😂😂😂😂
@SunGod-i4b21 күн бұрын
😂😂 tupo
@user-sk7un6ls2t21 күн бұрын
@@SunGod-i4b ahahaha jaman 🤣🤣
@ShukuruElizabeth18 күн бұрын
Mi nilijuwa ni zuuu😂😂
@user-sk7un6ls2t18 күн бұрын
@@ShukuruElizabeth ahahaha jaman 🤣🤣
@JenipherAlphayo13 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tuko apa
@Norah-dee21 күн бұрын
Candy uchawi tyu kuoga aahhh hy ss tujuane ambao tupo kwny maandalizi ya harusi candy bahn candy gooo hy tjuane🎉🎉 kwa like
@brigitaghozi449521 күн бұрын
😅
@user-qq6mv6vh3e21 күн бұрын
😂😂😂
@Merry-gv5dg21 күн бұрын
Uchawitu kusali aaaah 😂
@RizikiZiki21 күн бұрын
Yani ni vigeregere kwa wingi❤
@HusseinDuke2721 күн бұрын
no mo
@JoshuaLoth-qy1yk21 күн бұрын
Hii movie inafundisha , inaelimisha ,,inachekesha pia kama unakubaliana na mimi tujuane kwa like hapa
@gersonissa912421 күн бұрын
😂😂🎉🎉🎉
@MankaMeski-o5k21 күн бұрын
Sikweli inafundisha San ila kendi anaboa kama nn nasurayake mby mungu ty ndy anajua alivyo mtengeneza kweli mung nisamehe ty kama nakosea
@melanianjau324421 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@saumodzumbo967121 күн бұрын
Sana tu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SunGod-i4b21 күн бұрын
Mm na enjoy tu jmn😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@IshakaMachanoMakame-sb2xx21 күн бұрын
Muvi iko nomba Sana kwa kweli ila taizo ni moja tu kipande inaisha dakika zenyewe chache ila zile sini muhim ambazo tuna ham nazo hamuchezi munazinguwa munaweka Mambo mengi hayana ata maana. tulio pamoja na hili tujuane kwa like apa.
Leo 200naomba like jamani mwenye atakuja nyuma ❤🎉❤🎉
@AgnesDavdi-rz9hg21 күн бұрын
Leo nmechelewa muvi zenu kiwango mambo ni moto kama unanifatilia gonga like zifike 100😃
@patrickmutuku572621 күн бұрын
Wagapi tunawatch tukiwa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💥💥💥
@DianaMuyoka21 күн бұрын
Niko😊😊
@Saumu25421 күн бұрын
Malipo n dunian candy kula chuma icho tena cha kutu😂😂😂😂
@AdamZainab-mb7qj21 күн бұрын
Waliekuw wakiifikiria hii suprze anaeonyeshwa kai like hap😋
@DianaMuyoka21 күн бұрын
Nilidhani n zuu imagine 😂
@FatmaAli-wr7mm21 күн бұрын
Man nkajua me wakwanz enywey like kwa kai🎉🎉🎉
@user-dt2be7eg1c21 күн бұрын
Any Kenyan here enjoying these beautiful episodes😑
@user-pp3vo8rw5j21 күн бұрын
Kai umekuwa chizi juu ya zuu utakuwa naye karibuni tu zuu wako ❤❤❤❤
@AshuraShafii21 күн бұрын
Candy gooooh goooooh harusi tunayo na tunatamba nayo wanaotaka zuu awe wifi yetu gonga like hapa❤❤❤😂😂
@faridasaleh498221 күн бұрын
Tunaomuona Kai kama kachanganyikiwa tujuane Kwa like
@elifurahamassawe227521 күн бұрын
Ajachanganyikiwa subiri uachwe na mpenz wak,alafu uwe na nguo zake ndani utajua😅
@AnithaMwijonge21 күн бұрын
😢😢😂😂😂😂😂😂😂@@elifurahamassawe2275
@MarianeKibada20 күн бұрын
