Allah Akbar mashallah tabarakka Allah inspector Allah akuongoze kwenye njia ya haki akujalie ufate kutowa ni moyo c utakiri ❤
@hamzamwaya46310 ай бұрын
Nimeipenda hiyo " MMEVAA KIHESHIMA SANA" Maashaallah! Ama kweli uislamu ni dini ya maumbile halisi ya mwanadamu. Agande, naomba ufanye uamuzi sahihi na kwa haraka utamke shahada
@user-yi4xo1jh3v10 ай бұрын
Allah akuongoze kamanda
@user-vg6gp3bz1f10 ай бұрын
😂😂😂😂Eti jiko la kiarabu Allah akutuhifadhie Shekh wetu🤲🤲🤲🤲
@UMMYYFATMA10 ай бұрын
MASHA ALLAH...ALLAHU AKBAR...INSPECTOR SILIMU TU NAFASI BADO ZIKO INSHAALLAH 💖❣️🙏☝️♥️❤️..FANYA UAMUZI KWA HARAKA UTOE SHAHADA UINGIE KATIKA DINI YA HAKI ♥️..DINI YA MANABII..TUNAKUKARIBISHA...SANA SANA SANA INSPECTOR..FROM KENYA 🇰🇪.....
@khadidjasuleiman800610 ай бұрын
Mashallah tabarakallah Allah akujaalie uwe muislam 😂😂❤❤❤
@hussenaaghe276010 ай бұрын
Mungu akuongeza akuongeza nyia ilinyoka amin
@hussenaaghe276010 ай бұрын
Mungu akujalie akufanyie wepesi a na akjukinge na madui zako amin uliendele na moyo kama huyo wakati ukifungua kitua cha mayatiima hata mimi natani sababu mimi nikuwa nikuwa na walea kibapsi bila dini zao mimi wa mombo wa mkoaa tanga kwasasa niko muda dar nilikuwa na muguza mama yanga sioni cha kufanya sio kaingia kwenye wala Unga na kulala nje mimi mahatma nilwale na kuwapa fans mbali mbali sio ndugu nabii hakubali kwao na ndugu wengi ulaya na hata namba kaka ulaya nihamasie anipe pesa nawakewa na kila madaya kulevya nose msaada kaka kama utakupali ujumbe ili ndugu wasadie kupe namba maana nakaa na dada vitu vya ujasrimali anavitupa maana siwezi ngumu nilipinduka na gari umulize shekh kishk anamjua mwamedi faraji mombo ndioa njua mimi pigia simu hapokei maana natakaa kama wewe ulipenda ndugu yako na mimi nakata watu watufakisha kwa metalized mtegemu ndugu hufa masikini duka spea magari tumegombanishwa na mke. wa kaka ùkipatanisha ufalme wa mungu unanzia hapa hapa duniani jmulize kishi unamjua mwamamedi faraji mwamedi anajua raju naomba msada sio damu yangu ikaigia katika omba omba mwenye kupanisha ndugu anapata ujra mkumbwa mungu akubarki kazi yako
@saudaumar335410 ай бұрын
Allah akujalie uwe musilamu inshallah
@bakarimwangazy912610 ай бұрын
Mashallah walla kuwwata ila billahi...
