HUU NDIO UKWELI KUHUSU,KIFO CHA MTANZANIA ABDULLAH ALIYE ULIWA SOUTH AFRICA/WAMEMUONEA /WAMEMDHULUMU

  Рет қаралды 48,076

Peacemakers Tv

Жыл бұрын

Пікірлер: 99
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Katika Nchi hatari kuishi ni Africa Kusini. Bora kipato kidogo lakini uishi Nchi salama. Allah mghufirie madhambi yake umjaalie malazi mema. Ameen.
@fatmaahamadabass8080
@fatmaahamadabass8080 Жыл бұрын
Kuishi ughaibuni ni mtihani sana watu wanawivu wa mafanikio wakiona watanzania wanaendelea
@rehematawalani733
@rehematawalani733 Жыл бұрын
Hiyo nchi inasifa mbaya sana wabaya sana wanaunyanyasaji na ubaguzi wanataka wake wao km wao tu
@saidilindukwa
@saidilindukwa Жыл бұрын
Imefika wakati. Mambo ya kutaka tuonekane wakarimu sanaaa watanzania sasa tuseme basi,nasi tuwe wakali saa hii,South hapa ww mgeni hata km una haki as longer alo kudhulumu ni mzawa ujue polisi watamfever mzawa utakosa haki yako,na jina la kishenzi la makwerekwere utaitwa huo ndio ukweli.njia ni moja tu serikali yetu iwakumbatie wazawa zaidi kuliko wageni sababu sifa tushaipata na saa mataifa ya wenzetu hawajali wamekaa na watu wao chini Lao moja kuwa against wageni.imagine mtu unakitambulisho lkn bado unakamatwa na pesa utatoa htaki weka ndani ukafie humo,huu ni ukweli nausema sifichi kitu,utapata salama na unafuu km askari alokukamata aliwahi ishi TZ hapo kidooogo utapata afadhali.naiomba serikali yangu ya TZ ILIANGALIE HILI kwa kina y wa TZ tunanyanyaswa namna hii,Bwana balozi kazi kwako
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb Жыл бұрын
😭😭😭😭Allah amlaze pema peponi aameen yarabbi 😭 poleni sana jamani huko sauths africa huu ndoukweli wa ndugu yetu Abdi 😭😭😭
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Inalilkahi wainailahi rajuun... Subuhanallah. Allah atamlipa hakiyake Ahelah lnshaallah
@bonifacekirundu9041
@bonifacekirundu9041 Жыл бұрын
Watanzania tukae kwetu
@oman7710
@oman7710 Жыл бұрын
Innalillaah wainna ilayh rajiuun,Allah amsamehe madhambi yake na amuepushe na adhabu ya kabri Allahumma amiiin Yarabb
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Back to the history raia wa Africa Kusini waliteswa sana na watawala wa kigeni leo ni Taifa huru ilikuwa washukuru sana na waishi salama na raia wa Nchi jirani.
@ahmedabass5793
@ahmedabass5793 Жыл бұрын
Hakufai huko turudini nyumbani hata kama maisha ni magumu ni bora kuliko kwenda sehemu ambako amani na usalama hamna na mwisho ndio kama hayo yanatokezea
@zawadix9574
@zawadix9574 Жыл бұрын
Ukweli kabisa nyumbani ni nyumbani pabana na hali yako uta toboa
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
M/MUNGU Ilazeroho yamarehem mahalipema peponi pole kwafamilia MUNGU YUPO Ubaya walioufanya wataulipa kwanjia wasiyoijua
@hadijaalpha7547
@hadijaalpha7547 Жыл бұрын
Hakuna alie kamilika!Allah awape ulinzi ndugu zetu,hawa wenzetu wakatili sana!kuuwa kwao ni kawaida tu!Mnyazi mungu amrahamu amlaze pema peponi Amiin
@soundmale
@soundmale Жыл бұрын
Vp Kenya patulivu .au vilevile2.