Haja changanyikiwa mapenz yanauma yaan kama hujawahi kupenda huwezi elewa
@frida-oi6kw20 күн бұрын
@@MarianeKibada😂😂 kweli kabisa siwezi elewa
@hanifahanifa770821 күн бұрын
Yaan Kila moja ANAOMBA like hamna kitu chakusema
@user-bq3hg6oi5p21 күн бұрын
Jamani tangu niangalie hii move sijawahi kupata like nipeni na mm😊
@BarakaEdna21 күн бұрын
Hiyo hapo
@user-yt3nn9gz8u21 күн бұрын
Wakwanza jamani naombeni like zangu❤😂😂😂
@AkimanaVely-gq9cu21 күн бұрын
Watu mnashindahumu nyieeee like kwa wana wa burundi tujuane kwa like
@agnesalfred741521 күн бұрын
Like hapa
@FATMARAHMARahma21 күн бұрын
Burundi🎉🎉mikono juu
@EfkiMichael20 күн бұрын
Hakuna kisicho na mwisho..... Mwisho wa candy umefika
@vanessanathan313521 күн бұрын
SCRIPT ZA KUONGEA ZIMEKUWA NDEFU SANAA, YANI EPISODE NZIMA KUNA SCRIPT MBILI TUU MPAKA CHARACTERS WENGINE WANASHINDWA KUONEKANA DIRECTOR PLZ REKEBISHA HILI, FUPISHA MAZUNGUMZO KWA CHARACTERS. though ni kazi nzuri sanaa.. keep it up team💯
@Alexismadimo21 күн бұрын
Niliwah ongelea ili jambo kitambo sana scene moja inamaliza dakk nne akat muv inachkua dakk 15
@JoycePeter-rk4hf21 күн бұрын
Jamani now days mmekua na Kazi nyingi mnatuma kidogo sana mjitahidi basi mfanye kama zamani busati tv movie Ni nzuri Ndio ila sasa ikichelewa kama hivi inakosa radha
@user-tq7gp3ue7g21 күн бұрын
Sikwa mbio hio yani imenipata humuhum tu mkuje polepol nime mop xai tu 😂😂😂
@DianaRumbanisa21 күн бұрын
Kimewakaaaa mamb yako motooooooo mnajua had mnajua tenaaa🎉🎉🎉❤❤❤chukueni maua yenuuuuu❤❤❤
Candy kimemuramba,ujanja wa nyani kaishia jangwani.😂😂😂😂😂hapa hapa mama,hongira sana
@jacklineshayo396221 күн бұрын
Nmewah leo jmn naomben likes hat 3 ty 🎉🎉🎉🎉
@winniejapheth507121 күн бұрын
Napenda Sana hii movie ❤
@user-kv8rj3ib4o21 күн бұрын
😂😂kai utafika mbinguni Kwa njia ya mtandao 😅😅😅😅haya
@SunGod-i4b21 күн бұрын
😂😂😂😂 hata mm naona hvyo
@user-hf7pk2lx4v21 күн бұрын
Candy doa ni ufumilivu na kuomba sana mwenzi mungu ailinde sasa. Ww ulionelea ukatafutane na mizimu ona sasa umepoteza kila kitu samahani dada tujifunze na kendi
@josephmunywoki830421 күн бұрын
Am the first one to comment...I am Jose from Kenya I like the movie keep it up Kai alafu bro akh ingekua sio kuingiza ... walahi keddy angekua mtu
@busatitv21 күн бұрын
Hongera sana
@SusanJulius-cu8xp4vx4m21 күн бұрын
Candy waskia maneno ya mama 😭😭😭hufai tena bila baraka za mama hata huyo masozi atakutupa
@MaryWachira-m5y21 күн бұрын
Nimewahi Leo nipeni like
@OneEmanuelAlly21 күн бұрын
Kuomba like tu subscribe aaah😂😂😂😂
@Aishybeb21 күн бұрын
Nyie ata one hour haijaisha like na comment km zote,, thats great work congratulations team zuu n kai kwa kazi yenu nzuri aisee 🎉🎉❤
@sikukuusaid-ki1yn21 күн бұрын
jamani hii movie ni ipi na ipi sababu Kuna km hii haya bs naombeni hata like moja jamani
