INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA

  Рет қаралды 177,284

Global TV  Online

Global TV Online

Ай бұрын

INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 603
@globaltv_online
@globaltv_online Ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@justinog3105
@justinog3105 Ай бұрын
Wana Arusha mko na bahati mlipewa na Mungu kwa kumpata makonda angefika kwetu burundi shida zingepungua mnae kubali makonda mniongezee likes hapo Mungu ampe maisha marefu
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Ай бұрын
Sana kiukweli naomba mungu atuletee makonda mkoa wa TANGA , mana huku Kuna madudu mengi
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu Ай бұрын
Makonda apige kazi
@Bandura386
@Bandura386 Ай бұрын
Makonda njoo kibondoo
@jokhajj
@jokhajj Ай бұрын
Kwakwl shida zingepungua mungu atusaidie burundi aise tuje tupate mtu kama makonda😢
@ashrafadam4629
@ashrafadam4629 Ай бұрын
Arusha kuna madudu mengi mkoa una vurugu sana huko ujanja mwng mbele kiza , makonda okoa jahaz huko vgogo na madon weng n dhuluma za wanyonge
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f Ай бұрын
Vote for president to be makondaa Piga like kwa niaba ya makonda
@mariaboniphace7853
@mariaboniphace7853 24 күн бұрын
Napiga kura yake mapema sana
@JosephatJoseph-eo8xj
@JosephatJoseph-eo8xj Ай бұрын
Mimi ni wa CHADEMA ila kazi ya makonda imenikosha sana Mungu hakulinde
@naimatemba8061
@naimatemba8061 9 күн бұрын
Yaani wacha kabisa
@dullamuso6955
@dullamuso6955 Ай бұрын
Mungu azidi kukutunza Makonda, Unapiga kazi unatukumbusha Hayati Magufuli.
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 Ай бұрын
kweli kabisa huyu ni rais wetu makufuli
@user-ej5ir5pu7r
@user-ej5ir5pu7r 24 күн бұрын
Huna akili hiyo ndo kazi yake rais ajesimamie vitu kama hivyo alio wateua wafanye kazigani
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es Ай бұрын
Hakika huyu ni Mungu aliye hai anayetenda kazi kupitia mheshimiwa Makonda ..Mungu amjaliea maisha marefu ya baraka awapinge na kuwaangamiza wanaoinuka kinyume na anachofanya na ikimpendeza amjalie kua kiongozi wa nchi kwa wakati Mungu alioukusudia.Amen
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l Ай бұрын
Aaaamiiiinaaaaa
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l Ай бұрын
Hakika tuzidi kumuombea kwa mungu huyu jamaa ili aweze kumaliza matatizo ya wanainchi
@waltermachange7300
@waltermachange7300 Ай бұрын
Mheshimiwa Rais Samia Arusha ,unazo kura kama zote, mikoa yote weka mashine kama hizi,Mh Makonda.kina Lengai sabaya uone mambo.
