No video

Itakushangaza: Yustar Mgaya Atoa Ushahidi Ugomvi wa Kajala na Harmonize, Sikutaka Kutoa Siri Hii I..

  Рет қаралды 194,855

Tiki Tv

Tiki Tv

Күн бұрын

Itakushangaza: Yustar Mgaya Atoa Ushahidi Ugomvi wa Kajala na Harmonize, Sikutaka Kutoa Siri Hii I..
.
.
.
.
.
.
.
.#itakushangaza #yustarmgaya #atoaushahidi
#huuhapaushahidi #harmonize #kajala #harmonizevskajala #tikitvkiakilizaidi

Пікірлер: 337
@swahiliqueen9920
@swahiliqueen9920 Жыл бұрын
Wow ❤❤❤❤ Tiki Tv mmejua kunikosha maana nilikuwa nasubiri sana kuona mahojiano ya huyu dada moyo wangu utulie mwenzenu mambo ni moto
@kavyashortsleon
@kavyashortsleon Жыл бұрын
Huyu dada nampenda sanaaa hapindishagi mambo 🎉🎉🎉
@kalistamtanzania7220
@kalistamtanzania7220 Жыл бұрын
Umeona eeeh Yani ananyoosha kisawaaawa
@NicodemusKithi-xe7mg
@NicodemusKithi-xe7mg 10 ай бұрын
Ni kweli kabisa, nkikumbuka Mr pimbi akiongea kuhusu kuachana kwa kajala na Hamoo nkaa Wana tundanganya
@akilimalindevu520
@akilimalindevu520 Жыл бұрын
Unaongea point Hadi tumekusanyika hapa watano tunakutazama sauti kubwa tumeconnect na mziki wa bajaji
@FauOmiy-bm1yn
@FauOmiy-bm1yn Жыл бұрын
Malipo duniani , kamata dinu tudani , km kajala alivyo mtenda wema
@akilimalindevu520
@akilimalindevu520 Жыл бұрын
Wewe dada wewe love you
@kikiswahili
@kikiswahili Жыл бұрын
Watching from South Africa bondeni kwa madiba
@kavyashortsleon
@kavyashortsleon Жыл бұрын
Big up Tiki Tv
@abunajash9995
@abunajash9995 Жыл бұрын
This lady is very brave,clever and a good adviser love her so much will most definitely follow her programme mapenzi na mahusiano,love from London ❤❤
@aminarashid-yf4sf
@aminarashid-yf4sf Жыл бұрын
Wewe dada ni mwehu kipindi chote kajala anamuaibisha harmo kwenye reality shoo kwanin hukumuonya kajala ??? sasaiv harmo kalewa anamwaga mambo ndio wajitokeza ili kumkingia kifua kajala???kweli mwalimu wa wanawake ni kipofu,,,muache harmo nae atoe ya moyoni ili roho yake isafishike na awe na maisha marefu
@furahachuma9039
@furahachuma9039 Жыл бұрын
Kweli kabisa. Waanze kumuonya Kajala kwanza.
