ISHU YA AZIZ K YAIBUA MAZITO,GB64 ADAI UKIUWA KWA UPANGA UTAKUFAKWA UPANGAAWATAKA YANGA WAVUMILIE TU

  Рет қаралды 43,226

Kaje Tv

Kaje Tv

23 күн бұрын

#ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam

Пікірлер: 164
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi 21 күн бұрын
Eng Hersi Said amekujaza mimba kudadeki
@IbraMwakipesile
@IbraMwakipesile 21 күн бұрын
Aziz ki kuja Simba ni ndoto gb 64 we waokote Wana Simba wengine ila Mimi umenikosaaaa
@kitaraabdi9529
@kitaraabdi9529 21 күн бұрын
Mtasema tu tajiri kaludi
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 21 күн бұрын
Tajiri yupi unaemsema?muda ule alikuwa wapi?hapo mnajifariji kupitiliza​@@kitaraabdi9529
@geraldmbengwa6381
@geraldmbengwa6381 21 күн бұрын
Wewe kama huvuti bangi basi utakuwa chizi, Aziz ki bado yuko sana
@HelenAllySorirey
@HelenAllySorirey 21 күн бұрын
Kweli nimeamini makolo wazee wakipayuka
@josephgalandu128
@josephgalandu128 21 күн бұрын
Waweke sawa Enginiaaaaa😂😂😂😂
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 21 күн бұрын
Mashabiki wasimba ni mazwazwa wa karne basi hapo kwa akili zao zakupayuka wanaamini kwamba nikweli ki anakwenda simba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 21 күн бұрын
😂😂😂😂😂 yani kaa wanywa gongo 😂😂😂😂😂
@saidbakari2408
@saidbakari2408 21 күн бұрын
Mnawashwa eeeh!!!???
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 21 күн бұрын
Hapo hajasema km anaenda Simba acha uchiz au kiswahili sio lugha yko huelewi hapo
@donkhan6841
@donkhan6841 21 күн бұрын
Hawajui kwamba ni swala la branding na marketing. YANGA ndio timu pekee inayojua kucheza na akili za watu
@yonaivan
@yonaivan 21 күн бұрын
Kapimwe akil ww, kwan kuna mtu aliamin chama anakwenda utopolon, ww subir majibu tu
@jessicaanania6326
@jessicaanania6326 20 күн бұрын
Hela ya Chama tunayo na Aziz tunayo tajir yetu cyo chupli,chupli😂
@mwanangusana
@mwanangusana 21 күн бұрын
😂😂😂😂. Generator la uongo ..... kelele nyingi kiboko yao ni Mangungu
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 21 күн бұрын
Mtasubili sana kolo nyiye
@JofreyNyelo
@JofreyNyelo 21 күн бұрын
Ww utachekea chooni kesho tu!
@EliasFijabo-pt2zb
@EliasFijabo-pt2zb 21 күн бұрын
Mechi ya costa ilikuwa mbombo ngafu Azizi ki aliiamua mechi dah gb aisee mbombo ngafu musimu ujao yanga wajipange mbombo ngafu
@user-ot7yi6eq7s
@user-ot7yi6eq7s 21 күн бұрын
Ukifiwa na mzazi huwezi kuamini mpaka azikwe
@reggezawady4994
@reggezawady4994 20 күн бұрын
Yupoooo
@khalidjmaftah9449
@khalidjmaftah9449 19 күн бұрын
Yaaan anajiona ana akili sanaaa kuliko Hersi😂
@NdevuKamdini
@NdevuKamdini 21 күн бұрын
Kuanzia leo sikuamini tena mbwaaa we
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 20 күн бұрын
MASHABIKI WA MAKOLO NI MAMBUMBUMBU WANAAMINI UONGO KULIKO UKWELI,NDIO MAANA YANASUKUMWA NDANI,🤣🤣🤣🤣🤣🤣😛😛😛😛😛😛😛😛
@harranmkocha2753
@harranmkocha2753 20 күн бұрын
Ama kweli!!!!