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu Ай бұрын
​@waltermachange73huyo lingai SI kibaka TU kama vibaka wengine
@stevenmabungi3245
@stevenmabungi3245 Ай бұрын
Amina
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Ай бұрын
Damu ya YESU ikufunike Makonda🙏❣️
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Ай бұрын
Huyu Mh Anastahiki kuungwa mkono Safi sana
@Mgema001
@Mgema001 Ай бұрын
Kila siku nasema wanaoturudisha nyuma hii nchi ni viongozi wa chini hawa wadogowadogo...big up makonda
@nuruurio8319
@nuruurio8319 Ай бұрын
Yaan viomgoz ndo shida wananchi siyo tatizo kabisa
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Ай бұрын
Hakika, na tukipata watu watano tu katika hii nchi kama makonda nchi ingepona
@ChausikuMadale
@ChausikuMadale 10 күн бұрын
Go to taa cc t ​@@nuruurio8319
@elizaberthpius4511
@elizaberthpius4511 Ай бұрын
Mungu tutunzie tena huyu Baba,,,❤We see you in him for de sake of wanyonge wote,God bless Tanzania
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 Ай бұрын
CCM simamisheni makonda agombee hata urais huyu anaweza kuwa tunu ya Taifa
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 Ай бұрын
We hawawezi 😂😂😂 coz kunawatu hawataki hata kumuona ila Kwa nguvu ya Mungu inawezekana
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 Ай бұрын
@@georgekimasaofficial1629 bro Mimi kura yangu siwezi kupigia CCM ila kwa hili jembe kama inatokea anagombea kura yangu inaenda CCM
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 Ай бұрын
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi, kunywa mchuzi nyama zipo chini... Time will tell
@gilbertdamas5297
@gilbertdamas5297 Ай бұрын
Inauma sana huyo mkurugenzi afukunzwe kazi babisa
@Mgema001
@Mgema001 Ай бұрын
Nimekuja kugundua mama samia tunamtupiaga tu lawama...kuna hawa watendaji wa chini ni ugonjwa kwa kweli....Mama samia tunakupenda mama etu
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Ай бұрын
Kbsaaa
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 Ай бұрын
Chini kumeoza
@nelsonnikodem1100
@nelsonnikodem1100 Ай бұрын
Mama Hana shida kabisa yupo vizuri mwenyezi munguu amsimamie pamoja na makonda
@mussahancy6591
@mussahancy6591 Ай бұрын
Umenena vema
@barbarasara4033
@barbarasara4033 Ай бұрын
Umeonaaeeeee hawa watu WA halmashauri NI jipu
@ahmedsalim9463
@ahmedsalim9463 Ай бұрын
Ewe Mungu mjaalie maisha marefu mja wako huyu na umlinde na Shari za wana Adam ameen
@kibabysaid6692
@kibabysaid6692 Ай бұрын
Ameen
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 27 күн бұрын
Ameen 🙏🙏
@AlfaEnock-st9md
@AlfaEnock-st9md Ай бұрын
Hawa ndio mnasema makonda anawadhalilisha.. Ila amini nawaambia ipo siku mungu atawajibu😥😥
@user-zw6lg3px6d
@user-zw6lg3px6d Ай бұрын
Makonda Mungu atakufikisha tu kwenye uraisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania wakati ukifika bila upinzani na watesi wako hawatoamini
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Ай бұрын
Haswa
@ceciliamallya
@ceciliamallya 17 күн бұрын
Tuendelee kumuombea afike kwenye kusudi
@nelsonngowi3950
@nelsonngowi3950 Ай бұрын
Hata km mkuu watakuchukia, wakuchukie tu ila Mungu atalipa sikio lako lakusikiliza wananchi wako
@GodfreyMwambwalo-ev9nh
@GodfreyMwambwalo-ev9nh Ай бұрын
Kwa kweli mheshimiwa Makonda Mwenyezi Mungu Akujalie Afya njema uendelee na kazi unayoifanya kuna maonezi makubwa sana katika nchi yetu
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 Ай бұрын
makonda mungu aendelee kukupa uzima na Afiya mtetezi Wa wanyonge yani wewe unaweza sana
@user-wo4rc5gb3w
@user-wo4rc5gb3w 27 күн бұрын
Ama kweli Umzaniae ndiye kumbe siye hivi kwili watu wa Arusha haya mliyategemea kwa Mh Makonda?sidhani sasa angalieni jinsi anavyo fanya kazi nzuri hongera zako Mh Makonda 👏👏👏👏👏
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
T M U... Kila atakaewalaani laana zikamrudie, kwa jina la Yesu!@.., hivi jamani ni kweli watu hawaoni vile hata wanaume wanatoa machozi? Yule aliyepata ugonjwa wa moyo wamemuona? yale machozi ya yule bibi je? Hivi Leo anajitokeza mtoto wa mwanamke mwenzio, anayariski maisha yake kwa kututetea halafu eti mnaleta siasa!! Mama Samia anamuamini na ndiyo maana amemleta Arusha,alijenge jiji ki mataifa na atutetee walala hoi na fedha za Serikali zitumike ki Serikali nk. Huyu ana hofu ya Mungu na Mungu hatamuacha . Big up Team Makonda Ukombozi❤❤❤
@yunistinatemba9466
@yunistinatemba9466 28 күн бұрын
Your more than bright Mhe Mkuu wa mkoa, " mlipokosa nyaraka zake zpo nyaraka za nani? Au alitoa msaada? Mungu akupe maisha marefu Mhe wetu
@user-hn9hd3og8u
@user-hn9hd3og8u Ай бұрын
Allah akulinde ww ni kiongozi mzuri sana mtenda haki
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 Ай бұрын
Mh. Makonda your integrity is unparalleled.