@maryammussa2835
@maryammussa2835 Жыл бұрын
Kaaibishwa Nini huyo hamor ACHA zako nawewe
@aminarashid-yf4sf
@aminarashid-yf4sf Жыл бұрын
@@maryammussa2835 naachaje zangu,,,Inamaana reality show za kajala huzioni akimsema harmo???na Ile Zima taa umeisahau pia??ungekuwa muelewa ungeelewa faida ya kuwa excited state,,,au yakutoa ya Moyon,,,unakuwa huru unakuwa mwepesi na kinyomgo kinatoka,,,jambo likipita lishapita kwa yule asieweka mambo rohon,,mwache harmo aseme asiumie ndan kwa ndan,,huu ni ufala wa wanaume wengi kukaa na mambo moyoni mwisho wa siku wajane wanakua wengi
@ghahahahanex8470
@ghahahahanex8470 Жыл бұрын
Fact
@EmilyJacobo-vl1mq
@EmilyJacobo-vl1mq Жыл бұрын
Jamani mm binafusi sipendi kuona harmonize na kajala kuachana jamani
@BeatriceKalembwane
@BeatriceKalembwane Жыл бұрын
Huyu dada ni mtaji kwa Taifa ajengewe sanamu lake nmemkubali japo ni mwanmke mwenzangu na wanawake hatupendani ila huyu Nmempenda bureee
@OpMagu
@OpMagu Жыл бұрын
Sana na ni hazina kwa mume na watoto wake
@bonfacemuchiri1600
@bonfacemuchiri1600 Жыл бұрын
Lazima amtetete rafiki yake nani atamtetea boy child
@user-qv5xg2ng9v
@user-qv5xg2ng9v Жыл бұрын
​@@bonfacemuchiri1600Kama haujafiti kwenye bedroom sexy lazima mwanaume atoke nje na ndio maana hakuna mwanaume Malaya uwa tunabadirisha Radha ya mahabati
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 Жыл бұрын
Wewe huyu dada napata shida kidogo kuna kauli kaitoa inanipa hofu na story yake! Anasema huyo dada alikuwa rafiki wa Kajala kwa hiyo Kajala alikuwa rafiki wa Yolo mmm tuanzie hapo
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb Жыл бұрын
Apewe ulinzi
@BeatriceKalembwane
@BeatriceKalembwane Жыл бұрын
Acha niweke bando niangalie hii maana huyu Yustar hakurupukagi kuongea tu kila siku kila saa kama kina mwijaku na baba levo
@kalistamtanzania7220
@kalistamtanzania7220 Жыл бұрын
Kumbe ndivyo ilivyokua Sasa nimeelewa kwa nn
@rachelnabarikiwasanananyim784
@rachelnabarikiwasanananyim784 Жыл бұрын
Nakupenda sana yusta wapatanishe tena unaakili sana nataman uwe ndugu yangu
@user-bz8cu7fk8w
@user-bz8cu7fk8w Жыл бұрын
Dada yusta nakupenda sana unaakili sana na upeo.lena umeongea point sana hao wanapendàna sana .nataman wakae chini wayamalize na kurudiana tena kupo tena wasiogope kurudiana sababu ya watu yena hawa wakioana watadumu sana .na watawafunga midomo wambea wote wanaowachonganisha.dada yusta weka tena nguvu zako kwenye maombi
@mesatagirassane4853
@mesatagirassane4853 Жыл бұрын
Sababu ni Kajala kumwita JESHI TEMBOOO Teacher HARMONIZE,,,,,Tshizi....
@AkiliNdefu
@AkiliNdefu Жыл бұрын
Dada kama hujaolewa nmekupenda bure
@tikitvog
@tikitvog Жыл бұрын
Kutazama zaidi kazi za Yustar Mgaya bofya link👇👇 youtube.com/@mapenzinamahusiano
@mohsenaljahwary5730
@mohsenaljahwary5730 Жыл бұрын
Napenda kujiunga Mapenzi na Mahusiano
@robertpaul7714
@robertpaul7714 Жыл бұрын
Wadada wanaojielewa ndo kma hawa sasa 👏👏👏👏
@LilianAchieng-bo9xo
@LilianAchieng-bo9xo Жыл бұрын
Asante sana dada mungu hakulinde 🙏🙏
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Sio mtu wakuongea mbona kwenye lialit sho yao wanamuongelea konde
@kikiswahili
@kikiswahili Жыл бұрын
Yustar chukua maua yako shost🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@nurumohammed1310
@nurumohammed1310 4 ай бұрын
Yustar nimekusikiliza yani umeongea vizuri sanaaa ❤❤❤❤
@furahachuma9039
@furahachuma9039 Жыл бұрын
Yani uwe na dharau tuendelee na mahusiano? Wewe uko upande wa kajala.
