No video

Hussein Jumbe-Nachechemea

  Рет қаралды 586,013

Idd Selemani

Idd Selemani

10 жыл бұрын

Please watch: "Ningekuwa Kwetu-Wamanyema"
• Ningekuwa Kwetu-Wamanyema -~-
The song belongs to Hussein Jumbe from Tanzania. All rights are also reserved to the owner of the audio file.

Пікірлер: 243
@johnedwardkassawa2952
@johnedwardkassawa2952 4 жыл бұрын
Ndiomaana nimerud kwa Jumbe. Kama ulikuwepo kipindi hicho unasoma shule ya msingi ukirudi saa sita unatumwa dagaa harafu unaenda ukiendesha ringi la baiskeli gonga like kwa wingi twende pamoja
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
Yale maisha huyatamani hivi. Hivi sasa maisha yana raha zaidi kuliko wakati ule lakini na kero zimekuwa nyingi zaidi. Yale yalikuwa maisha bila stress.
@hamadyzuberi7778
@hamadyzuberi7778 3 жыл бұрын
Nimekumbuka mbali sana brother john minilikua naendesha gari ya mabua Leo ni mi nidereva Truck driver
@johnedwardkassawa2952
@johnedwardkassawa2952 2 жыл бұрын
@@hamadyzuberi7778 Dah umeishi kwenye ndoto zako Kama mimi nilikuwa napenda kutengeneza magari ya waya Mabua Leo mi Mechanical engineering technician
@johnedwardkassawa2952
@johnedwardkassawa2952 2 жыл бұрын
@@hajihassan5433 aise Yale maisha Malezi yalikuwa ya aina moja karibu nchi nzima Familia nzima mnasafiri mnaenda kuwatembelea ndugu Harafu mnafunga mlango hakuna wizi
@winnijames7330
@winnijames7330 Жыл бұрын
kweli ndo irikuwa na kipindi cha mchana mwema redio Tanzanian
@Pandumasoftware
@Pandumasoftware 4 жыл бұрын
2020 wanaongalia tujuane kwa like hapa
@neemamutembei2267
@neemamutembei2267 Жыл бұрын
Rip Hussein Jumbe uliimba huu wimbo waliposema umekufa now umeondoka kweli
@jafaripaje5366
@jafaripaje5366 6 жыл бұрын
Jumbe alipiga nyimbo hii early 2000 baada ya kuugua kwa muda mrefu hadi watu wakamzushia kifo. Baada ya kupona aliuimba huu wimbo kwa hisia sana huku akiwatawaja wabaya wake. Kama maden semeni niwalipee.......Nachechemeaa
@keruboombonyo793
@keruboombonyo793 6 жыл бұрын
Mbona hueleweki 'nyimbo' au 'wimbo'?!
@johariamaghu4738
@johariamaghu4738 4 жыл бұрын
Kumbeee🤔ndo najua leo, Mungu azid kumtunza
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
Sasa hawa anaowataja wabaya wake au wema wake?
@mwanaidijumanne4146
@mwanaidijumanne4146 3 жыл бұрын
@@hajihassan5433 wema wake mabest
@LazaroFrank
@LazaroFrank 8 ай бұрын
Naupenda sana huu wimbo japo sjui umetoka mwaka gani 😢😢
@Omarysadick1990
@Omarysadick1990 Жыл бұрын
R.I.P Mzee Hussein Jumbe. Asante kwa nyimbo nzuri inayoishi milele.