@JladyKadzo21 күн бұрын
Yani kendy hujui kuwa mple hata kwa mama mzazi wewe kwisha sasa mimi niko kusubiria kula ubwabwa tuna harusi mbili sasa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ElizabethNanjala-lm5ec21 күн бұрын
Haya basi wa mwisho kutizama nipee likes zangu 🎉🎉❤❤😂😂
@Seifbrown21 күн бұрын
dan niatar kweli yani mupaka raha 💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️💪❤️
@Fatuma-vz9zl21 күн бұрын
Mashallah Allah awape nguvu zaid muzd kusonga mbele
@happynesbaemuhappynes881321 күн бұрын
Ameen
@SunGod-i4b21 күн бұрын
😊😊😊😊
@JacklinePaul-oq3ws21 күн бұрын
Kai unakwama wapi aiiii ...maamuzi ya taratbu hvo maneno makali lakini unaongea kiustaarabu ...mbona huku duniani n mateke kabsa na hawez kubaki mtu
@rinciakhasoah21 күн бұрын
Leo nimewa nipewa atabusu jamani😊😊😊
@Marim-sj7oi21 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@sifamaureen279221 күн бұрын
Kai😂😂😂 nguo Za zuu tu umeishaaa mapezdi jameni
@user-cg8ti1re1t21 күн бұрын
wow kai sahii bdo maandalizi y harisi n zuu 🎉🎉🎉
@MtabibuAsilia21 күн бұрын
Tiliokua tunasubiri tangu asubuhi tujuane
@selinajosepbat299321 күн бұрын
Aaah nimechungulia huku leo manzee mpk nikakata tamaaa
@MaryChemnyetich21 күн бұрын
Wale wamefurai mahamuzi wa kai wapi like yake🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
@VailethYusi21 күн бұрын
Wakwanza leo naomba like zangu
@DamarisDammie21 күн бұрын
Wakwanza mie nimengojea xn house girl
@Marim-sj7oi21 күн бұрын
Hongera mpenzi 🎉🎉🎉
@AbiaClement21 күн бұрын
Like kumi tu naomba
@mkapakifoda893621 күн бұрын
Jamani na mm naomben Leo like zenuuuu❤
@HidayaMbodze21 күн бұрын
Pigeni vigelegele muache kuomba likes😂😂😂
@SalmaKenyatta-cn8tg21 күн бұрын
Mbn umewapiga mwingiiiii😂😂😂😂❤
@eversweedakemo21 күн бұрын
Exactly
@SunGod-i4b21 күн бұрын
😂😂😂😂 kabisa
@HidayaMbodze21 күн бұрын
@@SalmaKenyatta-cn8tg 🤣🤣🤣🤣
@HidayaMbodze21 күн бұрын
@@eversweedakemo ee wanatabia ajabu
@MohammedyJuma-wf3jc21 күн бұрын
Wakwanza leo Mm ndo kontawa 🎉🎉🎉
@edimaralupenza91721 күн бұрын
Next inatoka saa ngap jaman maan Leo mmeanza kurusha kipande cha Jana please next mutuwaishie
@Beathasimon21 күн бұрын
Hello guys jaman like ata mojaaaaaaa 😅😅
@Rizikialiamechannel76321 күн бұрын
Chap chap wa 6 niwekeeni like za kutosha nikuhadisieni ina malizia vip 😂 from 🇴🇲
@Zainabu-xn3vd21 күн бұрын
Jameni mnatuchelewisha aki jaribu kueka mapema maana nangoja hdi nachoka🎉🎉🎉🎉
@Sada-sk21 күн бұрын
Jamani huko kwengine sija kubaliana na nako lakin hapa hadi natoa machozi,candy ni wakumuambia mama nyamazaaaa,huyu mdada hana radhi kabca
@busatitv21 күн бұрын
😭😭
@husnabilali309920 күн бұрын
Kaz nzuri san mungu azid kukupa nguvu na ubunifu mtunzi🎉🎉🎉🎉
@DialogueplatformPlatform3 күн бұрын