@saidilindukwa
@saidilindukwa Жыл бұрын
Hapa south uwe na kitambulisho usiwe na kitambulisho ni shida tu kwa sasa hivi,wanavamia mijengo au Madukani,au mitaani,mnakamatwa mnapelekwa John vooster police station mwenye kitambulisho ndani huna ndani wataanza kutangaza R2500 wasio na passport ili utolewe,mwenye passport R500 utoke na watu wanatoa kwa shida sasa imagine km hali ndio hivi Kuna haja gani kwa serikali yetu tukufu ya tanzania kukumbatia Wageni
@marthaamenlucas8600
@marthaamenlucas8600 Жыл бұрын
Hayo mamifuko atamume wangu alifikwa jaman mungu wangu
@ummushuraym4319
@ummushuraym4319 Жыл бұрын
Allah atupe mwisho mwema insha allah
@mwalimulali626
@mwalimulali626 Жыл бұрын
Huo ndio ukweli kuusu kifo cha ndugu yetu
@janetchinga695
@janetchinga695 Жыл бұрын
Poleni sana, labuda walikua naisi anauza dawa zakulevia,jamani vijana unawezaje kuludi 1ock club inchi yawatu mmm
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Subuhanallah wamemuua kinyama ila Allah yupo dhurmahi watailipa lnshaallah inauma saana jamani
@lakiabalozi5633
@lakiabalozi5633 5 ай бұрын
Nimeumia Hadi mtu analia mama nakufaaa hawamuachi puuuh nimelia😢😢
@saidilindukwa
@saidilindukwa Жыл бұрын
Hili tukio la wiki ilopita si la kwanza mengine hatusemi,na tunashangaa mtu washamuua vipi tena aje apigwe sindano ya nini Ile sindano,serikali yetu ya tanzania hiyo ndio hali tunafanyiwa mengi huku.mpaka mmeona haya kutokea serikali msitulaumu tunakubali kufa kwa ajili ya ndugu yetu,na tushaamua wakilirudia tena hawa polisi wa huku tutachokifanya hawatokaa wasahau.tumewalea sana wasouth lkn leo wanatunyanyasa kana kwamba sie ni wadudu tumechoka sasa kikichobaki ni action pia sie wabongo hatuogopi kufa tunayaweza vilevile wanatuchukulia poa hawa watu sasa tunaiomba serikali yetu wakae chini na wenzao wayajadili haya.km mtu ana makosa mkamateni mpeleke kituoni sheria ifate mkondo wake lkn si kutufanya km sie ni ma mbwa.
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Sauth afrca wanazinguwa t mbn wao wakiwa uku kwet amna matatzo alaf Mambo hayo yanajirdiardia Sana Mambo ya ajabu ajab t
@user-sp4jr4vw6t
@user-sp4jr4vw6t Ай бұрын
Jamani watoto wetu tafuteni lizki huku kwetu acheni tamaa ya nchi za watu
@marthaamenlucas8600
@marthaamenlucas8600 Жыл бұрын
Yn mume wangu alifariki hivyohivyo naumia sana anamwaka Sasa kaniachia mtoto mdogo naalizikwa hukohuko .dahhh naumia sana
@ramadhanikibenga4284
@ramadhanikibenga4284 Жыл бұрын
Pole sana
@jayp5871
@jayp5871 Жыл бұрын
Pole sana dsda, Afrc kusin wabaguz sana
@issamkombo7300
@issamkombo7300 Жыл бұрын
pole dadangu watu weusi hatupendani
@jumamhina6443
@jumamhina6443 Жыл бұрын
Pole sn
@muye426jb6
@muye426jb6 Жыл бұрын
Pole sana
@innocentchikoya5060
@innocentchikoya5060 Жыл бұрын
waziriwa mambo ya Ndani naomba afanyie hii kazi ya Mapolisi wa South Africa kwann wachukue sheria Mkononi
@saidilindukwa
@saidilindukwa Жыл бұрын
Ki ukweli polisi wa Africa kusini wanaonea watu sana lkn kikubwa ubaguzi cha ajabu Askari weusi wanabagua raia weusi,polisi wa hapa bora wakukute na uthibitisho lkn km huna kitu chochote kile ni shida unapigwa na unavalishwa plastic usoni utapumua vipi imagine! Sasa vitendo km hivyo ni vingi vinafanyika
@mwajabukaseke8710
@mwajabukaseke8710 Жыл бұрын
Tushamzika tunashukuru mungu
@adam-saffi211
@adam-saffi211 Жыл бұрын
Hakuna tofauti na police wa bongo. Poleni sana but as foreigners sioni Kama mtatendewa haki.