@houmdmajid-ur9dp
@houmdmajid-ur9dp 21 күн бұрын
Hili jama mm silikubali tena sahiv bada kupata umarufu sahiv anaropoko t mwanzo akiongelea mpira vzuri
@maulidichongoe5192
@maulidichongoe5192 21 күн бұрын
3:47 imeisha iyo
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi 21 күн бұрын
Hivi umeshahamia Azam
@GiseracharlesGiseracharles
@GiseracharlesGiseracharles 20 күн бұрын
Kweli walisema duniani Kuna watu na viatu GB 64 nikiatu tuu
@user-ze7zq9eq3k
@user-ze7zq9eq3k 21 күн бұрын
Tulia ww hutambuliki msimbazi...ukivua miwani ww mwenyewe umefanana na dube😂😂😂
@Dewizzyommy
@Dewizzyommy 21 күн бұрын
🤣🤣 wew jau kinoma
@harranmkocha2753
@harranmkocha2753 20 күн бұрын
Ama kweli huna akili
@user-xq8oo1qz3p
@user-xq8oo1qz3p 21 күн бұрын
Huyu jamaa alituambia chama kasaini Simba miaka miwili
@kitengekitenge4881
@kitengekitenge4881 20 күн бұрын
Unarpoka sana sometimes! Angalia utapoteza heshima
@IsmailHija
@IsmailHija 21 күн бұрын
Ki azizi bado yupo yanga
@neemabochellah8416
@neemabochellah8416 19 күн бұрын
Hersi anajuwa kuwachetuwa makolo kikowapi sasa
@fazo-kl9fu
@fazo-kl9fu 21 күн бұрын
Awez ondoka yanga ongeza kufikiria
@jeremiamadinga9579
@jeremiamadinga9579 20 күн бұрын
Kumbe nikweli ulitumbuliwa hunaelim mazungumuzo Yako niyamtu hajaendashule
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 21 күн бұрын
Gb64 una mtindio wa ubongo subiri 5 tena tarehe ya ngao ya jamii na Aziz atwafunga Simba goli 1 katika kipigo cha siku hiyo Inginia anatembea na akili za mabwege kana hili hapa
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi 21 күн бұрын
Leo ndio nimeamini maneno ya alhaj Ismail Aden Rage kuwa nyinyi ni mbumbumbu
@AnethKauzen-yz1ws
@AnethKauzen-yz1ws 20 күн бұрын
Aibu Yako sasa k huyo ndani ya yanga
@JeladiMtengwa-p6v
@JeladiMtengwa-p6v 21 күн бұрын
namba yako nayipatje kaka kuna soda balidi yakwako
@subiralema
@subiralema 20 күн бұрын
Punguzeni maneno kasharudi😂😂😂😂😂
@rukiamkwayo6302
@rukiamkwayo6302 21 күн бұрын
Kwachama ulijiapiza Sana leoyuko wapi
@georgelyimo2138
@georgelyimo2138 20 күн бұрын
Halafu anajifanya alikuwa mwalimu
@JuniorMbando
@JuniorMbando 20 күн бұрын
Huyo jamaa hanaga akili ndo maana alipelekwa polisi
@peterpain5594
@peterpain5594 21 күн бұрын
Haaaaah!! Kwaiyo Aziz k yy asikilize maneno ya madhibiki wakulopoka lopoka kama mwalimu kweli ww kweli kubwa jinga apo kalume haufanyi kazi kutwa nzima ww kushinda na waandishi tu iloooooo kubwa jinga
@kamanda7703
@kamanda7703 21 күн бұрын
Gb 64 ungeweka wazi tuu. Yanga ni mawakala au madalali wa ki aziz lakini hawawezi kuuza mchezaji ambaye hana mkataba kwao . Ila yanga hawataki kutoka mkono mtupu wapate japo chochote na ni haki yao kupata vi coins kwa yale mambo walofanya pamoja na ki aziz
@ChoghoghweDaudi
@ChoghoghweDaudi 21 күн бұрын
Hawa watu wasioamini wanashida yaakili? mbona chama aliondoka jamani
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h 21 күн бұрын
Sema mdogo wangu ukweli
@mudywambash6684
@mudywambash6684 21 күн бұрын
Umeingizwa Chaka wwe we nidogo Sana kwenyempila
@mudywambash6684
@mudywambash6684 21 күн бұрын
Kachane nywelewweeeee
@NdevuKamdini
@NdevuKamdini 21 күн бұрын
Mshabakwa teary nyieee😂
@AlfredEssau
@AlfredEssau 21 күн бұрын
Mzee uctumie nguvu saaana, wenzako wako kiuchumi zaidi!! Fanya utafiti kwanza maana unawapoteza Makolo wenzako!! Ndo maana mwandishi Justine Kessy aliwahi kusema jamani someni, nendeni shule!!!
@AyubuRamadhani-wz4gk
@AyubuRamadhani-wz4gk 19 күн бұрын
Pumbavuuu
@ExecutiveHouseKeeperElewana
@ExecutiveHouseKeeperElewana 21 күн бұрын
Gb64 ww ni mjinga na unatumika. Uingozi wa Yanga upo makini hauwezi ukanyamaza kimyana kumwachia Azizi Ki.