@dignakanje4508
@dignakanje4508 Ай бұрын
Wanyooshe baba hwa watu jmn niwatu wajabu kbisa.Sijui mungu wao niyupi.
@ahmedsalim9463
@ahmedsalim9463 Ай бұрын
Kazi ni ngumu lakini usikate tamaa Mungu yuko pamoja nawe
@sospetermigera685
@sospetermigera685 Ай бұрын
Baadaye mseme anawakosea. MAKONDA anafanya kazi. Mama anaangushwa na watendaji wa chini
@jacksonsulle6673
@jacksonsulle6673 Ай бұрын
Level ya Mkoa kwa Makonda bado hatujatendea haki watanzania walio wengi
@wisemanking001
@wisemanking001 Ай бұрын
Makonda is beyond Regional Commissioner job....apewe nchi for the rest of his life!!!
@kichalimaulid4904
@kichalimaulid4904 29 күн бұрын
Daaaah makonda shikamoo pongezi kwa Dr Samia suluhu Hasan kwa uteuzi wako najinsi unavyo msaidia majukumu hongera sana
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Ай бұрын
Kwa sasa Mimi nimemkubali sana Makonda. Mzee wa ufufuo kwisha habari yake.
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 12 күн бұрын
Kwakweli
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q Ай бұрын
Makonda Mungu akulinde maana utakuwa namaadui wengi sana🙏🙏
@rhodamgimwa356
@rhodamgimwa356 Ай бұрын
Makonda uko vizuri brother!! Nnapenda unavyotuhudumia wananchi wako.
@peterpaschal4522
@peterpaschal4522 Ай бұрын
Mheshimiwa makonda unafanya kazi nzuri ila hii nchi inahitaji mabadiliko ya seheria maana wanyonge Wana pata shida sana
@user-vv5pf4rj9w
@user-vv5pf4rj9w Ай бұрын
Mkiambiwa mnalegeza sautiii mnasema mnadhalikishwaa😅😅😅
@BilalMuhammad-jt6sq
@BilalMuhammad-jt6sq Ай бұрын
Kweli ila kukaa uchi awaoni kua wanazarurisha
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 Ай бұрын
Vijana wetu wengi wamemaliza masomo yao ya vyuo vikuu na wako vizuri...na kazi hawana. Kazi zimekaliwa na vilaza kama Hawa ambao hawajielewi....mama Samia fukuzia mbali wajinga Hawa ndio wanakuchafua Bure, unabakia mama yetu kupata shukran ya matusi....
@zawaeli3357
@zawaeli3357 Ай бұрын
Nakuhakikishia hapa hata kijana wako angeonekana kilaza.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Eeee Yesu mlinde Makonda azidi kutetea Wanyonge Mama Bikira Maria mpine kwa nguvu zote Makonda
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 Ай бұрын
Duu nchi hii kweli watendaji wa serikali mnamuangusha mheshimiwa Rais Samia .Hawa watendaji serikali hawaitakii CCM mema wanataka ianguke
@josephignas3988
@josephignas3988 Ай бұрын
Hiyo ndio mojawapo ya sifa za ccm Sasa km hujui ni dhulma
@victaboy7273
@victaboy7273 Ай бұрын
Wewe ndio huwa unasifia ccm . Ni kawaida
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q Ай бұрын
Wanaosema anakosea sindio majambaz hao hao usiwaogope kaka wape Panadol zao
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q Ай бұрын
Yaan mie baba nakupenda sana ungekuja mbeya jamsn
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q Ай бұрын
acha wakuchukie tu hawana mbigu yakukupeleka majambaz wakubwa hao mbwaizo
@avinrwegasira3448
@avinrwegasira3448 Ай бұрын
Magufuli living ❤❤❤
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Ай бұрын
Kweli kbs
@peterlyimo6696
@peterlyimo6696 Ай бұрын
Makonda ana reasoning nzuri sana, sikuwaza kabisa kama yeye.
