Ukiwa unafatilia kwl hii movie unajua waz km chiko hana mbegu😂😂😂😂😂
@user-xo7ns7bc8cАй бұрын
Ww wifi siku yako yaja unafurahia mateso ya wifi yako ilhali ww ni mwanamke na umeolewa
@user-un5yq5wh8xАй бұрын
Tunajua kabsaaa mke wa chiko wala sio mgumba ila chiko ndo ana shida😢😢
@DaisyNyabutoАй бұрын
Jamani neno uvumilivu kumbe Lina uzito namna hiii😢😢candy jamani utawezana kweli ?? Team zuuh njooni tuungane hapa 🫂🫂🫂❤❤🎉🎉
@AmanDaud-h9d27 күн бұрын
🌹🌹🌹🌹👏
@hajimwendoАй бұрын
Jamaan like kama zote kwa zuuuh ❤❤
@faustashishaАй бұрын
❤❤❤❤❤
@user-hx5vv5do8iАй бұрын
Anaeungana nakuona kabisa candy anaenda kuzurumiwa nyumba na Dada ake masozy gonga like
@SunGod-i4bАй бұрын
😂😂😂🎉🎉
@JosephaSulle-yi4zrАй бұрын
Nyiee kama namwona mandevu yule
@user-rm2lk8se3wАй бұрын
Nyumba imeenda Kwa madevu tiyari
@user-kg1hx6zc8sАй бұрын
Nyumba ishachukuliwa nadevu mchana kweupe
@user-bb6oy5dl6yАй бұрын
Ambao jana walisubiri adi saa sita like hapa tujuwane 😂😂😂
@Mwanajumahassan-tg3zgАй бұрын
😂😂😂jamani caddy huyu anavituko loo shukran nyote Mr Tasha kua makini nyoka huyo ajificha tu mambo moto thnx all muko sawa
@user-zf8jx2zj9uАй бұрын
Umejuajeeeeee😂😂😂🎉
@NdiwaIvone-eo9hhАй бұрын
Tupo😂😂😂😂😂
@user-ck7gb7rf2bАй бұрын
Maskini Sania😭😭😭
@CelenaJacobАй бұрын
Nipo nlikaa had saa7😢😂😂😂
@user-lz8kb9ds8kАй бұрын
Waaah watu hawalali jamani mmmmh haya basi mimi nimefika nko hapa haya kama unafuatilia hii movie gonga like hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤❤❤from kenya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@fatuma6011Ай бұрын
Candy shida yako huwez kunyenyekea hilo ndo tatizo huwez kujishusha
@turehemungailo8048Ай бұрын
Ok
@turehemungailo8048Ай бұрын
Sania utaman kumuingiza box tasha lakin tasha anakwepa sana
@AmanDaud-h9d27 күн бұрын
👏👏👏👏👏👍👍👍🫂
@user-iw6wi6dt8bАй бұрын
Anaye amini Tasha na zatiti wataoana gonga like hapa
@LovesweetThuva-qj4tbАй бұрын
Maji yameshagaza kila mumoja
@rahemh1234Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ilasania ana Force bwana 😂😂
@AmanDaud-h9d27 күн бұрын
🤫🤫
@user-fk4pd6bp7jАй бұрын
Wanaofurahia candy kutopewa msamah gonga hapa like
@caroleangambe1239Ай бұрын
Next episode plz ❤❤❤❤❤❤❤
@MemoryKamutandiАй бұрын
Jaman wewe chiko na dada yako hiyo mutawumbuka kweri😮😮😮
Candy anafurahisha jamani 🤣🤣 Baad ya kumaliz kuomba msamaha aondoke mamaake atamfikiria yeye anamjubu shombk Tena kisa kamkatalia kumsamehe 😂😂😂 hii movie tamu sana
@user-rf2cg9tv3uАй бұрын
Hhhhhh makubwa zuu kawaweka kumtari wote wadangaji daa nyiye wote mna piga magoti daa aaa wapi sio kweli mnaiga tu sio kawaida yenu kendy na rafiki take mmmmh na Cheka tu mie hhhhhhh adabu muhim acheni ujeuri hhhhhhh
@AngelMahengeАй бұрын
Tunaompenda zuu gong like
@ImeldaGaitanАй бұрын