@fatumajumanne5961
@fatumajumanne5961 Жыл бұрын
Innallillah wainnaillah rajoon
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Жыл бұрын
Innalillah wainnah Lillah rajuun 💔
@yasinichankanda2090
@yasinichankanda2090 Жыл бұрын
Nchi yetu hii tunachezewa vya kutosha viongoz tulio kuwa nao wanachumia matumbo yao tuu hawana uchungu na wananchi, innalillah wainallah rajiuun
@seifchui4246
@seifchui4246 Жыл бұрын
R. I. P Abdullah
@smartboytz4724
@smartboytz4724 Жыл бұрын
Shida ya huko johansburg ni tofauti Cape town Cape town kuko poa akuna matukio
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Mtihani kwanini duniya tunaipeleka kasini unamuuwa mwezako bila hatiya lakini aliye muuwa na yeye iko siku atakufa tuuuu
@innocentchikoya5060
@innocentchikoya5060 Жыл бұрын
Polisi wa south Africa wahukumiwe kifungo cha maisha
@mwitajoseph8315
@mwitajoseph8315 Жыл бұрын
Pamoja na yote chanzo cha maskari hao nini maaana mtu hawezi tu kuja na kukupiga ovyo lazima kuna chanzo wala sidhani kama madawa ni sababu maalum lazima kutakua na sababu maalum ambayo imemsababishia mwenzetu kufa
@WatagwainMan
@WatagwainMan Жыл бұрын
Daaah Sijui Kwanini Ubalozi wetu Hauchukuagi Maamuzi Kuhusu Police Wanavyotufanyia Kwenye Hii Nchi, Wanatuonea Kwa Kila Jinsi, Huo Ndio Ukweli Usiopingika, Wanatuua Kwa Kila Njia, Wanatuchoma Sindano, Wanatumia Silaha, Wanatumia Sprey, Wanatusingizia Kesi Za Kila Aina, Na Serikali Yetu Inakaa Kimya Tu, Hata Hili Lenye Uthibitisho Mkubwa Pia Wataliacha Tu, Kiukweli Inauma Sana, Tanzania Kuna Wageni Kibao Na Hatujawahi Kuwaita Forena Wala Kuwanyanyapaa, Au Serikali Yetu Inapenda Jinsi Tunavyofanyiwa Huku, Tunaiomba Serikali Mchukue Maamuzi..
@henrymassawe699
@henrymassawe699 Жыл бұрын
Hapa hapa home pollisi wanatuua kila siku na serekali haiseme kitu ndiyo iwe huko SA?? In short they don't give a f'k
@ezekielkandonga9238
@ezekielkandonga9238 Жыл бұрын
Huyu Mama hawezi kitu labda angekuwa Mwamba Magufuli
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 Жыл бұрын
@@ezekielkandonga9238 Kwani wakati wa Magufuli hawakuuliwa Wa Tanzania South Africa
@mnubimnubi4081
@mnubimnubi4081 Жыл бұрын
MUONGO mkubwa wewe wp hapa Tanzania watuwanauwawa kila siku!!?
@kudramzee5769
@kudramzee5769 Жыл бұрын
Sio south africa tu hata kongo kinshasa watanzania tunanyanyasika
@jzakayo3864
@jzakayo3864 Жыл бұрын
Dah
@Boyhoodking
@Boyhoodking Жыл бұрын
In my life sitokubali nije poteza mtoto wangu kwa kuuawa bila kisasi, ntaua Hadi kuku wao. I will go f*cking crazy in the game. Dunia itasimulia ntakachokifanya. Allah atulindie vizazi vyetu na amsamehe Kaka yetu
@husseinmahmoud7000
@husseinmahmoud7000 Жыл бұрын
Allahumah amiin
@husseinmahmoud7000
@husseinmahmoud7000 Жыл бұрын
Allahumah amiin
@ashamerey1806
@ashamerey1806 Жыл бұрын
R. I. P .😭😭😭😭
@sundaykomba1327
@sundaykomba1327 Жыл бұрын
Sidhani kama hao watu walikuwa polis watakuwa ni watu ambao walivaa nguo za kipolisi
@jayp5871
@jayp5871 Жыл бұрын
ata mimi nahis ivo
@ambwenedaniel358
@ambwenedaniel358 Жыл бұрын
Ni police broo hawa police wa huku south Africa ni wezi sana
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Mtihani
@jumahilali2309
@jumahilali2309 Жыл бұрын
R.i.p
@lillaahilhamdutv5383
@lillaahilhamdutv5383 Жыл бұрын
Kumbe alikuwa anatoka club, hapo sasa kazi ipo kwake mbele ya muumba wake
@mwitajoseph8315
@mwitajoseph8315 Жыл бұрын
Na ukumbuke club sio kanisani yawezekana mzozo ulianzia uko na club hawauzi uji wala maziwa katika swala ya kupiga moja mbili yawezekana kuna matamshi walitamkiana uko
@mohamedsuleiman2785
@mohamedsuleiman2785 Жыл бұрын
Baba dhuluma kadhulumiwa kwan wangapi walikuwa ktk dhambi na leo wame tubu
@angelamshama1288
@angelamshama1288 Жыл бұрын
Marehemu hasemewi vibaya, tuombe mwisho mwema lilaahil hamdu
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 Жыл бұрын
@@mohamedsuleiman2785 katika ulevi ni mthihani Sana
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 Жыл бұрын
We nae kwendra
@teddymashells2601
@teddymashells2601 Жыл бұрын
hawa wa South Africa wamezoweya sana kuuwa watu bila ta Sababu n'a hasa watanzania wanauliwa sana,n'a yote ni chuki tu.