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Ай бұрын
Makonda ni Mtu na Nusu
@issarashid7707
@issarashid7707 Ай бұрын
Makonda tuko pamoja kamanda Mungu akusimamie katika kutenda haki
@raymondlyamuya6900
@raymondlyamuya6900 Ай бұрын
Huyo Mkurugenzi Kilaza sanahamna kitu hapo
@nesalerorian9161
@nesalerorian9161 25 күн бұрын
Bwana Yesu akulinde na uendelee kuwa kujitetea sisi wanyonge. Tunakupenda sana.
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Ай бұрын
Mungu akulinde makonda,
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v Ай бұрын
Mungu akubariki mtetea wanyonge
@nicksonmallya11
@nicksonmallya11 Ай бұрын
Makonda Mungu akubariki sana akusamehe dhambi zako zote.
@Punda284
@Punda284 Ай бұрын
Makonda mkuu wetu wa mkoa nakuelewa sana,unasaidia watumishi kujua majukumu yao,haya maswali tunajiuliza daima,Mungu akulinde.
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 Ай бұрын
Hilo tatizo la uzulumu mafundi kwenye miladi ya serikali imezoekeka
@HemedMnyambwa
@HemedMnyambwa Ай бұрын
Wanao dhumu sio serikali ni walioko serekalin ndio wanaodhumu n Hawa wanaoidhinisha hela ndo changamoto
@emmanuelsunday8325
@emmanuelsunday8325 Ай бұрын
Kwani watumishi wa serkari ndo serkari hiyo hiyo na ndo inazulumu watu wake
@gabybulba9574
@gabybulba9574 Ай бұрын
Makonda looks full President with good and fair governances, mungu akubarikie hicho kiti naombea
@romanshirima5883
@romanshirima5883 Ай бұрын
Dah makonda vs magufuli mungu huyu❤
@thomsanga7956
@thomsanga7956 Ай бұрын
Niwazi kabisa mkurugenzi hakua na mpango wa kulipa deni, miyeyusho tu
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 Ай бұрын
Wabunge mnasikia hayoooo sio mpo makini na posho zenu na kuomba mpewe Magali.....mnaona mnavyo taabisha Watu
@leodgarchilala721
@leodgarchilala721 Ай бұрын
Binafsi namkubali sana huyu jamaa pamoja na mapungufu yake machache ila ni bonge moja la kiongozi tena mwenye maono lkn hii nchi watu wanasimama kupinga eti kisa anaemuhoji ni mwanamke dah
@UpendoLangeni
@UpendoLangeni 16 күн бұрын
Makonda is the most talented leader unexplainable. May God protect you . Heaven is on you❤
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 Ай бұрын
Mpaka mkurugenzi anashika kichwa anajuta kwa nini mama samia kamchagua hiyo kazi huyo ndo mkuu wa mkoa kamanda makonda ukimaliza kadili na wahuni wanaokaba mitaani arusha
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Makonda Mungu akulinde akupe nguvu ulindwe na Mafisadi ambao hawakupendi maana hata Magufuli aliuwawa kwa kutetea Wanyonge
@margarethashayo5308
@margarethashayo5308 Ай бұрын
Ningeomba tu Kila baada ya mwaka mmja makonda awe aanamishwa Kila mkoa jmn Kila mtu apate haki 🙏@paul makonda
@dismascosmas7860
@dismascosmas7860 Ай бұрын
Mmepata kiongozi mshukuruni sana Mungu
@pastor-Chrisfeston1
@pastor-Chrisfeston1 26 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda baba kwajili ya wanyonge ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Makonda safii❤
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu Ай бұрын
Mungu kufanya mwanaume ndio awe kiongozi hajakosea sasa huyo mkulungezi si mwanamke wanawake wana tabu sana tena wakiwa viongozi ndio hawafai kabisa kuwa viongozi mungu aliwakataa wasiwe viongozi kwasababu anayajua walionayo
@gregory6165
@gregory6165 Ай бұрын
Kutokana na imani yako na Mungu wako
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu Ай бұрын