@JudithKimaro-fw6dd
@JudithKimaro-fw6dd Жыл бұрын
Ila kiukwel kajala nakushaur achana na harmonize usimrudie fata maisha yako dadaang
@AkiliNdefu
@AkiliNdefu Жыл бұрын
😂😂😂😂 kelvin unajua kumchimba mtu
@namukwayamweshihange8866
@namukwayamweshihange8866 Жыл бұрын
Ahsante sana dada yani to the point.
@daylight1707
@daylight1707 Жыл бұрын
Na wewe yusta mwambie kajala aache kumuongelea harmo kwenye kile kapindi chake kichoruka kila jumatano hicho kapindi ndo kimeleta hayo yote
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 Жыл бұрын
Ht km hamo ni mbaya lkn mbona hio reality show yao imemzungumzia hamo sana ya kumponda
@suraiyahhussein3608
@suraiyahhussein3608 Жыл бұрын
Dahh kumbe mambo yalianzia huku, nyie moyo wa mtu kichaka walahi
@amangearge9594
@amangearge9594 Жыл бұрын
Dada unaakili kubwa sana ninachopendaga sana kwako niukweli wako juu ya mambo kongole kwa hilo
@user-wj9qv8mc7p
@user-wj9qv8mc7p Жыл бұрын
Ww Dada
@beatricemabula4783
@beatricemabula4783 Жыл бұрын
Yusta una upeo mkubwa sana. Umeongelea watu zaidi ya wanne wote haha hakuna hata mmoja uliemuongelea vibaya. Umeongea kwa bashaha kubwa.nakupenda
@elizabethmgassa7243
@elizabethmgassa7243 Жыл бұрын
Yaani nilikuulizia jana,,yuster yupo wapi?haya mambo mi naona aibu utafikilia ndo mimi.
@marrymazengo1315
@marrymazengo1315 Жыл бұрын
Hata mm nahisi tuliwaza pamoja nanpenda sana yustar 😂❤❤
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 Жыл бұрын
I believe you 100% both they are abusing each other 👌
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
Watu siku iz mnaniwahi eehh😅😅😅
@suraiyahhussein3608
@suraiyahhussein3608 Жыл бұрын
Hata mimi wameniwahi mwenzangu
@kikiswahili
@kikiswahili Жыл бұрын
Hata mimi meniwahi sanaa
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
​@@suraiyahhussein3608Tujipe pole
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
​@@kikiswahiliTupeane pole😅
@BarakaKanyamibwa-lo4gc
@BarakaKanyamibwa-lo4gc Жыл бұрын
Unapenda udaku eeehhh !!!
@estherjackson6038
@estherjackson6038 Жыл бұрын
Huyu Yuster Ni mtu makini Sana.Nimetokea kumuamini mno.
@saniaidrisa3920
@saniaidrisa3920 Жыл бұрын
Dada nimekuelewa sana ila ulichokosea ni kushindwa kumshauri rafiki yako toka mwanzo kumuongelea vibaya mwenzake ulikaa kimya kipindi chote wanamdhalilisha ndilo kosa lako
@marrymazengo1315
@marrymazengo1315 Жыл бұрын
Mbona kasema kwamba kajala nae kakosea kumsema harmo au hamjasikia
@saniaidrisa3920
@saniaidrisa3920 Жыл бұрын
@@marrymazengo1315 Hatukatai kasema k alikosea lakn kama rafiki wa kweli alitakiwa kumshauri kajala na mwanae toka walipoanza tu kumsema harmo kwenye kipindi chao cha kwanza yasingetokea haya maana kadri walivozidi kumsema vibaya ilizidi kuchochea hasira naye ni binadam kuwa mwanaume haimaniishi haumii
@kalistamtanzania7220
@kalistamtanzania7220 Жыл бұрын
Kukupenda ndo kitu najua Yani napendga sana unavyoongea ukweli 👏👏
@AkiliNdefu
@AkiliNdefu Жыл бұрын
Na mm nampenda sanaaa kuliko hata ww kwanza ww mwanamke tuachie sisi wanaume ndiyo tumpende
@shamzone388
@shamzone388 Жыл бұрын
@@AkiliNdefundugu wa tanga mbona una tamaa sana
@OpMagu
@OpMagu Жыл бұрын
​@@shamzone388kweli ana tamaa hata mm namuona maneno yetu wanaume tukitamani nayajua
@olly7037
@olly7037 Жыл бұрын
Huyu mwanamke inaonekana anaweza kuwa anazungumza ukweli 100%. Very clear!
