Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...
@kwisa489910 күн бұрын
Tanzania tunatumia lugha 2
@BukelebeTv16 күн бұрын
Ukitumia Kingereza tunaomba ufasiri. Tunabarikiwa sana na masomo yako
@AbuuSudais-wf6ns12 күн бұрын
Kaka angalia sana Hilo swala LA lugha, kiswahili ni bora Sana Kwa jumla
@magrethpaul22075 күн бұрын
Haya ndio mambo napenda
@EmanuelSimon-eh8mr13 күн бұрын
Kwani bro ww ni Muingerezaa? Somo zuri sana tatizo unachanganya lugha
@BaruaniAllyally9 күн бұрын
Niku shauri tu Mada iyoiyo irudie Tena kwakiswahili tu umepika chakula kizuri Sana ila kama chunvi haikuskika
@benyavan577412 күн бұрын
Kwani hadi muchangaye kuswali na English ndiyo tujue unajua Tumien lugha ya taifa we unadhani una sikiliza na wangapi
@EsterinePhilipo11 күн бұрын
Acha ushamba wa rugha
@zackariamtunguja943517 күн бұрын
Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000 Now napambana kufuta madeni.
@marinakarunde331115 күн бұрын
Hongera una uthubutu sana.. Mimi kusave ndo ugonjwa wangu nazidi kupambana nao😂
@maureenmgeni12 күн бұрын
Hongera sanaaa
@hamasikatv8 күн бұрын
Hongera sana kwa hatua hiyo
@busarafadhil244218 күн бұрын
Wengine hawakurleei hapo unatuchanganyatuu
@busarafadhil244218 күн бұрын
Unachanganya lugha kama unaongea kiswahili ongea kiswahilitu na ikiwa English ongea English tu usiige
@ahz690717 күн бұрын
Wa tz nani katuroga? Si tujifunze english maana ndio lugha ya ulimwengu jamani tuache kulalama😂
@BaruaniAllyally9 күн бұрын
Sasa boss mbona kiingereza kingi Sana iyo ni kiswaili cha marekani
@maicofidelix354915 күн бұрын
Good 👍 brown
@Kanyawela13 күн бұрын
Ukiongea kingereza bas tafsiri ya kiswahili ili wote tuelewe