@petermgogosi20
@petermgogosi20 Жыл бұрын
R.IP Baba
@kulfatyadamu8270
@kulfatyadamu8270 Жыл бұрын
Tutakukumbua baba daa siamini malaya mwisho nimekuona daa mbele yako nyuma yetu kumbe kifo chako ulikuwa unakiona daa mungu akuweke mahli pema peponi baba
@gavanankanabo8358
@gavanankanabo8358 9 жыл бұрын
Miziki hii ya zamani kiukweli ilipigwa kiustadi sana na hawa wazee wetu walifanya vitu vikubwa na ndo maana bado kabisa iko vizuri hadi leo hii..OLD IS GOLD
@user-hy3yu8fg1f
@user-hy3yu8fg1f 27 күн бұрын
Pumzika kwa amani mwendo na kazi uliyoitiwa hapa duniani umemakiza😬😬😬😭😭😭💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔
@restutangonyani232
@restutangonyani232 Жыл бұрын
R.I.P Hussein Jumbe hakika nyimbo zako zilikuwa Zinanikosha Sana Sababu zilikuwa na uhalisia wa maisha yetu katika jamii
@kapamimayala2632
@kapamimayala2632 Жыл бұрын
umetuachia simazi watanzania
@martinsamatajr7972
@martinsamatajr7972 Жыл бұрын
tuliokuja baada ya kusikia jumbe amefarika tujuane
@abyomy4485
@abyomy4485 Жыл бұрын
Rest in Peace legend, Mola akupunguzie adhabu ya kaburi Hussein Jumbe
@RozinaMassawe
@RozinaMassawe 2 ай бұрын
Mm nakumbuka baba alikuwa anaredio flni ukikutwa umeishika jani kichopo utakachopewa 😂 , Leo nazikiliza na furahi 2024
@felicianmapunda856
@felicianmapunda856 Жыл бұрын
Rest in peace legend we shall meet in paradise!!!!!
@khadijafuko2108
@khadijafuko2108 2 ай бұрын
😮😢😢
@Dantaata
@Dantaata Жыл бұрын
RIP mzee hii nyimbo ni miaka sasa kila siku lazima nisikilize kwenye gari au ofisin
@zennakaboyonga4525
@zennakaboyonga4525 Жыл бұрын
Nasikia kifo chako Sasa hv imebidi niisikilize nyimbo hii😢😢 hakika kila nafsi itaonja mauti😢😢😢
@beatricekatunzi903
@beatricekatunzi903 Жыл бұрын
Nasikia kafariki jamani daa RIP Jummbe
@princessaidal1130
@princessaidal1130 4 жыл бұрын
2019 naangalia bado,,, songs za zamani ja Mani zinatia raha
@mkuundembe5464
@mkuundembe5464 5 жыл бұрын
Nimekumbuka mbalii Sanaa Hussein Jumbe have a long live R.I.P Mpakanjia
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 3 жыл бұрын
Hussein Jumbe, mwamba, mwimbaji mahiri mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni! Napenda sana nyimbo zako!
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 2 жыл бұрын
Hiyo ndio imekuwa the best of Hussein Jumbe brilliant song
@soplisjoachim5884
@soplisjoachim5884 6 жыл бұрын
mbona mnasakama na maneno mie? lipi nililowakosea? .......kama ni deni semeni niwalipe mimi ......nachechemea mnama uko wapi ? nachechemea mbacho classic nishike mkono, nachechemea mzee wa Kimara classic wear. .......!
@marthamfumbi8946
@marthamfumbi8946 8 жыл бұрын
nilianguka ukaninyanyua.....asante kwa ujumbe huu
@hubimogela9167
@hubimogela9167 Жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Mwamba tutakukumbuka Daima na Sauti yako itabaki kama kumbukumbu Kwetu.
@sadamosses9763
@sadamosses9763 9 жыл бұрын
nongera husein jumbe, nakukumbuka wakati tupo shule ya msingi yombo 1974 darasa la kwanza
@dullatawakal1492
@dullatawakal1492 7 жыл бұрын
Aiseeh miaka mingi sana
@haulesamson2265
@haulesamson2265 6 жыл бұрын
hii miziki ya zamani nimitamu kuisikiliza maana kila chombo unakisikia vizuri kinavyofanya kaziyake na sauti zinazosikika vizuri kwa ujumbe usioisha miaka na miaka.
@rsoo0099
@rsoo0099 Жыл бұрын
Rest in peace mzee wetu.. msalimie mpakanjia
@menaskilibika534
@menaskilibika534 5 жыл бұрын
mbona mnisakama na maneno mieeee!! nachechemeaaaaaa!! Jumbe Hussein NDANI ya mjengo!!