Kandy unanifuraishaa😂😂😂Huna subira hata kidogo kwa mama duuh!binafsi unanifuraisha kazi Zurich safi
@VenahKemumaАй бұрын
SI hizi move sometimes Huwa za kweli mungu wangu usiruhusu niyapitie haya
@user-bq9zj5sm7iАй бұрын
Chiko anavyo jishauwa ss ngoja limshuke baada ya kuambiwa mimba sio yakr😂
Wale kwa kusoma comment movie ikiendelea kuja hapa kuto na gumzo😅😅anyway kazi nzuri guys 🎉🎉❤kutoka kenya
@FARAJAJAMESLEONARDАй бұрын
Hakuna viumbe mnaoboa kama hawa waomba like yaani mnaniudhi adi siyo poa badala msaport kazi mnakuja kuomba like
@SunGod-i4bАй бұрын
Mm wananitoa hata kwenye mood
@NancySaha-kd2ovАй бұрын
Mm wamenisinya kweli
@sumayyahmanyasi453Ай бұрын
Kusoma comment mpka kuna kera
@Phanny-NyongeАй бұрын
Tuko pamoja jamani, yaani mimi wananiuzi vibaya mno🙄
@lulumhapaАй бұрын
Yaani sana kama hawajielewi
@MercySilvesterАй бұрын
Niwamwisho kutoka Kenya kama wampenda zuu na Kai wakiowana gonga like 🎉🎉🎉
@UmmyShabirАй бұрын
Leo nimewahi jamaneeey mwaga like kwa busati tv plz❤❤❤
@HidayaamaniSuleimaniАй бұрын
Kai km hujavaa hayo masuti yako unapendeza mashallah
@RazikeRaraАй бұрын
Wangapi wanamkubali zuu kwa heshima yake mmi nkiwa wakwanza ❤❤🎉🎉
@salmaseleman3841Ай бұрын
Tuliopenda msimamo wa mama shida tujuane
@FurahishaMtendjwaАй бұрын
🇨🇩🇨🇩 siye ndo wakwanza mikono yulu
@Nailah736Ай бұрын
Wooow 🎉🎉Acha nikae sasa nisikize mafunzo ya leo❤❤
@user-cg8ti1re1tАй бұрын
naomben like jaman 🎉🎉pamoja n kuchelewa
@anethvicent5870Ай бұрын
Watu hawalal wanasubir kwa hamu ongezeni hata dakika jamani❤❤
@neemakoi6635Ай бұрын
Asalamualeykum kai usitumie jazba tumia busara sawa babangu😊❤❤❤❤🎉
@ShakiraIbrahim-e7cАй бұрын
Anapendeza hafu nimzur kwel yan dah!
@fammamourchy2164Ай бұрын
Like Leo naziomba mweeeeeh 🎉 Busati TV mko vizuri ❤
@jacksonkahindi3235Ай бұрын
Hebu ngoja kidogo. Hivi huyu anae taka kuitwa shangazi vpi alizaa ama ni wale kuolewa aaaah 😂😂😂
@SunGod-i4bАй бұрын
😂😂😂😂 ndio mawifi zetu jmn😂😂😂
@sharifabahar9905Ай бұрын
Yani achatu
@user-ie8cu9vm6pАй бұрын
Cand canda😂😂😂😂😂jaman utaniuwa we mtoto nawapenda nyote kaz nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉
@MemoryKamutandiАй бұрын
Tunawapenda nsana jaman wote ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@user-ni8eh1fv4qАй бұрын
Daah watu wanalala KZfaq 😂😂😂 jamani
@DolikasiErishaАй бұрын
Mmmh mawizooo tunao natunatambanao😅
@momkhan-hc7zhАй бұрын
🤣🤣nampenda kaka ake candy yaan huyu muhun kwel
@ElizabethFrank-r4nАй бұрын
Mhun hasw
@JullianaEmmanuel-tm5xgАй бұрын
Kwhy mambo yanapoenda vbaya ndo unaenda kuomba samahan
@HillarySendeu-ht3ljАй бұрын
Jamani naombeni like hta 10 wenzangu mnaoangalia movie yetu pendwa
@user-ij2po2jw2fАй бұрын
We ndo umeigiza me mnanishangaza badala kuwapa moyo waigizajinata mpewe like mtupishe huko
@HillarySendeu-ht3ljАй бұрын
@@user-ij2po2jw2f wewe makasiriko yanini?