@catherinensemwa3907
@catherinensemwa3907 Жыл бұрын
Yustar mgaya tulikumic sana tupeu ubuyu❤❤❤
@AkiliNdefu
@AkiliNdefu Жыл бұрын
Hata mimi
@aminatanditse4987
@aminatanditse4987 Жыл бұрын
Ongea ukweli ham hana mda kajalan ni mzee
@erickmuli1030
@erickmuli1030 Жыл бұрын
interview imeenda sana joh...hongeren YUSTA+TIKI
@shamzone388
@shamzone388 Жыл бұрын
Yusta Mgaya nakupenda sana fanya juu chini warudiane maana wamependezana kajala na hormonise nakuaamini sana
@user-wh8xm1yp3x
@user-wh8xm1yp3x Жыл бұрын
Mimi piya napenda sana warudiyane dada afanye mambo Ili warudiyane jamani
@HappyFamily-qz9up
@HappyFamily-qz9up Жыл бұрын
Ata mm jamani naumia kama vile mwanangu kaachika. Nawapenda sana
@nimbonaleongontran5952
@nimbonaleongontran5952 Жыл бұрын
Jameni wa tanzania, me am from burundi 🇧🇮, munisahidie munambie maana ya adha. Thx
@user-pg9mp8jr6s
@user-pg9mp8jr6s 10 ай бұрын
Adha ni ghasia au vurugu
@user-pg9mp8jr6s
@user-pg9mp8jr6s 10 ай бұрын
Au fujo
@mohsenaljahwary5730
@mohsenaljahwary5730 Жыл бұрын
Hi, Yusta Uko vizuri sana.Hata mimi hii sijaipenda huu ugomvi.Mdogo wangu Harmo achana na hii kitu na pia Shem Kajala achana na hii kitu Tulizeni akili zenu hii ipite km mapenzi yamekufa basi muwe marafiki tuu wa kweli.Kuna leo na kesho peace & Love.Mtake it easy.Hey mdogo Harmo take care Bro.U r something else now ur Big usiharbu.
@hawaomary8486
@hawaomary8486 Жыл бұрын
Acha kuwongea SN muwandishi aha dada aonge
@user-tb5bt8lq8j
@user-tb5bt8lq8j Жыл бұрын
Lililo muuma harmonize kwenye kile kipindi chao kumuita chizi pia kila siku wanamuongelea kwanni wasiachanenae
@thekiliguides
@thekiliguides Жыл бұрын
Pole Kwake 😊😊
@thomasgonnah7452
@thomasgonnah7452 Жыл бұрын
Mapenzi Kwa mwanaume ni kama nguo unaeza ukainunua Kwa duka Kisha ukifka nyumbani ukaichukia na kununua nyingine
@robertpaul7714
@robertpaul7714 Жыл бұрын
Hakuna mwanaume rijali ambaye hana mchepuko ata kma umeoa kuchepuka kupo tu kuna vitu vinapunguaga kwenye ndoa
@user-jj7ep1sr9s
@user-jj7ep1sr9s 7 ай бұрын
Sawa hila yusta nakupenda❤
@fernandshabani
@fernandshabani Жыл бұрын
Ndio wanapendana hawa.ku mukuta na mwengine sio tatizo kwakuwa KAJALA mwenyewe ana wengine,pili harmonize ni star anaezi akawa na wengine kwa hiyo jibu ni kusameyana tuh..kingine longo ilikuwa ranj na wala hakuna chama penzi hapo kwani mwanamke ana kubali kama mwenziwe siwakwanza mpaka ashindwe muacha..Fernand toka DRcongo
@user-fc3og1eo3x
@user-fc3og1eo3x 9 ай бұрын
Hata hivyo wanawake wanatupiga Sana mizinga na marafiki zao wanatumia bajeti kubwa Sasa kwanini usilipize harmonize bado yuko sawa
@saidilindukwa
@saidilindukwa Жыл бұрын
Ni Kweli bado wanapendana, sis yuster Waite kaa nao ongea nao yaishe,
@user-nj2yi9jk8b
@user-nj2yi9jk8b Жыл бұрын
Asante sana yustar tumejuwa ukweli leo 😮😮😮
@AngelaNicolaus
@AngelaNicolaus Жыл бұрын
dada ang umesema ukwel kbx ,maan ata kama mmeachana haipasw kuachana mpaka nkataman nmwambie harmonize ayo anayofanya so vzr ,,,,nasukuru da yusta kwa hekima ulonayo ,,,,,,Mungu aitunze iyo hekima....