@saifalhussaini970210 ай бұрын
Allah atamfanyia wepesi atakuwa muislamu na kufuata dini ya Allah
@zainabmaulidi984610 ай бұрын
Allahumma Amiin yaa rabb Allammin 🤲🤲🤲
@abdirizakibrahim197510 ай бұрын
Tanzania nimfano sana kwa mataifa mengine ya Africa
@beemali974110 ай бұрын
Mungu humuongoza amtakae na ww espeta allah ashakuongoza ingia tu kwenye dini ya haki ya uslam
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv10 ай бұрын
Afande mwenyezi mungu akujalie kwa ukumbusho barabarani
@YussufSaid-ok4pu10 ай бұрын
Shekh kishk ww ni mfano wa kuigwa namuomba Allaah akuhifadh akupambe na afanya njema akupe umri mrefu wenye kheriy na ww akujalie firdaus iwe makaz yko
@yusufathman247810 ай бұрын
Aamin ❤
@siriyangu472410 ай бұрын
Amiin yarrab 🤲
@user-vg6gp3bz1f10 ай бұрын
Aaaamina ya Rabby 🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@FatumaMuya10 ай бұрын
Amiin
@user-zo3mq4cb8z10 ай бұрын
Amin Amin 🤲🤲
@KadeejaKadeeja-ej4bu10 ай бұрын
Mashallah Allah akuongoze vyema police una roho ya kiisilam❤
@zenakioga656710 ай бұрын
Wallah ukipendwa na binadamu ata mungu atakupenda zaidi shekhe kishki ni mfano wa kuigwa mungu atuongoze sote inshallah
Kamanda ana heshima ya hali ya juu, very rare kupata kama hawa
@jumakapilima729510 ай бұрын
@@salma0000 🤝🤝🤝🤝
@user-vg6gp3bz1f10 ай бұрын
Ma sha Allah Tabaarakallah Allah akuongoze kakajeshi🤲🤲🤲🤲
@halimamfaume192510 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ Allah amuongeze
@jumakhamis22610 ай бұрын
Jazaka Allah khaira shekh kishk
@omanmct13510 ай бұрын
Aaallah mdulilah niko mwislam
@moussa99210 ай бұрын
MashaALLAH
@user-xn8ei2sq9y10 ай бұрын
mashaallah ukhty Raaya Allah akuzidishie
@kassimomar758910 ай бұрын
One day natamn kuona na shehe nurdini from Pemba
@ibraoman274510 ай бұрын
Mashallah mashallah
@omanmct13510 ай бұрын
Hakuna dini kamaislam❤❤
@mariammohamed676210 ай бұрын
Allah akuruzuku uislam
@faizanassor633610 ай бұрын
MASHA ALLAH
@user-xw7pz7ls5k10 ай бұрын
Nawapenda cn dawa kama hiyo nasi kwetu uku Rwanda njooni mturinganie inshAllah
@OMANOman-qc1lm10 ай бұрын
apo police umesema point kweli watoto wengi wao wazazi wao wamekula bata Zina zimezid sana wanazini ovyo wanashindwa kulea wanachukua watoto vituo vya yatima
@BarakababaRama10 ай бұрын
Karibu ndugu yetu katika uislam
@shenjamamzingi795010 ай бұрын
allah umuongoa amtakae ktk njia iliyonyooka
@HemediAhmedi10 ай бұрын
Maashaallaah hongera kamanda mungu akubarikisana yaniafande mtukamawewe ukiingia katikadini ya uislamu hakikakabisaaa uislamu utaendambele we afande unamanenomazurisana sana sana hongera afande
@mudybeka669810 ай бұрын
ALLAH akuongoze ww na familia yako
@eshasalim549610 ай бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAH Akupe Hidaya Ya Rabb. AMIIN
@FatumaMuya10 ай бұрын
Amiin
@ummyahya135110 ай бұрын
*maa shaaAllahtabarakallah*
@sabihaibrahim14310 ай бұрын
shekh kishki unampima afande kiakili sana
@suleimansalym753710 ай бұрын
Islam is right path and final destination
@user-rz5no7us8e10 ай бұрын
Ma Shaa Allah Tabarakallah afande tunakuombea tuna kukaribisha katika uislam
@OmanOman-ky2oo10 ай бұрын
Mashallah kamanda
@NhaloNhalo-ol7ls10 ай бұрын
Amiina 🙏🙏🙏 Uislam Dini ya haki . Sheikh kishick pamoja sana.