@officialbasheer13_tzАй бұрын
Kuomba like tu kuoga aaahh
@HillarySendeu-ht3ljАй бұрын
@@officialbasheer13_tz😅😅😅
@DariaMichael-xg7puАй бұрын
Nmewahi namimi leooo😊😊
@user-jn8wk9il8jАй бұрын
Waaaaah Sania umenweza leo Tashaaaaa kula chumaichoooo na ww kai wangojwa harkish ukafurahikie uwep wa mchumbaaa
@fatumaselemani3807Ай бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤
@ashaathman-k4nАй бұрын
❤my favourite movie jana nilisubiri sana
@zanishaikhonge7296Ай бұрын
Watu hawalali jaman ❤❤❤❤ kazi nzuri
@merinazyd0532Ай бұрын
Jana sijala 😂😂😂😂Hadi saa saba ila kai amempata zuuu wanawake wote duniani tumuigeni zuuu ❤❤
@MR_RAMSABOYTZАй бұрын
Oya Leo nimewahi kidogo team Khai tujuane kwa comment
@ConfusedBabyOctopus-cb2eeАй бұрын
Aiii mbona mnasukuka tu mahali moja
@MwanajumBeyawa-j5wАй бұрын
Nipo wallah hongereni
@IrenaFrance-zk8sfАй бұрын
Sania sania sania upo vzr ngoja namimi nimuoge zuuu😁😁😁
@shigangakelvin1Ай бұрын
Nipo Leo mapema kutoka kenya
@WeddyMithikaАй бұрын
Tujuane kwa salamu Leo jamani❤
@HusnaAlly-cx5msАй бұрын
Namaste
@mbikamtanganakiАй бұрын
Anae mpenda candy ujue nayeye anatabia za candy yaan simpendi Kwa kweli😂😂😂😂😂😂😂😂
@SunGod-i4bАй бұрын
❤❤😂😂🎉
@MamygumboАй бұрын
Hakika tasha ni rafiki wa kweli marafiki kam hao ndo wakuwa nao kwan wanakuwa nawe kwenye shida na raha mauwa yako tasha🌷🥀🌻🌸💖♥️❣️
@nancyg8664Ай бұрын
😂iyo simu ya dada ake chiko kama remote
@Marim-sj7oiАй бұрын
😂😂😂😂
@marymele9714Ай бұрын
😅😅😅😅yeye mwenyewe anakaa kama hiyo sm
@user-qc5en6fo1uАй бұрын
haaah Sania umeishiwa kwa kweli 😂 hivi inafikia ku hali ya kuomba tasha Uwe house girl wake duuh maisha bwana😢😢
@fatmahraseid7019Ай бұрын
Nilitaka nishangae shida huyu huyu amalize salama karogwa au 😂😂😂😂😂😂😂😊
@nadhrakhelef6257Ай бұрын
Msamaha ni kitu kidogo ktamka lkn nikikubwa ukifanikiwa
@aishaabeid8106Ай бұрын
Namkubal sana Mr Tasha❤❤
@user-is4ts6gz6tАй бұрын
Leo mapemaaa 😀 kama unaielewa house girl gonga like apa 😊
@lailatbakar5829Ай бұрын
Jamani! To be honest mimi nampenda sana Candy kwa uhusika wake... Hongera kwakeeee
@user-of5fe3jj1gАй бұрын
Amecheza ipasavyo
@RoseNjoka_23Ай бұрын
Ni kweli kabisa
@MwaliSuleihАй бұрын
Yap kabxa anacheza part yake Masha'Allah site tunatambua hii ni movie tuu japo ina uhalisia ndani yake ni big big big movie I say hongera kw washiriki wote ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AminaMjeni-iz8uoАй бұрын
Mr tasha the genius mwenyewe hongera sana broo kwa kuwashauri wenzako ili jambo lifanikiwi
@Gene-x2wАй бұрын
Nakupendasana Tasha ❤❤nawapa ongera sana wangu awawezeshe da zuu usi ace kupigagoti❤
@user-rz7hz6hz1iАй бұрын
Nilikuwa naosha nyumba naomba like hata mm hapa😅😅😅
@CarolyneNyanchama-yk1gfАй бұрын
it's candy si mwingne 😂😂😂 hajui kunyenyekea
@aishalovesesibeАй бұрын
Zuuu unajuwa kuigiza kbs nakupenda sana ubarikiwe❤❤🥰🇧🇮