@richardrashidi7878
@richardrashidi7878 19 күн бұрын
Apigwe vibao huyo kama alivyo sema apigwe, haya sasa mwamba master k kabaki analakusema huyo?
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 20 күн бұрын
Mhuuu huna akili ww wangejua wakuache lokapu kumbe jinga pori
@Hope-ok9dy
@Hope-ok9dy 21 күн бұрын
Yani azizi kii acheze shirikisho unaumwa wewe laana tumia akili kuma wewe
@harranmkocha2753
@harranmkocha2753 20 күн бұрын
Kunywa simu tu ufe. Hazikutoshi kabisa
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo 21 күн бұрын
Pumba zingine ulizoongea ila ulichosema kweli viongozi Kama kweli walikuwa na Nia ya dhati na Aziz wasingeshughulika na Chama na hilo Mimi nilicoment huu ni uzembe.
@daruweshshifaaonlinetv6958
@daruweshshifaaonlinetv6958 21 күн бұрын
We akili una
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi 21 күн бұрын
Watoto wako wasipokusalimia unakasilika kumbe dingi hamnazo
@twahamapande2702
@twahamapande2702 20 күн бұрын
Umri wako na vitu unavyo viongea tofauti
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 21 күн бұрын
Mfoji Vyeti Akili yake haina Msaada kwa Jamii Mropokaji na mbea na unafiki walimuweza walipo muweka Rokapu alipo tolewa Akili imerudi nyuma
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 21 күн бұрын
HILI NALO KUNA KIPINDI LINAKUWA ZWAZWA TU
@BilaliBilaliamri
@BilaliBilaliamri 21 күн бұрын
Sikia ili tahira maskini yamungu
@AndrewBernard-l3j
@AndrewBernard-l3j 21 күн бұрын
Mmh hata hujui kitu
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 21 күн бұрын
😂😂😂😂 kweli huyu boya Kama alivyosema atahama chama akihama leo anaongea pumba kweli😂😂😂 Huyu hajui yanga ni mafya Eleweni azizi ki ni mali ya Yanga
@hoseadyson4474
@hoseadyson4474 21 күн бұрын
Kaka yanga siyo mambugila kama viongozi wa simba azizi k kitambo sana Alisha sine yanga usipoteze nguvu zako zote kuongea kaka yanga na kesho kutwa tu utapigwa makofi ahooo
@hoseadyson4474
@hoseadyson4474 21 күн бұрын
Tunza kumbukumbu hii azizi bado yupo sana yanga shauli yako
@fatumamtakyawa3612
@fatumamtakyawa3612 21 күн бұрын
Tabu ni kwamba unapiga kelele sana sio unaongea unayoyajuwa redio ugali itakupoza ndio maana ulsweka ndani
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 21 күн бұрын
Kolo wanaridhika haraka
@peterpain5594
@peterpain5594 21 күн бұрын
Mhhhh!!! Ww mtego huo Aziz yupo
@josephgalandu128
@josephgalandu128 21 күн бұрын
Mnapata taaaabu kumuingelea Azizi Kii badala mjipange,sivyo mtapikwa 12😂😂😂
@SaidSammedia
@SaidSammedia 21 күн бұрын
Gb umeishiwa ww roho yakutapatapa
@RehemaAbdala-kp9dz
@RehemaAbdala-kp9dz 21 күн бұрын
hahahaha inauma ee ndio kwanza mambo yapo mezani
@SundayMbatia-hr8qp
@SundayMbatia-hr8qp 21 күн бұрын
Hv kwann mwana aliitwa gb 64😂😂😂
@AlfredRutaguza
@AlfredRutaguza 21 күн бұрын
Ndio maana Mimi simpendi Mwalimu yanga na god nawaonaga kama waseng maana hupenda kutuharibia kwa misifasifa yao
@mwanangusana
@mwanangusana 21 күн бұрын
Kolombangula
@rukiamkwayo6302
@rukiamkwayo6302 21 күн бұрын
Ndio maana uliwekwa ndani
@rashidrashidmaulid1129
@rashidrashidmaulid1129 21 күн бұрын
Afu kweli we ni chapombe Leo ndo naamin
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 21 күн бұрын
Kumbe we MBUMBUMBU kweli
@user-xm7ew1uj1g
@user-xm7ew1uj1g 21 күн бұрын
Huyu akili yake imeyumba kwanza ahamie azam km alivyoahidi kwamba chama akienda yanga anahamia azam m ona hajaenda leo anamzungumia aziziz ki huyo anaakili kweli? yaani Kwa ueledi wa viongozi wa yanga ulivyo ni wakumwachia azizi ki aka heze shirikisho ht mchezaji atakuwa na akili kweli aende simba raisi amewazinhuwa wamezingulika watu wenye akili finyu km huyu dishi limeyumba huyo
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 21 күн бұрын
Yanga wanasafiri wazee wa tasafu
@Juliusbagasheki
@Juliusbagasheki 21 күн бұрын
Kumbe GB 64 unabwabwaja tu mimi nilidhani unayoongeaga unafanya utafiti kwanza ( No research ...no freedom to speak) for your information Ki Azizi really is a Young Africans Sports Club player.!
