No video

IMEVUJA! CHANZO CHA MGOGORO WA MAZRUI NA ACT-WAZALENDO HIKI HAPA

  Рет қаралды 13,426

CUF ONLINE TV TZ

CUF ONLINE TV TZ

Күн бұрын

Пікірлер: 48
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 Ай бұрын
Mazungumzo ya chama ni tofauti na serikali, acheni kujitafutia hoja za fitna, ukiongelea maendeleo usisahau pia kuongelea maendeleo ya deni na mkopo isoolipika
@Pemba680
@Pemba680 Ай бұрын
Wazanzibari siasa za porojo tumechoka nazo ss tunachotaka kwasasa ni MAENDELEO tu Na kusema LA ukweli Dr.MWINYI amefanya kazi nzuri.
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 Ай бұрын
Hayo majendeleo ndio maendeleo yenyewe unayoyasema?
@kassim1262
@kassim1262 Ай бұрын
Sw tumekuelew kabla znzb haijapata maendeleo ilikua una hali gani ykimaisha nasaiv znzb imeendelea umepiga htua gani na umepata nini hasa kwenye hayo maendeleo yliopo znzbr 😂😂😂😂
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 8 күн бұрын
Samahani ndugu huenda ikawa kazi nzuri labda kaifanya kwako ila kwetu wengine njaa kali
@hajiharoub8125
@hajiharoub8125 Ай бұрын
Sisi wananchi tumechoshwa na ccm yaan hata ifanye nn kwetu nisawa na mtu anaejamba mtoni tu Kwakwel tunahitaji chama chengine chochote kiongoze nchi ili tuone na wao watafanya nini
@msabahaali758
@msabahaali758 Ай бұрын
sasa unatakaje viongozi wa Act wamsifu mwinyi wakati aliahid hajatekeleza ata moja nchi ameifanya mlango wa duka lao na familia zao
@SalimAhmedAbdullaSalimAbdulla
@SalimAhmedAbdullaSalimAbdulla Ай бұрын
Wacha unafiki Act ihaiyumbi hayo si matusi mwizi anaitwa mwizi ukweli so matusi.wacha kupotosha.
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz 6 күн бұрын
tumeyaona mengi uyoo mazurui mshampiga acheni unafiki
@Mazrui22
@Mazrui22 Ай бұрын
Huyu peku tu ccm wameishiwa hiyo ndio imekuwa sera yao hawana jambo la kusema watu wanataka mafanikio ya maisha yatokane na juhudi za serikali sio kwa kugaiwa pesa na mkopo
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Anafanya vizuri lakini wakati wake ukifika na hajapata voti basi awaachiye chama chengine. Bila ya kuiba au kuuwa Wananchi.
@KhadijaHussein-qn2ge
@KhadijaHussein-qn2ge Ай бұрын
Mika 60 mnatudanganya na barabar maji tumechoka
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Mawaziri wote wangekuwa Kama Mh. Mazroui basi Zanzibar ingekuwa ina Baraka zake. Lakini Mazroui peke yake ndio wa kupigiwa mfano.
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 Ай бұрын
HUYO MSEMAJI NI KIPOVU CHAMKOJO ,MUHISHMIA Mazruwi HADONDIKI (M+J+O+J D+SH+....)WANAZO RADI ZA MARHUMU M SEIF. ...
@HassanMohd-cx5rv
@HassanMohd-cx5rv Ай бұрын
Uchawa unawasumbua hajui wazanzibari wanataka nini pimbi atabaki kuwa pimbi
@MohammedBwanga
@MohammedBwanga Ай бұрын
Watu wanataka nchi yao mstuletee mambo ya kizamani zama izo zimeisha msibabaishe watu mazrui sio zanzibar kazaliwa kaikuta na ataiwacha zanzibar na wazanzibari ndio muhimu na kauli yao wanataka nchi yao nyie zungukeni lkn hio ndio habari
@Saidykj
@Saidykj Ай бұрын
Huyu mshenzi anaezungumza anatokea wapi? Kasahau alofanya Othman Masoud kwenye bunge? Fitna mkubwq huyu.
@feiz3180
@feiz3180 Ай бұрын
HAMNA MPYA. ccm MUTALALA TU HAMNA MPANGO.
@shekhkombomasjidhawwaa4387
@shekhkombomasjidhawwaa4387 Ай бұрын
Hapana mpasuko wowote hapo
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j Ай бұрын
ACT hatudanganyiki tunataka mamlaka kamili ya nchi yetu. Dhiki ya maisha imezidi sisi hatuli barabara wala majumba.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Kafanye Kazi njaa itaondoka, hakuna serikali itakayokuwa inakuwekea fedha mfukoni