@ignitiussilungwe7930Ай бұрын
Ivi chiko na Dada yako zamu yenu ipo subiri kicha Candy aanze kuwa mwagia uga ndomta jua kua Ndondo siomboga zakulia ugali . Candy! siomvumilivu atakido subira uvuta kheri. Zuu! fulahia penzi lako muke mwenzako yupo kuhanga ikakuomba ladhi kwamzazi wake inashindikana jivunie uwepo wa Kay! Mungu ayibariki Ndoa enu. Sania! Ndoa tamu umea mua kuomba u HOUSE GIRL . Pole sana mpenzi mbashala🎉🎉❤❤
@user-oy4ew3tp6rАй бұрын
Walahi akuna mtu amenipendesa kaa Sania ❤❤❤❤
@user-rf2cg9tv3uАй бұрын
Wifi acha ubaya sio poa Leo kwa wifi Yako kesho kwako ma wifi mh hayo ndio mambo yenu
@nahimanabella2478Ай бұрын
Kwani yeye alitegemea nini?? Hivi kweri kuipeleka caisse kwa ndugu wa mme unategemeaa watakuskiaa kuliko mtoto wawo na ndio maana wifi kamupa kicambo cakueleweka hiii filamu inamafunzo sanaa
Leo kidg nimewahi pongez kwen wan busat TV bila kusahau kuomba omb like namim😅😅😅
@PriscaMhawilaАй бұрын
kwan like zinàfaida gani 😂
@user-wt1dn2dy6oАй бұрын
😂😂😂 jmn Sania Leo kapiga gotiii😂😂😂😂
@user-rf2cg9tv3uАй бұрын
Mama uyo shida usimsamehe kabisa anahitaji tu mambo yake yaende sawa uyo hana adabu tu hhhhhh hhhhh nimecheka apo alivo vuwa hizo ganga kweli kendi kiboko hhhhhhh
@SunGod-i4bАй бұрын
😂😂😂😂😂😂🎉🎉
@user-gz5ud2xm2dАй бұрын
Watu mbona hawalali jamani 😂😂 nipeni like na mimi basi
@user-lz1qv1xe4wАй бұрын
Watu wa kuomba like mnabo😅
@dalilaabdulkarim4458Ай бұрын
Zuu ndie mke sahihi kwako kai😊
@MariahJuliussАй бұрын
Ahsantee sana mwendelezo tafazali brother
@user-pg8og1gp1uАй бұрын
Namba one today
@mejumaabaraza3989Ай бұрын
Yani lisubiri na kuchungulia umu kila muda kama nasubiri mume wangu jamani kahi ww❤❤🎉
@fatumamasoudАй бұрын
Jamani hivi huyu candy atakua lini chini ya mamake kweli anavyo lipika kwa mama bt hakuna kama mama
@user-hf7pk2lx4vАй бұрын
Kwa kweli mwenye alipea candy hiyo part kwa kweli alijua anajua kuingiza kazi nzuri candy
@RahimaRahima-ig6vmАй бұрын
Wewe 😂😂😂 Leo Cha asubuhi timu zuu and kai😅😅😅🎉🎉
@Marim-sj7oiАй бұрын
❤❤❤
@user-ql7to3rm3pАй бұрын
Jamami nimefika 🎉🎉🎉🎉
@-kagerayetubw9jxАй бұрын
Nimechelewa lakini ndio mimi uyo❤
@baiyatwaha8824Ай бұрын
Tatizo candy uwezi kuvumilia ata dakika kumi usemwe 😂😂 iyo ndio shida yako Kama jina lako
@AminaKavuo-gj3ocАй бұрын
Hahaha 🎉🎉🎉kamukonde wew unataka kazi ya ndani 🎉🎉🎉
@user-wy7uw1ih5rАй бұрын
Leo candy kajiita shida😂chakunifurahisha kasahau nayenye ya memubeba😂😂😂
@janethgenes1074Ай бұрын
Huyu wif na kakake wataumbuka vibaya. Usilolijua ni sawa na usiku wa giza
@Aishaahmed-r6kАй бұрын
Wooow jmn mbona house girl tamu Ila sijui ratiba maana sijui kina peperushwa juma ngapi naomba usaidizi wenu
@RizikiZikiАй бұрын
Jamani dakika 4 nimekua wa 40😢yani kunawatu hamulalami ikiingiya tu munayo haya twende kazi busati tv hatulali🎉🎉🎉🎉🎉