@walengamwamaua-ws6io
@walengamwamaua-ws6io Жыл бұрын
Wewe mkweli kabs, Lakini rafiki yako angevumilia yote maana wanaume ni hivo
@nusrathmanyawa4501
@nusrathmanyawa4501 Жыл бұрын
Nakupenda sana my Yusta
@amangearge9594
@amangearge9594 Жыл бұрын
Kumbe bado wanapenda eeeh hata mm naona hivyo kwa kweli maana hata mm nilipoachana na ex wangu nilikua badonampenda nilikua namfanyia sana visa 😂😂
@carolinenyakio8592
@carolinenyakio8592 Жыл бұрын
😅😅
@Mina.15
@Mina.15 11 ай бұрын
Ten years ago Ata pia mimi mpaka nika fake kunyuwa sumu 😂😂😂 LAKINI wapi 😂 Kaka anaroho ngumu 😂 sikuizi I don't care jina lake TU linanifanya kutapika 😂
@KuriaLukumay-ys5xp
@KuriaLukumay-ys5xp 11 ай бұрын
Nani kakuliz Achasob
@FaithSaisi
@FaithSaisi 10 ай бұрын
😮
@KaserekaIbrahim
@KaserekaIbrahim Жыл бұрын
Asante kwa hamo na kajala
@zeddydanielotieno4317
@zeddydanielotieno4317 Жыл бұрын
Je!!, HUYU DA YUSTA AMEOLEWA, MAANAKE NAMTAMANI SANAAA😂😂😂😂😂😂
@USDisdoomed
@USDisdoomed 9 ай бұрын
Dogo punguza upwiru 😂😂
@gracemunthali7945
@gracemunthali7945 Жыл бұрын
Ni kweli nakubaliana na wewe. Hawa bado wanapendana
@DIO-jd8xs
@DIO-jd8xs Жыл бұрын
Hakuna mbona akiongea kajala hamim tuone kama kama atakuja kupata mwanaume kama hamo
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 Жыл бұрын
Huyu Dada yupo sahihi, na ukimsikiliza vizur, Harmo alijisacrifice kwa kila kitu kwa Kajala na familia yake, unfortunately sio fate kuwa pamoja, na ofcause Kajala kuhis yupo above mwanaume, hakuna mapenz yasiyo na changamoto, wai wameyageuza kua business kwa interest za watu. So wache tu wawafaidishe watu na maadui, Harmo alishamaliza yote kwenye #vibaya
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
Madam Ustar umeolewa??? Mzuri Sana ❤
@suraiyahhussein3608
@suraiyahhussein3608 Жыл бұрын
Yani huwezi amini namuamini sana Yustar akiongelea hili jambo kuliko hata angeongea kajala mwenyewe maana kajala au harmonize wanaweza kuficha mengine Kila mmoja akitetea upande wake.