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 Жыл бұрын
DUHHHHH WAPI MZIKI MZURI KAMA HUU.
@elizabethmboya3925
@elizabethmboya3925 2 ай бұрын
Hakika there's a time hatutakuwepo nasisi hapa duniani. RIP legendary Jumbe
@fatmaismail1362
@fatmaismail1362 6 жыл бұрын
Old is gold.. Penda sana hii nyimbo mpaka now 2018
@johariamaghu9772
@johariamaghu9772 6 жыл бұрын
Fatma Ismail pamoja sana
@yusuphmbogolo8487
@yusuphmbogolo8487 6 жыл бұрын
wimbo mzuri sana penda sana
@jacklinelawrence6093
@jacklinelawrence6093 3 жыл бұрын
2021 bado inatambaa
@nyabisemaro5574
@nyabisemaro5574 5 жыл бұрын
Wimbo Umetuliaa Sanaaa Mungu Akubariki Mzee Hussein Jumbeee Maneno mengi yalisemwa Juu yangu Mimi Kama kipaji kanipa Mungu
@aminamunda1499
@aminamunda1499 Жыл бұрын
Wimbo naupenda Sana. Ulikuwa ukipigwa nikiwa jikoni mdogo Rajabu Nanana Mpimbi lazima aje kuniita.nice song
@hawampimbi5725
@hawampimbi5725 Жыл бұрын
Amina Munda naomba unitafte
@evakisoka2416
@evakisoka2416 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba Hussein Jumbe
@hajikalanje5439
@hajikalanje5439 2 жыл бұрын
Kumbukumbu ya mzee dobi
@josephatfikiri7022
@josephatfikiri7022 8 жыл бұрын
watu wengine walisema Maneno mabaya,na wengine wakatangaza nimeaga dunia,nachechemeaa!!!!!!
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 8 ай бұрын
Wanadamu tatizo kubwa. Yao kusema mabaya. Mungu mkuu atusaidie sote. Amen.
@malikihamski4265
@malikihamski4265 Жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 2002 kipindi hicho buguruni kidarajani I missed my childhood
@hamphreyhassan-yw7oj
@hamphreyhassan-yw7oj 2 ай бұрын
KENA PUB
@KIZOB
@KIZOB 7 жыл бұрын
marehem baba yangu aliupenda wimbo huu unanikumbusha mbali sana kweli miaka inasonga
@jgdghcvjvvjvbcv8032
@jgdghcvjvvjvbcv8032 4 жыл бұрын
Hata mm marehemu babayangu alikua anaupenda sana, yani hapa nataka machoz tu
@mamausilamy1360
@mamausilamy1360 3 жыл бұрын
@@jgdghcvjvvjvbcv8032 Hata mm marehem babayangu alikua anampenda Sana jumbe
@mwanaidijumanne4146
@mwanaidijumanne4146 3 жыл бұрын
Yakale zahabu❤️
@mussasaid1677
@mussasaid1677 6 жыл бұрын
HII NGOMA INANIKUMBUSHA MBALI SAANA AISEE....NICE SONG KWA MZEE JUMBE
@allyabdallahmsusa
@allyabdallahmsusa Жыл бұрын
R.I.P Mzee Hussein Jumbe....❤❤🎉
@zuberijuma6700
@zuberijuma6700 6 жыл бұрын
japo mm ni mdogo kiukweli miziki ya zamani ni mizuli sana ukiisikiliza hata kama ulikua na mawazo yanapungua make inafundisha sana maisha ya hapa duniani
@majaliwataidin6921
@majaliwataidin6921 5 жыл бұрын
Zuberi Juma Mpaka uwe timamu lakin ndio utajua kuwa ina maana sana
@mwanaidijumanne4146
@mwanaidijumanne4146 3 жыл бұрын
Yaan we acha tuu kuna vitu tunajifunza kupitia wakati tulio nao😭
@hadijajohn7434
@hadijajohn7434 2 жыл бұрын
Huseni jumbe na Fresh.jumbe je ni ndugu.
