No video

HUKMU YA NDOA NA MUME YUKO MBALI KIKAZI,KUPOTEA AU JELA

  Рет қаралды 70,715

Izudin Alwy Ahmed

Izudin Alwy Ahmed

6 жыл бұрын

Пікірлер: 101
@nnbb8402
@nnbb8402 5 жыл бұрын
Shukran sheikh Allah akuzidishie elmu na Allah atuzidishie nyoyo za iman Inshaa Allah
@innocentjay5844
@innocentjay5844 5 жыл бұрын
Sheikh elezea mada zako vizuri minaona wewe wawapunguzia subra wake zetu. Na sisi twasafiri kuwatafutia wao maisha mazuri na hatutaishi Nje daima.mda ukiisha na malengo yakitimia twarudi nyumbani kwa family yetu
@mutomubaya
@mutomubaya 5 жыл бұрын
katika baadhi ya familia huwa kuna shida ya mapato na hasa siku hizi ambapo maisha yasemekana ni magumu. Je ikiwa mna watoto?
@changchuma9256
@changchuma9256 4 жыл бұрын
Faida ya mysmaya mbuzi maalim Yusuf
@changchuma9256
@changchuma9256 4 жыл бұрын
Shekh Yusuf
@ramangadu6451
@ramangadu6451 4 жыл бұрын
Anachozungumza nisheria nakawaida yasheria Haimtazami MTU. Tuchukue natujifunze.
@ayushachidau6758
@ayushachidau6758 4 жыл бұрын
Ndowa nikuaminiana mana ata mke ana safiri lkn waume was sasa awana subra+254
@lacicam8119
@lacicam8119 6 жыл бұрын
Allah akuhifadhi ustadhi Izudin uzidi kutuelimisha
@aliomar612
@aliomar612 3 жыл бұрын
Shukran sheikh jazaka Allah kulu kheyri
@shaukatmohamed4187
@shaukatmohamed4187 6 жыл бұрын
Alhamdulillah twashkuru ndugu yetu kwa elimu nzuri
@neziali6992
@neziali6992 6 жыл бұрын
Asnte shehe kw mawaidha yko Mungu akuweke kwnye milango ya pepo biiznillah
@muniramohamed8887
@muniramohamed8887 5 жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishiee elimu yenyee manufaa uziidii kutuelimisha amin
@mowanaalmowana6126
@mowanaalmowana6126 3 жыл бұрын
Maasha Allah
@fahmiabubakar5654
@fahmiabubakar5654 5 жыл бұрын
Tatizo wanawake wasiku hizi wataka pesa nyingi n subra hawana so wanaume tuna mitihani sana
@husseinyhassany5696
@husseinyhassany5696 5 жыл бұрын
Ukweli haki
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Uongo kwanza nyinyi sikuhizi tunawalea tunawapa kilakitu usiseme kitu usojua😯
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Mfanyie kheri miaka 100 mkosee siku moja, atafuta yote
@user-dv2um9cf8p
@user-dv2um9cf8p 10 ай бұрын
Shukran shekh
@zuwenaabdillahzanzibar5670
@zuwenaabdillahzanzibar5670 5 жыл бұрын
kweli hawezi kukaa mwaka mimi najiona huku Oman tayari hicho kiungo kishaleta ishara
@chucluzchucluz2833
@chucluzchucluz2833 5 жыл бұрын
Uwiii😀😀😀
@yusufsaid8911
@yusufsaid8911 5 жыл бұрын
Kiungo kipi??