Jamn naipenda sana hii movie mwenzenu, vituko vya candy na sania ndo vinaniacha hoi mwenzenu
@FabianoJumanee21 күн бұрын
candy kudanga 2 kuoga aaaaaaahh
@JescarMunga-jp9dl21 күн бұрын
😂😂😂
@user-dx3yy5oh2r21 күн бұрын
Wa kwanza mm naomba like zangu pls
@HrdaKahimbi21 күн бұрын
Waooo mov kuanzia mwanzo mpka mwshoo ni kalii blaaa 🎉🎉❤❤❤❤
@user-fr1nr5zu6p20 күн бұрын
kwan ukipewa like kinatokea nini jaman mi sijawah omba like alooo haya wa kunilike karibu ni
@VickyFrancis-eb2vp21 күн бұрын
Jana tumebshana sana .. suplz n shoga ake candy 🍭🍭😅😅😅😅😅😅
@user-wb3ut9tn6v21 күн бұрын
naomben like mbili plz
@AminaChile-bx8hv21 күн бұрын
Mmmh jamn hta hamwatch ndio mkacomment hya twenden nalo😂😂😂
Mbna sikuhizi mwachelewesha ongezi ata madakika basi 🎉🎉🎉
@CarolyneNyanchama-yk1gf21 күн бұрын
Kai uko sawa bt Tasha why Sania?? Halaf 😂😂😂😂😂mama candy jamani nipe nafasi nipumue hta kidogo,,aty ndevu kama mbuzi za nini eishy hyu mama Ako on next level 👏👏 very interesting show nawapenda sana mie jirani wenu 254🇰🇪🇰🇪
@busatitv21 күн бұрын
🤣🤣
@CarolyneNyanchama-yk1gf21 күн бұрын
@@busatitv mama candy for me 😂😂
@EsterWikama21 күн бұрын
Jaman mm huku kutwa nashinda kuchungulia tuuuuuuu😂😂😂😂 kazin nzur sana jamn et eeee
@Ismaelmeja21 күн бұрын
Aky hii nayo ni moto 🔥🔥🔥🔥
@user-ex2ck5zw9c21 күн бұрын
Kimenuka leo waaah lazima kieleweke kwa kai lazima ushindi urudi kwa zuu
@monarm936320 күн бұрын
Hahaaa mapenzi ya dawa simapenzi jamani nimejifunza mengi hapa kheri nijikibali nilivyo mtu akinipenda anipende asiponipenda nikipendwa na wazazi wangu inatosha wallah hii movie inamafunzo mazuri sana hongerani sana Wana busati kwa maelimisho yenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@LadyKCG21 күн бұрын
Wapi kelele za mama kendi 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️💪
@GloryNyika-jg4lf21 күн бұрын
Jan na mm wah kwanza tu like 100 bas
@Franciscah-ks5zq21 күн бұрын
Leo wa kwanza nipeni likes zangu wadau
@TatuBaya-jy8jl21 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉🎉safi guys congratulations sem imekua fupi sijamuona bi daa zuu
@asmnibukhebinamarimba126714 сағат бұрын
Yani hii ni good lesson kwa wana ndoa,wa kubwa kwa wadogo,hongera sana zuuh❤❤l i love you
@SubiraKijazi21 күн бұрын
ambao hampendi kendy tujuane kwa like
@estherezzy13621 күн бұрын
Wa 11 mim mpoo❤❤😂😂 yaninimeisubir kwaham zote
@ignitiussilungwe793021 күн бұрын
Masha Allah
@NuruMunga21 күн бұрын
Waa dakika 4 watu washajaa hongera kwa waigizaji
@busatitv21 күн бұрын
Asante sana🙏
@phorahmahaza63821 күн бұрын
❤❤❤😂Nice
@user-dg6vf5jm5e21 күн бұрын
Kimemramba kendi ❤❤❤😂😂😂
@Jackiline-kw3zq21 күн бұрын
Mov nzuli San , wanaojifunza kitu chochote kupitia mov hii gonga like hapo
@haluarahma307121 күн бұрын
Waaah haki hii movie inamafunza sana candy 😅😅😅😅mama ni mama