No video

INATISHAꓽ SIRI NZITO AFRIKA/ UONGO WA RAMANI/ "TANZANIA" ILIVYOHUSIKA/ TUNAFICHWA KUSUDI..!

  Рет қаралды 11,981

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

#Royaltour #Africa #Princekatega
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 34
@malimanyanja562
@malimanyanja562 Жыл бұрын
Safi sana na uo. Ndio ukweli kuliko walio tudanganya
@tamadunifilm2238
@tamadunifilm2238 2 жыл бұрын
Huyu mzee anatakiwa awe moja ya Wataalamu wa African inter Univeristies Researchers Forum ninayotarajia Kuanzosha hivi karibuni Nimeelewa acho kizungumza na huyu ni Mwafrika Halisi 100% anaijua historia ya Afrika yetu
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 2 жыл бұрын
Uyo namuona kama anafikra za kiukombozi wa mwafrika kama magufuli flan
@omarymohamed9834
@omarymohamed9834 2 жыл бұрын
Mzee Ana akili nyingi sana aisee. Kufanya maojiano na huyu mzee inatakiwa uwe vzr sana. Ongera sana brro Dupa
@adolphyamin1245
@adolphyamin1245 2 жыл бұрын
Simulizi nzuri sana Tatizo melody ipo juu sana
@successplatformtv1823
@successplatformtv1823 8 ай бұрын
Mzee anajua sana asee
@johanesthobias8742
@johanesthobias8742 Жыл бұрын
Omurangira princ katega wa 11 nitumie ya waafrika tafadhari naomba mawasiliano yake pls
@vincentsimoni89
@vincentsimoni89 Жыл бұрын
Yesu pia n mwafrika hakuwa mzungu
@user-mt7er2xi1r
@user-mt7er2xi1r Жыл бұрын
Nakubali mzee wangu
@mussakasela1937
@mussakasela1937 2 жыл бұрын
Akili kubwa sana huyu mzee
@bobnasser862
@bobnasser862 4 ай бұрын
Asili imtunze mzee wetu katega
@OdiloMganga-bm1xb
@OdiloMganga-bm1xb Жыл бұрын
Kuna humu watu wamesikiliza. Lakini wametoka bure na ni watu baathi uo ni upofu unaoongelewa mmoja ni mbishi na hajui kuandika vizuli haaa
@user-xz8er5fv1q
@user-xz8er5fv1q 11 ай бұрын
Itachukua mda mrefu Sana kumelewa huyu mkombozi was Africa maana Kuna watu wanawashujudia watu weupe na akili zao zimeasirika Sana na uzungu hata wale unaodhania ni wasomi was kuelewa haraka utashangaa ndio wabishi kwa mfano Hawa wanaotusaliti kwa kuuza rasimali za nchi miaka isiokuwa na kikomo .
@misifaskills745
@misifaskills745 9 ай бұрын
Naelewa unachoongea ili mtu akielewe lazima awe huru kifikra asiwe na udini huu walio tuletea watu weupe wazungu na waarabu kupitia ukiristo na uisilam tumefumbwa macho hatuoni hivo vifungo ili watutawale na kutuibia mali na nishati zetu ili wao wawe juu kiuchumi na kiakili
@stephenking3602
@stephenking3602 Жыл бұрын
Wazungu wametubadirisha sana ni fikra, kuanzia asili na ibada zetu, elimu na itikadi zetu tunashindwa kujitegemea sababu ya hayo, sasa mnafanyaje ili dhana hiyo iwe na mafanikio zaidi na ilete chachu kwa waafrika?
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Kkkkk kweli wazungu wametueza na dini kkk wametufunga sana
@johanneslaurianzakubeibanz225
@johanneslaurianzakubeibanz225 Жыл бұрын
Johannes laurian rwebugisa anamuunga mkono profesa katega
@omarymohamed9834
@omarymohamed9834 2 жыл бұрын
Daaah mzee anamadini aisee
@pathfinderke7209
@pathfinderke7209 2 жыл бұрын
Toa melody background
@omarymohamed9834
@omarymohamed9834 2 жыл бұрын
Natamani kwenye maisha yangu ningekuwa na mtu hata nusu yake huyo mzee
@ngonosika5004
@ngonosika5004 2 жыл бұрын
,matukio
@malimanyanja562
@malimanyanja562 Жыл бұрын
Ww ni mpumbavu mungu ana bali wajinga kama nyie ndio wenyedini za kipuuzi izo
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 wazungu wametokana na waafrika kwasababu ya barafu je na wachina na wahindi walitokana na nini hapo mzee wangu umetuanga
@simbamnyama2589
@simbamnyama2589 Жыл бұрын
Rangi nyeupe.. Akizungumza wazungu anamaanisha mtu yyte ambaye hana malanin iliyonyooka
@BigZhumbe
@BigZhumbe Жыл бұрын
Uzungu ni rangi nyeupi kwani wachina ni Rangi gani??? China ni nchi sio rangi.
@charleskapaya1170
@charleskapaya1170 Жыл бұрын
Wachina na Wahindi ni kama Marangirangi wa South Africa.
@org5233
@org5233 Жыл бұрын
Rangi mbili tu nyeuc na nyeupe ko utachagua ww kilaza mkubwa
@mahsensaid4079
@mahsensaid4079 Жыл бұрын
Ni mbumbafu walahi ni mtu anapinga dini au kifupi haamini kwnye mungu na amesahau kila kitu unachokiona sehem nikimetengenezwa je hi dunia nan kaitengeneza imekujaje yenyewe na bindamu je wa mwanzo kabisa alikujaje?????? Acha ujinga mzee unajiona mjanja lakini hakuna falaa kama wewe
@jumandegwakazee
@jumandegwakazee Жыл бұрын
Juwa nini elimu Kwanza wazee wetu walitupa elimu si ya magari ilkuwa ni jinsi ya maisha
@org5233
@org5233 Жыл бұрын
Hata huko unako Amini pia bdo huelewi elewi upo upo tu 😂😂
@org5233
@org5233 Жыл бұрын
Unahitaj ukomboz wa kifikra
@OdiloMganga-bm1xb
@OdiloMganga-bm1xb Жыл бұрын
Herewa anachosema kwanza kuandika hujui tupishee
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 9 ай бұрын
Imani na ujuz ndio maana yake Dini unaamini usichokijua ila history unaamini kupitia Shahid hakuna ushahidi wote wa hizi dini ila ushahidi wawazee wakale upo Mzee hata filaun story yake tumedanganywa tu fungua akili utaelewa
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 20 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 76 МЛН
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 1,9 МЛН
PRINCE KATEGA WA PILI : AZUNGUMZIA WAHAYA KIUNDANI HUWEZI KUAMINI
18:49
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН