Рет қаралды 1,060
Zaidi ya ajira 100 zinatarajiwa kupatikana kufuatia kuwasili kwa bidhaa za ICE CREAM zinazozalishwa na Kampuni ya Bakhresa Group ambazo zitawanufaisha vijana wa Wilaya ya Newala mkoani Mtwara baada ya kuwepo kwa ongezeko la usambazaji wa bidhaa hizo katika mikoa ya kusini.
#icecream #ajira #usambazaji #@bakhresagrouplimited