@kapamimayala2632
@kapamimayala2632 Жыл бұрын
wimbo wako wa nachechemea hatimae imekuwa daaa
@deodatuskipepemsalila7896
@deodatuskipepemsalila7896 6 жыл бұрын
binafsi huu wimbo nakumbuka cku ya kwanza kuuckia marehem babu yangu alikuwa amepatwa na ugonjwa wa kupooxa mwili nxima ivyo
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 Жыл бұрын
Waooo kitu kitamu jameni rest in peace 🎉 mzee
@khassanpandu3370
@khassanpandu3370 4 жыл бұрын
Kassid alli Huu wimbo sauti ya jumbe is fantastic sichoki kuisikiliza kwa kweli
@mosesmulashani5124
@mosesmulashani5124 Жыл бұрын
Niliwahi hudhuria onesho lako. Tukazungumza ukaniambia mengi. Mpenzi yeyote wa mziki, Sanaa, mashairi asingechoka kukusikiliza. Upumzike kwa amani kaka Hussein Jumbe!
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 Жыл бұрын
Inna ilahi wainalillah rajuun Jumbe
@willyelly926
@willyelly926 6 жыл бұрын
Kusema ukweli nyimbo nyingi za zamani ni nzuri sana Jumbe mimi na mkubali sana
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 Жыл бұрын
Poleni sana familia ya Hussein Jumbe tulimpenda sana kumbe wimbo wake "Nachechemea" alijitabiria kifo chake, japo mala ya Kwanza Mwenyezi Mungu alimnusuru.Pumzika kwa Amani sote tunakuombea tahfifu kwa Mwenyezi Mungu.
@kararaera1758
@kararaera1758 2 жыл бұрын
Naishi Rwanda ila uyumwimbo siuchoki kwasiku nausikia mara4
@josephyegella4816
@josephyegella4816 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani shujaa wetu wa muziki.
@carolmagessa314
@carolmagessa314 8 жыл бұрын
Bonge la wimbo!
@tanokamota1565
@tanokamota1565 6 жыл бұрын
Namkumbuka sana rafiki yangu Hassani Haji Huyu.....tulkua tukiuimba huu kwa pamoja daaaaah an incredible song for shoo!!
@habibnjowele7751
@habibnjowele7751 Жыл бұрын
Great song! Well composed Well arranged Well synchronized Well sound engineered! Plus soothing vocals from multi VOCALIST Hussein Jumbe! RIP! Producer ni HENRICO FIGUIROA STUDIO SOUND CRAFTERS TEMEKE , DAR ES SALAAM, TANZANIA
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 6 жыл бұрын
Nazipenda nyimbo za zamani namkumbuka marehemu mama yangu mdogo alikuwa anapenda sana kuimba jmn 😢😢😢😢😢
@maghimbihosea1098
@maghimbihosea1098 3 жыл бұрын
Thanks
@mwanaidijumanne4146
@mwanaidijumanne4146 3 жыл бұрын
Pole dd
@lensonmbilinyi4721
@lensonmbilinyi4721 6 жыл бұрын
Nyimbo zenye kukonga ngoma ya masikio yangu na kila nsikiapo hupata faraja ya moyo wangu
@georgemasima8452
@georgemasima8452 2 жыл бұрын
nachechemea nyimbo za zamani zilitungwa kiustadi mkubwa sana
@gwamakamwamasage1098
@gwamakamwamasage1098 8 жыл бұрын
Na sanduku gharama wakanichongea....kwa mapenzi ya jalali leoo nachechemeaaaaa... Hussein alitulia sana hapa
@mohamedabdulkadir2634
@mohamedabdulkadir2634 6 жыл бұрын
Hussein Jumbe katulia sana one of his best songs halafu vyombo pia vimetulia trumpets, solo guitar sasa uwe kwenye Hall live ndio utapenda hapo umekatishwa just for recording purposes balaa hiyo nyimbo
@robertlinuma6051
@robertlinuma6051 4 жыл бұрын
2020 February twende sawa 👇👇
@bennyhatar4721
@bennyhatar4721 4 жыл бұрын
P1
@ayubumvungi70
@ayubumvungi70 7 жыл бұрын
kuna wimbo wakee unaitwa POMBEEE NIWEKEENIII JAMANIIIIII
@mussaisaac
@mussaisaac Жыл бұрын
Walikuzushia sana kifo mpaka ukatunga wimbo nachechemea,watu sio wazuri. Pole kwa familia na Tasnia ya mziki wa dansi hakika kila nafsi itaonja mauti.