@zaerajuma9159
@zaerajuma9159 5 жыл бұрын
pole sana
@sadajuma8189
@sadajuma8189 4 жыл бұрын
Shukran ila naomba kukuuliza jee mwanamke akikaa mda mrefu anaweza kupata maradhi
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ahmedmubareq3228
@ahmedmubareq3228 4 жыл бұрын
Shukran sheikh jazakAllah kheri
@shabanisaidi8827
@shabanisaidi8827 5 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulipe kila la kheri
@najma3268
@najma3268 6 жыл бұрын
Mashallah allah aendelee kukuweka
@hamdukhamis2903
@hamdukhamis2903 4 жыл бұрын
Masha Allah
@asahidbahjaj6739
@asahidbahjaj6739 2 жыл бұрын
Je mume mumeowa lkn hamujawah kuonana YY yupo Oman kikaz na mm tnz je hili mwalizungumziaje
@hassanambarakmbarak8759
@hassanambarakmbarak8759 4 жыл бұрын
Hicho hicho kiungo shekhe chawaumiza wengi maisha sasa nimagumu.watuwengi tuko nje tufanye nini.itabidi kila tukirudi tutafute viungo vingine Khatari tupu haya mawaidha leo
@abullahkabaka8774
@abullahkabaka8774 4 жыл бұрын
MASHALLAH ALEIK
@saidswaleh9126
@saidswaleh9126 3 жыл бұрын
Twayyib shekh
@fatimasaid4193
@fatimasaid4193 6 жыл бұрын
Shukran wajazakallahu Kheri
@iddimiraji7760
@iddimiraji7760 5 жыл бұрын
Unatupa elimu ambayo wengi tulikua hatuijui allah akulipe katika hilo
@yusufidarus2951
@yusufidarus2951 6 жыл бұрын
Jazakallah kheir
@nimoibrahim4235
@nimoibrahim4235 6 жыл бұрын
ManshaAllah
@lailahaillallah4020
@lailahaillallah4020 6 жыл бұрын
Inshallah...mungu azidi..kukuongezea..elimu ...nzuru .
@emmanuelmutua9372
@emmanuelmutua9372 6 жыл бұрын
La Ilaha Illallah bl
@msangsmsangi6535
@msangsmsangi6535 5 жыл бұрын
Mm nawez kukaa hata miaka mitatu sina hizi hisia kalii mpka nishindwe kujizuia je ninatatizo, mm ni mwanamke.
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Wewe ni mgonjwa muone doctor
@shuusalumu8618
@shuusalumu8618 3 жыл бұрын
Kapime u.t.i
@nzobakuranaasman8802
@nzobakuranaasman8802 5 жыл бұрын
jazakallah khaira
@naslamgollo6405
@naslamgollo6405 6 жыл бұрын
Naomba namba Oki nipate ushauri kutoka hii mada tafadhwal
@jusphermobibo5278
@jusphermobibo5278 6 жыл бұрын
wanimaliza kabisa na mawaidha yako
@batiyahmalrashdi2224
@batiyahmalrashdi2224 4 жыл бұрын
Nini hukumu ya ndoa za mbali maisha. Mume au mke Uarabuni au Ulaya mke au mume Tanzania. Mmoja tu kuweza kusafiri kwa mwaka mwezi au mara mbili kwa mwaka kukaa week au week mbili na nini HAKI ZAO?
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Haki ni kurudi nyumbani😂
@bashirjabiri503
@bashirjabiri503 6 жыл бұрын
Kwasheriahiyo, nahakihizo ,naamini wengiwetu ,doazilikwishakufasikunyingi, kilichobaki ni tunazißnianabilaya kujua
@halimabindo5756
@halimabindo5756 5 жыл бұрын
Sheh mada imenigusa tafadhal ifafanue uzur tupate kuelewa.