@aminangusura6115
@aminangusura6115 Жыл бұрын
Yusta kaongea vizuri ila alichoaribu kitu kimoja,unajua kajala na Paula walikua na kipindi kwa zamaradi mtetema wanamuongelea AMORNIZE na sio mara moja ni kila wakati ,YUSTA alikua aoni kumsema rafiki yake, aache kumsema AMORNIZE ,jamani AMORNIZE naye binadamu,sio MTUME useme katolewa nyongo,je kiatu chake kivae wewe je ungeweza??????????
@rachelsimbeye9637
@rachelsimbeye9637 Жыл бұрын
😂😂😂
@marrymazengo1315
@marrymazengo1315 Жыл бұрын
Heri nisike leo acha nijaze bando kwa ajili yako yustar wangu😂😂
@fatmamansour676
@fatmamansour676 Жыл бұрын
Kwani kajala nae si alikuwa wakiibana kimya na harmo akiwa na jack
@sophiafalk6484
@sophiafalk6484 Жыл бұрын
Kweli kabisa hawa bado wanapendana kabisa. Ila wahache kutoa siri zao hazarani. Na wewe mlogo wangu washauli wahache huu ujinga.
@Bakarirajabu-cg3kn
@Bakarirajabu-cg3kn 2 ай бұрын
Nakubali apo
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 Жыл бұрын
Kwani ukimpa kitu mti inampangia matumizi? Basi harmo alikuwa anamtaka anjera
@parachichiFM
@parachichiFM Жыл бұрын
Yustar naomba unipende
@Sppah697
@Sppah697 Жыл бұрын
Dada Fausta mzuri!
@jumannemagawa5095
@jumannemagawa5095 11 ай бұрын
Dada wewe ni muungwana na hongera sana, ila ukiweza washauli warudiane kama ile ndoa ilikuwa ya ukweli.
@user-pw2bl4qd8w
@user-pw2bl4qd8w 6 ай бұрын
Umeonge point dada yustar
@erickmuli1030
@erickmuli1030 Жыл бұрын
aliyempata ssa hv harmonise uyo kajala hafui dafu ssa iweje et harmo awe anaendlea mpenda uyo kajala kwa uzee ule hata mm siwez kka.
@neemasiame
@neemasiame 10 ай бұрын
Kajala nimtu mzina angevumilia hakuna mwanaume msafi
@DIO-jd8xs
@DIO-jd8xs Жыл бұрын
Kajala tapeli hatokuja PATA Tena mume kama hamo we ungeweza
@shaidaniyonkuru3007
@shaidaniyonkuru3007 Жыл бұрын
Dada imiss you unasemesha ukwer
@KinDanger-dw5sj
@KinDanger-dw5sj Жыл бұрын
harmonaize anavuta sigala poli musichangae akatokeya mambo kama aya vumiliana harmonize bang zinasumbuwa
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Жыл бұрын
Bangi mbaya
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Sija chelewa
@BeatriceKalembwane
@BeatriceKalembwane Жыл бұрын
Tupo wote hata mm sijachelew sana
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
@@BeatriceKalembwane kweli
@OpMagu
@OpMagu Жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@ashaabdalla924
@ashaabdalla924 Жыл бұрын
Mmechelewa nyoote ila mimi tu sijachelewa😁😁
@zabibuidi1938
@zabibuidi1938 Жыл бұрын
Ndio bado wanapenda
@helentelemla5623
@helentelemla5623 Жыл бұрын
Kajala hapo alibugi.Ukimchunguza kuku hutamla.
@catherinensemwa3907
@catherinensemwa3907 Жыл бұрын
Wa kwanza like zangu jamani
@AkiliNdefu
@AkiliNdefu Жыл бұрын
Hongera zako
@jenifermlay3625
@jenifermlay3625 Жыл бұрын
Kwakweli Hawa wawili wanapendana Bado ushauri wangu wasikubali kuidhulimu mioyo yao kwa kuogopa watu,wanatakiwa kutii kiu zao.Wahenga walisema wagombanao ndio wapatanao.