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Kafanye Kazi njaa itaondoka, hakuna serikali itakayokuwa inakuwekea fedha mfukoni
@RashidAbbas-zy6xx
@RashidAbbas-zy6xx Ай бұрын
Ameshashiba huyondio maana akasifia ccm
@mustafaismail5622
@mustafaismail5622 Ай бұрын
Kweli hiyo nafasi ilikuwa ya mzee juma duni
@karimdaud3993
@karimdaud3993 Ай бұрын
Huyu mwenye kuzunguza . Haipendi zanzibar . Ni ftna wala hana haya .hana imani .hajui vibaya. (Mla kuku wa mwenziwe miguu humuelekea)
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf Ай бұрын
WENYEWE WANASEMA PAPA HAVULIWI KWA DEMA. KESHO TAREHE 13 WANACHAMA WA ACT WAZALENDO WANATARAJIA KUSIKIA NENO KUTOKA KWA MAZRUI JE NA YEYE KAMSALIT ALMATHUM MAALIM SEIF SHARIF?.. HAMAD
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir Ай бұрын
Si tusubirie kwanza afanye maamuzi!! Naona munaanza kujihashua tena wanaume wazimaaa
@user-gy5ii3ig1d
@user-gy5ii3ig1d Ай бұрын
Wacheni propaganda nyinyi saiv watu wapo macho hawadanganywi hvo
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Rais Samia kila siku anatukanwa vibaya yeye na alipo toka lakini ni Muungwana anawaachiya wenyewe matusi Yao.
@Hilali-ff5ul
@Hilali-ff5ul Ай бұрын
Kauli ya masrui hatoki act kamwe ,ila nyny muna potesha W2 😂😂
@HusnaKhamis-bf9sm
@HusnaKhamis-bf9sm Ай бұрын
Mm simuamini tena hata asemevip kwenye siasa
@MwigaAdam
@MwigaAdam Ай бұрын
Mazurui Leo mwema kwasababu kawagusa ndio tunasubir siku yakukabidhiwa kadi na magwanda ya kijani
@MussaMussa-tq9vv
@MussaMussa-tq9vv Ай бұрын
Upumbavu huo hiyo kafu inatafutwa huruma
@HusnaKhamis-bf9sm
@HusnaKhamis-bf9sm Ай бұрын
Wasiulishe watu badae wakajitia muafaka wakanemeka na femilia zao huku watu washakufa wengi
@ZANAMBER
@ZANAMBER Ай бұрын
Wee Ali karume hunajipya mumechiwa cuf imewashinda sasa muna babaika
@mustafaismail5622
@mustafaismail5622 Ай бұрын
Kweli kaka yangu ali makame nakusapoti sana nafasi hiyo ilikuwa ya mzee duni
@user-st9me2jn7o
@user-st9me2jn7o Ай бұрын
Mazrui sio naibu katibu mkuuuu
@HusnaKhamis-bf9sm
@HusnaKhamis-bf9sm Ай бұрын
Kamanimuukwana naerejeshe kadi yawatu
@kitosio
@kitosio Ай бұрын
Kasaidia nini
@user-js9lz8nc1w
@user-js9lz8nc1w Ай бұрын
Hoja za kitoto hizo
@lusakaone7782
@lusakaone7782 Ай бұрын
Hamna akili
@ramzsule7678
@ramzsule7678 Ай бұрын
Wewe mpumbavu
@NoufelSalim
@NoufelSalim Ай бұрын
Porojo za kifitna
@stonetown578
@stonetown578 Ай бұрын
Pumbavu mmeishiwa nyie.
@nassorseif7907
@nassorseif7907 Ай бұрын
Wacha ubaradhuli wewe fitna unayo wewe na familia yako
@amanmohd9435
@amanmohd9435 Ай бұрын
Stupid kabisa
@SaidIssa-tq3yv
@SaidIssa-tq3yv Ай бұрын
Mpasuko mkubwa ni ubaguzi, wapemba ndio wanaoongoza Act. Na Hawa watu wa unguja hawana chao wamekuwa hawana say yoyote , kuanzia kwenye shina mpaka juu wote wapemba. Mtakasirika lakini ukweli ndio huo.
LUKUVI NGORONGORO  AUSEMA UJUMBE ALIOAGIZWA NA RAIS SAMIA
5:54
Mwananchi Digital
Рет қаралды 24 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 36 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 44 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 17 МЛН
Mimi ni Mmoja ya Waanzilishi wa CCM - Dr Salaa
4:20
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 6 М.
MWANANCHI WA CHAANI AMPONGEZA WAZIRI MAZRUI
10:04
HALISIA TV
Рет қаралды 3,6 М.
DHIKRI PUMZIKA KWA AMANI RAIS MSTAAFU WA TANZANIA ALI HASSAN MWINYI
18:57
Bongozozo KONDA WA BASI la Bongo Zozo. Ubungo, Dar es Salaam
7:07
Bongozozo Tanzania
Рет қаралды 22 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 36 МЛН