Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi

  Рет қаралды 14,380

Hamasika Tv

Hamasika Tv

21 күн бұрын

Пікірлер: 20
@albertdhukuru7443
@albertdhukuru7443 18 күн бұрын
Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...
@kwisa4899
@kwisa4899 10 күн бұрын
Tanzania tunatumia lugha 2
@BukelebeTv
@BukelebeTv 16 күн бұрын
Ukitumia Kingereza tunaomba ufasiri. Tunabarikiwa sana na masomo yako
@AbuuSudais-wf6ns
@AbuuSudais-wf6ns 12 күн бұрын
Kaka angalia sana Hilo swala LA lugha, kiswahili ni bora Sana Kwa jumla
@magrethpaul2207
@magrethpaul2207 5 күн бұрын
Haya ndio mambo napenda
@EmanuelSimon-eh8mr
@EmanuelSimon-eh8mr 13 күн бұрын
Kwani bro ww ni Muingerezaa? Somo zuri sana tatizo unachanganya lugha
@BaruaniAllyally
@BaruaniAllyally 9 күн бұрын
Niku shauri tu Mada iyoiyo irudie Tena kwakiswahili tu umepika chakula kizuri Sana ila kama chunvi haikuskika
@benyavan5774
@benyavan5774 12 күн бұрын
Kwani hadi muchangaye kuswali na English ndiyo tujue unajua Tumien lugha ya taifa we unadhani una sikiliza na wangapi
@EsterinePhilipo
@EsterinePhilipo 11 күн бұрын
Acha ushamba wa rugha
@zackariamtunguja9435
@zackariamtunguja9435 17 күн бұрын
Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000 Now napambana kufuta madeni.
@marinakarunde3311
@marinakarunde3311 15 күн бұрын
Hongera una uthubutu sana.. Mimi kusave ndo ugonjwa wangu nazidi kupambana nao😂
@maureenmgeni
@maureenmgeni 12 күн бұрын
Hongera sanaaa
@hamasikatv
@hamasikatv 8 күн бұрын
Hongera sana kwa hatua hiyo
@busarafadhil2442
@busarafadhil2442 18 күн бұрын
Wengine hawakurleei hapo unatuchanganyatuu
@busarafadhil2442
@busarafadhil2442 18 күн бұрын
Unachanganya lugha kama unaongea kiswahili ongea kiswahilitu na ikiwa English ongea English tu usiige
@ahz6907
@ahz6907 17 күн бұрын
Wa tz nani katuroga? Si tujifunze english maana ndio lugha ya ulimwengu jamani tuache kulalama😂
@BaruaniAllyally
@BaruaniAllyally 9 күн бұрын
Sasa boss mbona kiingereza kingi Sana iyo ni kiswaili cha marekani
@maicofidelix3549
@maicofidelix3549 15 күн бұрын
Good 👍 brown
@Kanyawela
@Kanyawela 13 күн бұрын
Ukiongea kingereza bas tafsiri ya kiswahili ili wote tuelewe
@mwanziajoseck3904
@mwanziajoseck3904 18 күн бұрын
🎉
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 24 М.
MAARIFA YATAKAYO KUSAIDIA MAISHANI - JOEL NANAUKA
8:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 39 М.
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
00:19
Kate Brush
Рет қаралды 7 МЛН
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 3 МЛН
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 61 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 45 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
Hamasika Tv
Рет қаралды 13 М.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 166 М.
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
00:19
Kate Brush
Рет қаралды 7 МЛН