@ntakilutandato
@ntakilutandato Жыл бұрын
Mabaya ya harmo yanalingana na mema yake, Harmo anatakiwa akutane na mwanamke mpole, mcha Mungu,, asiye na matumizi, aumwanamketajiri, asiyena makuu na kutochunguza, harmo ana upendo wa muda mfupi na wa kimbunga, harmo hawezi kuwa mtulivu na mnyenyekevu wakudumu kwa mwanamke yeyote yule.
@asiamohd5516
@asiamohd5516 Жыл бұрын
Km sijaakuangalia ww ktk KZfaq namuangalia nani tn. Enhhh tupe burudani Yustar
@gracemsalila7735
@gracemsalila7735 Жыл бұрын
Safi umeongea point
@user-fr5sh6sh5y
@user-fr5sh6sh5y Жыл бұрын
Hongera dada ww ni mama ushauri mzuri sanaa ❤❤❤
@seifkilindo7121
@seifkilindo7121 10 ай бұрын
Hongera sana dada upo vinzuri sana
@shaymaamlanza3949
@shaymaamlanza3949 Жыл бұрын
Dada upo vzr sana konde amekosea mwanaume aliyekamilika hatoi cri za ndani
@AbdallahBakena
@AbdallahBakena 11 ай бұрын
Yan we mdada watu wanazin araf unasema hazaran vitu ambavyo havimpendez mwenyez mungu me nikafikir ungewashaur wafunge ndoa kumbe rengo rako waenderee kumkosea mungu
@melichmahingule2896
@melichmahingule2896 Жыл бұрын
Sasa nyie nanii kawaambia kuna mwanaume ana mwanamke mmoja?????😊😊
@jumabidery5051
@jumabidery5051 Жыл бұрын
Zarau sio kitu kidogo
@user-jp5yy6kb9h
@user-jp5yy6kb9h Жыл бұрын
Yaan wanapenda aswa tena one day watarudi ana
@erickmuli1030
@erickmuli1030 Жыл бұрын
tuko pa1 yusta the mama.
@stelamwakatulile2455
@stelamwakatulile2455 Жыл бұрын
Mwanaume anaye kujali kwa kila kitu unaumizwa na nini kuanza kufatilia mtu kiasi icho akuna cha peke yako kabuli tu ndo unakaa peke yako sasa ivi kajala ana amani tena kakonda
@mariumseif6751
@mariumseif6751 Жыл бұрын
hujampenda ungempenda ungemfuatilia
@kadino_jc
@kadino_jc Жыл бұрын
Nauriza kajala2 yiko wapi?ampe na kajala2 njo ni amini kamupa kweri
@violethactress
@violethactress Жыл бұрын
Unaongea point sana mama nimekusikiliza mwanzo mwisho
@key5853
@key5853 Жыл бұрын
Harmonize ana ushamba sana. Anapendanga kusema mabaya ya watu ila ya kwake haoni
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Жыл бұрын
Nampendaga huyu dada ❤❤❤❤❤
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct Жыл бұрын
Mh .kajala Kumbe kapitia mapito sana
@marymaryrose1719
@marymaryrose1719 Жыл бұрын
Mwanaume musilum anapenda kulala na rafiki yako wako hivi wote
@neemasiame
@neemasiame 10 ай бұрын
Ila dada dharau sio kitu kidogo
@kikiswahili
@kikiswahili Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
KAJALA AAHIDI KUTOFUTA TATTOO YA WEMA, ALIMNUSURU ASIFUNGWE JELA
2:10
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 11 МЛН
拉了好大一坨#斗罗大陆#唐三小舞#小丑
00:11
超凡蜘蛛
Рет қаралды 12 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 45 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /31/ #love
40:19
BabaJoan
Рет қаралды 139 М.
Kamala Harris Closes Out 2024 DNC | Balance of Power 08/22/2024
2:51:47
Bloomberg Television
Рет қаралды 30 М.
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 45 М.