@louisabadakalopogo6365
@louisabadakalopogo6365 8 жыл бұрын
kwa mapenzi yake jamani nachechemea - kama ni deni semeni niwalipe mizengwe iishe.
@user-of4ip3nk5n
@user-of4ip3nk5n Ай бұрын
Napenda sana nyimbo hii
@user-hk9jl7tm6b
@user-hk9jl7tm6b 3 ай бұрын
R.I.P mzee hussein jumbe nyimbo zako zitaishi milele pumzika kwa Amani
@godlivingkimaro4937
@godlivingkimaro4937 7 жыл бұрын
NAIPENDA XANA HUU WIMBO UNANIKUMBUSHA MENGI...
@PeterDaniel-yf6qi
@PeterDaniel-yf6qi Жыл бұрын
Niliganda niliduwaaa nimlilia sana mwanangu sana Mzee Dodo hatunaye Tena. ..R.I.P. Hussein Jumbe
@daudijohn5650
@daudijohn5650 4 жыл бұрын
Mm nikijana wa kizazi hiki lakin napenda sana kusikiliza nyimbo za zamani 2019 kutoka simiyu
@salminswaggz8649
@salminswaggz8649 5 жыл бұрын
Da naipenda sana sauti ya jumbe
@omaryaltezza169
@omaryaltezza169 Жыл бұрын
Kama kipaji kanipa mungu Altezza mtaniuwa bure...
@shaninjarangi722
@shaninjarangi722 Жыл бұрын
Sote wa m/mungu na kwake tutarejea pumzika Kwa Amani
@salambafrancis6840
@salambafrancis6840 7 ай бұрын
Wimbo kiboko Sana hiki mungu akulaze mahala pema
@iddymohamed1699
@iddymohamed1699 5 жыл бұрын
The old music Hussein jumbe baba mzaz mlifanya kaz kubwa sana
@hilarychanga9765
@hilarychanga9765 5 жыл бұрын
nachechemea wimbo safi sana unamaana kubwa
@alialik7693
@alialik7693 3 жыл бұрын
Dah yaan nyimbo nzur yenye maadili hongera sana jumbe
@jamirajuma4122
@jamirajuma4122 Жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake Mahalia pema😢
@fundisayore201
@fundisayore201 Жыл бұрын
RIP Legend. One of the best katika Muziki wa Dansi.
@FatuThabiti-td2wg
@FatuThabiti-td2wg Жыл бұрын
Pumzika kwà aman mwamba
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Duh! Nilikuwa kadogo hii nyimbo
@amonsecha5753
@amonsecha5753 Жыл бұрын
Mungu amlaze Mahali pema peponi
@mwanawetumwagora6283
@mwanawetumwagora6283 6 жыл бұрын
Hivyo ndo vitu vyakishuwa,sikelele za siku hizi
@user-fr1xu7jr3b
@user-fr1xu7jr3b Жыл бұрын
lala salama mwamba,mziki unaishi kweli kweli
@egnokinunda6959
@egnokinunda6959 5 жыл бұрын
Nachechemea naja taratibu..... So nice
@maliyaoibrahim560
@maliyaoibrahim560 3 жыл бұрын
Kama kipaji kanipa mungu.sio maneno yangu niyajumbe
@frankkinyaiya.8217
@frankkinyaiya.8217 Жыл бұрын
Rip hussein Jumbe
@nsajigwafrank6251
@nsajigwafrank6251 7 жыл бұрын
twangapepeta mwana dar es salama
@mariocostantino1312
@mariocostantino1312 5 жыл бұрын
miziki ilikuwa na jumbe za maisha ya kizazi chao hadi cha baadayee
@misalabazamu7965
@misalabazamu7965 6 жыл бұрын
huseni jumbe ni nyimbo ambayo naipenda sana
@misalabazamu7965
@misalabazamu7965 6 жыл бұрын
nachechemea
@happinessmoyo2472
@happinessmoyo2472 6 жыл бұрын
Huu wimbo namkumbuka sana marehemu mama yangu alikuwa anaupenda sana
@marryriwa2435
@marryriwa2435 4 жыл бұрын
Mziki mtamu utafikiri wa jana
@josephmtega6605
@josephmtega6605 7 жыл бұрын
bonge la wimbo
@hassanmussa7338
@hassanmussa7338 7 жыл бұрын
Hatari sana!!!