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Walizima umeme kusudi walipanga tukio
@athumanisinga7128
@athumanisinga7128 Жыл бұрын
Kukataa umeme ni kawaida saasa ivi South Africa ila wamefanya kitu cha kinyama sanaa wana rohoo mbaya sana police
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
@@athumanisinga7128 kweli mungu yupo
@sharoniamiri3114
@sharoniamiri3114 Жыл бұрын
𝐒𝐨𝐮𝐭𝐡 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐳𝐢𝐧𝐠𝐮𝐚
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Ubalozi unasemaje huko
@seiflugendo7141
@seiflugendo7141 Жыл бұрын
Wasouth ni viumbe wasenge sana wamesahau walitupigia magoti wakati wanatawaliwa mmbwa hao
@khadijandege2036
@khadijandege2036 Жыл бұрын
R.I.P
@salimliemba3458
@salimliemba3458 Жыл бұрын
Inna lillah wainna illah Rajiun kazikwa Leo tanga
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Inalilahi wainailahi rajuun
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 ай бұрын
✌️🙏
@mwajumakweli
@mwajumakweli Жыл бұрын
😭😭😭😭
@adamabui6121
@adamabui6121 Жыл бұрын
Hakuna haki utakayo fanyika hapo. Kama polis wameua wamemthulumu kijana. Tafuteni polis kadhaa muwaue basi
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 Жыл бұрын
Hao ndo makaburu
@luluwhite3818
@luluwhite3818 Жыл бұрын
WANAUWAWA NDUGU ZETU LAKINI HAWAKOMI TU
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
wakakuta pepa ambazo ni noti ndio vp?
@muhammadynabeel3472
@muhammadynabeel3472 Жыл бұрын
Rip mdogo wang.
@fidelyaredi4137
@fidelyaredi4137 Жыл бұрын
Ni aibu sana, kufanya fujo kwa jirani, kwa ajili ya rais wa dawa za kulefya
@lucydominick3864
@lucydominick3864 Жыл бұрын
So bad aisee..
@saidilindukwa
@saidilindukwa Жыл бұрын
Kuna mwaka nilikuja Tz basi kariakoo wanigeria na wamalawi wamejaa teleeee kifupi nili mind y serikali yetu inajaza Wageni Tele ktk nchi yetu,tujiulize hivi wao tukienda ktk nchi zao watakubali? Jibu hapana mama Samia raisi wetu kipenz ktk hili usikae kimya raia wako tulo nje twanyanyasika msione twakaa kimya tunaumia kuona watanzania tunawakarimu sana wageni at the same time sie tunauliwa na kuumizwa ktk nchi za watu,fukuza wageni wote Tz hapo
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 Жыл бұрын
Inna Lillah Wainaillah Lajuun poleni Wafiwa Imefikia Kipindi wageni iwe mwisho kuingia nchini kwetu Mama Mpedwa Rais wetu litazame hili ni tatizo masna hat vizazi vyetu vitakosa Bisness z kufanya au Ajira
@rechohkidoah34
@rechohkidoah34 Жыл бұрын
😔😔😔😔😔APUMZKE KWA AMANI🙏🙏🙏🙏
@zenachuo2963
@zenachuo2963 Жыл бұрын
R .i.p
@ismailiramazhani3570
@ismailiramazhani3570 Жыл бұрын
Wa south sio watu ni ma bowa Sana sio police hao ni wezi wa south ote ni wezi wauwaji tu inabidi tuwe tunawauwa katika nchi zetu na sisi kama wapo uko Tanzania uweni na nyinyi
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 7 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 36 МЛН
He Used All The Sauce On 1 Slice Of Pizza🤪😂
0:12
BorisKateFamily
Рет қаралды 38 МЛН
Мыла наелся
0:21
Pavlov_family_
Рет қаралды 4,2 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
0:21
FASH
Рет қаралды 16 МЛН
Mother Cat Drinks Lots of Coffee to Get By #funny #catlover #cuteanimals #cartoon
0:21
Super Emotional Stories
Рет қаралды 20 МЛН
Waka Waka 😁 #funnyshorts #rianashow
0:14
RianaShow
Рет қаралды 27 МЛН