@saidmohd5090
@saidmohd5090 5 жыл бұрын
Asalam alykum warhmtullh wabarqat shekhe Naomba no yako
@jibabahbah5188
@jibabahbah5188 4 жыл бұрын
Assalam'alaikum warahmatullahi wabarakatuh sheik ss tupo wake wawili saudia mwenzangu yupo anafanya makkah mm niko nae jeddar pomoja yule hupewa ruhusa mara mbili kwa mwezi lakini hulala njee na ni nisimuulize kwa simu yake napata msg za wanawake zaidi ya wawili kisha anakata sheikh nimevumilia mwisho akaenda kwa kampuni ya simu ya zain akapata msg zote zile nilizo kua nazijua sasa eti yuwaomba msamaha yani amenichafulia jina sana kwa hawo hawara zake kila nikiona hizo msg moyi waniuma sana yy si wakumwambia hawara zake mambo yetu yani mpaka yuwaniita mm mkorifi amwambia hawara kisha mm namsamehe nn huyu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Msamehe mbona wewe allah anakusamehe
@faudhiayasinibakarifaudhia9505
@faudhiayasinibakarifaudhia9505 2 жыл бұрын
Assalam Aleykum warhamatullah wabarakattuh shekhe naomba namba zako Kuna Jambo nataka nikuulize shekhe tafadhali 🙏🙏🙏🙏
@mammykaso4136
@mammykaso4136 6 жыл бұрын
Jee mume kama hakushuhulikii kwa chochote lakini yachumbani tuu ndoyuwaishuhulikia jee nifanyeje naomba jibu shkhe
@nadhlfasalmazena7444
@nadhlfasalmazena7444 5 жыл бұрын
hiyo niyakwangu kabisa ananiikeeeera hadi basi ,we sheikh nishaikua namba take IPO siku nota muuliza maswali sana NaEndelea kuvukilia yakinishinda nakfaata inbox
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Na nyinyi msiwape kama hawawaudimii sasa mkiwapa nguvu mtapata wapi🤣
@stevewanga957
@stevewanga957 6 жыл бұрын
Wanaume wa kusafiri wanawapa mitihani wake zao
@rahmafataki2584
@rahmafataki2584 6 жыл бұрын
steve wanga tena utakuta mwanamme anakwambia hawezi kukaa peke yake na wameruhusiwa kuowa lakini chakustaajabisha anaweza kupiga karibu na mwaka au akaja kwa mwaka mwezi moja halafu akataka uwe ok tu with that je hapo mwanamke akitafuta mwanamme nje nayeye anamakosa
@mutomubaya
@mutomubaya 5 жыл бұрын
@@rahmafataki2584 Lakini baadhi ya wanawake wataka watafute mwanamme na bado hawajavunja ndoa, ili waruhusiwe kuingia katika ndoa nyengine. Je ikiwa mna watoto?
@rahmafataki2584
@rahmafataki2584 5 жыл бұрын
@@mutomubaya tatizo wanaume wengine hukufanyia vituko hadi ikafika time roho yako haimkubali tena nambio mbio ataenda kutafta mwanamke mwengine aseme anawake wawili au more halafu na kukuacha hataki vile vile hii ndio problem nawao wakitaka kutafta wanawake wengine hawajali watoto wala kufkiria watoto tena wengine wakishakuowa huwa hawajulii watoto hata hali wala kutaka kujua watoto wanaendeleaje
@mutomubaya
@mutomubaya 5 жыл бұрын
@@rahmafataki2584 Ni kweli lakini Waislamu wakifuata mafundisho ya Qur'an wataona kuna njia za kurekebisha matatizo. Ukimpata mwenza na hatia ya uzinifu hakikisha umepata ushahidi wa watu wasiopungua wanne. Na kabla ya kuingia kwenye ndoa Mtume, swalla Allahu alayhi wa sallam, amefundisha kuhakikisha kwamba mwenza ni MchaMungu.
@rahmafataki2584
@rahmafataki2584 5 жыл бұрын
@@mutomubaya kweli lakini ndoa siku hizi ni mtihani kweli yaani unaowa au kuolewa kwa kubahatisha hata kama umetulia sometimes unapata mtu inakua kama mtihani kwenye maisha yako hadi unaingia uwoga wa kuingia kwenye ndoa nyenginge yaani unajikuta toka wewe umeolewa au umeowa ndo furaha yako yote imeondoka na matatizo hayaishi
@abasishaaban6643
@abasishaaban6643 6 жыл бұрын
uko vizur
@umayraseeb3357
@umayraseeb3357 5 жыл бұрын
A.alykum naomba hii vdeo ntaipataje
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 5 жыл бұрын
Copy hii link kwa youtube kisha toka nenda chrome andika online video downloader then paste ile link kisha download
@hajielmi7518
@hajielmi7518 5 жыл бұрын
download
@ibrahimabdulaziz3330
@ibrahimabdulaziz3330 6 жыл бұрын
Je yamfaa kumramba mke wako kwa sehemu ya siri?