@@gregory6165 sio Imani Yako basi we nitajie mtume au nabii hata Moja ambae alikuwa mwanamke ? kwani mungu Hana akili kwanini hakufanya hivyo hapa tunaongea kwa fact and logic usilete mihemko hapa. Mwanamke akubali akatae akili yake ni ndogo haiwezi kuongoza wanaume hakuna kitu kama hicho. Nyie mnalazimisha ndio yanawakuta kama hayo tunayoyaona
@albertchuma4313
@albertchuma4313 Ай бұрын
​@@Hussein-gx4qu kwaiyo wewe unadhani kila mtu ni mwislam au mkristo, nikikwambia dini yangu haitambui mitume na manabii? Au nikikwambia mi ni atheist? Kwenye biblia kitabu cha waamuzi wapo viongozi wa dini waamuzi walikuwa wanawake... Wapo wengi wakina ester n.k usifikiri dunia inazungukia kwako chochote usichokiamini unadhani hakipo au ni batili, mjudge mtu kwa kuangalia uwezo wake sio kujumlisha kundi lote wewe mama yako ni baba? Af kama inakuuma wanawake kuwa kwenye uongozi mbona mnashindwa kumwambia mwenzenu samia?si mwislam pia? kila siku anaenda miskitini anakuta na mufti..mnamfanyia hadi dua maalum, Mbona hamwambii ajiuzulu dini yenu na mungu si haruhusu wanawake kuwa viongozi, unafki umewajaa
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Ай бұрын
Amlipe pesa zake angekua ndio yeye anadai miaka yote hiyo kweli!
@omaraliy8207
@omaraliy8207 Ай бұрын
usivunjike moyo jitahd inshallah utafka
@user-ry8xf1no2s
@user-ry8xf1no2s Ай бұрын
Mueshimiwa makonda nakupenda sana Alha akulinde na maasidi inshallah
@olemenye-jb8yw
@olemenye-jb8yw Ай бұрын
makonda for president
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 Ай бұрын
Mwamba kwelikweli. Alafu aje mtu katoka alikotoka aseme fyuu fyuu fyuuu. Yani kaambali na huyu Mwamba ujue wahuni nchii wapo wengi ndio maana makonda akiwabana kidogo unaona wanaanza kurusha Midomo mtandaoni. Acheni Makonda afanye kazi yake aliyetumwa hapa duniani.
@sanduulemo
@sanduulemo Ай бұрын
Haya yakisemwa mtu anasema anadharilisha watumishi!!
@bennshirima9918
@bennshirima9918 Ай бұрын
Mh.makonda, nakupongeza kwa hili jambo...ongera sn.
@barakajohn8005
@barakajohn8005 Ай бұрын
Nimeelewa ndio maana Bro unawaletea moto mpaka wanalia kama honi😂😂😂
@nellychamba1507
@nellychamba1507 15 күн бұрын
Mkuu nakupenda sana brother kwa sababu ya haki unayoipigania, Embu fikilia sisi wenyewe ni watanzania lakini tunafanyiana rohoo mbaya, aisee MUNGU arudi tu hata kesho
@dorcasmruma9001
@dorcasmruma9001 Ай бұрын
Alafu wanakuja watu wanasema makonda anawadhalilisha watumishi! Phuuuu piga kazi makonda
@ceciliamallya
@ceciliamallya 17 күн бұрын
Mh Paul Makonda Mungu wa mbinguni akutunze baba,...Arusha watu wameteseka muda mrefu sana mpaka wengine wamekufa kwa pressure na sukari kwaajili ya kudhulumiwa....Wana Arusha muombeeni sana Mh Makonda na familia yake ameletwa kwa kusudi kabisa la Mungu
@emmanuelsunday8325
@emmanuelsunday8325 Ай бұрын
Mungu akulinde mtumishi wa Mungu makonda
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 Ай бұрын
Makonda mngu akuweke..wambiwe ukweli hakuna kudhalilisha ni ukweli saidia wanyonge
@GreysonMdee-wm8tn
@GreysonMdee-wm8tn Ай бұрын
Andika MUNGU sio mngu
@user-ek6td4kt4t
@user-ek6td4kt4t Ай бұрын
Muheshimiwa hizi halmashauri especially ma afsa utumishi, makatibu wanasumbua sana ikiwa unataka uongoz wako unataka kusiwe na malalamiko jaribu kuwahamisha hamisha ufanye uchunguz then uwasimamie utajua mengi. Nataman ningepata nafasi ya kuonana na wewe.