@AbdulMtausi-qi3en
@AbdulMtausi-qi3en 5 ай бұрын
Heart touching 😢😢
@francissalamba8112
@francissalamba8112 6 жыл бұрын
Sikati tamaaa ahsante kwa solo uko vizur
@hafsakhamisi1180
@hafsakhamisi1180 8 жыл бұрын
wimbo mzuri sanaa kwa kweli napenda nyimbo zake
@ridhiwanmwakasie7009
@ridhiwanmwakasie7009 6 жыл бұрын
Uwa namwelewa sana huseni jumbe
@nicokunzugala9784
@nicokunzugala9784 3 жыл бұрын
Wimbo mzuli one love miziki ya zamani inaujumbe unaoishi mpaka hata tukifariki sie ujumbe upotu, big up, husein jumbe,
@rehemashabani8750
@rehemashabani8750 4 жыл бұрын
Nmemkumbuka marehemu mamaangu alikuwa anaipenda mno hii nyimbo mungu akuremu mamaangu
@velejilyomhongole1641
@velejilyomhongole1641 2 жыл бұрын
Pole sana
@dreambig6093
@dreambig6093 Жыл бұрын
Ni Mungu na sio mungu.
@dreambig6093
@dreambig6093 Жыл бұрын
Ila pole sana ndugu.
@aashamatondo63
@aashamatondo63 8 жыл бұрын
nazikubaligi sana
@pullah968
@pullah968 Жыл бұрын
RIP jumbe
@yonahgangallen6332
@yonahgangallen6332 6 жыл бұрын
Kwamapenzi yake jalali Leo nachechemea..........
@frankysteven978
@frankysteven978 Жыл бұрын
R.I.P
@ignaskawonga7119
@ignaskawonga7119 8 жыл бұрын
binge la wimboo sharauti kwako Hussein jumbe sauti ya dhahabu
Hussein jumbe- Nipe kitambaa (kilio cha swahiba
7:44
Hussein Jumbe
Рет қаралды 196 М.
Hussein Jumbe-Mapenzi Ya Siri
5:59
Idd Selemani
Рет қаралды 433 М.
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 12 МЛН
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 13 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 16 МЛН
Schoolboy Runaway в реальной жизни🤣@onLI_gAmeS
00:31
МишАня
Рет қаралды 1,3 МЛН
Teddy Mwana Zanzibar - DDC Mlimani Park
10:31
Zilipendwa TZ
Рет қаралды 64 М.
Orch: Msondo Ngoma - "Mtanikumbuka."
7:49
MightyLumber69
Рет қаралды 1,2 МЛН
DD Mlimani Park Orchestra Nawashukuru wazazi wangu
8:47
Sam Exavery
Рет қаралды 12 М.
HUSSEIN JUMBE ALIKUFA KABLA HAJAFA/HISTORIA KAMILI #NIPE5 TBC
39:03
Gangana Info Channel
Рет қаралды 15 М.
Les Wanyika : Sina Makosa
8:11
bartjelsma
Рет қаралды 14 МЛН
Twanga Pepeta - Penzi Sigara Kali (Official Video)
7:43
Twanga Pepeta
Рет қаралды 222 М.
Hussein jumbe & Talent band Pombe
7:32
Hussein Jumbe
Рет қаралды 58 М.
Mlimani Park Orchestre - Mnanionyesha Njia Ya Kwetu
6:18
Power Nguzo
Рет қаралды 536 М.
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 12 МЛН