@hamidmussa838
@hamidmussa838 21 күн бұрын
YANGA WAONGO
@RamadhaniallyMavumbi-gb9hf
@RamadhaniallyMavumbi-gb9hf 21 күн бұрын
Huna akili wew
@mmewaswida
@mmewaswida 21 күн бұрын
Huyu mjinga bado anaweza kuzungumza mbele za watu. Mwehu tu huyu
@bashirjama8225
@bashirjama8225 21 күн бұрын
Hujamuelewa hajasema anakuja simba
@nasseralshaibani6995
@nasseralshaibani6995 21 күн бұрын
Viwango gani? Kucheza na majini
@matiankomola2391
@matiankomola2391 19 күн бұрын
Inaonekana wewe ni muumini Mkubwa wa Majini! Unayafuga nini!
@nasseralshaibani6995
@nasseralshaibani6995 19 күн бұрын
@@matiankomola2391 ntakuletea na wewe wakukabe roho. Nnashinda na wewe na nnakupa mfano mechi ya fainali yanga vs coastal union ile mechi ilikuwa ya uchawi wa hali ya juu na umeona uwezo wa Akpan alikuwa star simba wakamchukua na matokeo yake nini?
@NduwimanaMoussa-bu3ic
@NduwimanaMoussa-bu3ic 21 күн бұрын
Wegb.unaropoka.sana.mwisho.naweye.namsemaji.wenu.mtayibika.mnepigwa.kufra.azizik.hajasaini.hukumuona.mamayake.wakati.alikuwa.hapa.kaenda.nampunga.wamyaka.miwili.ya.z.aziziki.mtaropoka.sana
@hamisibakari6525
@hamisibakari6525 21 күн бұрын
Etii nilikuwa mwalim
@DeodathChinyamba
@DeodathChinyamba 21 күн бұрын
Hahaaaaaaaaa
@hassannickson7654
@hassannickson7654 21 күн бұрын
Mbumbumbu fc Kiko wp? Mnazugwa tu soka Ina wenyewe kolo
@edwarddastani3691
@edwarddastani3691 21 күн бұрын
Kaka utawauwa utopolo kwa pressure 😂😂😂😂😂😂😂
@AlfredEssau
@AlfredEssau 21 күн бұрын
Huyu c alisema Chama akienda Yanga anaacha kushabikia Simba! Hanaga vyanzo sahihi vya taarifa, yeye anaangalia online videos tu!! Ila kwa kuongea ni mtu na nusu
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 21 күн бұрын
Huna jipya ww na hata azizi k akiondoka pengo lake litazibwa na wengine. Hata waliokuwepo hukuwajua na walifika wakavuma na tukawafunga kifurushi Cha wiki na wale wale Bado wapo hii ndiyo yanga Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💚💚.
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 21 күн бұрын
Sisi sio mambumbumbu kama rage alivyo waita Hapa ndio unaona kiwango Cha umbumbumbu😂😂😂😂😂😂😂
@msemakweli...
@msemakweli... 21 күн бұрын
Na kweli atawaua utopolo wa mo dewji kwa pressure wakigundua Aziz Ki bado yupo.😅😅😅😅
@user-xt9ne1mx1c
@user-xt9ne1mx1c 21 күн бұрын
Nyie ropokeni tu hasa wewe ulisema chama hawezi kwenda Yanga na kaenda Azizi haondoki Yanga mnachuuzwa akili tu
@user-ht5vo2em4f
@user-ht5vo2em4f 21 күн бұрын
achen upumbav. Niny uto pwax AZZ k yet nan mpaka ache Simba
@user-lg3mv3ny4c
@user-lg3mv3ny4c 21 күн бұрын
Kwani ameondoka?
@OmallyAlly-cy3yt
@OmallyAlly-cy3yt 21 күн бұрын
Tulia kidogo wewe kutudanganya kwamba umekaa na mo kwamba chama atabaki simba mwisho wayote chama akaenda yanga kwaivyo kutoka hapo nimekuwa nyota hunaukweli kwaivyo ki azizi atacheza yanga punguzo mdomo kidogo mm naamini utafikia.