@user-to9mv9dj4b
@user-to9mv9dj4b 24 күн бұрын
Unaweza kumtembelea
@OmariNgurangwa
@OmariNgurangwa Ай бұрын
Hela zishariwa izooo
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni Ай бұрын
Hapo mkurugenzi mbovu sana kwenye wizi haelewi hapa haelewi
@mosescharles3565
@mosescharles3565 28 күн бұрын
Ndugu Paul makonda usingeenda Arusha ingeishia wapi hongera sana mama samia kumpeleka mchapa kazi Arusha🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@emmanuelakutulaga9756
@emmanuelakutulaga9756 Ай бұрын
MAKONDA KIJANA MWENZANGU NAFURAHISHWA SANA NA UTENDAJI WAKO WA KAZI, HICHI UNACHOKIFANYA NI VERY UNIQUE,THATS WHY WENGI SANA WANAKUCHUKIA,...ILA MUNGU AKUTUNZE SANA; BINAFSI NAAMINI TUNGEKUWA NA WAKUU WA MIKOA KAMA WEWE WA5 TU, NA MAWAZIRI KAMA WEWE WA5, NA WAKUU WA WILAYA WA5, NA WAKUU WA POLISI WA MIKAO WA5, NA MAAFISA WA TAKUKURU WA MIKOA WA5 TU, NA WAKUU WA MAHAKAMA ZA MIKOA WA5 TU; NCHI HII NDANI YA MIAKA 10; TRULY NAWAMBIENI UKWELI KABISA,KIPATO CHA KILA MTANZANIA MTAFUTAJI KINGEFIKA LAKI 5 PER MONTH,HATA UMRI WA KUISHI UNGEFIKA MIAKA 80. TUENDELEE KUMUABUDU MUNGU WETU ALIYEZIUMBA MBINGU NA DUNIA.
@wolframmwalo2432
@wolframmwalo2432 Ай бұрын
Mungu wa mbinguni akutunze hakika kazi unayoifanya mungu yupo upande wako
@issaramadhani9141
@issaramadhani9141 Ай бұрын
Hivi jamani huyu mkurugenzi maelezo yake katika kila maswali anayoulizwa kuanzia wale wezi wa milioni 52 hakuna anachoeleza cha kueleweka sijui huo ukurugenzi anautendaje?😂
@emmanuelbenedicto589
@emmanuelbenedicto589 Ай бұрын
Halafu watakuja kusema amedhalilishwa wakati hana msaada wowote kwenye utendaji
@bonifacedanielmwakisunga9638
@bonifacedanielmwakisunga9638 Ай бұрын
Hawa wakurugennzi wanapatikanaje vilaza hata wajinu wake ajui jamani nchi itaenda kweli kama wao ni kukaa ofisini tu awashughuliki na kutatua kero za wananchi
@kensonyjulius5691
@kensonyjulius5691 Ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukuweka nakuona ni rais ujae🙏🙏🙏
@niyimpumurizamoise2256
@niyimpumurizamoise2256 Ай бұрын
I'm not Tanzanian but I want to say that Africa suffers from a lot of issues. This Governor Makonda is criticized by some but I see that he is intelligent.