@makamemufadhil627
@makamemufadhil627 5 жыл бұрын
Ibrahim Abdulaziz ramba tu
@khalidbinsunkar5409
@khalidbinsunkar5409 5 жыл бұрын
🙈🙈
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Usirambe ujinga rambaramba zote ujaona nunua koni urambe😄
@ibrahimabdulaziz3330
@ibrahimabdulaziz3330 3 жыл бұрын
@@aishaarusha894 hahahhaha ausioo
@kulthumsalim7070
@kulthumsalim7070 5 жыл бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh,naomba kuuliza sheikh...na kama mume yuko mbali(ughaibuni)akatuma wazazi wake nyumbani kwa mke atakae muoa...je anaweza kuozeshwa kupitia simu au ndoa itakua haipo?please msaada ustadh bado hatujapata jibu.mke amerudi Kenya mume bado contract yake kuisha akirudi mke waeza kukutana huko huko kazi(ughaibuni)...Shukran
@salumalawi3434
@salumalawi3434 5 жыл бұрын
Kulthum Salim mwanangu haifai kwasababu 1 ili ndoa ikamilike lazima wapatikane watu watano (5) muoa na shahidi wake mmoja,(1) na sheikh anaefungisha hio ndoa na muolewa (bibi kharusi ) na walii wake na ,sasa km huo shahidi atashuhudia kitu kwakukiskia je itakua anaoushahidi hapa kamili mama kuludhumu SALIM ? kwahio lazima arudi kwanza ughaibuni ndipo afunge ndoa .shukran .
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 5 жыл бұрын
@@salumalawi3434 kumuolea mtu inaruhusiwa, usitoe hukumu bila ya elimu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
@@mhogomchungu7168 ndio
@yunusmagimba4928
@yunusmagimba4928 3 жыл бұрын
Assalam alaykum naombeni jibu kuto mwingilia mkeo kwa muda wa miezi 3 nitalaka?
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 3 жыл бұрын
Laa sio talaka hata ikifika miaka 30 sitalaka
@yunusmagimba4928
@yunusmagimba4928 3 жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin Shukran
@assleeali2302
@assleeali2302 4 жыл бұрын
Je mke akizaa nje ya ndoa wakati mumewe yupo jela je wtt wanahaki ya kurithi?
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
Asslee Ali Mtoto siku zote ni halali kwa baba ILA kama baba atamkataa huyo mtoto ni atomatic na huyo mke amechika. Huwezi kukataa mtoto akachukuwa mke. Uvikibali vyote au uvikatae vyote.
@khadijamuhammed6900
@khadijamuhammed6900 5 жыл бұрын
Assalam alykum shekh naomba no yako maana mambo mengine niyasir
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 5 жыл бұрын
+254772611120
@abdulmoez2423
@abdulmoez2423 4 жыл бұрын
Asalam alaykum shekhe naomba namba yako
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 4 жыл бұрын
+254772611120
@khadijakamus2850
@khadijakamus2850 6 жыл бұрын
Asalam aleikum ustadh naomba namba kumuuliza maswali
@saidmohd5090
@saidmohd5090 5 жыл бұрын
Khadija ulipata Ile no kama umepata nipe na mimi
SHARUTI ZA KUONGEZA MKE WAPILI ?
44:58
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 94 М.
MUME KUSEMA HAJAOA NA AMEOA
16:53
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 92 М.
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 10 МЛН
EDA BAADA YA TALAKA - SHEIKH MOHAMMAD IDDI
20:34
Abuuiddi Tv Online
Рет қаралды 20 М.
OTHMAN MAALIM...HEKMA YA MTUME MUHAMMAD SAW
1:12:49
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 67 М.
Adhabu ya Moto, wameumbiwa watu wa Aina hii! Sh. Kipozeo
28:04
OBA Online tv
Рет қаралды 26 М.
WAISLAMU WALIZWA  MSIKITINI
28:59
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 104 М.
VIPI UTAOWA MKE WA PILI
14:10
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 10 М.
VIPI MUME HUMKHINI MKEWAKE
26:34
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 22 М.
Watu wenye sifa hizi hao ndio Wachamungu. Sh. Kipozeo
34:59
OBA Online tv
Рет қаралды 55 М.
JE YAFAA KUMSAIDIA MKE WA MTU BILA YA RUKHSA YA MUME WAKE
11:43
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 31 М.
VIPI UTAPATA FURAHA KATIKA NDOA YAKO
13:44
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 125 М.