@user-zd9dx8lv5t
@user-zd9dx8lv5t 21 күн бұрын
😂😂
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 21 күн бұрын
Nilikuwa nakukubali lkn kumbe naww nizuzu tu ulisema chama akienda yanga unahamia Azam au siyo ww kumbe naww nibwabwa tu mchome ndio shabik wasimba mwenye akili
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 21 күн бұрын
Usijifariji mchome anapumuliwa kisogoni kama wewe tu usimuonee wivu ongeza ufundi wateja wataongezeka tu. SIMBA ina watu wenye akili %100. Mliambiwa kwenye timu nzima ile watu wote hawana akili wenye akili ni watu wawili tu Rais mstaafu na Mz Manara. Sasa ktk hawa watu wawili walio twajwa hapa wewe upo? Kama haupo jibu liweke matakoni. Acha Mchomwe ww na mwenzio mchezo mlio uchagua sio rafiki mbele ya safari.
@Farida-vg5ry
@Farida-vg5ry 21 күн бұрын
Hizi ni propaganda tu kazitengeneza GSM sio kweli aziziki kuja Simba wametengeneza propaganda
@msemakweli...
@msemakweli... 21 күн бұрын
Hii akili ya huyu jamaa ndo akili ya mikia wote yaani jana Hersi alipomaliza tu ile interview yake mo dewji akatuma offer kwa Aziz Ki😅😅😅😅😅😅😅😅
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 21 күн бұрын
We akili yako kama ya Baba yako wa kambo mjinga wewe Mo una ushahidi kua ali tuma offer? Unamfuata Momo akili za kuambiwa changanya na za kwako. Tumia akili kumtafuta Baba yako wa halali. Usitumie Matako kwenye kufikiri.
@msemakweli...
@msemakweli... 21 күн бұрын
Yamekuchoma eeh!? We nae ndo wale wasiokua na akili ni kama umetolewa ubongo ukawekewa mavi😂 pole ukweli ni kwamba mmeingizwa mkenge na Hersi mafala nyie. Tajiri yako kakurupuka ka ushuzi katuma offer asijue Hersi anaongea nini. Asee Rage habahatishi kuwaita majuha🖐🤣🤣🤣🤣😬@@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 21 күн бұрын
@@msemakweli... we sio bure utakua kisoda cha Bar kila mlevi ana kikanyaga hujielewi . Inawezekana soka la Bongo umeanza kulifuatilia Baada kukosa mbolea ukaona uache kilimo. Ufuatilie Soka la Bongo. Lina Drama Nyingi sana acha uchizi pimbi laa zili. Rage nani akisema neno ni Sheria? Rage akikwambia mimi Baba yako unakubali kwa sababu kasema Rage Badala kuushirikisha kwanza ubongo wako una shirikisha kiduara ktk kufikiri. Jiongeze toka gizani. Ndio shida ya Mijitu ya Bara.
@user-bi8hr3nu6g
@user-bi8hr3nu6g 21 күн бұрын
Ndo maana wanakuweka selo unakulupuka
@saidmansoor8528
@saidmansoor8528 21 күн бұрын
Kifariji 😅😅
@mirajiali3926
@mirajiali3926 20 күн бұрын
Chizi wewe usikatae kutiwa makofi leo maana wewe unatoa ahadi halafu unashindwa kutekeleza
@Faridagongo
@Faridagongo 21 күн бұрын
Ya wenzenu je nyie chama kawatendea mangap mbona mnamdharau mmesahau lini
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 21 күн бұрын
Msikilize mzee wa kudele
@user-xt4ev4vp7q
@user-xt4ev4vp7q 20 күн бұрын
Kwel kiboko yao mangungu😂
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 176 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 45 МЛН
KISUGU LEO APASUKA NA UCHAWI WA YANGA KWAO/TUMECHOKA/ LA AZIZI NI PROPAGANDA
19:32
Cassypool Wewe Umesaliti GenZs  Lazima wakusalimie kidogo.
3:55
Africom Entertainment
Рет қаралды 92
He Used All The Sauce On 1 Slice Of Pizza🤪😂
0:12
BorisKateFamily
Рет қаралды 38 МЛН
My wife said she wants to show me her true skills
0:27
昕昕一家人
Рет қаралды 62 МЛН
С топором нельзя #ссср #история
1:00
MOTIVATION
Рет қаралды 1,8 МЛН
КАРОЧЕ НЕУДОБНАЯ СИТУАЦИЯ😱🔥 #shorts
0:45
ПОПОВИЧИ
Рет қаралды 7 МЛН