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Ай бұрын
Hakika Makonda Mungu akubariki na azidi kukupa hekima hiyo hiyo. Huku wanapiga pesa tu na kuwadhulumu watu.
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Ай бұрын
Makondaaaaaaaaa, Mungu akulinde.
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 Ай бұрын
Mkurugenzi anang'a ng'a macho kama fisi maji!😏🙆
@salehemanjoti3086
@salehemanjoti3086 23 күн бұрын
Nimefatilia sana mikutano ya mkuu wa mkoa mheshimiwa Paul makonda, kiukweli wewe ni kiongozi mwenye uthubutu,natamani viongozi wengine waige kutoka kwako,hakika mungu atakulipa Kwa wema wako"
@HemedMnyambwa
@HemedMnyambwa Ай бұрын
Loko fundi tunapitia changamoto haza tunapota denda kwenye taasisi ni kama hizii ,alafuu ajitikeza jitu huko anasema makonda anazalilisha watumishi, embu avaee viatu vya huyuu inginia wetu. Mafundi njooni tufahamiane hapaaa
@luganouswege628
@luganouswege628 Ай бұрын
Fanya kazi makonda tutakuombea kwa mungu akulinde Toka tunduma
@loishiyemollel5393
@loishiyemollel5393 28 күн бұрын
Mungu wa mbinguni Abariki mweshimiwa makonda,na Mungu atuinulie wakinamakonda wengine ambayo ni wazalendo,na wanauchungu na watu waoonewa na kusulumia
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi Ай бұрын
Mh Makonda Mungu akutunze👏👏👏👏
@henribwema2778
@henribwema2778 29 күн бұрын
Makonda Mimi ni DR congolese, natamani uwe Rais wetu.
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 8 күн бұрын
Mheshimiwa Makonda naomba Mungu akulinde kwa kazi ya kuipigania Tanzania?
@wakushibandfrombushland
@wakushibandfrombushland Ай бұрын
Nakubali mkuu wa kazi maisha marefu
@Ramatozzy-zv7ix
@Ramatozzy-zv7ix 29 күн бұрын
Mhuuuuu kipindi ichoo ndoo naanza chekechea kbxa
@user-qu1mq2ik2e
@user-qu1mq2ik2e Ай бұрын
Napenda uongozi kama huu waja mungu akupe hekima kama sulemani
@moseslaizer7349
@moseslaizer7349 28 күн бұрын
Hakika huyu jamaa Mungu amtunze aiseee ananyooka kweli kweli
@mararegiononline3457
@mararegiononline3457 Ай бұрын
Ila Makonda bana umetisha Mzee kwa hiyo mlalamikaji afanyeje? Akabomoe shule
@josephmbuya9860
@josephmbuya9860 Ай бұрын
Makonda nakuelewa sana
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 Ай бұрын
Huyu mama ningekuwa nishamweka ndani muda mrefu sana anabahati na huruma za Makonda
@gregory6165
@gregory6165 Ай бұрын
Sawa anaweza kulaumiwa lakini kimsingi hana kosa huyo mama, kaingia hapo kazini juzi madeni hayo ya tangu kipindi cha Lowasa akiwa waziri mkuu. Yeye kuanza kulipa hizo hela kuna shida sana kwenye mambo ya kimfumo... Huko serikalini kunamambo ya ajabu sana kwenye mifumo, ingekuwa serikali ni kampuni ya mtu binafsi ingeenda lakini wanapishana na kuna mindset ya ufanyaji kazi ambayo ni ngumu kuchukuwa maamuzi ya kifedha kwa kufata mfumo hususani ni madai ya zamani
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 Ай бұрын
@@gregory6165 hapana kosa lake ni kutofanyia kazi taarifa tangu alipoambiwa Juzi juzi na makonda afatilie alafu anakuja na no action.
3 wheeler new bike fitting
00:19
Ruhul Shorts
Рет қаралды 50 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 1,8 МЛН
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 17 МЛН
3 wheeler new bike fitting
00:19
Ruhul Shorts
Рет қаралды 50 МЛН