@RahimaMct-ik8mr10 ай бұрын
Mashallah
@bakarirutengwe303610 ай бұрын
MASHALLAH 🌹
@abdillahmachemba559710 ай бұрын
Subhanallah Mashaallah 🎉🎉🎉
@MohaMmed-hb6zt10 ай бұрын
In shallah . hallah amuongoze sikumoja ajekusilim in shallah
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv10 ай бұрын
Mashaallah hogera sana afande
@bauchatv-yd4ug10 ай бұрын
Mashallah mashallah mashallah
@salmass67110 ай бұрын
Maa shaa Allah tabark Allah
@ashooraashoora118010 ай бұрын
Mashaa'Allah Allah akuongoze katika kheri kamandaa
@twalibfaqih938510 ай бұрын
Mashallah Allah akuongoze kaman da wetu
@banihashim534710 ай бұрын
Huyu ndio sheikh kishki Hadi wasiokua waisalam wanamkubali😅
@user-vg6gp3bz1f10 ай бұрын
Ma sha Allah Tabaarakallah 😂😂😂 Allah azidi kutuhifadhia shekh wetu🤲🤲🤲🤲
@mafiatv547910 ай бұрын
Ana ikhlasw taswawwuf anayo, hata siku moja sijamskia rad kumradd mtu wala kumtukana mwanachuoni hata sikuvmoja
@banihashim534710 ай бұрын
@@mafiatv5479 Wallhi kweli
@bentybenty234310 ай бұрын
Masha ALLAH ❤
@hajiissa920010 ай бұрын
Masha allah
@sein.20810 ай бұрын
Masha Allah TabarakAllah
@kingmrume10 ай бұрын
Masha Allah ❤❤
@sabihaibrahim14310 ай бұрын
Allah akuongoze inshallah
@OMANOman-qc1lm10 ай бұрын
inshallah uyo police asilim dini ya kislam ameen inshallah
@saidihamadi61104 ай бұрын
Ispekta Mungu akulingania
@Awatee10 ай бұрын
Amiin amiin amiin 🤲
@bentybenty234310 ай бұрын
SUBHANALLAH ALHAMDULILLAH ALLAHU AKBAR.. MASHA ALLAH ❤ ❤
@mwitawakimara364910 ай бұрын
Mashaalah
@omanmct13510 ай бұрын
Aaamin
@MochammdHadija-pn7nn10 ай бұрын
Mashaallah
@mohamednyenyema99710 ай бұрын
MashaaaAllah
@sheikhismaelramadhankenya892810 ай бұрын
May Alla protect you sheikh my teacher
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv10 ай бұрын
Amina rabra aramin
@noot-oe2mw10 ай бұрын
Amina Amina
@sarahronoh54010 ай бұрын
Ameen
@hajiramohamed192810 ай бұрын
Aamiyn
@jumamohamed480810 ай бұрын
Karibu sana kamanda ktk uislam
@athumanikhamisi337710 ай бұрын
Allah akbar
@kdloon203010 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@user-vg6gp3bz1f10 ай бұрын
Nimetamani yasiishe
@zahraabdul965210 ай бұрын
Amen
@LabiloWabikongo10 ай бұрын
.ispect allah sw akujaliy akufunguwe nyoyo ifunguke uijue haki na uifate batri na uiepuke wasalahu alaa saydina muhamadd waalihi waswahabii wasalamu
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv10 ай бұрын
Sana kaonesha mapenzi afande
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv10 ай бұрын
Nasi tumempenda bule
@amina2044amin-zv2gh10 ай бұрын
🙏🙏👏❤❤🎉🎉🎉🎉
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv10 ай бұрын
Razima kujistri
@walterngowi583510 ай бұрын
Kwan nyinyi Waislam ili mtu awe mwema kwenu ni lazima awe Muislamu wabaguzi wa din wakubwa nyinyi 😎😎
@KhubeybJandaal-uz4oo10 ай бұрын
Upuuz mtup
@Yesunimwokozi110 ай бұрын
Kumbe askari wapendea UISLAMU kisa waweza acha na kuoa😂😂.huna tofauti na wengine wengi
@zubeirissa905910 ай бұрын
Nadhani lengo lake hapo ni kua uislam unatoa ruhusa ya kuacha ukiona mmeshindwa na mwenzako. Kwa hio badala ya kumua mwenzako sababu ya mapenzi bora umuache kila mtu atafute mwingine atakaendana nae.